KUNDI LA YANGA NI JEPESI| KAMA GAMONDI HATAFANYA UTANI| SIMBA NA YANGA WOTE TUVUKE HATUA YA MAKUNDI
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 32
😂😂😂😂baba levo kusikia simba ilishawahi kufungwa jamani kacheka mno😢😢 nakupenda sana baba levo wangu
Adela na Baba levo hawajui kabisa uchambuzi hata majina ya timu hawazijui duuuh
Huyo baba levo Hafai kuchambua hajui kazi hiyo anachambua ki ushabiki zaidi kuliko uhalisia
Daaaah daimond uneweka undugu kabla ya kazi baba levo hujui mpira aiseee aibu mno weeee Hadi majina hujui mpira kabisa heeeee
Bongo nyoso mtu hata kusoma cr Belouizdad hawezi hana idea yeyote kuhusu michezo lkn anaichambua😂😂😂
Hao washampiga Yanga 3
Wepesi wakundi la Yanga ni upi Makundi yote yanalingana sababu wote ni mabingwa wa nchi zao
❤ 🇹🇿
Duuuuh hujui mpira baba levo hata cr Belouizdad umeshindwa hujui mpira wewe
Al Ahli inafungika tuone Simba kuwafunga Ijumaa ili kuchota mkwanja wa mama Samia
Weydad casa branca ndo team gan iyo
Adela 😂😂😂😂 na baba levo
Wasafi mmetuwekea nn tena leo hapo studio!?kama wenye kipindi hawapo si bora mnge kausha tuu
Kweli kabisa gamond kafanya utan ambao umetuhalubu mashabiki
Mshkaji hana ata idea khusu mpira anaongea tu bila kujuwa anaongea nn bb Levo tafuta section nyengine utoe huduma na sio apo
Huyu baba levo akachambue mchele ulioletwa na uto kutoka mbarari ihefu
@francispancras7691
10 ай бұрын
Leta fact bro... Angalia takwimu.... Za mwaka huu. Anza na mechi sita za kimataifa kwa yanga...
Belouizdad umeshindwa kulisoma baba levo et Cr duuuh kweli form four ukipata zero kijana
yanga hamuwezi kukutana na simba abadan
Huyo chawa Sijui anachambua nn
Acha tuka upige mwingi tulete mataji nyumban TANZANİA
Simba bingwa wa nchi gani?
sasa wewe baba levo una shida sana 😂,,, yaani yanga inapita ,,,harafu simba haipiti kweli kaka ushabiki umekuteka
SIMBA ITASHINDA
@BinBadru
9 ай бұрын
Amin
Huyu baba Levo hajui MPIRA, anazijua club zilizocheza na Simba tu hajui kama team alizopangiwa Yanga zote zilishamfunga Yanga siku za gizani huko
@francispancras7691
10 ай бұрын
Kachambue ww
@pharlesyikobela8563
10 ай бұрын
Baba levo kasomea nn?
Aende ngumbalu kwanza huyu.
Ww amnaga ki2 ujui chochote kwaz mchambuz wa wapi
Yanga tutashinda