HUWEZI KUMUACHA CHAMA MBELE YA MUDATHIR YAHYA| MASHABIKI WA SIMBA WALIPIGA DUA MPIRA UISHE CHAMAZI

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 127

  • @yakoboyohana8811
    @yakoboyohana88119 ай бұрын

    Kwakweli bigup wasafi Tv msimlaumi Oscar kupinga kwake Kuna leta utamu wa kachumbali nzuri sana kiuchambuzi all in all Baba Levo juu sana

  • @hanskalitus5583
    @hanskalitus55839 ай бұрын

    Daimond usimfukuze kazi baba leval

  • @RichardAmosnkonje-pq9oh
    @RichardAmosnkonje-pq9oh6 ай бұрын

    Nimefulai sana kuona baba levo kamchekesha osca inamaana osca kakubari mziki wa baba levo

  • @zarinatv2024
    @zarinatv20249 ай бұрын

    Yaan baba levo huwa nampenda jaman😊😊❤❤

  • @user-ce1ec2cz8w
    @user-ce1ec2cz8w6 ай бұрын

    namkubali baba levo

  • @user-hx3ri1sh2b
    @user-hx3ri1sh2b6 ай бұрын

    nakukubali sana baba liv

  • @user-mh5mx1kn8j
    @user-mh5mx1kn8j8 ай бұрын

    Chama anavitu vyake na mudathir anavitu vyake inategemea mahitaji ya couch chama hakabi mudathir anakaba sana na anatembea sehemu kubwa ya uwanja chama hawezi Hilo chama anautulivu sana juu ya mshambuliaji na pasa mzuri sana hiyo ndo tofaut yao kwahiyo nini mahitaji ya cocha .kutokana na timu inayocheza nayo

  • @user-ep6oq7dl7s
    @user-ep6oq7dl7s9 ай бұрын

    Baba levo sio mchambuz kwenye kipindi yupo km mshabiki cio mchambuz😢

  • @zarinatv2024

    @zarinatv2024

    9 ай бұрын

    Ananogesha kipind me huwa namkubal

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway9 ай бұрын

    Baba levo kiukweli mimi binafsi nakupenda ❤❤😂😂

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Unampenda kwasababu anaisema Simba vibaya ilimchania mkeka

  • @RajabuYahya-yv1ob
    @RajabuYahya-yv1ob6 ай бұрын

    Na kukubali b level ba ❤❤❤

  • @ashaabdi4026
    @ashaabdi40269 ай бұрын

    oscar hataki simba iendelee

  • @suleimanrashid8238
    @suleimanrashid82389 ай бұрын

    Hapo kwenye kuchagua... Waafrika wa Tanzania wangemchagua Chama. Wazaungu wangemchagua Mudathir. Facts yake muliona robertinho sio chaguo lake chama....na ndio maana amefeli cha huko alipokwenda.

  • @user-jz8my9cq5c
    @user-jz8my9cq5c9 ай бұрын

    Baba levo oska tunamjua Shabiki wa simba

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Na shoga baba levo mnamjuaje

  • @thomaslunyenza3507
    @thomaslunyenza35079 ай бұрын

    Tunataka kuludisha mataji yote Tz na ubingwa tupite robo, ikiwezekana fainali na ubingwa. Simba wakubwa tunacheza kikubwa

  • @bakarimbelwa2398
    @bakarimbelwa23989 ай бұрын

    Ila baba levo mtoeni kwenye hicho kipindi jamani!!!

  • @MROMMAH

    @MROMMAH

    9 ай бұрын

    Aktok ba levo atoke na oscar......😂😂😂

  • @user-yk3zl7gp2r

    @user-yk3zl7gp2r

    9 ай бұрын

    Kwa nini?

  • @user-ex1cm1ks8k
    @user-ex1cm1ks8k6 ай бұрын

    Hapo baba levo uposahihi

  • @imanntunzwe6536
    @imanntunzwe65369 ай бұрын

    Ba level anajielewa sna anajitahid kuchambua wakati hajasomea hiyo status

  • @luckygmdegela8477

    @luckygmdegela8477

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 unachekesha

  • @bujashidaniel5537

    @bujashidaniel5537

    9 ай бұрын

    Nan kasomea ?

