kimewakaa!! MGUNDA ATOA MANENO MAKALI KISA KUONDOLEWA SIMBA!! ATOA AHADI KUSEMA YOTE

Ойын-сауық

Пікірлер: 125

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556713 күн бұрын

    Umejibiwa safi. Uchochezi tu uliojaa. Mgunda mkumbukeni ni mwajiriwa wa simba.

  • @eliwazadaniel6535
    @eliwazadaniel653513 күн бұрын

    ❤❤❤nimependa majibu ya mgunda

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556713 күн бұрын

    Safi sana kaka Mgunda. Mbona Mgunda tunaye Daima Simba❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍

  • @user-pt5we2gu4l
    @user-pt5we2gu4l6 күн бұрын

    Kaka mngunda nakupenda bure❤❤❤

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim3006 күн бұрын

    HESHIMA WATOE WAO UONGOZI WA SIMBA. MWAACHENI MGUNDA.

  • @user-qw9zu3ly8m
    @user-qw9zu3ly8m13 күн бұрын

    Nyinyi wachambuzi mnalipwa kuja kuchafua simba nyinyi wachonganishi Mgunda safi sana umewakomesha ao wachambuzi wanafki sana ❤❤

  • @user-ng9bn3jj3x

    @user-ng9bn3jj3x

    13 күн бұрын

    ASA amewakomesha nn,, nyie ndo mnakomeshwa mara oo mgunda abaki ndo kocha mkuu tokeni kule manyumbu

  • @allyhuyu1892

    @allyhuyu1892

    3 күн бұрын

    Mijibwa ipo mbioni kumchonganisha mgunda na Simba sc lkn wamefeli vibaya maana mgunda ni kikwazo kwao, mgunda ni kocha wetu wa akiba tu wakukaa na timu wakati wadharura si wa kupewa timu moja Kwa moja tuachieni mgunda wetu atulie

  • @bakaribakari167
    @bakaribakari16713 күн бұрын

    Cc smba hatupo vizuli mgunda tunamuona mzuli wakat mgumu hatuna shukrani

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p12 күн бұрын

    Ttzo uyanga umekujaeni Boniface alikua anaitwa usiku mchana lkn hamzungumzi hili

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l12 күн бұрын

    Wew mtangazazi mkundu sana tuna kujua unavyo ihuwa Simba nyoko nyakundo mrisha kibumbu

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena162810 күн бұрын

    Asante sana Mgunda umewajibu vizuri sana wachambuzi uchwara wafitini na wachonganishi wanaolipwa vijisenti ili kuichafua Simba

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib13 күн бұрын

    Uko andazi kule debola utachagia nn jamani aende kwawezke kwini simba

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k13 күн бұрын

    Mgunda .nimuajiriwa wasimba .na maishayake yanaenda km yalivopangwa..

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma469513 күн бұрын

    Mimi nasema akiitwa na Simba akatae kwamaana wanaroho mbaya hawamthamini mbwa hawa

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim3006 күн бұрын

    NIPO TANZANIA AISEE AMEGOMA. MUULIZE MSEMAJI WA SIMBA

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu18923 күн бұрын

    Dah! Yaani baadhi ya hawa waandishi yaani ni nyoko kweli Yani,

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g12 күн бұрын

    Bx mwambie aondoke aende kwenye timu yenu ya yanga

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    We mgunda uliambiwa kuwa kocha wa simba,mnatumwaa kuichafua simba

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam830112 күн бұрын

    Nimekuelewa mtangazaji big up sana

  • @user-hk6ms7vo1h
    @user-hk6ms7vo1h13 күн бұрын

    Ila Mgunda 😂😂😂 Babaaaa

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m13 күн бұрын

    Nyie waandishi nanyo matako tu kazi yenu kuchonganisha ndoo maana mtabiliwa vibaya waandishi mikundu nyie

  • @haidarimfinanga9755
    @haidarimfinanga975513 күн бұрын

    Asante sana Mgunda. Una hekima sanaa

  • @DanielDanga-eu2ly

    @DanielDanga-eu2ly

    13 күн бұрын

    Aloo wee jamaa unachambua mpira au siasa mbona unataka kufuatiria maisha ya mgunda acha shobo brooo

  • @allyrembo6714
    @allyrembo671410 күн бұрын

    Mgunda Safi sana umewajibu vizuri hao wachambuzi wasenge wafirwaji hawana hata aibu inaonekana hela GSM inawadanganya waende wakafirwe ngsm

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu62648 күн бұрын

    Huyu muandishi inaonekana ametumwa na utopolo kumshawishi Mgunda aiache Simba,lakin hautofanikiwa

  • @allyhuyu1892

    @allyhuyu1892

    3 күн бұрын

    Wanakampeni ya kumuharibia mgunda kummwagia kitumbua chake mchanga

  • @laurentLyatuu-hw7vb
    @laurentLyatuu-hw7vb9 күн бұрын

    Kocha juma ramadhani mgunda Simba daima! Hao cku nyinge usiwapokelee simu Yao ni wehu ata kwa wazazi wao hawana adabu.vihela vyakupewa ndio wanataka kuaribu Simba.

