KISUGU: ACHACHAWA NA BEKI KISIKI HAMZA KUTUA SIMBA SC | AGEUKA MBOGO KWA AHOUA KUFANANISHWA NA CHAMA
Спорт
JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 33
Kisugu ongelea mpira,achana na siasa,mama suluu anaingiaje hapo,au unataka cheo
Safi Kisugu Nakubali maneno kuntu
Nakupata kutoka geita hongera kwa kuwaerewesha watanzania
Uko vizuri Dogo Kisugu
Well done Kisugu Kuna mtu anaumwa eti ulivyo mpongeza mh.Rais kwake Hilo kelo achana naye hanitambui
Wewe ni mgonjwa wa kufikiri nyamaza kimya wanaojua kuchangia waendelee.
Kweli kabisa kaka kisug
Ongerea mpira mambo ya siasa yatakupoteza.
Kisugu upo vizr sana
Kisugu anajiwa sana
Huyo ni Rais wa nchi ana haki kuiweka picha yake hapoo!!!
Acha kujikomba komba kwa mama huna erimu ya kukupa cheo chochote hata ujumbe wa nyumba kumi hupewe alafu bakisha maneno
Itakuwa ww ndo unaumwa Acha simba ipendeze bana
ni kweli kisugu japo hawataki ukweli uto
Hapa dinga misugwi
Toa iyo picha hapo pembeni niilikua nakukubali ila kwaiyo picha nakuona unapigatu makelele huna lolote
Kisugu uposai kabisa mwabiye
Chawa mpiga debe wa viongozi
😢😢😢😢
Kombanisheni😅😅
kuwa kataa ni swala la muda
Kisugu ongela kwa bek mpya
umeanza kuusifu uongozi wa simba mbeleni uliwaponda kalipwa huyo
Si ananunua goli moja Tsh.millioni 5 hadi 10.
acha kumponda ikiwa ww mwenyew na utopolo yako amna kitu
siku hizi hata umenona uliwashambulia uongozi hadi wamekuita wakakulisha sasa hata sura imerudi
Yanga bingwa Mara 5 ngao ya jamii yanga anachukuwa safari hii bila pingamizi
@khadijahussein5298
3 күн бұрын
😂😂😂
@user-tm7nt8wm1x
2 күн бұрын
Wewe uwezi kuifunga simba bila figisu na milija yenu yote tumeiacha yote saido ,chama,aishi manula,inonga hao wote ndio waliokuwa munawatumia bc waleteni mama zenu mwaka ili mushinde
@khadijahussein5298
2 күн бұрын
@@user-tm7nt8wm1x 🙉😂
Mkund wako ww kwel tege
uyu jamaa ni muongo xana anaga pweti
@MrishoMindu-zq7mz
3 күн бұрын
Rudi shule ukajifunze kuandika na kusoma kiswahil. Ujue unapo anza kuandika unaanza vip. Wewe kila siku pwet pwet kirusi gani hiki?