  • @jwisetv4833
    @jwisetv48339 ай бұрын

    Yaan B levo bana anachambua kishabiki sana lkn anachekesha tu

  • @ShedulackJohn
    @ShedulackJohn5 ай бұрын

    Hata mimi hat nife siwez kwushabikia simb baba rev namukubar san

  • @zombokoyassin-li8sd
    @zombokoyassin-li8sd21 күн бұрын

    Hiki kipindi safi sana sema baba levo kiboko

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe17979 ай бұрын

    Baba levo unamfanya oscar akimbie

  • @Ezra-zk9og
    @Ezra-zk9og9 ай бұрын

    Baba levo ni bonge la mchambuz

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw9 ай бұрын

    yaaani najisika furaha kuwa sikiliza

  • @davidarabiy3924

    @davidarabiy3924

    9 ай бұрын

    Naitwa david arab ki ukweri baba revo unaongea ukwer kaka

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando67986 ай бұрын

    Watangazaji wote Sina mda nao Nina mda na Baba Levo tu ananikoshaga sana❤

  • @noahkamteketegondwe8331
    @noahkamteketegondwe83319 ай бұрын

    Tatizo Simba ya mwaka huu inaonekana nzuri kwa sababu iliifunga yang. Ila ukweli Simba Ni mbovu kuliko Simba zote

  • @Damarry-FX

    @Damarry-FX

    9 ай бұрын

    Simba ni bora sana.

  • @user-qk1nv2ew5y
    @user-qk1nv2ew5y9 ай бұрын

    Oscar mashabiki wa Simba wanashikiana viboko kwa nn sasa

  • @gordanhaule3579
    @gordanhaule35799 ай бұрын

    Kumbe ni Chanel ya yanga?

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn9 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 Ba revo bhana usinivunje mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @innocentjames4065
    @innocentjames40659 ай бұрын

    Baba Levo achana na burudani ngoja tukusanye Mataji kwanza burudani mwisho wa msimu kaka.Huyo huyo Simba mbovu kamnyanganya ngao Yanga anayesema ni Bora eboooo fa masialaa ninii

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel55379 ай бұрын

    Baba levo ndo anachangamsha kpnd

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn9 ай бұрын

    Waambie kweli ba revo Simba kwa Sasa wameisha😂😂😂😂😂

  • @onesmokabia

    @onesmokabia

    9 ай бұрын

    Vp ndugu angu umeamkaje baada ya game ya Ihefu na Yanga kuisha jana

  • @AbuubakarMassoud-xr6lg

    @AbuubakarMassoud-xr6lg

    9 ай бұрын

    Ndo mkome nyani fc

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Wameisha ndo maana wameshinda mechi tano mfululizo

  • @IsmailMatle-xz2ho
    @IsmailMatle-xz2ho8 ай бұрын

    Simba ya mwaka jana ni nzuri kuliko hii ya mwk huu

  • @MussaKuhangaika
    @MussaKuhangaika19 күн бұрын

    Chama aondoke Simba Hana msada wowote

  • @dreamleague-uq2gx
    @dreamleague-uq2gx9 ай бұрын

    Chama na muda ni vitu viwili tafauti kila mtu na majukumu yake

  • @athumanitittor2056
    @athumanitittor20569 ай бұрын

    Tumepita Kwa mbinde sana pia kipa tunampendea langi

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Hata Al ahally mwaka Jana walipita kwa mbinde na kombe wakabeba

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg9 ай бұрын

    Ww acha unafiki unaikumbuka yanga mwaka gani

  • @charlesnyamiti3172
    @charlesnyamiti31729 ай бұрын

    Huyo baba Levo hana Sifa ya kuwepo hapo mnapomuweka, anadhalilisha sector ya habari, hana weledi, aende huko wasafi festival akabwabwaje upuuzi wake!

  • @mpindafamily1496
    @mpindafamily14969 ай бұрын

    wachsmbuzi acheni uchonganishi kati ya mashabiki na wachezaji acheni izo

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias77629 ай бұрын

    Oscar sasa unaanza kutoka kwenye uchambuzi unakua mshabiki.

