KISUGU: ACHACHAWA NA BEKI KISIKI HAMZA KUTUA SIMBA SC | AGEUKA MBOGO KWA AHOUA KUFANANISHWA NA CHAMA

Спорт

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 33

  • @barakagwata2378
    @barakagwata23783 күн бұрын

    Kisugu ongelea mpira,achana na siasa,mama suluu anaingiaje hapo,au unataka cheo

  • @user-qw9zu3ly8m
    @user-qw9zu3ly8m2 күн бұрын

    Safi Kisugu Nakubali maneno kuntu

  • @MussaEnock
    @MussaEnock3 күн бұрын

    Nakupata kutoka geita hongera kwa kuwaerewesha watanzania

  • @GEORGEKASOTE
    @GEORGEKASOTE2 күн бұрын

    Uko vizuri Dogo Kisugu

  • @MchungajiMwamengo
    @MchungajiMwamengoКүн бұрын

    Well done Kisugu Kuna mtu anaumwa eti ulivyo mpongeza mh.Rais kwake Hilo kelo achana naye hanitambui

  • @MchungajiMwamengo
    @MchungajiMwamengoКүн бұрын

    Wewe ni mgonjwa wa kufikiri nyamaza kimya wanaojua kuchangia waendelee.

  • @DonatelaSanga
    @DonatelaSanga3 күн бұрын

    Kweli kabisa kaka kisug

  • @brucardkomba616
    @brucardkomba6162 күн бұрын

    Ongerea mpira mambo ya siasa yatakupoteza.

  • @SulemaniNassor
    @SulemaniNassor3 күн бұрын

    Kisugu upo vizr sana

  • @georgegregory8414
    @georgegregory84143 күн бұрын

    Kisugu anajiwa sana

  • @rubenntiyaga3358
    @rubenntiyaga33582 күн бұрын

    Huyo ni Rais wa nchi ana haki kuiweka picha yake hapoo!!!

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k2 күн бұрын

    Acha kujikomba komba kwa mama huna erimu ya kukupa cheo chochote hata ujumbe wa nyumba kumi hupewe alafu bakisha maneno

  • @FraziaGeorge
    @FraziaGeorgeКүн бұрын

    Itakuwa ww ndo unaumwa Acha simba ipendeze bana

  • @davisbwatwa115
    @davisbwatwa1153 күн бұрын

    ni kweli kisugu japo hawataki ukweli uto

  • @LeonardMayala-gv1yx
    @LeonardMayala-gv1yxКүн бұрын

    Hapa dinga misugwi

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d3 күн бұрын

    Toa iyo picha hapo pembeni niilikua nakukubali ila kwaiyo picha nakuona unapigatu makelele huna lolote

  • @AmosiSimbeye-ll8pg
    @AmosiSimbeye-ll8pg2 күн бұрын

    Kisugu uposai kabisa mwabiye

  • @selemankajonjo1638
    @selemankajonjo16382 күн бұрын

    Chawa mpiga debe wa viongozi

  • @danielramadhan1117
    @danielramadhan11172 күн бұрын

    😢😢😢😢

  • @user-oc6ff9yg1c
    @user-oc6ff9yg1c2 күн бұрын

    Kombanisheni😅😅

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n2 күн бұрын

    kuwa kataa ni swala la muda

  • @HamisiMnuwe
    @HamisiMnuwe3 күн бұрын

    Kisugu ongela kwa bek mpya

  • @davidndungu8619
    @davidndungu86193 күн бұрын

    umeanza kuusifu uongozi wa simba mbeleni uliwaponda kalipwa huyo

  • @salehnassor9553
    @salehnassor95533 күн бұрын

    Si ananunua goli moja Tsh.millioni 5 hadi 10.

  • @ThePlants-zc3rp
    @ThePlants-zc3rp3 күн бұрын

    acha kumponda ikiwa ww mwenyew na utopolo yako amna kitu

  • @davidndungu8619
    @davidndungu86193 күн бұрын

    siku hizi hata umenona uliwashambulia uongozi hadi wamekuita wakakulisha sasa hata sura imerudi

  • @SamiriWahab-ue1wy
    @SamiriWahab-ue1wy3 күн бұрын

    Yanga bingwa Mara 5 ngao ya jamii yanga anachukuwa safari hii bila pingamizi

  • @khadijahussein5298

    @khadijahussein5298

    3 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-tm7nt8wm1x

    @user-tm7nt8wm1x

    2 күн бұрын

    Wewe uwezi kuifunga simba bila figisu na milija yenu yote tumeiacha yote saido ,chama,aishi manula,inonga hao wote ndio waliokuwa munawatumia bc waleteni mama zenu mwaka ili mushinde

  • @khadijahussein5298

    @khadijahussein5298

    2 күн бұрын

    @@user-tm7nt8wm1x 🙉😂

  • @user-kt3fr1xg7f
    @user-kt3fr1xg7f3 күн бұрын

    Mkund wako ww kwel tege

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus3 күн бұрын

    uyu jamaa ni muongo xana anaga pweti

  • @MrishoMindu-zq7mz

    @MrishoMindu-zq7mz

    3 күн бұрын

    Rudi shule ukajifunze kuandika na kusoma kiswahil. Ujue unapo anza kuandika unaanza vip. Wewe kila siku pwet pwet kirusi gani hiki?

Келесі