MWAMPOSA AFUNGUKA YOTE, NAPENDWA NA WAMAMA, MUUJIZA MKUBWA ALIOFANYA
Жүктеу.....
Пікірлер: 887
@irenemwanry12120 күн бұрын
Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤
@blasiustibwakawa6258
13 күн бұрын
Nomaa halafu saana😂
@gratusvlogs22 күн бұрын
Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa
@Rogathe-Rogathe
22 күн бұрын
Kijana kbs
@bakariomary5781
22 күн бұрын
Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂
@florabuzoya3948
22 күн бұрын
Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana
@allahisone6386
17 күн бұрын
HHHH NDIOOO_🤦🏿♀️
@user-eu5ly2sk8w
8 күн бұрын
Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu
@humphreyonlinetv273922 күн бұрын
MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED
@endeshyamat677320 күн бұрын
Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉
@beatriceminja214822 күн бұрын
Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌
@Rogathe-Rogathe
22 күн бұрын
Aminaaa
@msafirimaulidi5054
22 күн бұрын
Ss mwamposa si mganga km waganga wengine wa jadi,huduma za mwamposa ni za kishilikina km ni MUNGU ata ww unawez kuomba ukaskika, pia ukisema yy katumwa na MUNGU ndo tyl ww ni mfuas wa mganga😂
@benjaminalfa3098
22 күн бұрын
Ameen
@Japanese-lz1or
22 күн бұрын
@@msafirimaulidi5054Kuma ww acha makasiriko
@suzanalucasemanuel7006
22 күн бұрын
Amen
@eusebiusthilia790813 күн бұрын
Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele
@nairakiboko19 күн бұрын
Mwamposa bado ni kijana Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa
@perpetuakicheleri-zk5ly20 күн бұрын
Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏
@florabuzoya394822 күн бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you
@AUGENSYLIVAND-rq7hz22 күн бұрын
Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like
@monicaisuja891722 күн бұрын
Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤
@ujenziimaratv1192
20 күн бұрын
Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja Akili kichwani
@fumotv7914
17 күн бұрын
@@ujenziimaratv1192unauhakika
@Salesiamalekela-i2h
16 күн бұрын
Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana
@ElizabethKazimoto-uc8zo20 күн бұрын
Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet
@salumsiraji-ou3uo
19 күн бұрын
hahaha
@ElizabethKazimoto-uc8zo
17 күн бұрын
@@salumsiraji-ou3uo yeah
@StelaMwambemba-qd3tr20 күн бұрын
Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana
@user-ex1cn3bc2h20 күн бұрын
Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia
@Leeeeeeee-9622 күн бұрын
mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤
@jackycharles641922 күн бұрын
Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God
@user-is6np5vf6b
22 күн бұрын
Umeona eeh 🎉🎉🎉
@florabuzoya3948
22 күн бұрын
Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana
@heavenlightmalisa1112
16 күн бұрын
Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba
@Apox_eric
16 күн бұрын
Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia. Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo .... The nan is humble, No show offs, proudness. He only says It si the hand of Almighty God. Text me on whatsApp +255753694154
@user-qb3cb2zl5l17 күн бұрын
Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki
@AllglorytoGod22
9 күн бұрын
😂
@user-yb8jq9xw2o
8 күн бұрын
😂😂
@benernest5125
8 күн бұрын
MGANGA!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@EstherMhagama-s1n
6 күн бұрын
na ww ukawe mganga ili na.ww ujulikane afrika
@user-dz3rl1ki6u
2 күн бұрын
😂😂😂 umepiga panapouma
@AngelBoniface-oe8ug20 күн бұрын
Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki
@user-sp8zu7oh2n
19 күн бұрын
❤❤❤
@eusebiusthilia7908
13 күн бұрын
Aswaaa!mwacheni Mwamposa afanye kazi ya MUNGU,AMEBARIKIWA SANA!
@PaulineMajengo
9 күн бұрын
Kabisaa,alikuwa anatangaza matangazo yake mosh akiwa na kirikuu kidogo ,na spika 3
@LATIFAMUSSANAMANORO2 күн бұрын
Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina
@user-hm2oc6en9s22 күн бұрын
Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.
@FurahaCosmas
9 күн бұрын
Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb
@emmanueldaudi379722 күн бұрын
Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.
