Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023
Спорт
Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Tazama highlights....
Пікірлер: 718
Kama na wewe unarudia kila siku kama mimi gonga like za kutosha
@user-kw6kl6fz4d
5 ай бұрын
Haitajirudia tena simba ngv 1
@veronicangwale7159
5 ай бұрын
Tupooooooo😃😃😃😃😃😃😃😃
@user-kp7bt2ol4h
5 ай бұрын
Aa mm kilasiku narudia tamuhii
@BenjaminNgata-wm7ek
4 ай бұрын
Tunawasubilia, ijayo tutawapiga 10
@wolframdamian9113
4 ай бұрын
@@veronicangwale7159q
Tunaotizama tena leo tar 5 January gonga like
@hakeemzero9677
22 күн бұрын
Nipo leo tarehe tareh 20 mwez wa 6
Tunaorudia kutazama gonga like
@tenatanz
6 ай бұрын
Happy new yeah
Tunaotizama tena leo hii mechi gonga like za kutosha tujuane hapa💚💛💚💛💚
@user-ke9ef7wr5v
7 ай бұрын
❤
@GabrielkindoleGodfrry
7 ай бұрын
Hii siku watu walipotea had kwao anashituka amepanda gar la mbez wakat anakaa gongolanyolo
@user-gu6eh4gl8l
7 ай бұрын
💚💚💚💚💚💚💚💚
@fatma4628
7 ай бұрын
Ila simba walikoswa mno ilifaa wakule kumi😊
@claudiamoses7016
6 ай бұрын
@@user-ke9ef7wr5vlq look
kwa tuliorudia kuangalia mara tano tano hapa mwaka 3055 gonga LIKE😂
Kama Unatazama 2024 Gonga Like hapa ❤❤
Kama hii mechi ulifurahi weka like
Diara umejua kumkand mgen rasmi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛nakupenda bure diaraa
Hii mech naiangalia Kila siku 3_1_2024
@habibukilango7738
6 ай бұрын
Me mwenyewe daily never miss 😅
Yanga mnafurahisha kweli, mnajua mnajua, mnajua tena. Hongera sana yanga na viongozi wenu wazuri
Even me, YOUNG AFRICANS the CHAMPION 🏆🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆
Tunaoangalia 2024 tujuane apa kwa 👍
Nairudi hii mechi Leo tarehe 25|01|2024 tujuane hapa kwa like,Yani machungu ya tutofuzu afcon 16 taifa star Yanga inanipa amani
@patrickndelwa8903
3 ай бұрын
Ukiangalia hii mechi shida ilikua kwenye defense
Nikiwa na stress naangalia hili game
2024 still watching it😂😂😂
Game zangu Bora Ambazo sichoki kuangalia Finał France 🇫🇷 vs Argentina 🇦🇷 Simba vs Young Africans FT 1-5 Club African vs Young Africans FT 0-1 Young Africans vs CR Belouzidad FT 4-0 Simba vs Young Africans FT 2-2 #Balama Greatest games of all time 🙌🏻💛💚
Nimerudia kuiangaria Leo tarehe 24/3/2024
mechi ilitangazwa kwa viwango sana🎉
Tunaotizama mpka sasa hii mechi tujuane hapa kwa like
06/03/2024 leo nimerudia😂
❤❤yAni hiii siku ilikua Special kwa ajili ya wanamchi
Ila sisi yanga hatuna huruma kwa kweli 😅😅😅😅😅😅😅yaan kila siku tunaiangalia hku tunacheka
Yan leo taree27 mwezi 1 naangalia mludio haya magoli yanavyo ingia mwili unasisi mka machozi yafuraa yanatoka kama mechi inachezwa saa6 hii
Ukiwa na stress naangalia hili tujuane
Mpira wetuu unakua kwa kasi sana what a performance by young africa
Kila Siku Hii Ni Mechi Mpya Kwangu....Naipenda Yanga Sports Club 🔰💛💚
Yangaaaaa yangu....vivaaaaaaaaaaa.
