ZILE GOLI TANO NDIO SABABU| PACOME NA CHAMA KUCHEZA PAMOJA| SIO VIBAYA KUJAZA MASTAA TIMU MOJA

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 27

  • @IamThomas-n5x
    @IamThomas-n5x7 ай бұрын

    Zouzoua!!!!

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no7 ай бұрын

    matatizo ya SIMBA na CHAMA yameanza kabla hata ya hizo 5 kumbukeni vizuri hata wakati SIMBA imeenda TURKEY CHAMA alianza kuizingua ko kashakua msumbufu tu aondoke hana lolote

  • @saidulaya7308
    @saidulaya73087 ай бұрын

    PACOME🔰

  • @user-pi9zu1zg1f
    @user-pi9zu1zg1f7 ай бұрын

    Jinga sana

  • @user-qw3vx3pl2z
    @user-qw3vx3pl2z7 ай бұрын

    Ataenda kuwa Kama mkude

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15106 ай бұрын

    Chama akienda ustar kwishaaa

  • @abdulyshebby3018
    @abdulyshebby30187 ай бұрын

    Mwambie momo bado hajasema😂

  • @rajabushedafa6397
    @rajabushedafa63977 ай бұрын

    Mimi ni simba ila hio yanga anatoitaka chama ,asijichukulie star kwa sasa kupata namba yanga n kipengele

  • @user-zb2mj5nd5g

    @user-zb2mj5nd5g

    7 ай бұрын

    mchezaji mwenyewe hana kazi atacheza namba gani pale

  • @pastorgodwinchengula7848

    @pastorgodwinchengula7848

    7 ай бұрын

    Atatokea bench kuchukua nafasi ya Aziz Ki. Ukisema Chama achukue no ya Max ktk kikosi Cha kwanza then tukipoteza mipira itakuwa shida kurudisha maana Aziz Ki na Chama wote hawakabi (pressing) kama afanyavyo Max . Pacome huyo ndo haguswi kabisa.

  • @rajabushedafa6397

    @rajabushedafa6397

    7 ай бұрын

    @@pastorgodwinchengula7848 Yan ataikumbka Simba Yanga imejipata Ile heshima aliokuwa anaipata Simba hawez kutoboa nayo Yanga ,

  • @rajabushedafa6397

    @rajabushedafa6397

    7 ай бұрын

    @@user-zb2mj5nd5g ndio na mim nashangaa Kwa hii speed ya yanga muache aende awe kama makudubela😁😁

  • @masaifinancialagent5089

    @masaifinancialagent5089

    7 ай бұрын

    Cyo mchezo hyo

  • @user-td9zr7ur5h
    @user-td9zr7ur5h7 ай бұрын

    Yanga ndyo zetu wasuse tuone

  • @kingkiro570
    @kingkiro5707 ай бұрын

    Jamani wanasimba tutulie chama ni mchezaji Bora sana mambo madogo Kama haya niyakurekebisha na kuendelea na mashindano

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126

    @bbclondonulimwenguwasoka6126

    7 ай бұрын

    Asepe hakuna aliye juu ya timu, Simba imekuwepo na itakuwepo bila Chama

  • @SidatiSaidi

    @SidatiSaidi

    7 ай бұрын

    Muda wake umeisha chama alikuwa bora zamani co sasa

  • @user-zm3ei8tt6h

    @user-zm3ei8tt6h

    7 ай бұрын

    😂😂😂makolo

  • @IddyAron-pr9ll

    @IddyAron-pr9ll

    7 ай бұрын

    Kwahiyo wafanye chochote

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126

    @bbclondonulimwenguwasoka6126

    7 ай бұрын

    Aondoke kwanza mi sioni mchango wake kwenye timu , ameisha

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing7 ай бұрын

    Hapo Tatiz Bad 5G Ndo Inatembey Kwenye Damu , Ila Huyo Oscar Uwaga Upande Gani Kwanii...????😅😅😅😅

  • @franceKolmban-yq4ww

    @franceKolmban-yq4ww

    6 ай бұрын

    Uyu mnafki kifaraa anii 😅😅

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela84776 ай бұрын

    chama bado yupo simba

  • @user-lw6on7dd7h
    @user-lw6on7dd7hАй бұрын

    Haende tu

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma1787 ай бұрын

    Duhh

  • @maqcngosha2119
    @maqcngosha21197 ай бұрын

    😂

  • @stewartmdebe4314
    @stewartmdebe43147 ай бұрын

    Zama zake zimekwisha ni msumbufu

Келесі