USHINDI WA YANGA UNALETA SIMANZI KWA SIMBA/MUTALE MBIONI KUJIUNGA SIMBA/KUSAJILI NI KUCHEZA KAMARI

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 117

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj10 ай бұрын

    Bila yanga hakuna simba na bila simba hakuna yanga

  • @user-il6qh9rp8e
    @user-il6qh9rp8e10 ай бұрын

    Kipindi.mnaendesha.vizuri.safi.sana

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl10 ай бұрын

    Leo ndio nimejua Oscar akiri yake sio nzuri!

  • @ramadhankisongola9634
    @ramadhankisongola963410 ай бұрын

    Jamani Yanga haina mpinzani, mtalaumiana bure

  • @khatibrashid6666
    @khatibrashid666610 ай бұрын

    Mm simlaum edo kabisa kwan uzur wa hiki kipind ni haya mabshano yanayoendelea❤

  • @markobukuku3841
    @markobukuku384110 ай бұрын

    Alfu huo ni ujinga wa viongozi wetu huwezi kumuona mchezaji siku moja na kuona ni nuru huu ujinga utaisha lini

  • @AbdulhakimAbdala-qc5pj
    @AbdulhakimAbdala-qc5pj10 ай бұрын

    Oscar na babalevo mbn kma munavitu flani hvi amezing

  • @kambilukwele2831
    @kambilukwele283110 ай бұрын

    Sawa huyo Joshua ni m zuri ila je beki kama kapombe amechoka anakabia macho

  • @richardkaula6847
    @richardkaula684710 ай бұрын

    Kweli Miraji wa Chagamba anaweza said ya watu woote wanaojiita machambuzi.

  • @jemaarsen6996

    @jemaarsen6996

    10 ай бұрын

    Nimegundua makolo mnapenda kuzungumziwa vizuri ndio mnaona huyo ndio mchambuzi kwa hio miraji kawa mchambuzi siku hizi kisa ni kolo mnajaribu kumpigia pande

  • @JAYCLASSICMEDIA

    @JAYCLASSICMEDIA

    10 ай бұрын

    Na nimetoka kuangalia interview ya Miraji ndo nikaja hapa

  • @jaykeenmamba

    @jaykeenmamba

    10 ай бұрын

    Hapa hamna wachambuzi machoko tu Hawa😙😙😙

  • @zachmaselle6635

    @zachmaselle6635

    7 ай бұрын

    Hawa siyo wachambuzi wa mpira, ni zaidi ya washabiki wa Simba. Hawaisaidii Simba kwa kutosema ukweli na kubeza timu zingine.

  • @user-nd3pt5uk4n
    @user-nd3pt5uk4n10 ай бұрын

    Simba wanakera Sana wanafeli Kila siku

  • @MlishoMlale-yi8ln
    @MlishoMlale-yi8ln10 ай бұрын

    Wakwanza jamani❤❤❤

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti237010 ай бұрын

    Hawana hela

  • @abdallahomary4350
    @abdallahomary435010 ай бұрын

    Tatizo La Oscar hamuelewi Edo tunatakiwa kufuatilia kabla ya kuona huyo ana mahaba na Simba

  • @AbdulhakimAbdala-qc5pj
    @AbdulhakimAbdala-qc5pj10 ай бұрын

    Brother kumbe n wew umo unakitu pia hongera

  • @josephmlingwa2365
    @josephmlingwa236510 ай бұрын

    hai Wana ajili ya kuvizia airport mru ambaye hakuna kwenye mipango Yao,scouting duni sana hiyo, waache wa waendelee kuwa na kikosi duni

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila10 ай бұрын

    Kila anayewasumbua wanasajili madunduka

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno25510 ай бұрын

    Edo Kumwembe yuko vizuri sana kweli ni Legend 👊

  • @jitihadaharuna9448

    @jitihadaharuna9448

    10 ай бұрын

    Edo hakuna kitu huyo

  • @richardkaula6847
    @richardkaula684710 ай бұрын

    Namba siiiiiiitaaaaaaaa 😂😂😂😂😂

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын

    Wasafi Kuma makuma mashoga mnafirwa ninyi mkome kuisema Simba Kuma nina zenu

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially42410 ай бұрын

    Edo uko mbali sana vijana awa umewaacha mbali mno yani inafik wakat duuuh acha tusisem kwanza

