GB 64 DEBORA FERNANDES NI MASHINE KATILI VIBAYA MNO, SIMBA TUNASHUSHA VYUMA

Спорт

Debora fernandes

Пікірлер: 186

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli5 күн бұрын

    Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,

  • @khalidmwakabuta5045

    @khalidmwakabuta5045

    5 күн бұрын

    Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa

  • @MamboMbuli

    @MamboMbuli

    4 күн бұрын

    Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano

  • @JoramKinyuko

    @JoramKinyuko

    Күн бұрын

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @patrickmohamed3639
    @patrickmohamed36395 күн бұрын

    Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe65045 күн бұрын

    Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t5 күн бұрын

    GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹

  • @yohanalungwa7960
    @yohanalungwa79605 күн бұрын

    Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo4 күн бұрын

    Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig5 күн бұрын

    JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u5 күн бұрын

    Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe

  • @khalidmwakabuta5045

    @khalidmwakabuta5045

    4 күн бұрын

    @@user-yh3dv2bl7u Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki

  • @daudinyello4033
    @daudinyello40335 күн бұрын

    SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA

  • @samadady7795
    @samadady77955 күн бұрын

    Mwanangu unaongea ukwely sana

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u5 күн бұрын

    Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    KIBOKO YAO ALBADIRI TU

  • @LupatuDaiya
    @LupatuDaiya4 күн бұрын

    Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m2 сағат бұрын

    Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi

  • @kefamahenge5187
    @kefamahenge51875 күн бұрын

    Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa5 күн бұрын

    Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea

  • @beatussoka9517
    @beatussoka95175 күн бұрын

    GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u5 күн бұрын

    Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n5 күн бұрын

    Kweli wanawapiga misumari sana

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    HIYO 100%

  • @HamadSuleiman-e1x
    @HamadSuleiman-e1x5 күн бұрын

    Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo58634 күн бұрын

    HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n5 күн бұрын

    Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn5 күн бұрын

    Yanga wamemchukua tena pa jobe

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    NDIO ZAO HIZO

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55673 күн бұрын

    Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m2 сағат бұрын

    Nasisitiza kazi ya upishi

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale67875 күн бұрын

    Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa

  • @KuchbyMskude
    @KuchbyMskude3 күн бұрын

    Shabiki mwenye akili hold up broah

  • @user-os7yv7gg1s
    @user-os7yv7gg1s5 күн бұрын

    😂😂😂GB bana

  • @sedekiantibahoha2245
    @sedekiantibahoha22455 күн бұрын

    We ndo huna akili sio gb

  • @DonatelaSanga
    @DonatelaSanga5 күн бұрын

    Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da

  • @komboarts7110
    @komboarts71105 күн бұрын

    Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂

  • @user-xc8jp2ol4m
    @user-xc8jp2ol4m5 күн бұрын

    Umetufumbua macho blo

  • @daudinyello4033
    @daudinyello40335 күн бұрын

    HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy643159 минут бұрын

    Simba nguvu moja

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l5 күн бұрын

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo52284 күн бұрын

    Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi5 күн бұрын

    Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏

  • @YahyaMndevu
    @YahyaMndevu2 күн бұрын

    Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2565 күн бұрын

    ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani4975 күн бұрын

    Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.

