Yanga 2-1 Simba | Highlights | Ngao ya Jamii 13/08/2022
Спорт
KARIAKOO DERBY: Yanga wametwaa #NgaoYajamii kwa mara ya pili mfululizo wakiwafunga Simba kwenye #KariakooDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli yote mawili ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 50 na 81 baada ya Simba kutangulia kwa goli la Pape Ousman Sakho.
Haya hapa magoli yote....
Пікірлер: 2 900
Wale Wana yanga wenzangu ambao tumekuwa kama walevi wa hii mechi Kila siku tunatazama gongeni like
@texasbass5658
Жыл бұрын
😆 😂 atarii sana
@yohanathobias
Жыл бұрын
Tena yanga tamu
@ZakariaMbilinyi-js1yi
5 ай бұрын
Much love.
Anaejikumbushia kama Mimi 2024 gonga like hapa
@user-ig8rr1wq1p
Ай бұрын
Tupo wengi
Wananchi woteeh tunaongalia mechi hii mwaka 2023 ..Kama unaamin yanga bingwa mwaka huu gonga like 💯
@hashimhuledinari
Жыл бұрын
8fiuui
@hyasintndimbo2998
Жыл бұрын
Safiii8 30/1/23
@yahyashabani
Жыл бұрын
Aise yani hii mech had raha
@mcprincemfumbi
Жыл бұрын
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚mpaka2050🤣🤣
@rojasanthony4186
Жыл бұрын
Imani ipo ubingwa lazma
TULIO RUDIA 2023 gonga like💛💚
Anayeangalia Leo naomba like tujuane kuwa Bado tunaipenda yanga
@zubaidabakari4589
Жыл бұрын
Mm apa kila siku lazma nije niangalie
@dictridamdage6165
Жыл бұрын
Unyama sana mwanangu wananchii
@frankmsuya9566
Жыл бұрын
Hii mechi kila siku naitazama
@mwanahawafakii8556
Жыл бұрын
Yanga mi jamani itaniuwa kwa raha
@prossonassoro525
Жыл бұрын
Tuko pamoja
2023 wana Dar Young African naomba like zenu
Anayeangalia 2023😂😂😂 kuja kupunguza stress
@issajuma6084
Жыл бұрын
Its him again😂😂😂
@loopmyself9269
Жыл бұрын
Tupo uku
@juliusmagoti5650
Жыл бұрын
Yanga...a stress free street
@jackgadau8126
Жыл бұрын
Mambo
@imanimahuwi28
Жыл бұрын
Tupooo 😅
Ukuta wa Yeriko atimaye umekua ukuta wa mabua, Wananchi naombeni mnipe like tano tu za Pacome na Max Nzengeli, Sawa
I really admire Tanzania soccer....much love from kenya🇰🇪
@tumaerickmaraki9519
Жыл бұрын
Swa kaka
@farid9941
Жыл бұрын
Ur welcome
@iammichael7006
Жыл бұрын
Pamoja
Respect to Tanzanian fans! Your love and support for your local football is a great lesson that you teach us!👌🏿 From côte d'ivoire 🇨🇮💪🏿
@alexmpoke2610
Жыл бұрын
Thanks
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Raoul thank you for your appreciation! Welcome to Tanzania 🇹🇿
@miskiaayallah1872
Жыл бұрын
One love brother
@christianjohnmwalugaja8090
Жыл бұрын
Thanks Raoul for your appreciation on us Tanzanian
@josephambrose2215
Жыл бұрын
You are welcome brother🙏🙏🤔
Anaeangalia leo tar 3 January 2024 gonga like
Yani nimeona Leo tena nirudie kuangalia hii mech maana natamani irudiweeeeh tena nipeni like zangu wananchi❤
Best league in East Africa,the beautiful game 🇹🇿⚽❤️.... Congrats Yanga🏆🎊🎉,no racism ⚽🇰🇪
@alexmpoke2610
Жыл бұрын
Thanks.Our country has no room for racism,that is how we are raised since we are kids
@juliusmagoti5650
Жыл бұрын
Neither racism nor tribalism, you just come, join any football team, show your talent, ilimradi usivunje sheria za nchi. You will enjoy your peaceful stay.
