MASAA MATATU HAYATANITOSHA, ANAFANYA SUNGUSUNGU USIKU | MCHANA ANAUZA MITUMBA - HELLO MR. RIGHT
Ойын-сауық
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 74
Huyu kaka kawadanganya anamaisha yake mazuri sana ndii mana shati upande kuona waschana wa upendo na wamiunekano safi sana
Rajab kma Rajab congratulations kijana mpambanaj nimependa❤🎉
MASHAALAH. Yuko smart sana Huyu kaka. CONGRATULATIONS MY BROTHER. Kupambana. ♥♥♥♥♥♥
Wow amazing 🎉❤❤❤
Huyu mwamba Naona akijukua ya kwangu 😂😂😂 Kenya tuko vizuri tu😊
Unyama sana❤❤❤❤❤❤
Ila rajvil mshkaj wangu drama hujaacha 😂😂😂sijakuona kitambo sana asiekujua ataingia King ww una life nzur Acha uongo
@user-zw7ln4iy3g
6 ай бұрын
eeeee?
Nskupenda sana kaka naomba mungu akupe mke saii ❤❤❤❤
Mmeanza matatzo yenu tena yakutuletea azifiki mwixho
@user-zb2mj5nd5g
6 ай бұрын
kweli bwana wameanza tena kutuletea vipandevipande tena
Nzuri sana hichi kipindi🎉
Natamanigi kujuwa wanaendeleaje kwenye maisha yao jamani tuleteeni baada ya kuchukuwana inakuwaje uko nyuma
Jamani tunataka episode full
I love th show so much buh cn u do English translation,i mean even writing pls..
@josephlucas2786
6 ай бұрын
Uyo dogo ni jiran yangu ana duka kubwa la nguo ana nyumba Kari sana apa mtaan ana IST 2 za biashara na ana Nissan Duaris yakutembelea kifupi apo kafix aone watamuelewaje
@manasemoses6922
3 ай бұрын
Duh kaupiga mwingi
Unyama sana 😂
Mwamba huyu apa umepigaje apo😍
Na mu upload full video bana, sipendi kuwatch nusu😏
Jamaa smart saana wanawake tu hawajui wanataka nini
❤❤❤
Mr right katisha kinoma aiseeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbona imeisha Kati jamani
ni bora demu wako ashikilwe na sponser ila sio wahuni😅😅
Sungusungu ni kazi gani
@nobodyog9512
6 ай бұрын
Mlinzi wa usiku
@BrenderMartin-eb2on
6 ай бұрын
Ahahahah
Wa 🇹🇿 warembo jamani ❤. 🇰🇪 in the house
@marthageorge5043
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤
@bonfacewitaba_official
6 ай бұрын
@@marthageorge5043 Weka dp tukusifie mwaya 😆
@dorcaskidoti249
6 ай бұрын
😂
Kwanza kaniboo mbona hajasema ukweri jamaa anamaisha mazur yani alikua sio wakuja hivo kwa uwezo wake
@DoreenDaniel-hd7kv
6 ай бұрын
Iliupate mwanamke asiekua natamaa nahela alitaka apatemkebora
@mwecmapesa3623
6 ай бұрын
Mimi naisi kafanya hivy kulingana na midem ya asahivi inapenda sana muonekano na mtu alichonacho
For first day nafuatlia show
huyu mdada mweupe anafanana na malkia mtoto wa yombo
Sema haya ni machangudoa tu
@jackmabirangacharles9398
6 ай бұрын
Usimjaji mtu Kwa mtazamo wake sidhani Kila mtu ni changudowa Kwa Maoni Yangu binafsi
@flm1530
6 ай бұрын
Kam huamini nenda uone km kuna mke apo yote machangudoa hayo ndo maan yanabadilik badilik
🔥❤️❤️❤️q
Huyu mwamba kaweza
Sijui nitazame siku ngapi ndo niridhike
Natamani na mm kufika huko nafikaje
Nakipendaga sana hichi kipindi
Ukipata mtu muwaz kama vile mabint walitafakali hlo
Jaman Raj😁😂😂umeona udanganye😅dah!
@ushindingayilo9780
5 ай бұрын
Kwan anafanya nn kama katudanganya
Nataka watuelekeze nasiwengine tuende hapo
Jukueni mwamba wangu mtaona
Rajab acha. Uowng wewe we si tem lida wa airtel weee
@aishajuma18
6 ай бұрын
🤣🤣🤣na wew unamjua
@GracieTyno
Ай бұрын
😂😂😂😂
Wagum tupo wachache mno
Rajab nimempenda🙏
Ntakuja huo mda mm
Rajabu umeamua kwenda kudanganya umma yaani umedanganya watanzania😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbwa muongo wewe khaaaaaaaaaaa🙌🏽Halafu unasema we mkaburu 😂😂😂😂😂dah we kenge mbinguni huendi nasema😂😂😂😂
@user-vk3pl1st4h
6 ай бұрын
Kwan kadanganya kweli
@GracieTyno
Ай бұрын
@@user-vk3pl1st4hMuongo kenge huyo😂😂😂😂ni mshkaji wangu na ana mahusiano yake stable kabisa.
Jamani mbona vipande vifupi kama vya mihogo
Hiki kipindi sio cha kweli jmn yani wote hao kama akitoka hapo haujamkuta kwenye bongo movie basi utamkuta anaimba,model au atafanya chochote cha kuonekana yani wengine walitokaga bingwa tulioangaliaga kitambo mtanielewa sijui mnamkumbuka main jack kuna demu mmoja nae alikuwa season iliyopita nw yupo kwenye kazamoyo hapo kuna demu yupo kwenye comedy za joti hao ni km wanataka tu kujulikana lkn sio real km mr right za wenzetu yani had wanaume wao wanaokuja hapo nao wengi wa aina hiyo
@pilotclassic4468
6 ай бұрын
Wanatudanganya tu, haiko real huyo msichana mwenye Rasta yupo kwenye vichekesho vya joti. Kuna wengine waandaa content tiktok, kiufupi wanatuchezea akili
@Lilyfamily01
6 ай бұрын
Mi kweli mmoja nimesoma nae hapo yey ni model
@izzahboe1442
4 ай бұрын
🎉🎉me nilimuonaga adi zuena wa kwa zombi anataka bwana uku😂😂😂😂😂
Machangudoa kwel haya mwanamke au mwanaume unayejitambua huwez kwenda hapo
@RickshabyVlogs
6 ай бұрын
Hata mtu anayejitambua hawezi kuangalia hii show🤣🤣
@nancyg8664
6 ай бұрын
@@RickshabyVlogs si ndio😆😆😆maana ni kama upo hapo ndan ya show
@RickshabyVlogs
6 ай бұрын
@@nancyg8664 🤣🤣wanaua vibe
@hasnaram4044
6 ай бұрын
@@RickshabyVlogs jibu tamu hili kunywa sodaaa
@RickshabyVlogs
6 ай бұрын
@@hasnaram4044 nifungulie kipenz