@christeternallifetv5959
22 күн бұрын
Ameniiii
@atuganilemsomba3028
21 күн бұрын
Ukweli ambao watu wengi hawautaki
@trophywilson7211
20 күн бұрын
Kabisaa Kabisa Hawajui Kumwamini Mungu
@user-vc4xr1mf5q
19 күн бұрын
Kwani wale walio kwa mwamposa awajampokea yesu na je kanisani kwako waumini wote wameokoka
@user-fy9uk4oh7x
16 күн бұрын
Nikweli huo ni muujiza mkuu saana kuzidi muujiza yote
@beyondmediatz160722 күн бұрын
Nimependa alivyomuwai muandishi kusema anayetenda ni Mungu yaani hajataka kupokea utukufu yeye, kibinadamu ni ngumu kumuelewa mtu akifanikiwa kiwango hiki "utasema kweli ni mahubiri tu au kuna kitu nyuma?" kuna muda tukubali kumuacha Mungu ajuaye na ndio atahukumu kwa haki tusiwaseme vibaya hawa watu wa Mungu, kwani sisi tunaokosoa tunafanya maovu mangapi? Nani anainuka kukuhukumu? Mana ni Siri yako, aliyeelewa nasema nini naomba like
@RoseOdilo
22 күн бұрын
Kabisa❤❤❤
@joelbtz8277
22 күн бұрын
Umenena vyema mno🎉
@veronicapatrice43622 күн бұрын
Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤
@sylviadanford913818 күн бұрын
Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God
@user-ng6yt2od7l21 күн бұрын
Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima
@joshuajustustz22 күн бұрын
Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉
@ngowidyness346421 күн бұрын
Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno
@martingeorge9468
19 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏 Amina
@eclinemaro7677
19 күн бұрын
Amen
@hendrylema5640
18 күн бұрын
dyness upo
@ngowidyness3464
17 күн бұрын
@@hendrylema5640 nipo kabisa
@IsaackPaulo19 күн бұрын
Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤
@saleemsuleiman2220
19 күн бұрын
Mtume feki😂
@IsaackPaulo
18 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki
@saleemsuleiman2220
16 күн бұрын
@@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA
@@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu
@BabaD-fu9io2 күн бұрын
Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele
@julyethiema122019 күн бұрын
Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4
@Wakwe
17 күн бұрын
Aliemtoa ugumba ni mungu au mwaposa😅
@winfridahaule4364
17 күн бұрын
@@Wakwehapa ndio watu wanapo mkosea Mungu
@FurahaCosmas
9 күн бұрын
Weuweeee🎉
@jovitustoroto4
3 күн бұрын
kweliiii
@GibsonNtamamilo22 күн бұрын
Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.
@ianbryse141722 күн бұрын
Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️
@petermadata780322 күн бұрын
Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani
@GodfreyMwamaso22 күн бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa
@husseinjosephitocho675418 күн бұрын
mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika
@michaelezekiel4297
9 күн бұрын
😂😂
@FurahaCosmas
9 күн бұрын
Hapo hakuna zuzu ila wew ndo zuzu. Uctukane mamba kabla hujavuka mtooo
@EstherMhagama-s1n
6 күн бұрын
Ww ni zz namba moja halafu ss wengine tunafatia
@norfenvgeraldo949322 күн бұрын
Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@barutiabuu9492
22 күн бұрын
Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du
@PhyinaElias-mu4wf
22 күн бұрын
Amen
@MaurenEmmanuely-nc9id
22 күн бұрын
Laana unayo ww@@barutiabuu9492
@user-nm1re5kp7m
22 күн бұрын
Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume @@barutiabuu9492
@devisshirima678022 күн бұрын
Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!
@Leeeeeeee-96
22 күн бұрын
usiende baki unapoona pana mungu msije wengi tukakosa nafasi 😂
@malkiarosemuhando3310
22 күн бұрын
Haja❤!!