I'm A young African fan From Kenya, I love tanzanian football.
@mustaphahassan589
Жыл бұрын
Karibu Sana kaka
@veeJesus
Жыл бұрын
💚💛
@josephambrose2215
Жыл бұрын
You are welcome brother.
Jaman tujuane asiyechoka kuangalia hii mechi wananchi naomba like zenu tujuane
Wangapi tumekuja kumuaga king mayere tujuane kwa like 😢😢
To be honest guys Tanzanian football ⚽️ is flying very high. I'm enjoying watching each and everyday. Thank you so much azam 📺
what a game of football man! The atmosphere is out of this world. congratulations my team yanga and all the best. Rooting for you guys to bring the big trophy(CAFCL) home this season. Am from kenya.
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
In Shaa Allah All the best in your election Chris 👍
@jumakassim8718
Жыл бұрын
insha'Allah
@miskiaayallah1872
Жыл бұрын
Amen
hii mechi inaendelea kuwa mechi bora kwa mwaka 2022
Fiston Mayele..Sitakusahau maishani mwangu...Nitakupenda daima mpka kifo
@allianceabweshauri7437
Жыл бұрын
Kweli tupo pamoja
These 2 teams saving african football ⚽️, best derby in Africa right now.
Tanzania football is next level sending love from Congo
@veeJesus
Жыл бұрын
Yeah so much vibe in here
Sichoki kuitazama hii video wallah yanga tamuuuuu💚💚💛💛💛
Naipenda sana yangaa hii mechi haichoshiii kuangaliaaa
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wananchi tugonge like one trending for KZread 🖤💛💚💚💛💛
I am a Kenyan who watches the leagues in europe because ours is a joke. that untill i found out about tanzania and theirl love for this sport. i am amazed and envious kudos on the develpoment you have had.
@onesmojustice2348
Жыл бұрын
True
@iddykisome3126
Жыл бұрын
100percent true very competitive March
@cr7tz770
Жыл бұрын
They love you and their team
Anayeangalia hii mechi leo tena naomba tujuane wanayanga wenzangu kwa kulike tu
@tinalevis8655
Жыл бұрын
Mm😂
@user-jt6wi5sj9k
6 ай бұрын
😂yanga bwana
@sefumohammed9892
6 ай бұрын
Amaya hapa
@raymondclaud6026
2 ай бұрын
Mimi naangalia tena pia
@SophiaKilegu
2 ай бұрын
Tupo wengi wana yanga
Kama Bado Leo hii unacheki hii mechi mwananchi 🔰💚💛 nipe likes kama zote
Hivi nimimi pekeyngu ndo narudia rudia kuiangalia hii video au tukowengi??🤣🤣🤣
@jafaromar3749
Жыл бұрын
😂😂😂
@husseinramadhani5540
Жыл бұрын
Na mm
@filemonkwaja6181
Жыл бұрын
tuko wengi sana ila makolo wanaipita tu
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
Tuko wengi mweee
@hamidayanga8224
Жыл бұрын
@@jafaromar3749 🤣🤣🤣
Aliyemuona Moloko akibeba kiti tujuane kwa like😂😂
@sophiaabdallah7821
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣n kibendera juu juuu
@tyatawelubrayton5861
Жыл бұрын
Sio moloko ni Aziz k
@abdallahzakariashehe6115
Жыл бұрын
@@tyatawelubrayton5861 he mwanangu yule c moloko hebu rudi tena uangalie vizuri
@godasimba3293
Жыл бұрын
Mm nimemuona
@goodluckgoodluckaugustino8623
Жыл бұрын
Moloko