Leo Tena tareh8 mwezi wapili 2024
@hassanmakame
4 ай бұрын
Nipo hapa Leo 8/3/2024
Nipo Live Tarh 2/4/2024
@yohanaemanuelylazaro5109
3 ай бұрын
2ko pa1
sema azizi ki anakuaga na mzuka😂halafu huyo mtangazaji amesemaje eti ohooho🙌🙌
Nimeirudia Tena leo😂😂
I love so much young african 3:16 ❤
Nilikua na mawazo yangu nimeangalia haya marudio nimefarijika😂😂
Nimeumia.sana kwa mtokeo sikutegemea ila Kuna maisha baada hii 😢😢
@Emmy-my2xc
8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
5gggg hamtasahau wanssimba maisha yenu yoote.
Mpaka hapa nadhani mshajua timu Bora ambayo CAF wanaizungumzia ni ipi...YANGA IMEMALIZA UTATA.....MPAKA MSEMEEEE....😂😂😂❤❤❤
@user-ob8ih9iz3o
7 ай бұрын
yanga
Walikufa vibaya mbwa hawa 😂😂😂
@ashamkenga6072
4 ай бұрын
😂😂😂yan mpka raha kurudia rudia haichoshi😂😂😂
@moviekaa
4 ай бұрын
@@ashamkenga6072 Jeuri yote imekata 😂😂😂
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Kila mda naiangalia ihi mechi mpaka laha 😂😂😂😂
@MdogowaKaka
7 ай бұрын
Inafrahisha sana😂
Sichok kuangalia hii mechi 😅😅😅
Leo tarehe 30/11/2023 naangalia kwa mara nyengine 💚💛
@LovenessJohn-kz7lg
7 ай бұрын
Me leo tar 12/12/2023
Kabla ya tareh 20.. nmekuj kujitidhisha tenaaa Kun sehem tulikoseailibid tuwafunge7
Hii ndo dar young Africans buana❤❤❤❤
Hakuna mechi za yanga Sinto choka kuiangalia kama hii ya Simba na Ile ya CR belouizdad,,zinanipa Raha sana😊
Leo mzize katulia
@jumakassim8718
8 ай бұрын
😂😂😂😂 sanaa raha jamani
Leo tar 18 tujuane 😅
@calvinnelly2898
5 ай бұрын
Tupo live 😂
Round hii dube yupo kwetuu mjiandaee saaan..💚💚💚💚💚💚
Mzize the Unsung Hero
narudia na leo tena😂😂
Wangap wanarudia hapa
Haichoshi kuangalia hata mara miaaa😅😅😅😅
Naangalia leo tare 18 /6/2024😅😅
@HappyKibure-iz9xk
24 күн бұрын
Wwe umeniotea nni
Bado amjasema hadi mseme hii ndio yanga ya sasa ongera sana yanga🎉🎉🎉
Hiki ni kipigo Cha mbwa Koko. pole yenu simba.
Kikosi cha gamond cha mauaji....hiki ndo kiliua simba...hiki ndo kiliua cr beliouzdad
Nashindwa kabisa kufanya kazi kila saa narudia mechi ya yanga na simba na mechi ya yanga na CR Bulzdad. kama kuna mtu anamfaham daktari wa saikolojia naomba msaada.
@vi3ayo1622
4 ай бұрын
Nitafute haraka sana nikutibu huo ni ugonjwa😂😂😂
@halimahamis7370
4 ай бұрын
Uko sawa tu huna shida yoyote nipo mwenzako hapa kila usiku ndo kazi yangu😅
@galluskanenge4898
4 ай бұрын
Acha kulakula kipolo😊
@Faustine_Charles
4 ай бұрын
@@galluskanenge4898 kabla ya hizi mechi nilikuwa nakula kipolo cha wali na maharagwe na sipati hili tatizo 🤦♂️
@galluskanenge4898
4 ай бұрын
Ahaa ! Hauhitaji daktari wa saikolojia ,ila tafuta mechi mbili mlizowahi kufungwa na simba magoli mengi zaidi ya manne na meji za nje ambayo mlifungwa mpaka mkachelewa ndege yaani unapona kabisaa ,ukiona bado ,nitakuagizia njegere mabichi upike ule na wali utona shwari kabisa.