@africanbeez3644
22 күн бұрын
@@Leeeeeeee-96 mkiwa mnachomwa moto uwe una wahi viti hvy hvyo sw 😂😂
@rerisamba
21 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣nimecheka yangu yote
@milanozanzibar
8 күн бұрын
ni kweli
@user-eh5il7pw2f22 күн бұрын
Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho
@F60hustlerF60hustler
22 күн бұрын
Kwahyo mwamposa ndiye baba ako wa kiroho acha kumuudhi mungu wew
@whatisthetruth.8793
22 күн бұрын
Huyu muhuni tuu , hana utumishi wowote
@PhyinaElias-mu4wf22 күн бұрын
Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe
@HappyChalamila-wd2wl6 күн бұрын
nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu
@glorygadielmshana107022 күн бұрын
Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️
@user-wl7xj6dy4u22 күн бұрын
Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤
@user-li1ux1xh4m17 күн бұрын
Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.
@amanmalima94022 күн бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@benardbonephace489622 күн бұрын
Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako
@Alphonce-em2xi
22 күн бұрын
@@benardbonephace4896 safi sna
@Rogathe-Rogathe
22 күн бұрын
Umenena vema kabs udugu
@PhyinaElias-mu4wf
22 күн бұрын
Ameeeeen
@reginaringo5167
22 күн бұрын
Utukufu kwa YESU
@anethkitambi3140
21 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda, kukutunza
@nicaswaziri20 күн бұрын
Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏
@user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын
Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini. Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.
@ciscojr2277
22 күн бұрын
Unamfananishaje Yesu na binadamu we mpumbavu
@StelaMwambemba-qd3tr
20 күн бұрын
Good point acha wabeze tunafaidi tunaoelewa
@user-ut4wf9vq6g2 күн бұрын
Nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho yako mungu azid kukuweka mtumishi wamungu
@josephmtoro960613 күн бұрын
Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.
@Mcsceo21 күн бұрын
I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..
@user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын
Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo. Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza. Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu
@user-wi8og3sv4j
22 күн бұрын
@@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure
@ciscojr2277
22 күн бұрын
Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu
@zachariamakoba8368
22 күн бұрын
@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho
@mrjulius584018 күн бұрын
Mathayo 7:21-23 [21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. [22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? [23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
@modestamshana127922 күн бұрын
Mtume ni handsome🥰
@claudia1500
20 күн бұрын
Kabisaaaaa
@mansoorburuhan6791
20 күн бұрын
😂😂😂😂
@mansoorburuhan6791
20 күн бұрын
Ama kwel ndo maana yesu hakuoa😂
@NestoryMhagama-ci5pq22 күн бұрын
Be blessed man of God
@aboudasilver654122 күн бұрын
Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
Na wewe si uanze kuwakamata
@tinnahagustinolyelu4247
22 күн бұрын
Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii
@jacobnyosole1774
20 күн бұрын
Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂
@Dianamwansasu
20 күн бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili
@mycrown356720 күн бұрын
I like the way he is humbling himself…mahusiano yangu na Mungu yameimarika kwasababu ya huyu baba🙌🏼
@user-wy1or9fm2s19 күн бұрын
Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu
@user-sc9zl2hx1c22 күн бұрын
Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤
@MariamuMkonge19 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe
@pceodhc22 күн бұрын
Hallelujah!
@heavenlightmalisa111216 күн бұрын
Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako
@JoyceMbanoКүн бұрын
100 lwa 100 nimtumishi wa mungu kazi inajiziilisha asiyeamini atajiju
@Alphonce-em2xi22 күн бұрын
Amen Apostle Mwamposa
@whatisthetruth.8793
22 күн бұрын
Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki
@eclinemaro767719 күн бұрын
Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana
@stellanakaaya233118 күн бұрын
Mimi naamini Kila kitu ni MUNGU anapanga.wasaidie watu na kuwaponya.tunakuombea miaka mia zaidi ya UTUME🙏
@ConfusedBloomingFlower-wv1gf19 күн бұрын
Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu
@nancykaseko12 сағат бұрын
Yesu akutunze man of God...