Nami hii kila muda nikiboeka na enjoyy❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Leo tr22 January Bado natizama naona kama tumecheza Leo kua yanga raha sana
Hii mech kama unastress then ukaja kuichek unajiona kama upo mawinguni 💚
@abdullyjuniordully8535
Жыл бұрын
Me yanga
@filemonkwaja6181
Жыл бұрын
kwa kweli
@fatomajuma753
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
Usije ifunga yanga kipindi cha kwanz aukajiona umewamaliza mda wowote wanakuadhibu
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
Mm nairudia rudia kila siku😂😂😂
Anaye irudilia hii tujuane 😊
@izahsultan7290
Жыл бұрын
Mimi kila siku nikilala nikiamka naangaliaga hii mechi yaan Raha Sana Kama mechi iliyochezwa leo
All the best king mayele hakika makolo awatakusahau mwananchi gonga like apa kwa heshima ya mayele
Anaye rudia kuangalia leo like nyingi tujuwane
@kipenzi_Tv
Жыл бұрын
Haha 😂 tupo
@alhajiramadhani7150
Жыл бұрын
Atar
@liviniantoniassenga
Жыл бұрын
Noma sana
Daaahh!!! Alhamdulillah YANGA mmejua kutupaa rahaa hongerenii chama kubwaa💚💛💚💚🔥🔥🔥
Yanga daima mbele nyuma mwiko 💚💛💚💛💚💛💚
Hii mechi kabla ya kulala naangalia mala mbili na wakati wa kuamka naangalia mala mbili pia, Amina
@fabianpaul3250
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@SaniphaRamadhani-sr2qz
Жыл бұрын
😅😅😅🤜
@charitymkombozi5900
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
2023 bado tunaangalia hili derby tujuane
@flaryunderson9553
Жыл бұрын
Mi naiangalia saivi
@rahmaramadhani3470
Жыл бұрын
Naitizama sada hivi
@phillipohosea8923
Жыл бұрын
Hii gemu hawatoisahau kolo💯😀😀😀
@mariamsuku7021
Жыл бұрын
Mm naanglia sasa ivi
Super mecz, fajne kluby. Pozdrawiam z Polski 🇵🇱🇹🇿
Kama unaicheki mechi hii kila wiki gonga like 👍 👌 tujuane #yanga sc 1935
2023 wangapi tumeangalia likes za KUTOSHA HAPA
Ndo nimemaliza kuiangalia hapa kwa mara ya Kumi leo. 12.01.2023💚💚💚💚💚💚
@idrisiyasini353
Жыл бұрын
niko hapa leo saa 4
Kila siku lazima nije hapa kuuona ushindi wa Yanga yangu,moyo wangu unasuuzika,daima mbele💛💚
@neylathmtendanga5632
Жыл бұрын
jmn😂😂😂😂😂
@lidyachuma2745
Жыл бұрын
Kabisa ilove you yanga mwaaaaaaaaa 💚💚
Shukran kuu kwa Mungu….pongezi nyingi kwa wachezaji wetu na benchi zima…ahsante kwa kututhamin mashabiki🙏🏽🥰🔥🔥
Bado tunaongalia 2023 naomba like 👍 zenu
anayeangalia 2024
Nani mwingine yupo hapa kurudia kuchk match ya Derby kama mm hahhaha 👍 hapo
@anitajuniorsteve2046
Жыл бұрын
Mm hapa mara nyingituuu
@alexwailod5589
Жыл бұрын
Nacheka tu hapa leo daaa
@alexwailod5589
Жыл бұрын
Piga makolo hao
@moxwagertz359
Жыл бұрын
Sichok kumuanglia moloko na kiti chake
@kellykalenga3677
Жыл бұрын
@@alexwailod5589 numbel
I love Tanzanian youth and Sudanese Mars♥♥🇸🇩🇹🇿
@salihalash4111
Жыл бұрын
Almerrikh best club in East Africa
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@salihalash4111 wake up wake up don’t slip
Shikamoo wananchi asante kwa kututandikia hao wanaojiita Singida Big stars.. salamu ziwafikie dodoma jiji zabibu tutazila na mvinyo tutakunywa..