  • @idrisakassim3533
    @idrisakassim353310 ай бұрын

    Huyu kama chikwende tu

  • @winchislausrweyongeza8184
    @winchislausrweyongeza818410 ай бұрын

    Nadhani Oscar unahitaji kupata logic kwanza ya Edo kabla ya kuanza kubisha

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy849910 ай бұрын

    Oscar pumba sana😂😂

  • @fredmwakyoma2734
    @fredmwakyoma27347 ай бұрын

    Oscar Oscar we ni muongo kuhusu Ronaldo,game ile ilikuwa na kumuangalia kwa mara ya mwisho.Walikuwa wanamjua kabla ya mechi.

  • @philbertbakunda7307
    @philbertbakunda730710 ай бұрын

    Siku zote mnachambua tim 2 tu Simba / yanga mbona mashujaa kitayose NK haziaangalii Sana magali Yao yamewaka hawa ushauli wangu Muwe mnakumbuka kugusa walau hata hizi tim 2 kitayose na mashujaa ili kuzionyesha kwa jamii ya watu wengi nakuzikosoa au kuzipa maua Yao pale panapo hitajika kwa tukiohusika Baba levo unaisahau Sana mashujaa wewe ndio barozi wa mashujaa push Baba push

  • @richardmligo935
    @richardmligo93510 ай бұрын

    Kwel edo uusiano kama yanga na asec

  • @SimonMlughu
    @SimonMlughuАй бұрын

    Baba. Lebo nakukubali

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy473710 ай бұрын

    Oscar kwa mbaaaaali ana mshipa wa ubishi

  • @maryamtan682

    @maryamtan682

    10 ай бұрын

    Ana upuuzi fulani hivi.

  • @treyvissy9854
    @treyvissy985410 ай бұрын

    Weee baba levo embu tulia 😀😀😀

  • @user-io8ie6wo6h
    @user-io8ie6wo6h10 ай бұрын

    Hiki kijiwe chaumbeya kila wanapo chambua mpira kuisema vibaya Simba kusifia yanga wachambuzi wameolewa nababa levo

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna944810 ай бұрын

    Usitudanganye Ronaldo kasajiliwa baada ya kucheza mechi Edo usitudanganye bwana

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme10 ай бұрын

    Viongozi wa simba wanaujanjaujanja sana wanacheza na akili za mashabiki, shida katika timu ni sehemu ya kati yaitaji iongezewe nguvu pamoja na bek wakulia na kushoto , huyo mchezaji watakaemleta kwani wapo kama yeye pale na wengine wanauwezo zaidi yake shida ni usaidizi kutoka nyuma , so kwa style hii aisee itawakost sana

  • @jitihadaharuna9448

    @jitihadaharuna9448

    10 ай бұрын

    Acha polimilai

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga387610 ай бұрын

    Ninachojiuliza simba wanashida kweli na viungo na mawinga? Ama ndio kutaka kumsajili kisa kasumbua ama ni game mind ya kumtia pressure ili game ijayo asicheze vizuri ? Binafsi naamini simba iko bora sana wanaitaji kujitasimini kwenye benchi la ufundi....kuanzia mtu wa saikolijia,utimamu wa mwili na kocha tinyo mwenyewe na wachezaji waache kupigana 📌. Pale yanga pia kunasajili ambazo bado si nzuri akiwemo konkoni hafiz hazungumzwi sababu timu inafanya vizuri ila ni mzito sana na mvivu wa kukaba na hana speed kabisa akiwa uwanjani ni ngumu sana kumwona ile hali ya timu kukabia juu ambayo Kennedy na mzinze wanaifanya yeye anachelewa sana. Skudu nadhani alikua kwenye first 11 kabla ya kuumia anaitaji muda na bahati mbaya wanaopewa nafasi wanafanya vizuri hivi ushindani ni mkubwa kwake. Lakini kuna gift fred pia

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын

    Uyu baba Revo mwenye pua lake kama govi lisenge sauti kama mwanaume kumbe shoga

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya407710 ай бұрын

    Kwa maoni yangu Mutale sio muhimu kwa sasa, simba iko vizuri kwa maeneo anayochecha

