Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023

Спорт

Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Tazama highlights....

Пікірлер: 718

  • @irenemakundi-og9xg
    @irenemakundi-og9xg6 ай бұрын

    Kama na wewe unarudia kila siku kama mimi gonga like za kutosha

  • @user-kw6kl6fz4d

    @user-kw6kl6fz4d

    5 ай бұрын

    Haitajirudia tena simba ngv 1

  • @veronicangwale7159

    @veronicangwale7159

    5 ай бұрын

    Tupooooooo😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @user-kp7bt2ol4h

    @user-kp7bt2ol4h

    5 ай бұрын

    Aa mm kilasiku narudia tamuhii

  • @BenjaminNgata-wm7ek

    @BenjaminNgata-wm7ek

    4 ай бұрын

    Tunawasubilia, ijayo tutawapiga 10

  • @wolframdamian9113

    @wolframdamian9113

    4 ай бұрын

    ​@@veronicangwale7159q

  • @habibukilango7738
    @habibukilango77386 ай бұрын

    Tunaotizama tena leo tar 5 January gonga like

  • @hakeemzero9677

    @hakeemzero9677

    22 күн бұрын

    Nipo leo tarehe tareh 20 mwez wa 6

  • @salummkumbe5694
    @salummkumbe56946 ай бұрын

    Tunaorudia kutazama gonga like

  • @tenatanz

    @tenatanz

    6 ай бұрын

    Happy new yeah

  • @magrethshishwa5481
    @magrethshishwa54818 ай бұрын

    Tunaotizama tena leo hii mechi gonga like za kutosha tujuane hapa💚💛💚💛💚

  • @user-ke9ef7wr5v

    @user-ke9ef7wr5v

    7 ай бұрын

  • @GabrielkindoleGodfrry

    @GabrielkindoleGodfrry

    7 ай бұрын

    Hii siku watu walipotea had kwao anashituka amepanda gar la mbez wakat anakaa gongolanyolo

  • @user-gu6eh4gl8l

    @user-gu6eh4gl8l

    7 ай бұрын

    💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @fatma4628

    @fatma4628

    7 ай бұрын

    Ila simba walikoswa mno ilifaa wakule kumi😊

  • @claudiamoses7016

    @claudiamoses7016

    6 ай бұрын

    ​@@user-ke9ef7wr5vlq look

  • @bushbabytz
    @bushbabytz6 ай бұрын

    kwa tuliorudia kuangalia mara tano tano hapa mwaka 3055 gonga LIKE😂

  • @EvaJuakaliTV
    @EvaJuakaliTVАй бұрын

    Kama Unatazama 2024 Gonga Like hapa ❤❤

  • @ManenoAbeli
    @ManenoAbeli3 ай бұрын

    Kama hii mechi ulifurahi weka like

  • @DoriceSephania
    @DoriceSephania7 ай бұрын

    Diara umejua kumkand mgen rasmi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛nakupenda bure diaraa

  • @rahimuhabibu6388
    @rahimuhabibu63886 ай бұрын

    Hii mech naiangalia Kila siku 3_1_2024

  • @habibukilango7738

    @habibukilango7738

    6 ай бұрын

    Me mwenyewe daily never miss 😅

  • @user-ww9gd8pb7o
    @user-ww9gd8pb7o8 ай бұрын

    Yanga mnafurahisha kweli, mnajua mnajua, mnajua tena. Hongera sana yanga na viongozi wenu wazuri

  • @ManenoAbeli
    @ManenoAbeli2 ай бұрын

    Even me, YOUNG AFRICANS the CHAMPION 🏆🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆

  • @swaigift1694
    @swaigift16946 ай бұрын

    Tunaoangalia 2024 tujuane apa kwa 👍

  • @bahatichikoko6362
    @bahatichikoko63625 ай бұрын

    Nairudi hii mechi Leo tarehe 25|01|2024 tujuane hapa kwa like,Yani machungu ya tutofuzu afcon 16 taifa star Yanga inanipa amani

  • @patrickndelwa8903

    @patrickndelwa8903

    3 ай бұрын

    Ukiangalia hii mechi shida ilikua kwenye defense

  • @kudramzee5769
    @kudramzee57692 ай бұрын

    Nikiwa na stress naangalia hili game

  • @roi2554
    @roi25545 ай бұрын

    2024 still watching it😂😂😂

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley2 ай бұрын

    Game zangu Bora Ambazo sichoki kuangalia Finał France 🇫🇷 vs Argentina 🇦🇷 Simba vs Young Africans FT 1-5 Club African vs Young Africans FT 0-1 Young Africans vs CR Belouzidad FT 4-0 Simba vs Young Africans FT 2-2 #Balama Greatest games of all time 🙌🏻💛💚