@vero5722 күн бұрын
KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐
@martinamahenge447622 күн бұрын
Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉
@user-wp2ww7mf7r22 күн бұрын
Arise and sheni
@TedyEmanuel19 күн бұрын
Uumwamini usimwamini hayo ni yako,huyo ndo baba yetu wa kiroho,asante mungu kwa zawadi hii ya pekee
@JohnOkwom18 күн бұрын
Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu
@pacomezouzoua917522 күн бұрын
The man of God Ubarikiwa baba we love you 🎉
@geeoutfitdesgner22 күн бұрын
tunakupenda baba etu wa kiroho binafsi ni muumini wako kindakindaki kwasbb najua mungu alipo nitoa mimi na familia yangu,,baba kaacha pombe kwasbb ya arise and shine,mama ameinuliwa kiuchumi kwasabb ya yesu ,mdogo wngu Luca amefaulu vzur sasa yupo chuo cha livestock tengeru ,mm mwenyew ndo nabarikiwa had nashangaa...halafu kuna dada alikuwa kichaa alifikia kwetu tukampeleka akapona..mungu akutunze wewe mtumishi wa mungu kupitia maombi yako kwa jesu kristo...
@user-cd9nd9wd5q
21 күн бұрын
Ameeeeeen
@festomandari37737 күн бұрын
Might God enich you with more wisdom Apostle
@estambuya390119 күн бұрын
Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.
@EstherMhagama-s1n
6 күн бұрын
Hongera ongeza juhudi
@Japanese-lz1or22 күн бұрын
Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko
@onlyyoujesus8232
18 күн бұрын
Ujumbe mzuri
@adrophinamwanguse151022 күн бұрын
Ameni mtumishi wa mungu na mungu Azidi kukuinua tunakupenda waumini wako🎉
@magrethmbuma304522 күн бұрын
Nimefuraahii saanaa kumuona mtumishii hapa❤❤❤❤we love babaa
@Elizakilisipinilikolika199618 күн бұрын
Nakupenda sana mtumishi wa mungu mwamposa naomba mungu akulinde miaka mingi zaidi ili tuzidi kupona ubalikiwe sana mtumishi wa mungu mwamposa 🙏🙏🙏🙏
@TheJagadimedia-my4xt22 күн бұрын
Mungu aendelee kukuongoza mtumishi , uendelee kufanya kazi yake🙏🙏
@renatustinsimile541021 күн бұрын
Mwamposa wewe ni Mtumishi wa mungu,nitakuamini mpaka kufa kwangu
@reytn249422 күн бұрын
Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.
@faudhiasalum727922 күн бұрын
Hallelujah hallelujah Glory to God 😢😢
@pendomushi931911 күн бұрын
Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.
@silviamassawe258719 күн бұрын
Tangu sinza ngumbani kwa mtu tunafanya ibada mwacheni❤❤
@BahaaBundala20 күн бұрын
Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako
@EmmanuelYohana-km8xe3 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU BONIPHACE MWAMPOSA
@user-ng6yt2od7l21 күн бұрын
Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa
@NuruSanga-yo2sl22 күн бұрын
Hata sauti yako tu inajieleza kwamba umetumwa na mungu respect baba wa kiroho
@janethjerald173719 күн бұрын
Mama angu amepona kisukari,BP namshukuru sana huyu pastor
@Chrizabizzy122 күн бұрын
Eee Yesu wakumbuke watu wako muokoe na mwamposa akawe ushuuda atoke aliko.
@Yadah_poultry_foundation22 күн бұрын
Amen apostle ❤
@user-wy4yn2xi3n18 күн бұрын
Tunakushukuru sana mtume MUNGU Akubariki sana akuzidishie maisha marefu Ameen.
