HUWEZI KUMUACHA CHAMA MBELE YA MUDATHIR YAHYA| MASHABIKI WA SIMBA WALIPIGA DUA MPIRA UISHE CHAMAZI
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 127
Kwakweli bigup wasafi Tv msimlaumi Oscar kupinga kwake Kuna leta utamu wa kachumbali nzuri sana kiuchambuzi all in all Baba Levo juu sana
Daimond usimfukuze kazi baba leval
Nimefulai sana kuona baba levo kamchekesha osca inamaana osca kakubari mziki wa baba levo
Yaan baba levo huwa nampenda jaman😊😊❤❤
namkubali baba levo
nakukubali sana baba liv
Chama anavitu vyake na mudathir anavitu vyake inategemea mahitaji ya couch chama hakabi mudathir anakaba sana na anatembea sehemu kubwa ya uwanja chama hawezi Hilo chama anautulivu sana juu ya mshambuliaji na pasa mzuri sana hiyo ndo tofaut yao kwahiyo nini mahitaji ya cocha .kutokana na timu inayocheza nayo
Baba levo sio mchambuz kwenye kipindi yupo km mshabiki cio mchambuz😢
@zarinatv2024
9 ай бұрын
Ananogesha kipind me huwa namkubal
Baba levo kiukweli mimi binafsi nakupenda ❤❤😂😂
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Unampenda kwasababu anaisema Simba vibaya ilimchania mkeka
Na kukubali b level ba ❤❤❤
oscar hataki simba iendelee
Hapo kwenye kuchagua... Waafrika wa Tanzania wangemchagua Chama. Wazaungu wangemchagua Mudathir. Facts yake muliona robertinho sio chaguo lake chama....na ndio maana amefeli cha huko alipokwenda.
Baba levo oska tunamjua Shabiki wa simba
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Na shoga baba levo mnamjuaje
Tunataka kuludisha mataji yote Tz na ubingwa tupite robo, ikiwezekana fainali na ubingwa. Simba wakubwa tunacheza kikubwa
Ila baba levo mtoeni kwenye hicho kipindi jamani!!!
@MROMMAH
9 ай бұрын
Aktok ba levo atoke na oscar......😂😂😂
@user-yk3zl7gp2r
9 ай бұрын
Kwa nini?
Hapo baba levo uposahihi
Ba level anajielewa sna anajitahid kuchambua wakati hajasomea hiyo status
@luckygmdegela8477
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 unachekesha
@bujashidaniel5537
9 ай бұрын
Nan kasomea ?
Yaan B levo bana anachambua kishabiki sana lkn anachekesha tu
Hata mimi hat nife siwez kwushabikia simb baba rev namukubar san
Hiki kipindi safi sana sema baba levo kiboko
Baba levo unamfanya oscar akimbie
Baba levo ni bonge la mchambuz
yaaani najisika furaha kuwa sikiliza
@davidarabiy3924
9 ай бұрын
Naitwa david arab ki ukweri baba revo unaongea ukwer kaka
Watangazaji wote Sina mda nao Nina mda na Baba Levo tu ananikoshaga sana❤
Tatizo Simba ya mwaka huu inaonekana nzuri kwa sababu iliifunga yang. Ila ukweli Simba Ni mbovu kuliko Simba zote
@Damarry-FX
9 ай бұрын
Simba ni bora sana.
Oscar mashabiki wa Simba wanashikiana viboko kwa nn sasa
Kumbe ni Chanel ya yanga?
😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 Ba revo bhana usinivunje mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baba Levo achana na burudani ngoja tukusanye Mataji kwanza burudani mwisho wa msimu kaka.Huyo huyo Simba mbovu kamnyanganya ngao Yanga anayesema ni Bora eboooo fa masialaa ninii
Baba levo ndo anachangamsha kpnd
Waambie kweli ba revo Simba kwa Sasa wameisha😂😂😂😂😂
@onesmokabia
9 ай бұрын
Vp ndugu angu umeamkaje baada ya game ya Ihefu na Yanga kuisha jana
@AbuubakarMassoud-xr6lg
9 ай бұрын
Ndo mkome nyani fc
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Wameisha ndo maana wameshinda mechi tano mfululizo
Simba ya mwaka jana ni nzuri kuliko hii ya mwk huu
Chama aondoke Simba Hana msada wowote
Chama na muda ni vitu viwili tafauti kila mtu na majukumu yake
Tumepita Kwa mbinde sana pia kipa tunampendea langi
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Hata Al ahally mwaka Jana walipita kwa mbinde na kombe wakabeba
Ww acha unafiki unaikumbuka yanga mwaka gani
Huyo baba Levo hana Sifa ya kuwepo hapo mnapomuweka, anadhalilisha sector ya habari, hana weledi, aende huko wasafi festival akabwabwaje upuuzi wake!