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja22828 күн бұрын

    Mi sio Kolo napenda michezo hasa kandanda .Swali langu ni lipi?hili hapa Tatizo ni kocha au wachezaji?mkiendelea na haya Timu itakufa na eleweni kuwa Mo ndiye ameiweka hii timu kwenye uhai la sivyo ingekuwa ilishapotea.acheni midomo.Mhindi anaheshimika ki biashara duniani.Simba Uswahili mwingiii mtafeli na hilo sitapenda.

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    Wandishi wainchi hii wanamatatizo ya ubongo sababu ni wachonganishi

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    Ghana inawachezaji wengi nje kuliko Tanzania

  • @user-kg8zf3vc3j
    @user-kg8zf3vc3j12 күн бұрын

    Tafuta timu mzee wangu uwezo mbona uno wanakutumia wakiwa na maisha magumu wakipata nafasi awakutaki ACHA asira na wanahabali kwasababu wanahaki na kaziyao

  • @hakimundabila7940
    @hakimundabila794013 күн бұрын

    Safi sana mgunda

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya407712 күн бұрын

    Kinachoendelea simba ni ubaguzi, Mgunda alikuwa anatosha

  • @allyrembo6714

    @allyrembo6714

    10 күн бұрын

    Ubaguzi nadhani upo kwa mamaako na babaako

  • @AshaShariff-lr6ry
    @AshaShariff-lr6ry11 күн бұрын

    Sasa, nyinyi wachambuzi mnachefua bcz mgunda nimuajiriwa wa simba yeye ni coach wa simba Queens kwa hiyo anarudi kule na wanaenda kucheza kimataifa sasa mbona simba walimchukua kocha mkubwa kutoka Uganda kuinoa simba Queens sasa cha ajabu nini ?

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim3006 күн бұрын

    MGUNDA KATA SIMU

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks11 күн бұрын

    Huyu mzee anatia huruma sana pamoja na taaluma yake anakuwa kama hajitambui hivi yeye kuwa nimtu mkubwa katika mpira hata nje ya nchi anashindwa kuthubutu tupate makocha wakimataifa toka tanzania

  • @ramadhannjolesti
    @ramadhannjolesti13 күн бұрын

    Weweweweeeeeee😂😂😂😂 Makolo bhana🏃

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount349612 күн бұрын

    Amboise nilikuwa nakuuanini sana kuwa na ukweli. Lakini sasa umeingi huku kwa wachambuzi wa wanga. Umeferi mazima

  • @AraboyLiwemba
    @AraboyLiwemba7 күн бұрын

    Kaka nirikumisi sana lini ifakala

  • @samwelpununter3421
    @samwelpununter34219 күн бұрын

    Hatakwawasikilizaji mambo ya.timuhebujaribunikuwa wastaraabu kidogo.muiachie timuiseme

  • @mulhatramadhan1147
    @mulhatramadhan11478 күн бұрын

    Mgunda anangojewa mpk timu ifanye vibaya ndio aifufue

  • @samwelpununter3421
    @samwelpununter34219 күн бұрын

    Kwasababu munawaumiza mashabiki

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n6 күн бұрын

    Mgunda ni dundukakwelikweliiii

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax12 күн бұрын

    Mgunda katemwa😅😅😅😅

  • @cyprianboniphace-oz5lw

    @cyprianboniphace-oz5lw

    5 күн бұрын

    Wangekuwa hawamthamini wangemwajiri?mshahara unamlipa wewe?

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru162913 күн бұрын

    Duu Kocha Mgunda amechukia Ukweli Sio tabia Mzuri wanayo mfanyia Thimbaa Wangeendanayo Misri ili kumpa Furaha.

  • @greysondavid6445
    @greysondavid644513 күн бұрын

    Mngekuwa na nguvu ya kuwachallenge wanasiasa na viongozi wa babaishaji serikalini;Mngepongezwa sana.