  • @abuusadick9891
    @abuusadick98915 күн бұрын

    Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe65045 күн бұрын

    Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA

  • @user-pz9nd8ys8o
    @user-pz9nd8ys8o2 күн бұрын

    Gb yupo sahih

  • @Mwnashabani
    @Mwnashabani4 күн бұрын

    Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan

  • @JohnMpemba-in1jm
    @JohnMpemba-in1jm5 күн бұрын

    Gb upo saw bro

  • @THEOBALDNGOBYA
    @THEOBALDNGOBYA5 күн бұрын

    Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u5 күн бұрын

    Mo oyeeee nguvu moja

  • @danielpeter8085
    @danielpeter80855 күн бұрын

    Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi

  • @SilivesterHasunu
    @SilivesterHasunu5 күн бұрын

    mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila5075 күн бұрын

    G waambie utopolo walozi sana

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    TENA WANAUWABUDU

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq5 күн бұрын

    Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌

  • @eliadaimon804
    @eliadaimon8045 күн бұрын

    Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli77405 күн бұрын

    Nakweli

  • @KABIBIPETER
    @KABIBIPETER3 күн бұрын

    lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego33085 күн бұрын

    acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2

  • @MohdRehan-v9l
    @MohdRehan-v9l5 күн бұрын

    Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy643147 минут бұрын

    Hahaha, kwelli uchawi upooo

  • @marshangeka712
    @marshangeka712Күн бұрын

    Kweli kabisa mwamba

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords48195 күн бұрын

    Huyu kashalewa mbona

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n4 күн бұрын

    Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn

  • @amirihabibu8892
    @amirihabibu8892Күн бұрын

    Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea

  • @justinazakayo6152
    @justinazakayo61525 күн бұрын

    Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55673 күн бұрын

    ❤❤

  • @godwillrichard7017
    @godwillrichard70175 күн бұрын

    TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas10784 күн бұрын

    Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?

  • @mosesmachumu7423
    @mosesmachumu74235 күн бұрын

    right

  • @Daniel-u5q
    @Daniel-u5q4 күн бұрын

    Uko sahh mwamba

  • @Licky_boy_tz
    @Licky_boy_tz5 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @Amonationtv4551
    @Amonationtv45515 күн бұрын

    Daah

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo27945 күн бұрын

    GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂

  • @ambrosipaulo1732
    @ambrosipaulo17325 күн бұрын

    Gb bhana

  • @Tupatupamuhamadi
    @Tupatupamuhamadi4 күн бұрын

    Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna94485 күн бұрын

    Kweli kabisa 😂

  • @JohnAloyceSanane
    @JohnAloyceSanane5 күн бұрын

    Asa anamgombesha Nan huyo 😢😢😂😂

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    WEWE

  • @RajabuRamadhan-cy4cj
    @RajabuRamadhan-cy4cj5 күн бұрын

    Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy75595 күн бұрын

    Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed28485 күн бұрын

    Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?

  • @AwadhiHashimu
    @AwadhiHashimu5 күн бұрын

    Vp unawasifu tena kak

  • @4gfashion
    @4gfashion5 күн бұрын

    Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA

  • @MamboMbuli

    @MamboMbuli

    5 күн бұрын

    Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta

  • @user-tr8nw3nu2n
    @user-tr8nw3nu2n5 күн бұрын

    Sema baba sema

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh5 күн бұрын

    Huna hela 0 hajielewi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar34125 күн бұрын

    Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi

  • @RashidWatac
    @RashidWatac5 күн бұрын

    Kabisa mkongwe 64

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx4 күн бұрын

    huyu mwamba anaona mbali

  • @simionluambano3828
    @simionluambano38285 күн бұрын

    Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa

  • @luganowilliam2150
    @luganowilliam21504 күн бұрын

    Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn5 күн бұрын

    Pa omary jobe kaenda yanga

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris5 күн бұрын

    Kweli yanga wachawi sana

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla71085 күн бұрын

    NAKUKUBARI SANA GB64

  • @MambukiIbrahim
    @MambukiIbrahim5 күн бұрын

    Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy643159 минут бұрын

    Hahahaha waambie

  • @abujumanne7570
    @abujumanne75705 күн бұрын

    Gb 64 umeongea ukweli

  • @moseshaji1177
    @moseshaji11775 күн бұрын

    Salute kwako mwana Movement

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar34125 күн бұрын

    Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar34125 күн бұрын

    We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.

  • @mkudembeteni4075
    @mkudembeteni40755 күн бұрын

    Kaka umesema tume kusikia wata amua!!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg3075 күн бұрын

    Mmmmh mtatafuta sababu saaana

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris5 күн бұрын

    Mhh

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q5 күн бұрын

    Msiongeesana mtaona aibuu

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo53065 күн бұрын

    Et okajeka badala ya okajepha

  • @DanieliIbrahim
    @DanieliIbrahim5 күн бұрын

    Bangi hzoooooo

  • @muhamedjaffar5653

    @muhamedjaffar5653

    5 күн бұрын

    Bila Dhaka utakua utoporo

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 күн бұрын

    BANGI KUNUNUWA KWA MAMAKO FISI WEWE

Келесі