wachsmbuzi acheni uchonganishi kati ya mashabiki na wachezaji acheni izo
Oscar sasa unaanza kutoka kwenye uchambuzi unakua mshabiki.
Baba Levo na mpira wap na wapi
Baba levo anachonga sana huyo haeleweki sio mshabiki huyo
Ila mmenivunja mbavu jaman duh.
😂😂😂caf, inaangaliwa baada ya dk90🤔
@nichomwanga1946
9 ай бұрын
Hata biashara ya jezi imeshuka kulingana na matokeo ya simba uwanjani jezi zimekuwa nzito kuuzika
baba.revo.hapa.kweri.mmi.mshabiki.wa.simba.sijui..musimu. kama nitapona.mana.moyo.juzi..pupu..nateseka.najuta.kupenda.kunaumiza
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Hamia yanga mkaonane na ihefu
Chama anauwezo wa kugawa mipira kama tanesco mpya😂😂😂😂😂😂ba levo mbwa wewe😂😂😂
Oscar kumbe mchabiki wa Simba hapendi ukweli
@adaboychibu1659
9 ай бұрын
Shida sio kuwa mshabiki wa Simba Oscar ni mchambuzi anaye ujuwa mprira!nyie wengine ni mashabiki maandazi!sasa ww kwa akili yako unamsikiliza Baba levo na unaamini maneno yake anayo ropoka hata point hana na hana anachojuwa kuhusu mpira
@ramadhanomary-mh1bl
9 ай бұрын
Oscar upo sahihi mashabiki wa ynga ndio wanaosema hvyo sio Simba na wale ambao wanajiita mashabiki wa Simba wasiojua nn maana y mpira yaan mamluki tuu wanavaa jezi za Simba kuwasidia ynga..
Chama ynga hana nmba
Baba levo wewe shabiki wa yanga ndo maana unaiponda simba nikwambie kitu mwaka jana.yanga ilikua.ikicheza kama simba ya mwaka huu.nawalikua ubingwa nasimba ya mwaka jana ilikua kama yanga ya leo kwahiyo Acha kuwacheka.simba wakati mpira hutabiriki
😊😊😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉baba levo jinga tuu
Ww Oscar unasurambili hueleweki
Wee eee chama abaki huko huko
Simba hawatabiliki
Baba levo wefala
mpira wa pass haukuwapa simba mafanikio wamebadilika makusudi kutafuta kocha wa ushindi timu zote zinazocheza huo mchezo hakuna yenye mafanikio hasa africa wanaocheza mchezo wa nguvu
@AbuubakarMassoud-xr6lg
9 ай бұрын
Uhakikaa
Kwakweli tu kocha anatwalibia timu hadi siku hizi sivai hata jezi naogopa kuzomewa
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Huo ni ushamba wako tu team inashinda kila mechi huvai jersey utazomewa. Uzomewe kwakuongoza league au
Baba levo hamn kituu😂😂😂
Atali nanusu
Yanga ni bola kuliko simba
Baba levo mchambuzi wa ushabiki
Mkitaka muendelee kua juu kwenye uchambuzi toeni huyu chawa wa mondi
Acha unafiki ww ww unaikumbuka yanga mwaka ngali
@deboramartin8111
9 ай бұрын
Andika vzr ww
Simba walikua wameshika tamaa Muda wote hawana Ari ya kushindwa wapo wapo tu timu ya mtandao ni
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Na ndio maana wanaongoza league kwakuwa ni wamtandaoni
Baba levo kichwa kikubwa lkn poyoyo kabsa
Nyinyi waandishi mtende haki si mseme ukweli si ushabiki tu simba ni timu kubwa africa mtake mstake
mimi ni simba damu ushindi wetu ni tia maji tia maji
Baba lov chawa uyu
Big chawa 😂😂😂
Hahaha 😂😂😂 baba levu kichaa