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    Wandishi wengine awajui mpira

  • @VenaEliki
    @VenaEliki13 күн бұрын

    Yaan watangazaji wa bongo wanasiasa wanapola hela bunge nalo tunaliona lakin huwez sikia chochote ila makoch da wanatingwa Kama wa ekula pesa zao

  • @abudalaabdumalik9362
    @abudalaabdumalik936210 күн бұрын

    Uyu kama akufundwa mdomo vile

  • @mohamedbakari7690
    @mohamedbakari769013 күн бұрын

    Hivi nyie EFM hamna namba za msemaji wa Simba kwann mnamsumbua Mgunda. Anawashinda kila siku kwa maswali yenu ya kichonganishi mtapoteza mashabiki kwa tabia hii.

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n6 күн бұрын

    Achafedhehaimpate bwegehuyoooo,mtoseniiiiiii

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx13 күн бұрын

    Kuna fundi plumber amabaye uitwa nyumba ikijengwa plan kuonyeshwa mwanzoni alafu Kuna yule fundi uitwa wakati maji taka yamegoma kuzibua mifereji ya maji taka ili muda usonge

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s10 күн бұрын

    Mgunda sisi tunakupenda kama mashabiki tulikuwa tunaomba viongozi wamwamini

  • @allychongowe2025
    @allychongowe202513 күн бұрын

    Ongea yanayokuhusu mgunda awe kocha mkuu awe mpishi kinachotakikana kupata rizki acheni unazi

  • @omarmhamed-sv7dx
    @omarmhamed-sv7dx13 күн бұрын

    Juma Mgunda nishujaa bubu hata ahiumia hatoisauti nahata akitoasauti matajiri wa Simba hawaisikii je tunamsaidiaje

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw5 күн бұрын

    Kuna cha ajabu gani,akiwa anakaimu.

  • @pastorellymacheo
    @pastorellymacheo8 күн бұрын

    Huyu jamaa huna adabu ww unania mbaya na simba ww

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287313 күн бұрын

    Mnaudhi watu kwani hamjui kwamba mgunda ni mtaalAm wa fundi katika timu zote wambeya tu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard914812 күн бұрын

    Ikiharibika wanamtafuta mgunda waaache na yeye atajua nini nyie wachambuzi mnakeraaa!!!

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx13 күн бұрын

    Wanalipwa na nani makolo zenu ziko juu juu sana Kila kitu mnamaindi hapo n watu wanatengeneza content

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    Na nyie mnatumika kuchochea vulugu

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu13 күн бұрын

    Kweli waandishi ni kama wanawake wambea au wanaume wambea

  • @user-rp9dm5vo9f
    @user-rp9dm5vo9f9 күн бұрын

    Mganda hongera ww nikocha unaaminika. Hao. Niwalala hoi

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287313 күн бұрын

    Mwandishi utakuja kupigwa

  • @gedeonnyandwi4434
    @gedeonnyandwi443413 күн бұрын

    Mtu mzima aliekamilika ni Juma Mgunda, Sasa Hawa machawa mnaolipiwa nyumba za kuishi, huyu msenge mtangazaji kuma la mamake

  • @mohamedbakari7690
    @mohamedbakari769013 күн бұрын

    Huu sio uandishi wa Habari ni ushenzi tu, hakuna mtu simkubali kama huyo Zuberi hakuna anachojua ni ushabiki wa kishenzi tu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb12 күн бұрын

    Chanel yakishezi sana wanapenda uchonganishi

  • @allysinde6208

    @allysinde6208

    8 күн бұрын

    Uchonganishi gani Sasa wakat watu waaongea ukweli?

  • @cyprianboniphace-oz5lw

    @cyprianboniphace-oz5lw

    5 күн бұрын

    Ukweli wa kufuatilia maisha ya watu.

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay220812 күн бұрын

    Crown media ndo habari ya mjini

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb12 күн бұрын

    Ndiyo maana tunasikiliza crown kwaumbe wenu

  • @komboarts7110
    @komboarts711013 күн бұрын

    Mwandishi ni mchochezi sana😅😅

  • @user-cj6cg9cw3g
    @user-cj6cg9cw3g12 күн бұрын

    Ira uyo mchambuzi mchochezi

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope8 күн бұрын

    watangazaji

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754313 күн бұрын

    NYIE WACHAMBUZI WACHONGANISHI SANA. KWANN HAMNA ADABU KWA MZEE MGUNDA?

  • @ErastoMohamedShayo
    @ErastoMohamedShayo9 күн бұрын

    Acheni uchonganishi., mbona nyie hamsemi mambo yenu, Mko chini ya kiwango kwenye kazi yenu

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m13 күн бұрын

    Koma mtangazaji mbulula,mgunda 1000%

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    Zuberi umetoloka milembe

  • @rassulluis1947
    @rassulluis194713 күн бұрын

    Yiyi hamna akili kabisa kwani mgunda yuko timu gani ?