  • @hopemasanja2386
    @hopemasanja23866 ай бұрын

    Baba Levo na mpira wap na wapi

  • @user-hh7ff8yz5y
    @user-hh7ff8yz5y6 ай бұрын

    Baba levo anachonga sana huyo haeleweki sio mshabiki huyo

  • @mhubirimtawa2383
    @mhubirimtawa23839 ай бұрын

    Ila mmenivunja mbavu jaman duh.

  • @mggsatongima778
    @mggsatongima7789 ай бұрын

    😂😂😂caf, inaangaliwa baada ya dk90🤔

  • @nichomwanga1946

    @nichomwanga1946

    9 ай бұрын

    Hata biashara ya jezi imeshuka kulingana na matokeo ya simba uwanjani jezi zimekuwa nzito kuuzika

  • @user-ws2xv7bf9m
    @user-ws2xv7bf9m9 ай бұрын

    baba.revo.hapa.kweri.mmi.mshabiki.wa.simba.sijui..musimu. kama nitapona.mana.moyo.juzi..pupu..nateseka.najuta.kupenda.kunaumiza

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Hamia yanga mkaonane na ihefu

  • @EzzyEddy-il3ce
    @EzzyEddy-il3ce9 ай бұрын

    Chama anauwezo wa kugawa mipira kama tanesco mpya😂😂😂😂😂😂ba levo mbwa wewe😂😂😂

  • @michaelsumlekimengoru
    @michaelsumlekimengoru9 ай бұрын

    Oscar kumbe mchabiki wa Simba hapendi ukweli

  • @adaboychibu1659

    @adaboychibu1659

    9 ай бұрын

    Shida sio kuwa mshabiki wa Simba Oscar ni mchambuzi anaye ujuwa mprira!nyie wengine ni mashabiki maandazi!sasa ww kwa akili yako unamsikiliza Baba levo na unaamini maneno yake anayo ropoka hata point hana na hana anachojuwa kuhusu mpira

  • @ramadhanomary-mh1bl

    @ramadhanomary-mh1bl

    9 ай бұрын

    Oscar upo sahihi mashabiki wa ynga ndio wanaosema hvyo sio Simba na wale ambao wanajiita mashabiki wa Simba wasiojua nn maana y mpira yaan mamluki tuu wanavaa jezi za Simba kuwasidia ynga..

  • @mukrimpanga-gp7xo
    @mukrimpanga-gp7xo8 ай бұрын

    Chama ynga hana nmba

  • @zaitunimalessa-mx6hy
    @zaitunimalessa-mx6hy9 ай бұрын

    Baba levo wewe shabiki wa yanga ndo maana unaiponda simba nikwambie kitu mwaka jana.yanga ilikua.ikicheza kama simba ya mwaka huu.nawalikua ubingwa nasimba ya mwaka jana ilikua kama yanga ya leo kwahiyo Acha kuwacheka.simba wakati mpira hutabiriki

  • @dickngimba4333
    @dickngimba43339 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉baba levo jinga tuu

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg9 ай бұрын

    Ww Oscar unasurambili hueleweki

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale71596 ай бұрын

    Wee eee chama abaki huko huko

  • @blasiokasuga4009
    @blasiokasuga40096 ай бұрын

    Simba hawatabiliki

  • @AdolfKambona
    @AdolfKambona7 ай бұрын

    Baba levo wefala

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga62349 ай бұрын

    mpira wa pass haukuwapa simba mafanikio wamebadilika makusudi kutafuta kocha wa ushindi timu zote zinazocheza huo mchezo hakuna yenye mafanikio hasa africa wanaocheza mchezo wa nguvu

  • @AbuubakarMassoud-xr6lg

    @AbuubakarMassoud-xr6lg

    9 ай бұрын

    Uhakikaa

  • @nichomwanga1946
    @nichomwanga19469 ай бұрын

    Kwakweli tu kocha anatwalibia timu hadi siku hizi sivai hata jezi naogopa kuzomewa

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Huo ni ushamba wako tu team inashinda kila mechi huvai jersey utazomewa. Uzomewe kwakuongoza league au

