MCHOME: APAGAWA FEITOTO KWENDA SIMBA!!! HAWEZI KUACHA MALISHO MAZURI AJE KUUNGAUNGA.
Спорт
JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 16
Vua tu hiyo jezi haikufai. Hatukutaki Simba maana wasariti wote wanaondilewa. Hakika mnakera sana mashabiki kama nyie hamfai hata kuwarithisha watoto wenu.😭😭😭😭
Uchomwe
Bro acha kuharibu brand za watu
Mwaka huu tutajua timu yako halisi
Chunga sana maneno Yako, umenikera japo ckujui, Simba nikama familia yangu mtu akiiongelea vibaya Simba Huwa nachukia sana. Unaboa we jamaa😭😭😭💯
Ila hata nyie watangazaji nikundi moja mnawahoji mpaka wehu
Wee chokoo tyuu mda wote nikuiponda simba yetu
Hawa ndio wasaliti wa cmba shibiki wa kweli hawez kuwa ingia toka hata kama timu yako inafanya vibaya mtoto wako akiwa mbaya huwez kumchukua wa jiran akawa wako unamlea na yy aje kuwa mtoto mzur kwako
Hawa wachambuz wanaomuhoji huyu chiz kashavuta bangi lake jalalan wanajua atakachoongea ni upuuz mtupu lakin wanamieko nae kumuhoji
Kama simba yetu muiache haiwapi fulaha sisi tunaipenda hivyohivyo
Hivi mashabiki wa simba mnaeishi na mchome si mmkamie mpaka avue jezi? Ningekua nakutana na mchome angeniambia kwanini kuku anakunywa maji rakini hakojoi
Huyu anadharau sana na mungu huwa hampi mja mwenye madharau na mwambieni achunge sana madharau sio mazuri .fei toto sio kama hawezi kuja simba anaitaka kama leo . But tatizo huyu jamaa anaporopokwa hajui anaoropokwa kitugani,na maneno yake yanajikanyaga ,dola milion mbili si afafhali nikanunue mchezaji urope mpuuzi
Azam yamsajili mtu kutoka mashujaa inamaana Azam hawana hela? We mchome we ni mkundu tu unaliwa tako
Watumwa bwan😅😅😅 wewe ulienda kwa mo akakwambia Hela anazozimiliki? Wewe umetumwa Tena ni mchawi wewe cyo bure
Mjinga wewe