  • @michaelmwaksole7244
    @michaelmwaksole7244Ай бұрын

    Scar acha kubishana nahuyo mnafiki hana hoja ya msingi ktk hilo unalojaribu kumuelekeza huyo nimchawitu

  • @AmosMethodAmos
    @AmosMethodAmosАй бұрын

    Jaman hebu acheni utoto mbn mnatukana matusi ya ajabu,

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti237010 ай бұрын

    Oska kwa mala ya Kwanza umechemka

  • @choggysly3541
    @choggysly354110 ай бұрын

    Oscar has a point

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын

    Baba levo Kuma la mamaako choko wew katombwe na mondi uko Ikome Simba wew mbwa

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop457210 ай бұрын

    Oscar anakosea hajui habari ya Cristiano. Cristiano alionwa na Arsene Wenger na sio CR7 tu wapo wengi Wenger alikuwa anawaona ndio kina Ferguson walikuwa wanafuata kusajili.

  • @josehaule4974
    @josehaule49749 ай бұрын

    Kwani baba levo nae kasomea michezo??? Maana yeye ameajiriwa wasafi kwa kazi ya uchawaaa sasa kwenye michezo imekuaje

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde594510 ай бұрын

    Mutale IN..... Aubin kramo OUT

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n10 ай бұрын

    Oscar hajielewiiiii

  • @mjukuuwataifa8452
    @mjukuuwataifa845210 ай бұрын

    Usajiri mda mwingine ni Matakwa ya KOCHA,ko huenda ni Influence ya KOCHA kuvutiwa na Mchezaj kulingana na Formation yake,Sio Kweli kwamba ni Lack of Scauting unaweza ku Scaut then Kocha aka Ignore

  • @goodlucklevokatus7513
    @goodlucklevokatus751310 ай бұрын

    Wanataka kurudia yale yale ya Perfect chikwende

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    10 ай бұрын

    Hahahaaa! kumbe mnajijuwa watu wa mihemuko.

  • @KhalifaShabani-eh3xb
    @KhalifaShabani-eh3xb7 ай бұрын

    baba levo yuo wapi tumemmic

  • @treyvissy9854
    @treyvissy985410 ай бұрын

    Oscar bhana hajui mpira wala history yake 😂 ni mbishi mbishi tu

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti237010 ай бұрын

    Yanga tumeshatoka

  • @zuberigangisa2075
    @zuberigangisa207510 ай бұрын

    Hakuna mchambuzi nduna Tanzania kama Oscar oscar

  • @Graceyust
    @Graceyust10 ай бұрын

    Akili za simba kuzizoofisha timu wanazocheza nazo kwa kutumia wachezaji wao hatari ndio hizi si mara ya kwanza wao kufanya hivi hasa zile wanazozizidi uchumi, mwisho wa siku hatocheza kwa kiwango hicho match ya marudiano

  • @suleimanchonya7736
    @suleimanchonya773610 ай бұрын

    Nadhani simba wanataka kumvuta vuta ili wanunue mechi

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel168210 ай бұрын

    Oscar, Joshua amethibitisha kiwango chake kupitia mechi. Lakn Kila mchezaji aliyesajuliwa na Simba angecheza na Simba angeoneka. Bora.

  • @ContactDageno-gf1tw
    @ContactDageno-gf1tw10 ай бұрын

    Wazzzee wa Bahasha

  • @jeremayaClassicPhoto
    @jeremayaClassicPhoto10 ай бұрын

    Kivumbi leo

  • @user-xg9ix9ex9h
    @user-xg9ix9ex9h10 ай бұрын

    Akili ya oscar sijui ikoje mtu analeta hasara we useme kuna shida gani

  • @hanluckyhm
    @hanluckyhm10 ай бұрын

    Ila Oska una upungufu wa uelewa

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf7 ай бұрын

    acha unazi chama kafanya mengi cmba ilipaswa aheshimiwe hd hapo cmba ilipo kaivuxha kwa power d ya zambia leo mnamuongea viba kachezeni xx

  • @richardkaula6847
    @richardkaula684710 ай бұрын

    Skudu mnamjaldili kwa woga,wakati Onana mmemsema vyakutosha.