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani32959 ай бұрын

    Baba levo hamn kituu😂😂😂

  • @athumanitittor2056
    @athumanitittor20569 ай бұрын

    Atali nanusu

  • @user-lr1zg4lz7z
    @user-lr1zg4lz7z6 ай бұрын

    Yanga ni bola kuliko simba

  • @Bungejackson
    @Bungejackson9 ай бұрын

    Baba levo mchambuzi wa ushabiki

  • @saidally316
    @saidally3169 ай бұрын

    Mkitaka muendelee kua juu kwenye uchambuzi toeni huyu chawa wa mondi

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg9 ай бұрын

    Acha unafiki ww ww unaikumbuka yanga mwaka ngali

  • @deboramartin8111

    @deboramartin8111

    9 ай бұрын

    Andika vzr ww

  • @augustinemainde2730
    @augustinemainde27309 ай бұрын

    Simba walikua wameshika tamaa Muda wote hawana Ari ya kushindwa wapo wapo tu timu ya mtandao ni

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Na ndio maana wanaongoza league kwakuwa ni wamtandaoni

  • @castrocastro9615
    @castrocastro96159 ай бұрын

    Baba levo kichwa kikubwa lkn poyoyo kabsa

  • @eddiemay547
    @eddiemay5476 ай бұрын

    Nyinyi waandishi mtende haki si mseme ukweli si ushabiki tu simba ni timu kubwa africa mtake mstake

  • @burtonbrown5548
    @burtonbrown55486 ай бұрын

    mimi ni simba damu ushindi wetu ni tia maji tia maji

  • @HabibaHussein-qs8oo
    @HabibaHussein-qs8oo7 ай бұрын

    Baba lov chawa uyu

  • @kulwangomale3630
    @kulwangomale36309 ай бұрын

    Big chawa 😂😂😂

  • @msurimtenukila6745
    @msurimtenukila67459 ай бұрын

    Hahaha 😂😂😂 baba levu kichaa

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂kwanza nani kawaruhusu hawa wasafi wachambue mpira😂😂😂

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Mijinga hii Wala haijui chochote kuhusu mpira

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani32959 ай бұрын

    oscar una kitu utafika mbali😅😅

  • @Mumewangu
    @Mumewangu9 ай бұрын

    Washabiki wa mchongo

  • @wilfreardmulda
    @wilfreardmulda6 ай бұрын

    waliofungwa magoli matano na Yanga wakutana hatimaye product 2_2

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame28379 ай бұрын

    Kwa mm siwez kumuacha mudathir mudathir nikachukua chama. Mudathir anacheza michezo ya Aina zote uwanjan iwe kukaba iwe kushambulia, iwe ubabe iwe ustaarabu. Chama timu ikizidiwa kidogo tu huwa haonekan na kama ni mechi ya kibabe yy hawez

  • @samsonelijah3897
    @samsonelijah38979 ай бұрын

    Osca yuko sahihi kabisa

  • @mikidadymohammedy7603
    @mikidadymohammedy76039 ай бұрын

    Baba levo hamna kitu

  • @lifetechnology7925
    @lifetechnology79259 ай бұрын

    Ayubu ni jina la kiebrania (Israel ) Job na kwa waislam (Arabs) ni Ayyub ambae kwao ni Nabii. Hivyo Ayubu ya kiswahili imetoka kwenye Ayyub ya Kiislam

  • @hajisangu2489

    @hajisangu2489

    9 ай бұрын

    Usilete habari za dini kwenye ushabiki wako. Ni nani aliyekuambia kuwa ayubu ni nabii.Kuwa makini ndg

  • @nyakatievents

    @nyakatievents

    9 ай бұрын

    Unauchi wew au shoga wew unatuletea mambo ya dini hapa

  • @musaaasuu6013

    @musaaasuu6013

    9 ай бұрын

    Naitwa muxa axumani kutoka kambya chui nayombea ximba uxhindi zidi yaprizoni kwamagoli tena mengi