  • @mamahairat2223
    @mamahairat22233 ай бұрын

    Nimerudia kuiangaria Leo tarehe 24/3/2024

  • @mahamduKadebe-uu4le
    @mahamduKadebe-uu4le8 күн бұрын

    mechi ilitangazwa kwa viwango sana🎉

  • @BizoMenya
    @BizoMenya7 ай бұрын

    Tunaotizama mpka sasa hii mechi tujuane hapa kwa like

  • @ochu1012
    @ochu10124 ай бұрын

    06/03/2024 leo nimerudia😂

  • @FatmaBakar-ws3yumm
    @FatmaBakar-ws3yumm2 күн бұрын

    ❤❤yAni hiii siku ilikua Special kwa ajili ya wanamchi

  • @nicodemasmasabo5412
    @nicodemasmasabo54125 ай бұрын

    Ila sisi yanga hatuna huruma kwa kweli 😅😅😅😅😅😅😅yaan kila siku tunaiangalia hku tunacheka

  • @user-um2ov6gm8j
    @user-um2ov6gm8j5 ай бұрын

    Yan leo taree27 mwezi 1 naangalia mludio haya magoli yanavyo ingia mwili unasisi mka machozi yafuraa yanatoka kama mechi inachezwa saa6 hii

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769Ай бұрын

    Ukiwa na stress naangalia hili tujuane

  • @user-ts4oj4eg5m
    @user-ts4oj4eg5m6 ай бұрын

    Mpira wetuu unakua kwa kasi sana what a performance by young africa

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika46695 ай бұрын

    Kila Siku Hii Ni Mechi Mpya Kwangu....Naipenda Yanga Sports Club 🔰💛💚

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno52078 ай бұрын

    Yangaaaaa yangu....vivaaaaaaaaaaa.

  • @naomysalumu1858
    @naomysalumu18585 ай бұрын

    Leo Tena tareh8 mwezi wapili 2024

  • @hassanmakame

    @hassanmakame

    4 ай бұрын

    Nipo hapa Leo 8/3/2024

  • @GodfreyKunambi
    @GodfreyKunambi3 ай бұрын

    Nipo Live Tarh 2/4/2024

  • @yohanaemanuelylazaro5109

    @yohanaemanuelylazaro5109

    3 ай бұрын

    2ko pa1

  • @trice_yanga
    @trice_yanga3 ай бұрын

    sema azizi ki anakuaga na mzuka😂halafu huyo mtangazaji amesemaje eti ohooho🙌🙌

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt7 ай бұрын

    Nimeirudia Tena leo😂😂

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v6 ай бұрын

    I love so much young african 3:16 ❤

  • @YondoBishweko-si4uh
    @YondoBishweko-si4uh7 ай бұрын

    Nilikua na mawazo yangu nimeangalia haya marudio nimefarijika😂😂

  • @jamesraphael9581
    @jamesraphael95818 ай бұрын

    Nimeumia.sana kwa mtokeo sikutegemea ila Kuna maisha baada hii 😢😢

  • @Emmy-my2xc

    @Emmy-my2xc

    8 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi86367 ай бұрын

    5gggg hamtasahau wanssimba maisha yenu yoote.

  • @ValeeMitindo-od7fs
    @ValeeMitindo-od7fs8 ай бұрын

    Mpaka hapa nadhani mshajua timu Bora ambayo CAF wanaizungumzia ni ipi...YANGA IMEMALIZA UTATA.....MPAKA MSEMEEEE....😂😂😂❤❤❤

