USHINDI WA YANGA UNALETA SIMANZI KWA SIMBA/MUTALE MBIONI KUJIUNGA SIMBA/KUSAJILI NI KUCHEZA KAMARI
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 117
Bila yanga hakuna simba na bila simba hakuna yanga
Kipindi.mnaendesha.vizuri.safi.sana
Leo ndio nimejua Oscar akiri yake sio nzuri!
Jamani Yanga haina mpinzani, mtalaumiana bure
Mm simlaum edo kabisa kwan uzur wa hiki kipind ni haya mabshano yanayoendelea❤
Alfu huo ni ujinga wa viongozi wetu huwezi kumuona mchezaji siku moja na kuona ni nuru huu ujinga utaisha lini
Oscar na babalevo mbn kma munavitu flani hvi amezing
Sawa huyo Joshua ni m zuri ila je beki kama kapombe amechoka anakabia macho
Kweli Miraji wa Chagamba anaweza said ya watu woote wanaojiita machambuzi.
@jemaarsen6996
10 ай бұрын
Nimegundua makolo mnapenda kuzungumziwa vizuri ndio mnaona huyo ndio mchambuzi kwa hio miraji kawa mchambuzi siku hizi kisa ni kolo mnajaribu kumpigia pande
@JAYCLASSICMEDIA
10 ай бұрын
Na nimetoka kuangalia interview ya Miraji ndo nikaja hapa
@jaykeenmamba
10 ай бұрын
Hapa hamna wachambuzi machoko tu Hawa😙😙😙
@zachmaselle6635
7 ай бұрын
Hawa siyo wachambuzi wa mpira, ni zaidi ya washabiki wa Simba. Hawaisaidii Simba kwa kutosema ukweli na kubeza timu zingine.
Simba wanakera Sana wanafeli Kila siku
Wakwanza jamani❤❤❤
Hawana hela
Tatizo La Oscar hamuelewi Edo tunatakiwa kufuatilia kabla ya kuona huyo ana mahaba na Simba
Brother kumbe n wew umo unakitu pia hongera
hai Wana ajili ya kuvizia airport mru ambaye hakuna kwenye mipango Yao,scouting duni sana hiyo, waache wa waendelee kuwa na kikosi duni
Kila anayewasumbua wanasajili madunduka
Edo Kumwembe yuko vizuri sana kweli ni Legend 👊
@jitihadaharuna9448
10 ай бұрын
Edo hakuna kitu huyo
Namba siiiiiiitaaaaaaaa 😂😂😂😂😂
Wasafi Kuma makuma mashoga mnafirwa ninyi mkome kuisema Simba Kuma nina zenu
Edo uko mbali sana vijana awa umewaacha mbali mno yani inafik wakat duuuh acha tusisem kwanza
Huyu kama chikwende tu
Nadhani Oscar unahitaji kupata logic kwanza ya Edo kabla ya kuanza kubisha
Oscar pumba sana😂😂
Oscar Oscar we ni muongo kuhusu Ronaldo,game ile ilikuwa na kumuangalia kwa mara ya mwisho.Walikuwa wanamjua kabla ya mechi.
Siku zote mnachambua tim 2 tu Simba / yanga mbona mashujaa kitayose NK haziaangalii Sana magali Yao yamewaka hawa ushauli wangu Muwe mnakumbuka kugusa walau hata hizi tim 2 kitayose na mashujaa ili kuzionyesha kwa jamii ya watu wengi nakuzikosoa au kuzipa maua Yao pale panapo hitajika kwa tukiohusika Baba levo unaisahau Sana mashujaa wewe ndio barozi wa mashujaa push Baba push
Kwel edo uusiano kama yanga na asec
Baba. Lebo nakukubali
Oscar kwa mbaaaaali ana mshipa wa ubishi
@maryamtan682
10 ай бұрын
Ana upuuzi fulani hivi.