  • @lifetechnology7925

    @lifetechnology7925

    9 ай бұрын

    mada uliijua au umecoment tuu@@hajisangu2489

  • @lifetechnology7925

    @lifetechnology7925

    9 ай бұрын

    hivi mnasikilizaga mada kweli au huwa mnacomment tuu🙂🙂mimi nilikuwa nawasaidia hapo studio kwani walikuwa hawajui Ayubu ni Jina la wapi hasa kwa asili....ndio nikawaelezea kuwa Ayubu ni jina la kiisrael na lipo potepote kwa wakristo na waislam na tena kwa waislam yupo nabii Ayubu na kwa wakristo kipo hadi kitabu cha Ayubu...sasa wewe sijui ni dini gani huenda hadi huyajui haya...ila nimeona nichukue muda kukupa elimu kidogo...mimi sipo kwenye hayo mambo yenu ya mpira wa Simba na Yanga..nilikuwa natoa elimu studio ili wasipotoshe watu.@@nyakatievents

  • @AHMADICHAMBUA-bk3iy
    @AHMADICHAMBUA-bk3iy6 ай бұрын

    u

  • @budodianthony8094
    @budodianthony809412 күн бұрын

    😂😂😂😂❤❤❤😢

  • @godfreykovaga3454
    @godfreykovaga34549 ай бұрын

    Alioweka dloo kawin

  • @user-cn7yo3qm6q
    @user-cn7yo3qm6q9 ай бұрын

    Simba watarejea2 kwenye pafomas yao

  • @hopemasanja2386
    @hopemasanja23866 ай бұрын

    Chawa anataka nn

  • @damianichayo895
    @damianichayo8959 ай бұрын

    Hii studio ni chombo cha habari cha shirika kampuni au ni cha club

  • @maxezeaguttu7821
    @maxezeaguttu78219 ай бұрын

    Simba inaangalia caf 😂😂😂😂😂

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA9 ай бұрын

    Kwanini mnaongelea VITU VISIVYOWEZEKANA???

  • @AbuubakarMassoud-xr6lg
    @AbuubakarMassoud-xr6lg9 ай бұрын

    Tatzo hapo oscar anauelewa mkubwa ila hao wengne loosers tu kwan hawakumbuki kocha alisema hataki mpira wa pasi nyingi

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela84779 ай бұрын

    shida ni benchi la ufundi ni bovu simba

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Mbovu wewe benchi bovu halipati matokeo

  • @emilymgalah5685

    @emilymgalah5685

    8 ай бұрын

    Bench bovu lipo Chelsea

  • @luckygmdegela8477

    @luckygmdegela8477

    8 ай бұрын

    @@emilymgalah5685sawa 🤣🤣🤣🤣

  • @stevenwimbe3113
    @stevenwimbe31139 ай бұрын

    Babarevo chizi

  • @eddiemay547
    @eddiemay5476 ай бұрын

    We mjinga ww jitu kubwa halina akili eti simba munaamini si timu kubwa huna la kusema wandishi wa michongo

  • @user-fx4uu7oe2f
    @user-fx4uu7oe2f9 ай бұрын

    Eeeee bhan

  • @WilliamEzekiel-hv9li
    @WilliamEzekiel-hv9li9 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety baada ya kushinda anaingaliaaa caf

  • @LewisSolomon-vz8je
    @LewisSolomon-vz8je9 ай бұрын

    Oscar unatakiwa kukubal mzik wa yanga..hata kocha wa El merekh alikir yanga inacheza mpira wa ulaya.simba wameshuka kiwango

  • @AbuubakarMassoud-xr6lg

    @AbuubakarMassoud-xr6lg

    9 ай бұрын

    Al merikh nayo team? iliyo pigwa tatu hapo kwa mkapa?

  • @burtonbrown5548
    @burtonbrown55486 ай бұрын

    Chama hana nafasi kwqa kasi ya yanga walionayo

  • @carolinemasonga163
    @carolinemasonga1639 ай бұрын

    😅😅😅😅😅 mie hoi Oscar na Baba Levo kweli mnachangamsha kipindi.😅

  • @MfaumeNdalika-xp5zo
    @MfaumeNdalika-xp5zo8 ай бұрын

    Osca yupo sahihi Yanga ndio Waongoza kuisema simba

Келесі