  • @user-ob8ih9iz3o

    @user-ob8ih9iz3o

    7 ай бұрын

    yanga

  • @moviekaa
    @moviekaa4 ай бұрын

    Walikufa vibaya mbwa hawa 😂😂😂

  • @ashamkenga6072

    @ashamkenga6072

    4 ай бұрын

    😂😂😂yan mpka raha kurudia rudia haichoshi😂😂😂

  • @moviekaa

    @moviekaa

    4 ай бұрын

    @@ashamkenga6072 Jeuri yote imekata 😂😂😂

  • @HerenaReganga
    @HerenaReganga6 ай бұрын

    💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni19787 ай бұрын

    Kila mda naiangalia ihi mechi mpaka laha 😂😂😂😂

  • @MdogowaKaka

    @MdogowaKaka

    7 ай бұрын

    Inafrahisha sana😂

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108Ай бұрын

    Sichok kuangalia hii mechi 😅😅😅

  • @kulthumabdalla
    @kulthumabdalla7 ай бұрын

    Leo tarehe 30/11/2023 naangalia kwa mara nyengine 💚💛

  • @LovenessJohn-kz7lg

    @LovenessJohn-kz7lg

    7 ай бұрын

    Me leo tar 12/12/2023

  • @jacklinendimbo4529
    @jacklinendimbo45293 ай бұрын

    Kabla ya tareh 20.. nmekuj kujitidhisha tenaaa Kun sehem tulikoseailibid tuwafunge7

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed29452 ай бұрын

    Hii ndo dar young Africans buana❤❤❤❤

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t4 ай бұрын

    Hakuna mechi za yanga Sinto choka kuiangalia kama hii ya Simba na Ile ya CR belouizdad,,zinanipa Raha sana😊

  • @user-oh2ib9me5g
    @user-oh2ib9me5g8 ай бұрын

    Leo mzize katulia

  • @jumakassim8718

    @jumakassim8718

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂 sanaa raha jamani

  • @habibukilango7738
    @habibukilango77385 ай бұрын

    Leo tar 18 tujuane 😅

  • @calvinnelly2898

    @calvinnelly2898

    5 ай бұрын

    Tupo live 😂

  • @CalvinNkya-dw7it
    @CalvinNkya-dw7it21 сағат бұрын

    Round hii dube yupo kwetuu mjiandaee saaan..💚💚💚💚💚💚

  • @prosperpius9030
    @prosperpius90308 ай бұрын

    Mzize the Unsung Hero

  • @MossesMria
    @MossesMria6 ай бұрын

    narudia na leo tena😂😂

  • @sylvesterthomas9341
    @sylvesterthomas93417 ай бұрын

    Wangap wanarudia hapa

  • @husnakumburu8853
    @husnakumburu88532 ай бұрын

    Haichoshi kuangalia hata mara miaaa😅😅😅😅

  • @NeemaRichard-jy2pi
    @NeemaRichard-jy2pi24 күн бұрын

    Naangalia leo tare 18 /6/2024😅😅

  • @HappyKibure-iz9xk

    @HappyKibure-iz9xk

    24 күн бұрын

    Wwe umeniotea nni

  • @user-so5vq9rh6v
    @user-so5vq9rh6v8 ай бұрын

    Bado amjasema hadi mseme hii ndio yanga ya sasa ongera sana yanga🎉🎉🎉

  • @user-zf6wi8cp4u
    @user-zf6wi8cp4u7 ай бұрын

    Hiki ni kipigo Cha mbwa Koko. pole yenu simba.

  • @senkondonyange5769
    @senkondonyange57694 ай бұрын

    Kikosi cha gamond cha mauaji....hiki ndo kiliua simba...hiki ndo kiliua cr beliouzdad

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles4 ай бұрын

    Nashindwa kabisa kufanya kazi kila saa narudia mechi ya yanga na simba na mechi ya yanga na CR Bulzdad. kama kuna mtu anamfaham daktari wa saikolojia naomba msaada.

  • @vi3ayo1622

    @vi3ayo1622

    4 ай бұрын

    Nitafute haraka sana nikutibu huo ni ugonjwa😂😂😂

  • @halimahamis7370

    @halimahamis7370

    4 ай бұрын

    Uko sawa tu huna shida yoyote nipo mwenzako hapa kila usiku ndo kazi yangu😅

  • @galluskanenge4898

    @galluskanenge4898

    4 ай бұрын

    Acha kulakula kipolo😊

  • @Faustine_Charles

    @Faustine_Charles

    4 ай бұрын

    @@galluskanenge4898 kabla ya hizi mechi nilikuwa nakula kipolo cha wali na maharagwe na sipati hili tatizo 🤦‍♂️

  • @galluskanenge4898

    @galluskanenge4898

    4 ай бұрын

    Ahaa ! Hauhitaji daktari wa saikolojia ,ila tafuta mechi mbili mlizowahi kufungwa na simba magoli mengi zaidi ya manne na meji za nje ambayo mlifungwa mpaka mkachelewa ndege yaani unapona kabisaa ,ukiona bado ,nitakuagizia njegere mabichi upike ule na wali utona shwari kabisa.

