Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023

Спорт

Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati.

Пікірлер: 236

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt8 ай бұрын

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿

  • @JoshuaMovela
    @JoshuaMovela8 ай бұрын

    Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu

  • @zekelly_025
    @zekelly_0258 ай бұрын

    Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow96609 ай бұрын

    Azam mnatuangusha likija swala la highlights

  • @cleverymwakamala2967
    @cleverymwakamala29678 ай бұрын

    kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo

  • @worldhappiness1181

    @worldhappiness1181

    8 ай бұрын

    Wamenyooka kwel yaan

  • @user-op7mh5sp4p

    @user-op7mh5sp4p

    5 ай бұрын

    Asee hapa uli sema😂😂

  • @GracieTyno

    @GracieTyno

    2 ай бұрын

    Tayari tushawanyoosha😂😂😂😂

  • @kephamlewa5258

    @kephamlewa5258

    28 күн бұрын

    Dahhh mwanangu uliona mbali na tuliwanyonyoa kweli

  • @wardah-mb6kb
    @wardah-mb6kb9 ай бұрын

    Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha

  • @veronikasamson6438

    @veronikasamson6438

    9 ай бұрын

    Wana boa sanaa Aisee

  • @KaroliMagana
    @KaroliMagana8 ай бұрын

    Amazing goal no:3

  • @user-rc6il8vw9z
    @user-rc6il8vw9z8 ай бұрын

    Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz

  • @user-vm5xd9wx1d
    @user-vm5xd9wx1d8 ай бұрын

    Yanga yakibabe sana Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    8 ай бұрын

    Usiku wa manane

  • @ezekielmwarabu3548
    @ezekielmwarabu35489 ай бұрын

    Yanga ni nomaaaa sanaaa

  • @GracieTyno
    @GracieTyno2 ай бұрын

    Aziz Ki bwana dah!🙌🏽

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.37538 ай бұрын

    Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo21209 ай бұрын

    Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤

  • @josephbukubila2737
    @josephbukubila27379 ай бұрын

    muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi99928 ай бұрын

    💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿

  • @Fredy-oz5vu

    @Fredy-oz5vu

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-xk5mq6rk8u
    @user-xk5mq6rk8u8 ай бұрын

    Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    8 ай бұрын

    Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu43575 ай бұрын

    This is true derby

  • @alluarjun8638
    @alluarjun86388 ай бұрын

    Mhh huyu azizi Ni noma aisee

  • @catherineshao8304
    @catherineshao8304Ай бұрын

    I love Yanga

  • @user-eg9sq2zd5b
    @user-eg9sq2zd5b7 ай бұрын

    Yanga raha ❤❤❤ jamn

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga44909 ай бұрын

    SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.

  • @user-ex7zx1qb8g
    @user-ex7zx1qb8g8 ай бұрын

    💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa

  • @user-ze6qu7zq1w
    @user-ze6qu7zq1w23 күн бұрын

    We need you in naturenaaaa man😂✌️✌️✌️✌️❤❤

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni19789 ай бұрын

    Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2

  • @julianashani9408
    @julianashani94088 ай бұрын

    Azam FC 3- 0 Mwakarobo

  • @user-pq5ud1gc5f
    @user-pq5ud1gc5f5 ай бұрын

    Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa

  • @user-od4zj2xk6s
    @user-od4zj2xk6s6 ай бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida79089 ай бұрын

    Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa

  • @sadalaedward2460
    @sadalaedward24606 ай бұрын

    Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal

  • @NellyErick
    @NellyErick8 ай бұрын

    Yanga bora

  • @shabbirbharmal7876
    @shabbirbharmal78765 ай бұрын

    Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja

  • @Hagai-pm6yf
    @Hagai-pm6yf9 ай бұрын

    Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,

  • @HusseinKafuta
    @HusseinKafuta4 ай бұрын

    Naludia mechi leo

  • @user-jn8us1qi1z
    @user-jn8us1qi1z6 ай бұрын

    Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂

  • @user-xw1zk5ug6h
    @user-xw1zk5ug6h4 ай бұрын

    Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo

  • @user-oj1wx7ue5u
    @user-oj1wx7ue5u8 ай бұрын

    Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita26268 ай бұрын

    Feisal bana is on another level

  • @masaumujungu

    @masaumujungu

    7 ай бұрын

    Another level without winning

  • @ishirininasita2626

    @ishirininasita2626

    7 ай бұрын

    @@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss

  • @ishirininasita2626

    @ishirininasita2626

    7 ай бұрын

    @@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako

  • @user-uh4tr3nb1r
    @user-uh4tr3nb1r4 ай бұрын

    Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu

  • @danielsunghwa487
    @danielsunghwa4878 ай бұрын

    💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah8252 ай бұрын

    Great 💚💚💚💚💚

  • @yonasytitusy337
    @yonasytitusy3376 ай бұрын

    Ivi azizi awezi kufunga bila tobo

  • @chrissg4026
    @chrissg40268 ай бұрын

    Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45

  • @MwanamkasiAlj
    @MwanamkasiAlj8 ай бұрын

    Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.

  • @HabeebaHassan-eq7bg
    @HabeebaHassan-eq7bg8 ай бұрын

    Azam tv wasenge sana

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma1788 ай бұрын

    Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur

  • @user-vp4ni5kk4y

    @user-vp4ni5kk4y

    8 ай бұрын

    Angalia setting kwenye youtube yako pia

  • @shaibumrisho5033
    @shaibumrisho50337 ай бұрын

    Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri73227 ай бұрын

    Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂

  • @GracieTyno

    @GracieTyno

    7 ай бұрын

    Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥

  • @agapeemmanuel
    @agapeemmanuel7 ай бұрын

    Yanga ipo juu

  • @user-kw9xe7cl9z
    @user-kw9xe7cl9z8 ай бұрын

    Mambo ni moto

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka30786 ай бұрын

    Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba

  • @justinewanzala3218
    @justinewanzala32186 ай бұрын

    Jamani mpenja mbona haungulumii

  • @user-ze2uy3vh3w
    @user-ze2uy3vh3w4 ай бұрын

    Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah36919 ай бұрын

    Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo

  • @sekwajuma
    @sekwajuma3 ай бұрын

    mamboo yako vizuli sana

  • @Kisamorabaututa-em1bv
    @Kisamorabaututa-em1bv7 ай бұрын

    Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt9 ай бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo6878 ай бұрын

    Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80

  • @AsmaAmeir
    @AsmaAmeir8 ай бұрын

    Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu

  • @user-mo3yz7zk8y
    @user-mo3yz7zk8y8 ай бұрын

    Hii ndo yanga

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh8 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ yanga

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn18488 ай бұрын

    Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.