Yanga yangu nakupenda saana🎉🎉
nikimaliza hii naenda kutafuta ile ya kingereza😅😅
Hii atar kila cku naangalia raha sana
Tunaotizama tena leo tar 5 february gonga like apo😂
Huyu mtangazaji.jamani ananikosha sana.gonga like kama unamkubali🎉🎉🎉
Mi narudia leo saa 23:26 usku tareh 16 .05.2024
Yangu tamu bana❤❤❤❤
😂😂 Hii mpaka ifutwe ndio ntaach kuangalia😂
Ngoja niangalie tena leo 20/2/2024😂
@user-yt3tn6dx3f
4 ай бұрын
Tuko pmoj😅😅
@petermanala6138
4 ай бұрын
@user-yt3tn6dx3f😂😂😂😂😂😂et uchaw waroge nawao kama rahsi yanga raha😅😅😅
Hii mechi mpaka mda huu naitazama kwaumakini.
Sijawahi kuchoka kuangalia hii😂😂😂
Jamani yanga mtaniuwa naraha mimi ni chabikiwayanga Africa kutoka Congo bukavu
@TumainielKitundu
8 ай бұрын
Tabulele 😂😂😂
@ashamchomvu7911
8 ай бұрын
Neno wananchii ni kubwa Sana lieshike kwa timu zote
@user-nl8vt5ds3x
8 ай бұрын
@michaelchauka6871
8 ай бұрын
Karibu Tanzania 🇹🇿 ndio
@bettyvidoga
8 ай бұрын
Jaman tupean michong kutok congo uk
Naona raha
Kwa raha zangu shida zenu makolo😂😂 29 Feb 24
Tupo wengi tunao rudia yanga Atari 😂😂😂😂
@jr_mkumbojr
3 ай бұрын
Maandalizi
Leo trh 18 niko apa kitakacho nitenganisha mim na kuangalia hii mechi ni kifo 😂😂😂
@PaulojohnMalimi-xv8he
4 ай бұрын
😂😂😂😂 hatariii
Nimerudi baada ya kupigwa na wajelejela😅😅😅
Wananchiiiii oyee, Makolo mpaka mseme, na mtasema, na bado, najivunia kua yanga
Kesho tenaaa😂😂😂😂😂
Poleni sana wana simba nikionjo kidogo hicho bado atuja wafunga mpaka tuwafunge mabao nane ndo tunarizika rahaaaa mpaka kufaaaaaa from louis ville kentucky
@assumedprivacy3940
8 ай бұрын
Yanga World Wide, Chicago, IL
Tareh 15/32023 nimeitazama Tena full naona tumewafunga Tena magoli matano😂😂😂😂😂
I love so much young african 3:16
Hii video inanifurahisha nikiitazama .
Jamani nan Kama yanga
yaani leo niko nashinda kuangalia kurudia rudia hizi mechi tuliowakanda tano makolo na mechi tuliomkanda mwarabu belouizdad nne😂😂 kama movie yaani
Women day nipo hapo
Movie yangu hii ya kila siku
@danielsunghwa487
8 ай бұрын
Ata mimi jamani sichoki kuangalia hii movie💚💚💚💚💚 yanga
Nitailudi kilamara nitamu
Nilifrahia Sanaa hii mechi🙀
Leo ni tar 23 mwez wa 5 😂😂😂😂😂
Yanga unanikosha Mimi mwenzenu💛💛💛💛💛💚💚💚
Hii mech sichoki kuitizama jamn
30.03.2024 nimerudia kabla Mamelodi hajakandwaaaa
Narudia kuchek tena tarehe 10/02/2024😊
Nmerudia baada ya kolo kukandwa na mbangula
Tunaenda kupiga kwenye mshono pale pale
Asante sana yanga kwa kunipa heshima mtaani kimyaa
Tumepoteza umakini Yanga,Simba tulipaswa kuwafunga goli 11
@kimwanahamisi8551
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Nahisi kama Simba anaenda kufungwa goli la sita hapa😂😂😂
Nairudia hii mechi muda woote 22/2/2024 😂😂😂😂hiii mechi nilikauka sauti siku hiyoo😂
@Faustine_Charles
4 ай бұрын
Mi mwenyewe nairudia
@michaelkarata5827
4 ай бұрын
niikauka sauti siku 5
Narudia pambano leo 1/5/2024
Tarehe4 may 2024 nipo apa gonga like kama tuko pamojaa😂
sichoki kuangalia hii mechi kirasiku yan hahaaaa
Nimekuja leo tarehe 26 February 2024 jaman wapii wenzangu wa 5G