  • @amanikasekwa7454
    @amanikasekwa74543 ай бұрын

    Yanga yangu nakupenda saana🎉🎉

  • @dicksonmwenyembegu2523
    @dicksonmwenyembegu25235 ай бұрын

    nikimaliza hii naenda kutafuta ile ya kingereza😅😅

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u6 ай бұрын

    Hii atar kila cku naangalia raha sana

  • @user-ux3jj1er3e
    @user-ux3jj1er3e5 ай бұрын

    Tunaotizama tena leo tar 5 february gonga like apo😂

  • @Stevekapugi
    @StevekapugiАй бұрын

    Huyu mtangazaji.jamani ananikosha sana.gonga like kama unamkubali🎉🎉🎉

  • @JuniorShadrack-iw9ru
    @JuniorShadrack-iw9ruАй бұрын

    Mi narudia leo saa 23:26 usku tareh 16 .05.2024

  • @user-ui4bl2pb1g
    @user-ui4bl2pb1g4 ай бұрын

    Yangu tamu bana❤❤❤❤

  • @user-op7mh5sp4p
    @user-op7mh5sp4p5 ай бұрын

    😂😂 Hii mpaka ifutwe ndio ntaach kuangalia😂

  • @mariahmushi7106
    @mariahmushi71064 ай бұрын

    Ngoja niangalie tena leo 20/2/2024😂

  • @user-yt3tn6dx3f

    @user-yt3tn6dx3f

    4 ай бұрын

    Tuko pmoj😅😅

  • @petermanala6138

    @petermanala6138

    4 ай бұрын

    @user-yt3tn6dx3f😂😂😂😂😂😂et uchaw waroge nawao kama rahsi yanga raha😅😅😅

  • @PetrontemiNyaga
    @PetrontemiNyagaАй бұрын

    Hii mechi mpaka mda huu naitazama kwaumakini.

  • @witnessniclass3777
    @witnessniclass37774 ай бұрын

    Sijawahi kuchoka kuangalia hii😂😂😂

  • @safariJanvier-tx2lq
    @safariJanvier-tx2lq8 ай бұрын

    Jamani yanga mtaniuwa naraha mimi ni chabikiwayanga Africa kutoka Congo bukavu

  • @TumainielKitundu

    @TumainielKitundu

    8 ай бұрын

    Tabulele 😂😂😂

  • @ashamchomvu7911

    @ashamchomvu7911

    8 ай бұрын

    Neno wananchii ni kubwa Sana lieshike kwa timu zote

  • @user-nl8vt5ds3x

    @user-nl8vt5ds3x

    8 ай бұрын

  • @michaelchauka6871

    @michaelchauka6871

    8 ай бұрын

    Karibu Tanzania 🇹🇿 ndio

  • @bettyvidoga

    @bettyvidoga

    8 ай бұрын

    Jaman tupean michong kutok congo uk

  • @beatricemasaoe1308
    @beatricemasaoe1308Ай бұрын

    Naona raha

  • @mwajuma802
    @mwajuma8024 ай бұрын

    Kwa raha zangu shida zenu makolo😂😂 29 Feb 24

  • @Ally-sr4cw
    @Ally-sr4cw3 ай бұрын

    Tupo wengi tunao rudia yanga Atari 😂😂😂😂

  • @jr_mkumbojr

    @jr_mkumbojr

    3 ай бұрын

    Maandalizi

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo16224 ай бұрын

    Leo trh 18 niko apa kitakacho nitenganisha mim na kuangalia hii mechi ni kifo 😂😂😂

  • @PaulojohnMalimi-xv8he

    @PaulojohnMalimi-xv8he

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 hatariii

  • @mackysuphian
    @mackysuphian4 ай бұрын

    Nimerudi baada ya kupigwa na wajelejela😅😅😅

  • @MichaelKibona-ec5nd
    @MichaelKibona-ec5nd8 ай бұрын

    Wananchiiiii oyee, Makolo mpaka mseme, na mtasema, na bado, najivunia kua yanga

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes50932 ай бұрын

    Kesho tenaaa😂😂😂😂😂

  • @user-wl6il1zk6m
    @user-wl6il1zk6m8 ай бұрын

    Poleni sana wana simba nikionjo kidogo hicho bado atuja wafunga mpaka tuwafunge mabao nane ndo tunarizika rahaaaa mpaka kufaaaaaa from louis ville kentucky

