KUNDI LA YANGA NI JEPESI| KAMA GAMONDI HATAFANYA UTANI| SIMBA NA YANGA WOTE TUVUKE HATUA YA MAKUNDI

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 32

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway9 ай бұрын

    😂😂😂😂baba levo kusikia simba ilishawahi kufungwa jamani kacheka mno😢😢 nakupenda sana baba levo wangu

  • @cosmascastory9193
    @cosmascastory91939 ай бұрын

    Adela na Baba levo hawajui kabisa uchambuzi hata majina ya timu hawazijui duuuh

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu86610 ай бұрын

    Huyo baba levo Hafai kuchambua hajui kazi hiyo anachambua ki ushabiki zaidi kuliko uhalisia

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi980910 ай бұрын

    Daaaah daimond uneweka undugu kabla ya kazi baba levo hujui mpira aiseee aibu mno weeee Hadi majina hujui mpira kabisa heeeee

  • @ShughuliSalim-gp8gh
    @ShughuliSalim-gp8gh10 ай бұрын

    Bongo nyoso mtu hata kusoma cr Belouizdad hawezi hana idea yeyote kuhusu michezo lkn anaichambua😂😂😂

  • @mlugekarol2688
    @mlugekarol268810 ай бұрын

    Hao washampiga Yanga 3

  • @jumaomar8419
    @jumaomar84199 ай бұрын

    Wepesi wakundi la Yanga ni upi Makundi yote yanalingana sababu wote ni mabingwa wa nchi zao

  • @newtonoskar1566
    @newtonoskar15669 ай бұрын

    ❤ 🇹🇿

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi980910 ай бұрын

    Duuuuh hujui mpira baba levo hata cr Belouizdad umeshindwa hujui mpira wewe

  • @jumaomar8419
    @jumaomar84199 ай бұрын

    Al Ahli inafungika tuone Simba kuwafunga Ijumaa ili kuchota mkwanja wa mama Samia

  • @HildaErminio
    @HildaErminio9 ай бұрын

    Weydad casa branca ndo team gan iyo

  • @saidimponda9037
    @saidimponda90379 ай бұрын

    Adela 😂😂😂😂 na baba levo

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu165910 ай бұрын

    Wasafi mmetuwekea nn tena leo hapo studio!?kama wenye kipindi hawapo si bora mnge kausha tuu

  • @happysanga6846
    @happysanga684610 ай бұрын

    Kweli kabisa gamond kafanya utan ambao umetuhalubu mashabiki

  • @abdul-wahidkhamis8455
    @abdul-wahidkhamis845510 ай бұрын

    Mshkaji hana ata idea khusu mpira anaongea tu bila kujuwa anaongea nn bb Levo tafuta section nyengine utoe huduma na sio apo

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat707110 ай бұрын

    Huyu baba levo akachambue mchele ulioletwa na uto kutoka mbarari ihefu

  • @francispancras7691

    @francispancras7691

    10 ай бұрын

    Leta fact bro... Angalia takwimu.... Za mwaka huu. Anza na mechi sita za kimataifa kwa yanga...

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi980910 ай бұрын

    Belouizdad umeshindwa kulisoma baba levo et Cr duuuh kweli form four ukipata zero kijana

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela84779 ай бұрын

    yanga hamuwezi kukutana na simba abadan

  • @JaphetKessy
    @JaphetKessy10 ай бұрын

    Huyo chawa Sijui anachambua nn

  • @mesharkctz2374
    @mesharkctz237410 ай бұрын

    Acha tuka upige mwingi tulete mataji nyumban TANZANİA

  • @buyungugeneral5541
    @buyungugeneral55419 ай бұрын

    Simba bingwa wa nchi gani?

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela84779 ай бұрын

    sasa wewe baba levo una shida sana 😂,,, yaani yanga inapita ,,,harafu simba haipiti kweli kaka ushabiki umekuteka

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754310 ай бұрын

    SIMBA ITASHINDA

  • @BinBadru

    @BinBadru

    9 ай бұрын

    Amin

  • @Mtaalam_stan
    @Mtaalam_stan10 ай бұрын

    Huyu baba Levo hajui MPIRA, anazijua club zilizocheza na Simba tu hajui kama team alizopangiwa Yanga zote zilishamfunga Yanga siku za gizani huko

  • @francispancras7691

    @francispancras7691

    10 ай бұрын

    Kachambue ww

  • @pharlesyikobela8563

    @pharlesyikobela8563

    10 ай бұрын

    Baba levo kasomea nn?

  • @daltonmunguatosha1197
    @daltonmunguatosha119710 ай бұрын

    Aende ngumbalu kwanza huyu.

  • @AmosFrednand
    @AmosFrednand8 ай бұрын

    Ww amnaga ki2 ujui chochote kwaz mchambuz wa wapi

  • @patricetworokiburi
    @patricetworokiburi10 ай бұрын

    Yanga tutashinda

Келесі