Sakho alijiona mfalme sana ila hii game ilikuwa tamu sana natizama leo januar 8 2023
Tanzania's football is really growing unlike ours in Kenya. 🇹🇿 is really investing in this
YANGA is my favorite team 🧡💛💚 I love this team soooo much,much respect to YANGA management & players as whole BUT FISTON KALALA MAYERE I just say Salute he deserve to be congratulated
Yaan siwezi isahau hii mech love you yangaa😊😊
Wananchi tujuane ambao bado tunaagalia hii mechi
Hongera timu yangu young African
tunaorudia highlights tujuane now
@saudashaban314
Жыл бұрын
Tupo hapa nairudia kila siku
Yanga tamu jaman gonga like apo Kama we mwana nchiiiiii
31/1/2023💚💚💚💛💛💛 Yanga SC I love you tujuane apa jamn
@dominakimario9003
Жыл бұрын
Oyooooooo usingizi umekata nikaamia huku
kila cku naangalia hii mechi... Young super
@rahmaramadhani3470
Жыл бұрын
Tupo wengi maaan a inavutia wallah
@neemasaid483
Жыл бұрын
Tupo wengi kwakwel
@zaitunially7320
Жыл бұрын
Yani ukiona sijaangalia ujue Sina bando
@thuwaybamachea396
Жыл бұрын
Binafsi inanitoa stress
@michaelminja
Жыл бұрын
Mimi pia
The Return Of Champions ... This Is Yanga💚💚💪
Fiston kalala mayele ni mmoja the King 👑👑🔥🔥💪💪
@samwelirobert2576
Жыл бұрын
Fact
Tunaorudia june 2024😀 weka ❤
@AnonymousGang-eq7jb
Ай бұрын
Hatutoacha wapumzike
@sanifarohimu4964
25 күн бұрын
Mpaka waseme
Yaan hii siku nilishangilia sana 💚💚💚 nakupenda yanga
@lidyachuma2745
Жыл бұрын
Yaaani ilikuwa Raha sta sahau ilove you yanga mwaaaaaaaaa
Wana nchi lek zenu kwa mfamle kalala mayeleer💚💚💚💛
Inaninogea kila siku jamani🔥🔥💚💚🔰🔰
Mayele mungu akuongezee umri mana siku ile nilipata furaha isio elezeka namuomba mungu ijirudie tena inshaallah panapo uhai na majaaliwa
Yanga oyeeeeeeeeee 💚💛💚💛💚💚game hii nikitazama najisikia tu maraha 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
@sumahtanzania4991
Жыл бұрын
Yeah maraha tu yanga African daima mbele nyuma mwiko 💚💛💚💛💚💛💚
@zaharatijuma6623
Жыл бұрын
Umeonae huwaga naingalia kila siku nikiweka bando
@neylathmtendanga5632
Жыл бұрын
Atuchokii😂😂😂😂😂🚶♀️
@jafalalajafar7279
Жыл бұрын
Asikwambie mtu yanga tam💚💛💚💛
Hii mechi leo ni mara ya 1000 naiangalia..Haiishi utamu.Raha sna ukiwa yanga
@rehemahalfan5044
Жыл бұрын
Tuko wengi
Yanga bhn 2023 bado tunacheki hii mechi
Nikiwa na stress huwa nakuja kurudia kuangalia hii match💛💚. Makoloo pita hukuu🚶
@lucysteven8982
Жыл бұрын
Hadi mimi
Jamani hii sio poa inamvutoo💚💛🔥🔥🔥
Me sichokii jamn na kuangliaa hii yanga🤣🤣🤣🤣yan hii siku nilkuaa na homa🤣🤣ila mayl jamn alijuaa kutupa raha team ynga💛💚💛💛💛mob love from +254
Leo ni mara yangu ya 92 kuangalia hii mechi
@jovinerubenge4424
Жыл бұрын
Tupo wengi
Its 2023 💛💚 am here to watch this match again
@saudaali7983
Жыл бұрын
Nzur san
I love Tanzanian soccer,Mayele anatesa.