  • @assumedprivacy3940

    @assumedprivacy3940

    8 ай бұрын

    Yanga World Wide, Chicago, IL

  • @elijahsomebody9164
    @elijahsomebody91643 ай бұрын

    Tareh 15/32023 nimeitazama Tena full naona tumewafunga Tena magoli matano😂😂😂😂😂

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v6 ай бұрын

    I love so much young african 3:16

  • @MUSK_HARMONY
    @MUSK_HARMONY6 ай бұрын

    Hii video inanifurahisha nikiitazama .

  • @user-ok2rx9wl1w
    @user-ok2rx9wl1w8 ай бұрын

    Jamani nan Kama yanga

  • @bushbabytz
    @bushbabytz4 ай бұрын

    yaani leo niko nashinda kuangalia kurudia rudia hizi mechi tuliowakanda tano makolo na mechi tuliomkanda mwarabu belouizdad nne😂😂 kama movie yaani

  • @EsterKway
    @EsterKway4 ай бұрын

    Women day nipo hapo

  • @dullahamis4043
    @dullahamis40438 ай бұрын

    Movie yangu hii ya kila siku

  • @danielsunghwa487

    @danielsunghwa487

    8 ай бұрын

    Ata mimi jamani sichoki kuangalia hii movie💚💚💚💚💚 yanga

  • @FaustineBukongolo-wp2fe
    @FaustineBukongolo-wp2fe5 ай бұрын

    Nitailudi kilamara nitamu

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v6 ай бұрын

    Nilifrahia Sanaa hii mechi🙀

  • @MjeruMani-df8lu
    @MjeruMani-df8luАй бұрын

    Leo ni tar 23 mwez wa 5 😂😂😂😂😂

  • @user-zb2pg4ix5s
    @user-zb2pg4ix5s8 ай бұрын

    Yanga unanikosha Mimi mwenzenu💛💛💛💛💛💚💚💚

  • @user-sp6qm4re9z
    @user-sp6qm4re9z7 ай бұрын

    Hii mech sichoki kuitizama jamn

  • @anoldkomba5820
    @anoldkomba58203 ай бұрын

    30.03.2024 nimerudia kabla Mamelodi hajakandwaaaa

  • @kevymloje730
    @kevymloje7305 ай бұрын

    Narudia kuchek tena tarehe 10/02/2024😊

  • @mocaveengineering7383
    @mocaveengineering73834 ай бұрын

    Nmerudia baada ya kolo kukandwa na mbangula

  • @petro8010
    @petro80102 ай бұрын

    Tunaenda kupiga kwenye mshono pale pale

  • @jumakassim8718
    @jumakassim87188 ай бұрын

    Asante sana yanga kwa kunipa heshima mtaani kimyaa

  • @unambwenaiman5355
    @unambwenaiman53558 ай бұрын

    Tumepoteza umakini Yanga,Simba tulipaswa kuwafunga goli 11

  • @kimwanahamisi8551

    @kimwanahamisi8551

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-zw3kr4vo9c
    @user-zw3kr4vo9c5 ай бұрын

    Nahisi kama Simba anaenda kufungwa goli la sita hapa😂😂😂

  • @Shadia544
    @Shadia5444 ай бұрын

    Nairudia hii mechi muda woote 22/2/2024 😂😂😂😂hiii mechi nilikauka sauti siku hiyoo😂

  • @Faustine_Charles

    @Faustine_Charles

    4 ай бұрын

    Mi mwenyewe nairudia

  • @michaelkarata5827

    @michaelkarata5827

    4 ай бұрын

    niikauka sauti siku 5

  • @totnandjosephkilowoko1264
    @totnandjosephkilowoko12642 ай бұрын

    Narudia pambano leo 1/5/2024

  • @mwanaidiomari2183
    @mwanaidiomari21832 ай бұрын

    Tarehe4 may 2024 nipo apa gonga like kama tuko pamojaa😂

  • @KefaGeorge-oo1jw
    @KefaGeorge-oo1jw3 ай бұрын

    sichoki kuangalia hii mechi kirasiku yan hahaaaa

  • @elizerbethmichael2435
    @elizerbethmichael24354 ай бұрын

    Nimekuja leo tarehe 26 February 2024 jaman wapii wenzangu wa 5G

Келесі