  • @Kikotidata
    @Kikotidata8 ай бұрын

    Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew

  • @josephndaki8003
    @josephndaki80038 ай бұрын

    Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida79089 ай бұрын

    Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza

  • @user-dl8bn3oc8c

    @user-dl8bn3oc8c

    8 ай бұрын

    kwan all kamwe kaongea kit gan ww kolo

  • @simonsikanyika1682
    @simonsikanyika16825 ай бұрын

    Yanga tamu

  • @youngrapper339youngrapper3
    @youngrapper339youngrapper34 ай бұрын

    dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂

  • @GracieTyno
    @GracieTyno7 ай бұрын

    Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂

  • @user-rv3dr9ug8o
    @user-rv3dr9ug8o8 ай бұрын

    Wazembe kivp

  • @alicenice1711
    @alicenice17119 ай бұрын

    Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa

  • @user-qu2md6yh1y
    @user-qu2md6yh1y9 ай бұрын

    Tunahama huku

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st6 ай бұрын

    Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4068 ай бұрын

    Azam tafuteni kipa

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka30788 ай бұрын

    Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅

  • @SalumuKibao-ex3zy
    @SalumuKibao-ex3zy8 ай бұрын

    Ndoa ya kanisani hiyo

  • @godfreymkinga
    @godfreymkinga6 ай бұрын

    Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu

  • @hajially4527
    @hajially45275 ай бұрын

    0:32 0:35

  • @parishlawal3034
    @parishlawal30346 ай бұрын

    Ilo goli la sillah n offside kubw san

  • @denisndandika2024
    @denisndandika20248 ай бұрын

    Ni kweli

  • @user-ov8zp5mc4y
    @user-ov8zp5mc4y8 ай бұрын

    ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo

  • @JustineIshebakaki-ns7fd
    @JustineIshebakaki-ns7fd6 ай бұрын

    Jmny yanga sio pooooo

  • @user-hp4dn4nm8g
    @user-hp4dn4nm8g7 ай бұрын

    Ihi meche ya kumbukumb

  • @abdaljuma-wk4dg
    @abdaljuma-wk4dg8 ай бұрын

    Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj8 ай бұрын

    Dabi zote wananch tumeshind

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh7 ай бұрын

    Ngoma ya mtoto haikeshi

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida79089 ай бұрын

    Golkeeper ovyo

  • @gladnessmushi-ge6fd

    @gladnessmushi-ge6fd

    9 ай бұрын

    Kama manula tu

  • @franksanyiwa
    @franksanyiwa8 ай бұрын

    Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake

  • @hajially4527
    @hajially45275 ай бұрын

    0:51

  • @user-eq1gl3uh4m
    @user-eq1gl3uh4m8 ай бұрын

    Tunaomba waliocheza dabi wajekuanz kweny mech ya Al shaky

  • @kokunyegezaruta8456
    @kokunyegezaruta84565 ай бұрын

    😊

  • @mwamvitamatiku
    @mwamvitamatiku9 ай бұрын

    Yanga moto mkali

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza75068 ай бұрын

    Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu

  • @ahmedmpimbi9684

    @ahmedmpimbi9684

    6 ай бұрын

    Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation

  • @ZakayomwinukaZakayomwinukatheb
    @ZakayomwinukaZakayomwinukathebАй бұрын

    😢😮 yangaaa tamuuu

  • @ZakayomwinukaZakayomwinukatheb

    @ZakayomwinukaZakayomwinukatheb

    Ай бұрын

    Wananchiiiiiiiiiii

  • @ChristopherSamson-ce6lo
    @ChristopherSamson-ce6lo8 ай бұрын

    Mwamunyeto bado mzembe anaigharimu timu

  • @SurprisedHibiscus-zh6to
    @SurprisedHibiscus-zh6to8 ай бұрын

    Unaipenda yanga kak

  • @beatosiakilimar6098
    @beatosiakilimar60988 ай бұрын

    😮😅🎉😂❤

  • @filbertabdallahmdee2676
    @filbertabdallahmdee26768 ай бұрын

    Hii mechi aucho alku hayuko fit ,hakua na fitness mda mwingi alkua anaachwa na fei na alkua anacheza faul na hii si kawaida yake nazan angetakiwa aende bench aingie hold mwingine ata mkude..,Mauya...

  • @trofinlyimo3520
    @trofinlyimo35208 ай бұрын

    Yanga bhnaaaa

  • @user-gq7pl8pw5k
    @user-gq7pl8pw5k8 ай бұрын

    Mpenja alifurahia sana hapa akazani tutashindwa mkibwa Ni mkibwa tuu kwahiyo watangazi muwe makini kabisa

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul18946 ай бұрын

    🐸🐸🐸

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri73227 ай бұрын

    Dirisha dogo inabid Yanga viongozi wasajili beki tatu, beki ya kati itayosimama na bacca na striker

Келесі