NAIPENDA YANGAAAAA🔥🔥🔥🔥💚💛
Tunabeba tena 2023 daima mbele nyuma mwiko
Jmn leo ni trh 20/12/2022 niko nangalia tn hii mechi was so🔥🔥🔥
@fahmatsuleiman1586
Жыл бұрын
Hahaha ilikuwa ni noma sana
@jeniphermassawe3037
Жыл бұрын
Nipo apa natoa mawazo
Mm pia naangalia hii mechi bila kuchoka. Mungu ibariki Young African Mungu ibariki Tanzania ili tufike mbali kwenye mashindano ya Africa. Pia naiombea Young African ktk mechi ya kimataifa dhidi ya AL Hillary tupate ushindi wa kusonga mbele Kimataifa. Mm nina amini Young Africa kwa uwezo alio kuwa nao km akipita hatua hii basi maajabu ya kufika mbali zaidi kuliko timu yeyote apa Tanzania yatatokea. I LOVE YOU YOUNG AFRICAN NA CLUB ZOTE ZA TANZANIA KIMATAIFA.
Jamaniii naenjoy sana kuichek hii mechii🧡💚🧡💚🧡😆😆🙌🙏
Ebanaeeeeh nmerudia tena Leo kuangalia tuko wangap 😂😂
Yanga tamu ukiwa na uchovu unaangalia ukiwa na njaa unaangalia 💚💚💚💛💛💛💛💚💚💚🔰🔰🔰
Hapa ndio Tulianza Kupiga MABOMU MOCHWARI 😂 😂😂 R.I.P MOCHWARI YA MSIMBAZI...🥺😁😁😁
Naringa jmn,mungu zidi kuwabariki wachezaji wote na benchi lote Amina
Kama unaludia hiii mech leo tena naomba lak
Safari ilianzia hapa 💪💪
hili lingao waliliremba kwa kuwaandalia makolo na tukalibeka yanga raha sana
MAKOLO mlisema Aziz key tumempa Ela nying vp tumoungezeeeaa or inatoshaaaa🤣😂😂😂
Nipo nashangilia goli la pili Leo tr 28/06/2023 Kama vile tupo live💚💛💚💛💚💛💚💛
@fredrickmathias6478
Жыл бұрын
Oya mzee,me ndo niko apa nacheki mzee,Simba wanafanya ujinga ule ule kama wa ile siku😅,watafungwa awa ujue😢
@OmaryMohamed-nr4nk
Жыл бұрын
Kabisa
@amanididas7660
Жыл бұрын
Hahaha
Mechii kalii sanaa hii ad leo nairudia rudia dabi kwang huwa kama sherehe💚💛
Nimeiangalia tena💚💛😁
@harimaasantemamakichuna4265
Жыл бұрын
😂😂tupo wengi
Mechi yangu Bora Huwa sichoki kuitizama na Ile ya FA na costal union😋
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
Ile FA sitaki hata kuitazama nilisoma tasbii mpk basi
@hijabyfinest8524
Жыл бұрын
@@user-po8hz7xw9j nlizimia mm ile siku uwanjani nkaeka historia
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
@@hijabyfinest8524 duu pole aisee
Hapo Hakuna jezi NYEUSI ILA NI UFUNDI TU 2023
Hii yanga siji kuixahau kamwee katika maishayanguuu
Aziz K nifundi sana 🔥🔥🔥⚽️
😂😂😂 yan faulo ya Feisal kila nikiiangalia nacheka maksud kabsa hizo ndio mbinu za kivita ,,Yanga forever💚💛
@elizabethmagesa2818
Жыл бұрын
Yaani hata mimi nacheka kweli😂
Ni kwa mala nyingine tena 💚💚💚💛💛💛🔰🔰🔰
iam from Morocco Tanzania good people good derby thanks Tanzania.