  • @ramadhanishabani4600
    @ramadhanishabani460013 күн бұрын

    Mwandishi wa habari hadi aibu kuhoji mambo binafsi ya watu aibu aibu aibu

  • @samwelpununter3421
    @samwelpununter34219 күн бұрын

    Ninyi waandishi manenoyenu nimachafu kulazimisha mtu kuongea nakulazimisha kero

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib13 күн бұрын

    Ambokile unafata nyayo za kitenge waoji ana usiogope

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287313 күн бұрын

    Waandishi waulize simba

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g12 күн бұрын

    Wachen fitina mbwa wakubwa

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo522813 күн бұрын

    Mkishalipwa GSM tu basi mnaanza kusema mambo yasiyo na afya kwa timu ya simba, maamae mmekutana na mtoto wa kizigua hataki ujinga wenu

  • @SalimMalaleo

    @SalimMalaleo

    13 күн бұрын

    Huo ni uchonganishi tu anajua alipo kua yupo Simba mbona hamsemi utapel wa utopolo kwa wachezaji

  • @rukiamkwayo6302

    @rukiamkwayo6302

    13 күн бұрын

    Mm ni yanga Ila huyu mtangazaji hafai na nimsenge Sana na Kama anaona hanakazi ampeleke kwake akamfundishe mkewake akitoka kazini atamkuta chumbani

  • @user-qw9zu3ly8m

    @user-qw9zu3ly8m

    13 күн бұрын

    Nyinyiwachochezi mbwa nyinyi mmelipwa eeeh na GSM muivuluge simba acheni ushamba aiwausu

  • @AdnaneisufomomadeMomade
    @AdnaneisufomomadeMomade13 күн бұрын

    Waandishi. Lazima muwe makini katika kutoa habari zenu

  • @BenjaminiEdward-xl5fv

    @BenjaminiEdward-xl5fv

    13 күн бұрын

    Aisee Mgunda ana ADABU sana

  • @BenjaminiEdward-xl5fv

    @BenjaminiEdward-xl5fv

    13 күн бұрын

    Mazungumzo ya Mgunda ni ya kikazi zaidi na AMAAMINIKA ndo maana anaaminiwa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31312 күн бұрын

    Punch bag hilo

  • @gordanhaule3579
    @gordanhaule357913 күн бұрын

    Punguza umalaya we mtangazaji pia kuwa na Adabu baba yako kasumba yake ni ipi?

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287313 күн бұрын

    Nyie yanga tunawajua

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount349612 күн бұрын

    Ninyi ni wanafiki

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287313 күн бұрын

    Nyie mnayenu inawahusu

  • @user-pj9nd8zh6w
    @user-pj9nd8zh6w13 күн бұрын

    Muandishi wa habari myeyusho,,, fala kabisa afu wawe na adabu

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    Mashoga a

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287313 күн бұрын

    Mbona manara hamuulizi

  • @rassulluis1947
    @rassulluis194713 күн бұрын

    Hacheni hunafiki wabongo

  • @LovelyCoffeePot-yn6zo
    @LovelyCoffeePot-yn6zo9 күн бұрын

    Ila wewe mchonganishi kweri

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx13 күн бұрын

    Kazi ipo!?

  • @ChazzyJacobo
    @ChazzyJacobo13 күн бұрын

    Nikwel San mgunda ap umewawez

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx13 күн бұрын

    N jalala la simba

  • @user-jx3yi9ci7g
    @user-jx3yi9ci7g13 күн бұрын

    Kosa ni lipi kumhoji mgunda

  • @mtangag774
    @mtangag77413 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂duh

  • @mussammanga7791
    @mussammanga779113 күн бұрын

    Huyu kocha hazidi miezi 6,anatimuliwa.

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    13 күн бұрын

    Hayo ni mawazo yako

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    13 күн бұрын

    @@taseleli9181 Hifadhi hiyo comment.

  • @IbrahimuMussa-xb7lm
    @IbrahimuMussa-xb7lm13 күн бұрын

    Kakojoen mkalale

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope9 күн бұрын

    Na wewe unayewatetea wandishi unakung'utwa na wachawi

  • @ommyhatib7331
    @ommyhatib733113 күн бұрын

    Wewe unae tukana waandishi we ndomkundu kabsa

  • @ThePlants-zc3rp

    @ThePlants-zc3rp

    13 күн бұрын

    pia ww na utopolo yako

  • @user-qw9zu3ly8m

    @user-qw9zu3ly8m

    13 күн бұрын

    Wewe uewatetea waandishi shoga tu

Келесі