@priscadaniel645922 күн бұрын
Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe
@songombingo10819 күн бұрын
Amekuwa tajiri kuliko Waumini wake. Dini hizi tuwaachie wenyewe waliozileta😂😂😂😂
@NoelMwita22 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTU WA MUNGU . KWA NEEMA YA MUNGU YOUR TO🎉
@mtangag77422 күн бұрын
Noted
@BeatriceMlowe-iz5uj17 күн бұрын
Tunao kuelewa wacha tukuelewe wasio kuelewa pia wapee muda one day wata kuelewa maana hata mimi sikuwa nakuelewa ila muda wa Mungu ulipo fika nilikuelewa bila kipingamizi coz upo tofauti sana na manabii wengine hasa wenye umaarufu. Huna sifa hujisifu unafwata sheria za biblia unakemea dhambi unatoa muda wa maombi na unakumbusha kuomba kila siku japo mala 3 kwa siku why nikuchukie Mwaisa mwenzangu mie nakupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-nn7dq9pu2s7 күн бұрын
Nakupend sana mtumishi ,pale kwa baba yangu kuna mbwa wetu akawa hazai akawa na miaka miwili nilipo kuja hapo kanisani kuchua mafuta na maji ya upako nilipo enda kumwagia akabeba mimba sasa anawatoto 5
Пікірлер: 887
Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤
@blasiustibwakawa6258
13 күн бұрын
Nomaa halafu saana😂
Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa
@Rogathe-Rogathe
22 күн бұрын
Kijana kbs
@bakariomary5781
22 күн бұрын
Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂
@florabuzoya3948
22 күн бұрын
Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana
@allahisone6386
17 күн бұрын
HHHH NDIOOO_🤦🏿♀️
@user-eu5ly2sk8w
8 күн бұрын
Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu
MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED
Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉
Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌
@Rogathe-Rogathe
22 күн бұрын
Aminaaa
@msafirimaulidi5054
22 күн бұрын
Ss mwamposa si mganga km waganga wengine wa jadi,huduma za mwamposa ni za kishilikina km ni MUNGU ata ww unawez kuomba ukaskika, pia ukisema yy katumwa na MUNGU ndo tyl ww ni mfuas wa mganga😂
@benjaminalfa3098
22 күн бұрын
Ameen
@Japanese-lz1or
22 күн бұрын
@@msafirimaulidi5054Kuma ww acha makasiriko
@suzanalucasemanuel7006
22 күн бұрын
Amen
Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele
Mwamposa bado ni kijana Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa
Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏
Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you
Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like
Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤
@ujenziimaratv1192
20 күн бұрын
Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja Akili kichwani
@fumotv7914
17 күн бұрын
@@ujenziimaratv1192unauhakika
@Salesiamalekela-i2h
16 күн бұрын
Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana
Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet
@salumsiraji-ou3uo
19 күн бұрын
hahaha
@ElizabethKazimoto-uc8zo
17 күн бұрын
@@salumsiraji-ou3uo yeah
Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana
Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia
mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤
Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God
@user-is6np5vf6b
22 күн бұрын
Umeona eeh 🎉🎉🎉
@florabuzoya3948
22 күн бұрын
Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana
@heavenlightmalisa1112
16 күн бұрын
Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba
@Apox_eric
16 күн бұрын
Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia. Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo .... The nan is humble, No show offs, proudness. He only says It si the hand of Almighty God. Text me on whatsApp +255753694154
Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki
@AllglorytoGod22
9 күн бұрын
😂
@user-yb8jq9xw2o
8 күн бұрын
😂😂
@benernest5125
8 күн бұрын
MGANGA!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@EstherMhagama-s1n
6 күн бұрын
na ww ukawe mganga ili na.ww ujulikane afrika
@user-dz3rl1ki6u
2 күн бұрын
😂😂😂 umepiga panapouma
Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki
@user-sp8zu7oh2n
19 күн бұрын
❤❤❤
@eusebiusthilia7908
13 күн бұрын
Aswaaa!mwacheni Mwamposa afanye kazi ya MUNGU,AMEBARIKIWA SANA!
@PaulineMajengo
9 күн бұрын
Kabisaa,alikuwa anatangaza matangazo yake mosh akiwa na kirikuu kidogo ,na spika 3
Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina
Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.
@FurahaCosmas
9 күн бұрын
Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb
Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.