Weee baba levo embu tulia 😀😀😀
Hiki kijiwe chaumbeya kila wanapo chambua mpira kuisema vibaya Simba kusifia yanga wachambuzi wameolewa nababa levo
Usitudanganye Ronaldo kasajiliwa baada ya kucheza mechi Edo usitudanganye bwana
Viongozi wa simba wanaujanjaujanja sana wanacheza na akili za mashabiki, shida katika timu ni sehemu ya kati yaitaji iongezewe nguvu pamoja na bek wakulia na kushoto , huyo mchezaji watakaemleta kwani wapo kama yeye pale na wengine wanauwezo zaidi yake shida ni usaidizi kutoka nyuma , so kwa style hii aisee itawakost sana
@jitihadaharuna9448
10 ай бұрын
Acha polimilai
Ninachojiuliza simba wanashida kweli na viungo na mawinga? Ama ndio kutaka kumsajili kisa kasumbua ama ni game mind ya kumtia pressure ili game ijayo asicheze vizuri ? Binafsi naamini simba iko bora sana wanaitaji kujitasimini kwenye benchi la ufundi....kuanzia mtu wa saikolijia,utimamu wa mwili na kocha tinyo mwenyewe na wachezaji waache kupigana 📌. Pale yanga pia kunasajili ambazo bado si nzuri akiwemo konkoni hafiz hazungumzwi sababu timu inafanya vizuri ila ni mzito sana na mvivu wa kukaba na hana speed kabisa akiwa uwanjani ni ngumu sana kumwona ile hali ya timu kukabia juu ambayo Kennedy na mzinze wanaifanya yeye anachelewa sana. Skudu nadhani alikua kwenye first 11 kabla ya kuumia anaitaji muda na bahati mbaya wanaopewa nafasi wanafanya vizuri hivi ushindani ni mkubwa kwake. Lakini kuna gift fred pia
Uyu baba Revo mwenye pua lake kama govi lisenge sauti kama mwanaume kumbe shoga
Kwa maoni yangu Mutale sio muhimu kwa sasa, simba iko vizuri kwa maeneo anayochecha
Scar acha kubishana nahuyo mnafiki hana hoja ya msingi ktk hilo unalojaribu kumuelekeza huyo nimchawitu
Jaman hebu acheni utoto mbn mnatukana matusi ya ajabu,
Oska kwa mala ya Kwanza umechemka
Oscar has a point
Baba levo Kuma la mamaako choko wew katombwe na mondi uko Ikome Simba wew mbwa
Oscar anakosea hajui habari ya Cristiano. Cristiano alionwa na Arsene Wenger na sio CR7 tu wapo wengi Wenger alikuwa anawaona ndio kina Ferguson walikuwa wanafuata kusajili.
Kwani baba levo nae kasomea michezo??? Maana yeye ameajiriwa wasafi kwa kazi ya uchawaaa sasa kwenye michezo imekuaje
Mutale IN..... Aubin kramo OUT
Oscar hajielewiiiii
Usajiri mda mwingine ni Matakwa ya KOCHA,ko huenda ni Influence ya KOCHA kuvutiwa na Mchezaj kulingana na Formation yake,Sio Kweli kwamba ni Lack of Scauting unaweza ku Scaut then Kocha aka Ignore
Wanataka kurudia yale yale ya Perfect chikwende
@mussammanga7791
10 ай бұрын
Hahahaaa! kumbe mnajijuwa watu wa mihemuko.
baba levo yuo wapi tumemmic
Oscar bhana hajui mpira wala history yake 😂 ni mbishi mbishi tu
Yanga tumeshatoka
Hakuna mchambuzi nduna Tanzania kama Oscar oscar
Akili za simba kuzizoofisha timu wanazocheza nazo kwa kutumia wachezaji wao hatari ndio hizi si mara ya kwanza wao kufanya hivi hasa zile wanazozizidi uchumi, mwisho wa siku hatocheza kwa kiwango hicho match ya marudiano
Nadhani simba wanataka kumvuta vuta ili wanunue mechi
Oscar, Joshua amethibitisha kiwango chake kupitia mechi. Lakn Kila mchezaji aliyesajuliwa na Simba angecheza na Simba angeoneka. Bora.
Wazzzee wa Bahasha
Kivumbi leo
Akili ya oscar sijui ikoje mtu analeta hasara we useme kuna shida gani
Ila Oska una upungufu wa uelewa
acha unazi chama kafanya mengi cmba ilipaswa aheshimiwe hd hapo cmba ilipo kaivuxha kwa power d ya zambia leo mnamuongea viba kachezeni xx
Skudu mnamjaldili kwa woga,wakati Onana mmemsema vyakutosha.
Oscar ni mpumbavu anayejijua anajua
Huyu baba levo mr mapua haelewi kitu
Simba hata mwaka huu imefeli usajili
Simba haina mapya kipigo bado kinaendelea
Wewe wapigiedebe waingiemkengeeee
Uchambuzimbovu wachewenyewe wamesajili punguzenikerere
Edo uyo kenge anakupotezea muda
Baba Levoooo😃😃😆😆😃😃
Nikimuangalia oscar namuona kma akitu flani hivi
Yaan mchezaj kacheza na timu mbivu mabeki hawakati kona wanamuona hatari simba wanamabeki wabovu kwah yuo mutari kucheza vile na simba sio kama ndio bora ila kacheza na timu mbovu ndio maana kashine
Nilazima icheze hivyo anunuliwe simba
Osca osca upo kwenye ukweli sio ushabiki
Mbona miquisson amesjiliwa baada ya kucheza na simba
Kati ya wachambuzi wapuuzi hapa Tz mmoja wao ni huyu hapa
sasa skudu kacheza mechi gani mpk mumpime kuwa kachemsha? baba levo umezingua
power dynamo ni kibonde kwani kwenue rank ya caf wako wa 80 Sudan el mereikh wako wa 27
@Iddymaryam08
10 ай бұрын
Mie nshawahi kuishi sudan na kuangalia almerek wakicheza uwanjani kwao. Wale watu wakiwa kwao ni hatari. Yanga sasa ipo vizuri, ila ukweli ubaki pale2 kwa sasa almerekh wanasumbuliwa na vita wachezaji wengi wameondoka n.k
Chawa fm
Simba bwana...mtu akiwafunga au kuwasumbua kidogo tu kwenye mechi moja wanamtaka....watu wana scout mzungu
@mussammanga7791
10 ай бұрын
Yule skauti au msaka tonge, kwanini asimskauti kabla hajawafunga? Hahahahaa! wakiambiwa wanakurukupa wanabisha.
