Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023
Спорт
Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati.
Пікірлер: 236
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿
Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu
Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉
Azam mnatuangusha likija swala la highlights
kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo
@worldhappiness1181
8 ай бұрын
Wamenyooka kwel yaan
@user-op7mh5sp4p
5 ай бұрын
Asee hapa uli sema😂😂
@GracieTyno
2 ай бұрын
Tayari tushawanyoosha😂😂😂😂
@kephamlewa5258
28 күн бұрын
Dahhh mwanangu uliona mbali na tuliwanyonyoa kweli
Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha
@veronikasamson6438
9 ай бұрын
Wana boa sanaa Aisee
Amazing goal no:3
Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz
Yanga yakibabe sana Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
8 ай бұрын
Usiku wa manane
Yanga ni nomaaaa sanaaa
Aziz Ki bwana dah!🙌🏽
Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂
Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤
muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake
💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿
@Fredy-oz5vu
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉
@mwanangusana
8 ай бұрын
Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee
This is true derby
Mhh huyu azizi Ni noma aisee
I love Yanga
Yanga raha ❤❤❤ jamn
SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.
💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa
We need you in naturenaaaa man😂✌️✌️✌️✌️❤❤
Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2
Azam FC 3- 0 Mwakarobo
Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa
Ni kweli kabisa
Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa
Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal
Yanga bora
Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja
Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,
Naludia mechi leo
Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂
Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo
Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba
Feisal bana is on another level
@masaumujungu
7 ай бұрын
Another level without winning
@ishirininasita2626
7 ай бұрын
@@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss
@ishirininasita2626
7 ай бұрын
@@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako
Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu
💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa
Great 💚💚💚💚💚
Ivi azizi awezi kufunga bila tobo
Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45
Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.
Azam tv wasenge sana
Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur
@user-vp4ni5kk4y
8 ай бұрын
Angalia setting kwenye youtube yako pia
Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora
Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂
@GracieTyno
7 ай бұрын
Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥
Yanga ipo juu
Mambo ni moto
Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba
Jamani mpenja mbona haungulumii
Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia
Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo
mamboo yako vizuli sana
Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi
Daima mbele nyuma mwiko
Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80
Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu
Hii ndo yanga
❤❤❤❤❤ yanga
Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.
Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew
Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?
Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza
@user-dl8bn3oc8c
8 ай бұрын
kwan all kamwe kaongea kit gan ww kolo
Yanga tamu
dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂
Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂
Wazembe kivp
Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa
Tunahama huku
Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza
Azam tafuteni kipa
Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅
Ndoa ya kanisani hiyo
Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu
0:32 0:35
Ilo goli la sillah n offside kubw san
Ni kweli
ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo
Jmny yanga sio pooooo
Ihi meche ya kumbukumb
Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo
Dabi zote wananch tumeshind
Ngoma ya mtoto haikeshi
Golkeeper ovyo
@gladnessmushi-ge6fd
9 ай бұрын
Kama manula tu
Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake
0:51
Tunaomba waliocheza dabi wajekuanz kweny mech ya Al shaky
😊
Yanga moto mkali
Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu
@ahmedmpimbi9684
6 ай бұрын
Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation
😢😮 yangaaa tamuuu
@ZakayomwinukaZakayomwinukatheb
Ай бұрын
Wananchiiiiiiiiiii
Mwamunyeto bado mzembe anaigharimu timu
Unaipenda yanga kak
😮😅🎉😂❤
Hii mechi aucho alku hayuko fit ,hakua na fitness mda mwingi alkua anaachwa na fei na alkua anacheza faul na hii si kawaida yake nazan angetakiwa aende bench aingie hold mwingine ata mkude..,Mauya...
Yanga bhnaaaa
Mpenja alifurahia sana hapa akazani tutashindwa mkibwa Ni mkibwa tuu kwahiyo watangazi muwe makini kabisa
🐸🐸🐸
Dirisha dogo inabid Yanga viongozi wasajili beki tatu, beki ya kati itayosimama na bacca na striker