@christeternallifetv5959
22 күн бұрын
Ameniiii
@atuganilemsomba3028
21 күн бұрын
Ukweli ambao watu wengi hawautaki
@trophywilson7211
20 күн бұрын
Kabisaa Kabisa Hawajui Kumwamini Mungu
@user-vc4xr1mf5q
19 күн бұрын
Kwani wale walio kwa mwamposa awajampokea yesu na je kanisani kwako waumini wote wameokoka
@user-fy9uk4oh7x
16 күн бұрын
Nikweli huo ni muujiza mkuu saana kuzidi muujiza yote
Nimependa alivyomuwai muandishi kusema anayetenda ni Mungu yaani hajataka kupokea utukufu yeye, kibinadamu ni ngumu kumuelewa mtu akifanikiwa kiwango hiki "utasema kweli ni mahubiri tu au kuna kitu nyuma?" kuna muda tukubali kumuacha Mungu ajuaye na ndio atahukumu kwa haki tusiwaseme vibaya hawa watu wa Mungu, kwani sisi tunaokosoa tunafanya maovu mangapi? Nani anainuka kukuhukumu? Mana ni Siri yako, aliyeelewa nasema nini naomba like
@RoseOdilo
22 күн бұрын
Kabisa❤❤❤
@joelbtz8277
22 күн бұрын
Umenena vyema mno🎉
Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤
Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God
Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima
Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉
Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno
@martingeorge9468
19 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏 Amina
@eclinemaro7677
19 күн бұрын
Amen
@hendrylema5640
18 күн бұрын
dyness upo
@ngowidyness3464
17 күн бұрын
@@hendrylema5640 nipo kabisa
Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤
@saleemsuleiman2220
19 күн бұрын
Mtume feki😂
@IsaackPaulo
18 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki
@saleemsuleiman2220
16 күн бұрын
@@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA
@saleemsuleiman2220
16 күн бұрын
@@IsaackPaulo Tatizo hamna maarifa yale Mafuta anayouza ametolea wapii
@IsaackPaulo
16 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu
Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele
Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4
@Wakwe
17 күн бұрын
Aliemtoa ugumba ni mungu au mwaposa😅
@winfridahaule4364
17 күн бұрын
@@Wakwehapa ndio watu wanapo mkosea Mungu
@FurahaCosmas
9 күн бұрын
Weuweeee🎉
@jovitustoroto4
3 күн бұрын
kweliiii
Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.
Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️
Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani
Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa
mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika
@michaelezekiel4297
9 күн бұрын
😂😂
@FurahaCosmas
9 күн бұрын
Hapo hakuna zuzu ila wew ndo zuzu. Uctukane mamba kabla hujavuka mtooo
@EstherMhagama-s1n
6 күн бұрын
Ww ni zz namba moja halafu ss wengine tunafatia
Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@barutiabuu9492
22 күн бұрын
Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du
@PhyinaElias-mu4wf
22 күн бұрын
Amen
@MaurenEmmanuely-nc9id
22 күн бұрын
Laana unayo ww@@barutiabuu9492
@user-nm1re5kp7m
22 күн бұрын
Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume @@barutiabuu9492
Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!
@Leeeeeeee-96
22 күн бұрын
usiende baki unapoona pana mungu msije wengi tukakosa nafasi 😂
@malkiarosemuhando3310
22 күн бұрын
Haja❤!!
@africanbeez3644
22 күн бұрын
@@Leeeeeeee-96 mkiwa mnachomwa moto uwe una wahi viti hvy hvyo sw 😂😂
@rerisamba
21 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣nimecheka yangu yote
@milanozanzibar
8 күн бұрын
ni kweli
Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho
@F60hustlerF60hustler
22 күн бұрын
Kwahyo mwamposa ndiye baba ako wa kiroho acha kumuudhi mungu wew
@whatisthetruth.8793
22 күн бұрын
Huyu muhuni tuu , hana utumishi wowote
Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe
nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu
Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️
Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤
Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako
@Alphonce-em2xi
22 күн бұрын
@@benardbonephace4896 safi sna
@Rogathe-Rogathe
22 күн бұрын
Umenena vema kabs udugu
@PhyinaElias-mu4wf
22 күн бұрын
Ameeeeen
@reginaringo5167
22 күн бұрын
Utukufu kwa YESU
@anethkitambi3140
21 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda, kukutunza
Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏
Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini. Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.
@ciscojr2277
22 күн бұрын
Unamfananishaje Yesu na binadamu we mpumbavu
@StelaMwambemba-qd3tr
20 күн бұрын
Good point acha wabeze tunafaidi tunaoelewa
Nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho yako mungu azid kukuweka mtumishi wamungu
Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.
I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..
Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo. Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza. Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu
@user-wi8og3sv4j
22 күн бұрын
@@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure
@ciscojr2277
22 күн бұрын
Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu
@zachariamakoba8368
22 күн бұрын
@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho
Mathayo 7:21-23 [21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. [22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? [23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
Mtume ni handsome🥰
@claudia1500
20 күн бұрын
Kabisaaaaa
@mansoorburuhan6791
20 күн бұрын
😂😂😂😂
@mansoorburuhan6791
20 күн бұрын
Ama kwel ndo maana yesu hakuoa😂
Be blessed man of God
Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
Na wewe si uanze kuwakamata
@tinnahagustinolyelu4247
22 күн бұрын
Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii
@jacobnyosole1774
20 күн бұрын
Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂
@Dianamwansasu
20 күн бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili
I like the way he is humbling himself…mahusiano yangu na Mungu yameimarika kwasababu ya huyu baba🙌🏼
Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu
Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤
Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe
Hallelujah!
Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako
100 lwa 100 nimtumishi wa mungu kazi inajiziilisha asiyeamini atajiju
Amen Apostle Mwamposa
@whatisthetruth.8793
22 күн бұрын
Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki
Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana
Mimi naamini Kila kitu ni MUNGU anapanga.wasaidie watu na kuwaponya.tunakuombea miaka mia zaidi ya UTUME🙏
Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu
Yesu akutunze man of God...
KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐
Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉
Arise and sheni
Uumwamini usimwamini hayo ni yako,huyo ndo baba yetu wa kiroho,asante mungu kwa zawadi hii ya pekee
Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu
The man of God Ubarikiwa baba we love you 🎉
tunakupenda baba etu wa kiroho binafsi ni muumini wako kindakindaki kwasbb najua mungu alipo nitoa mimi na familia yangu,,baba kaacha pombe kwasbb ya arise and shine,mama ameinuliwa kiuchumi kwasabb ya yesu ,mdogo wngu Luca amefaulu vzur sasa yupo chuo cha livestock tengeru ,mm mwenyew ndo nabarikiwa had nashangaa...halafu kuna dada alikuwa kichaa alifikia kwetu tukampeleka akapona..mungu akutunze wewe mtumishi wa mungu kupitia maombi yako kwa jesu kristo...
@user-cd9nd9wd5q
21 күн бұрын
Ameeeeeen
Might God enich you with more wisdom Apostle
Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.
@EstherMhagama-s1n
6 күн бұрын
Hongera ongeza juhudi
Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko
@onlyyoujesus8232
18 күн бұрын
Ujumbe mzuri
Ameni mtumishi wa mungu na mungu Azidi kukuinua tunakupenda waumini wako🎉
Nimefuraahii saanaa kumuona mtumishii hapa❤❤❤❤we love babaa
Nakupenda sana mtumishi wa mungu mwamposa naomba mungu akulinde miaka mingi zaidi ili tuzidi kupona ubalikiwe sana mtumishi wa mungu mwamposa 🙏🙏🙏🙏
Mungu aendelee kukuongoza mtumishi , uendelee kufanya kazi yake🙏🙏
Mwamposa wewe ni Mtumishi wa mungu,nitakuamini mpaka kufa kwangu
Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.
Hallelujah hallelujah Glory to God 😢😢
Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.
Tangu sinza ngumbani kwa mtu tunafanya ibada mwacheni❤❤
Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU BONIPHACE MWAMPOSA
Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa
Hata sauti yako tu inajieleza kwamba umetumwa na mungu respect baba wa kiroho
Mama angu amepona kisukari,BP namshukuru sana huyu pastor
Eee Yesu wakumbuke watu wako muokoe na mwamposa akawe ushuuda atoke aliko.
Amen apostle ❤
Tunakushukuru sana mtume MUNGU Akubariki sana akuzidishie maisha marefu Ameen.
Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe
Amekuwa tajiri kuliko Waumini wake. Dini hizi tuwaachie wenyewe waliozileta😂😂😂😂
MUNGU AKUBARIKI SANA MTU WA MUNGU . KWA NEEMA YA MUNGU YOUR TO🎉
Noted
Tunao kuelewa wacha tukuelewe wasio kuelewa pia wapee muda one day wata kuelewa maana hata mimi sikuwa nakuelewa ila muda wa Mungu ulipo fika nilikuelewa bila kipingamizi coz upo tofauti sana na manabii wengine hasa wenye umaarufu. Huna sifa hujisifu unafwata sheria za biblia unakemea dhambi unatoa muda wa maombi na unakumbusha kuomba kila siku japo mala 3 kwa siku why nikuchukie Mwaisa mwenzangu mie nakupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakupend sana mtumishi ,pale kwa baba yangu kuna mbwa wetu akawa hazai akawa na miaka miwili nilipo kuja hapo kanisani kuchua mafuta na maji ya upako nilipo enda kumwagia akabeba mimba sasa anawatoto 5