@salimmalaka256
10 ай бұрын
@@mussammanga7791TOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂😂😂
@user-og8ln5sl3s
10 ай бұрын
@@mussammanga7791mbape alianza kutafutwa na timu kubwa wakati gani mbape alipo kiwakisha dhidi ya man city ndio timu nyingi xikaanza kumgombea kweli bongo sihami 😂😂😂😂
@mussammanga7791
10 ай бұрын
@@user-og8ln5sl3s Sio kwa msaka tonge yule mmepigwa nyinyi ile ni 10% ya mtu.
Mechimoja mnachanga yikiwsaaaaa
Hilo oscar alijui kitu basi Limekalia ubishi tu nani kamwaambia Man U walikuwa awajui CR7?
KRAMO safari
Jamani Hawa wachambuzi wahovyo sana katika wachambuzi wa hovyo sana nyie ndo viongozi mnajua au ni umbea tu mashoga nyie sema tu mnatafuta mabwana wote hao
Mbona singida amjaichambua Ile gemu yao mnabagua
Yaani kazi ya uchambuzi imevamiwa na marahira. Ushindi wa Yanga kwa wakimbizi wa kisiasa imekuwa tena watu wanaropokwa hovyo. Wapewe heshima yao wazambia. Na simba ni timu nzuri tu hakuna haja mashabiki wa simba kuinginzwa mkenge na waropokaji kuwa timu yao ni mbovu.
Kimemshuka mana hata hajismini apo anaopongea
Pua kama firimbi uyu baba du
Hujui lolote wewe macho utazani kenge juzi unaalikwa kwa jay dee unaisema yanga ilipigwa tano wewe mjinga kweli unaacha kuzungmzia music
Onana sio mchezaji mbaya ni big expectations ndio tatizo ila skudu amechemsha😂😂😂wachambuzi plus ushabiki
@emmanuelmwangwa825
10 ай бұрын
Skudu amecheza mchi Gani??
@mussammanga7791
10 ай бұрын
Ashachezaaa? Hahahahaa!
@richardkaula6847
10 ай бұрын
Mleteni na Skudu kwenye mjadala mbona kimyaaa😂
@user-og8ln5sl3s
10 ай бұрын
@@richardkaula6847hawataki huo ukweli maana unauma Eden hazard alikuwa moto Chelsea alipo enda real Madrid alichemsha so usajili ni gambling sio scouting
Maneeenooohakunamudawausajiliulishapitamnatangazautumbowenu😅😅wajingaaawamakolooo
Wewe edo huyo hautamuweza mana uyo ni chawa wa simba asa angakia mifano yake kwaza ivo vitu havijui ndo unamsumulia apo na ataki simba uilaumu asa mwana michezo gani uyo hajui lolote lile kwenye mpira. Muache akishiriki upinde wa vua uko
Tanzania bwana yani wao wanachambua Simba na yanga kama singida haiko kimataifa vile hama kama ligi ni ya timu mbili😂😂😂
We edo unajuaje km Simba walikuwa hawajui bw?
Wazawa media elfu2 na 2 ja cor ww na shafi babu doctaliki ndo mpira
Osca unajulikana tu kuwa wew mi chawa wa simba mana sura imekushuka utazani kama umemwagiwa uji wa ulezi
@salimmalaka256
10 ай бұрын
NA BABA LEVO SIO CHAWA WA UTOPOLO????
Kila mmoja ana mechi zake na anaaina yake ya uchezaji ili asonge mbele,Kama young ni kiegezo kwa Simba au Simba itakuwa kiegezo kwa young tutaona,young kumfunga Al marekh ndio iwe kiegezo sio kweli ngoja tusubiri,tutaona nani bora msiwe mnweweseka na uchambuzi mchwara
Mpumbavu ww bajet gani unatowa ww pesa
Mleteni tu tutamloga
Hivi nyie wajinga Simba waliwakosea nn muda wote mnaisema Simba,acha hizo wajinga nyie
Huko ni kuvanga vanga tuu, kwahiyo akina clamo ndo basi? Kuna watu wamewasajiri kwa mihemko sasa hivi wanahangaika