  • @bahatimbunda2622
    @bahatimbunda262210 ай бұрын

    Oscar ni mpumbavu anayejijua anajua

  • @hidayahassan8014
    @hidayahassan801410 ай бұрын

    Huyu baba levo mr mapua haelewi kitu

  • @Gogomasalu
    @GogomasaluАй бұрын

    Simba hata mwaka huu imefeli usajili

  • @Gogomasalu
    @GogomasaluАй бұрын

    Simba haina mapya kipigo bado kinaendelea

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n10 ай бұрын

    Wewe wapigiedebe waingiemkengeeee

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v10 ай бұрын

    Uchambuzimbovu wachewenyewe wamesajili punguzenikerere

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg10 ай бұрын

    Edo uyo kenge anakupotezea muda

  • @jivankulikwa24
    @jivankulikwa2410 ай бұрын

    Baba Levoooo😃😃😆😆😃😃

  • @AbdulhakimAbdala-qc5pj
    @AbdulhakimAbdala-qc5pj10 ай бұрын

    Nikimuangalia oscar namuona kma akitu flani hivi

  • @idrisakassim3533
    @idrisakassim353310 ай бұрын

    Yaan mchezaj kacheza na timu mbivu mabeki hawakati kona wanamuona hatari simba wanamabeki wabovu kwah yuo mutari kucheza vile na simba sio kama ndio bora ila kacheza na timu mbovu ndio maana kashine

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v10 ай бұрын

    Nilazima icheze hivyo anunuliwe simba

  • @user-cq7gv8wp2t
    @user-cq7gv8wp2t10 ай бұрын

    Osca osca upo kwenye ukweli sio ushabiki

  • @adammwandambo4143
    @adammwandambo414310 ай бұрын

    Mbona miquisson amesjiliwa baada ya kucheza na simba

  • @vincentakulumuka4961
    @vincentakulumuka49617 ай бұрын

    Kati ya wachambuzi wapuuzi hapa Tz mmoja wao ni huyu hapa

  • @samychomakantastymela7175
    @samychomakantastymela717510 ай бұрын

    sasa skudu kacheza mechi gani mpk mumpime kuwa kachemsha? baba levo umezingua

  • @peterchande957
    @peterchande95710 ай бұрын

    power dynamo ni kibonde kwani kwenue rank ya caf wako wa 80 Sudan el mereikh wako wa 27

  • @Iddymaryam08

    @Iddymaryam08

    10 ай бұрын

    Mie nshawahi kuishi sudan na kuangalia almerek wakicheza uwanjani kwao. Wale watu wakiwa kwao ni hatari. Yanga sasa ipo vizuri, ila ukweli ubaki pale2 kwa sasa almerekh wanasumbuliwa na vita wachezaji wengi wameondoka n.k

  • @husseiniddy5094
    @husseiniddy509410 ай бұрын

    Chawa fm

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi458110 ай бұрын

    Simba bwana...mtu akiwafunga au kuwasumbua kidogo tu kwenye mechi moja wanamtaka....watu wana scout mzungu

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    10 ай бұрын

    Yule skauti au msaka tonge, kwanini asimskauti kabla hajawafunga? Hahahahaa! wakiambiwa wanakurukupa wanabisha.

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    10 ай бұрын

    ​@@mussammanga7791TOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂😂😂

  • @user-og8ln5sl3s

    @user-og8ln5sl3s

    10 ай бұрын

    ​@@mussammanga7791mbape alianza kutafutwa na timu kubwa wakati gani mbape alipo kiwakisha dhidi ya man city ndio timu nyingi xikaanza kumgombea kweli bongo sihami 😂😂😂😂

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    10 ай бұрын

    @@user-og8ln5sl3s Sio kwa msaka tonge yule mmepigwa nyinyi ile ni 10% ya mtu.

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n10 ай бұрын

    Mechimoja mnachanga yikiwsaaaaa

  • @damianmcba9525
    @damianmcba952510 ай бұрын

    Hilo oscar alijui kitu basi Limekalia ubishi tu nani kamwaambia Man U walikuwa awajui CR7?

