WAZEE SIMBA WAMKATAA CHAMA |WANINI SISI TUMECHOKA MIZENGWE YAKE HATUMBEMBELEZI

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 12

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le4 күн бұрын

    Cmba ina wachezaji wazee mbona mnawachukua hamjambo yanga

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu38854 күн бұрын

    Kikosi (B)alicho cheza nacho Mgunda tumekiona na namna walivyo jitoa hadi wengine wakifunga wanalia .HIKI KIKOSI (A) KATA WOTEEEEEEEEEEEEEEEEEE

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu38854 күн бұрын

    Safi sana ameondoka ,walete kijana eneo lake ❤

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15104 күн бұрын

    Na kweli chama analitaka kushujudiwa alikuwa anauza meche anacheza kama hataki kwa heli wasalimie

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder70224 күн бұрын

    Duka nalo limehamia kwao

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania4 күн бұрын

    Simba inawachezaji wazee kumbe wanawataka.

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in4 күн бұрын

    Chama alikuwa anauza mechi ,achana naye aende

  • @Luganoamos-jv5in

    @Luganoamos-jv5in

    4 күн бұрын

    Kwaanza wamemchelewesha,ilikuwa ufukuzwe kabiisa hyo

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu4 күн бұрын

    Aende tu kwani yeye ni nani?

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    4 күн бұрын

    Mwacheni akatafute malisho mengine, kama vile alivyokwenda tafuta malisho Fei.

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa2374 күн бұрын

    Simba kweli wametua mzigo kwani Chama kaisumbua Uongozi wa Simba kwa muda wa miaka 3 mfululizo. Halafu Chama ni wa kawaida tu. Uwanjani akikabwa tu na mtu, hatembei.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l4 күн бұрын

    acha aende tu yeye na inonga ndo waliyouza mechi ile ya tano moja ,nandiyomana moo akasema hamtaki kwasababu umri ,nakingine yanga wanasajiri kwamihemko

Келесі