😂😂😂😂😂kwanza nani kawaruhusu hawa wasafi wachambue mpira😂😂😂
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Mijinga hii Wala haijui chochote kuhusu mpira
oscar una kitu utafika mbali😅😅
Washabiki wa mchongo
waliofungwa magoli matano na Yanga wakutana hatimaye product 2_2
Kwa mm siwez kumuacha mudathir mudathir nikachukua chama. Mudathir anacheza michezo ya Aina zote uwanjan iwe kukaba iwe kushambulia, iwe ubabe iwe ustaarabu. Chama timu ikizidiwa kidogo tu huwa haonekan na kama ni mechi ya kibabe yy hawez
Osca yuko sahihi kabisa
Baba levo hamna kitu
Ayubu ni jina la kiebrania (Israel ) Job na kwa waislam (Arabs) ni Ayyub ambae kwao ni Nabii. Hivyo Ayubu ya kiswahili imetoka kwenye Ayyub ya Kiislam
@hajisangu2489
9 ай бұрын
Usilete habari za dini kwenye ushabiki wako. Ni nani aliyekuambia kuwa ayubu ni nabii.Kuwa makini ndg
@nyakatievents
9 ай бұрын
Unauchi wew au shoga wew unatuletea mambo ya dini hapa
@musaaasuu6013
9 ай бұрын
Naitwa muxa axumani kutoka kambya chui nayombea ximba uxhindi zidi yaprizoni kwamagoli tena mengi
@lifetechnology7925
9 ай бұрын
mada uliijua au umecoment tuu@@hajisangu2489
@lifetechnology7925
9 ай бұрын
hivi mnasikilizaga mada kweli au huwa mnacomment tuu🙂🙂mimi nilikuwa nawasaidia hapo studio kwani walikuwa hawajui Ayubu ni Jina la wapi hasa kwa asili....ndio nikawaelezea kuwa Ayubu ni jina la kiisrael na lipo potepote kwa wakristo na waislam na tena kwa waislam yupo nabii Ayubu na kwa wakristo kipo hadi kitabu cha Ayubu...sasa wewe sijui ni dini gani huenda hadi huyajui haya...ila nimeona nichukue muda kukupa elimu kidogo...mimi sipo kwenye hayo mambo yenu ya mpira wa Simba na Yanga..nilikuwa natoa elimu studio ili wasipotoshe watu.@@nyakatievents
u
😂😂😂😂❤❤❤😢
Alioweka dloo kawin
Simba watarejea2 kwenye pafomas yao
Chawa anataka nn
Hii studio ni chombo cha habari cha shirika kampuni au ni cha club
Simba inaangalia caf 😂😂😂😂😂
Kwanini mnaongelea VITU VISIVYOWEZEKANA???
Tatzo hapo oscar anauelewa mkubwa ila hao wengne loosers tu kwan hawakumbuki kocha alisema hataki mpira wa pasi nyingi
shida ni benchi la ufundi ni bovu simba
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Mbovu wewe benchi bovu halipati matokeo
@emilymgalah5685
8 ай бұрын
Bench bovu lipo Chelsea
@luckygmdegela8477
8 ай бұрын
@@emilymgalah5685sawa 🤣🤣🤣🤣
Babarevo chizi
We mjinga ww jitu kubwa halina akili eti simba munaamini si timu kubwa huna la kusema wandishi wa michongo
Eeeee bhan
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety baada ya kushinda anaingaliaaa caf
Oscar unatakiwa kukubal mzik wa yanga..hata kocha wa El merekh alikir yanga inacheza mpira wa ulaya.simba wameshuka kiwango
@AbuubakarMassoud-xr6lg
9 ай бұрын
Al merikh nayo team? iliyo pigwa tatu hapo kwa mkapa?
Chama hana nafasi kwqa kasi ya yanga walionayo
😅😅😅😅😅 mie hoi Oscar na Baba Levo kweli mnachangamsha kipindi.😅
Osca yupo sahihi Yanga ndio Waongoza kuisema simba