  • @user-jq3rn5ht4v
    @user-jq3rn5ht4v10 ай бұрын

    KRAMO safari

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo10 ай бұрын

    Jamani Hawa wachambuzi wahovyo sana katika wachambuzi wa hovyo sana nyie ndo viongozi mnajua au ni umbea tu mashoga nyie sema tu mnatafuta mabwana wote hao

  • @EmatashiTashi
    @EmatashiTashi10 ай бұрын

    Mbona singida amjaichambua Ile gemu yao mnabagua

  • @patkrinsliy7389
    @patkrinsliy738910 ай бұрын

    Yaani kazi ya uchambuzi imevamiwa na marahira. Ushindi wa Yanga kwa wakimbizi wa kisiasa imekuwa tena watu wanaropokwa hovyo. Wapewe heshima yao wazambia. Na simba ni timu nzuri tu hakuna haja mashabiki wa simba kuinginzwa mkenge na waropokaji kuwa timu yao ni mbovu.

  • @khamisassan9556
    @khamisassan955610 ай бұрын

    Kimemshuka mana hata hajismini apo anaopongea

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын

    Pua kama firimbi uyu baba du

  • @khamisassan9556
    @khamisassan955610 ай бұрын

    Hujui lolote wewe macho utazani kenge juzi unaalikwa kwa jay dee unaisema yanga ilipigwa tano wewe mjinga kweli unaacha kuzungmzia music

  • @Zaburi-
    @Zaburi-10 ай бұрын

    Onana sio mchezaji mbaya ni big expectations ndio tatizo ila skudu amechemsha😂😂😂wachambuzi plus ushabiki

  • @emmanuelmwangwa825

    @emmanuelmwangwa825

    10 ай бұрын

    Skudu amecheza mchi Gani??

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    10 ай бұрын

    Ashachezaaa? Hahahahaa!

  • @richardkaula6847

    @richardkaula6847

    10 ай бұрын

    Mleteni na Skudu kwenye mjadala mbona kimyaaa😂

  • @user-og8ln5sl3s

    @user-og8ln5sl3s

    10 ай бұрын

    ​@@richardkaula6847hawataki huo ukweli maana unauma Eden hazard alikuwa moto Chelsea alipo enda real Madrid alichemsha so usajili ni gambling sio scouting

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n10 ай бұрын

    Maneeenooohakunamudawausajiliulishapitamnatangazautumbowenu😅😅wajingaaawamakolooo

  • @khamisassan9556
    @khamisassan955610 ай бұрын

    Wewe edo huyo hautamuweza mana uyo ni chawa wa simba asa angakia mifano yake kwaza ivo vitu havijui ndo unamsumulia apo na ataki simba uilaumu asa mwana michezo gani uyo hajui lolote lile kwenye mpira. Muache akishiriki upinde wa vua uko

  • @francisjonas8973
    @francisjonas897310 ай бұрын

    Tanzania bwana yani wao wanachambua Simba na yanga kama singida haiko kimataifa vile hama kama ligi ni ya timu mbili😂😂😂

  • @prudencefrancis9863
    @prudencefrancis986310 ай бұрын

    We edo unajuaje km Simba walikuwa hawajui bw?

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk10 ай бұрын

    Wazawa media elfu2 na 2 ja cor ww na shafi babu doctaliki ndo mpira

  • @khamisassan9556
    @khamisassan955610 ай бұрын

    Osca unajulikana tu kuwa wew mi chawa wa simba mana sura imekushuka utazani kama umemwagiwa uji wa ulezi

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    10 ай бұрын

    NA BABA LEVO SIO CHAWA WA UTOPOLO????

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff655510 ай бұрын

    Kila mmoja ana mechi zake na anaaina yake ya uchezaji ili asonge mbele,Kama young ni kiegezo kwa Simba au Simba itakuwa kiegezo kwa young tutaona,young kumfunga Al marekh ndio iwe kiegezo sio kweli ngoja tusubiri,tutaona nani bora msiwe mnweweseka na uchambuzi mchwara

  • @eddiemay547
    @eddiemay5477 ай бұрын

    Mpumbavu ww bajet gani unatowa ww pesa

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru135610 ай бұрын

    Mleteni tu tutamloga

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule501710 ай бұрын

    Hivi nyie wajinga Simba waliwakosea nn muda wote mnaisema Simba,acha hizo wajinga nyie

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa337710 ай бұрын

    Huko ni kuvanga vanga tuu, kwahiyo akina clamo ndo basi? Kuna watu wamewasajiri kwa mihemko sasa hivi wanahangaika

Келесі