GB64 ATOA KIHAPO SIMBA/ MWAKA HUU WAKIROGA NASI TUNAROGA/ WANA WAZEE WENGI

Спорт

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 33

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli23 күн бұрын

    Ukweli unajitenga na uwongo cku zote,,wewe unasema ukweli,,lazima NSSF wakuchukie,,,,ishi na ukweli ,,SIMBA NGUVU MOJA

  • @alexchikoko9369
    @alexchikoko936923 күн бұрын

    Brother 64, Mimi huwa nafatilia sana interview zako mana huwa unaongea Kwa references, na ndivyo inavyopaswa kuwa katika taaluma hii ya mpira.

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope23 күн бұрын

    Jamaa anaakili nyingi sana kuliko wachambuzi wote wa Tanzania

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f22 күн бұрын

    Naomba kadi tupo mwanza

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope23 күн бұрын

    Uyu jamaa yupo vizuri sana

  • @salimujuma5185
    @salimujuma518523 күн бұрын

    Nakuelewa Sana bro ubaya ubaya

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira64523 күн бұрын

    Maana ubaya unakuja

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f22 күн бұрын

    Mbona namba 2 haina mtu.Kuna watu.

  • @jumaali9243
    @jumaali924323 күн бұрын

    Hongera G64

  • @KifyasHamis
    @KifyasHamis22 күн бұрын

    Daa kwel

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25623 күн бұрын

    MATOPOLO MACHOGO FC WAMEMCHUKUWA CHAMA ILI WAONEKANE WAMEJAA MAVUMBI YA JANGWANI HAYA ONEKANI WALA HAYA JULIKANI 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe22 күн бұрын

    Haongei kimpira

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm22 күн бұрын

    Kila wakati wausajili ndiofulaha yenu tunaomba 8 ifike halaka tuone kituko

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope23 күн бұрын

    Uyo na babaako sawa

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco431123 күн бұрын

    Achee USENG. Huyo 😂😂

  • @saidabdul832
    @saidabdul83223 күн бұрын

    Wewe sio gb 64 bhana Kaka inafika GB 565446😂😂😂😂😂😂

  • @jamalmanishi7282

    @jamalmanishi7282

    22 күн бұрын

    Brother wewe unatosha kutusemea wana simba wote ktk engo yakunesha thamani ya Simba nikuombe ujitaidi kuilinda brand kwa kutokusema uongo vinginevyo tukonyumayako

  • @user-yn3dr7ve8k
    @user-yn3dr7ve8k23 күн бұрын

    Saf sn bro Akuchomae Mahomet mpk kieleweke

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv695822 күн бұрын

    Weye ni taira gb

  • @mussahhassan8818
    @mussahhassan881823 күн бұрын

    😅😅😅😅 nakubal gb 64

  • @DianaLyimo-be7yp
    @DianaLyimo-be7yp22 күн бұрын

    Siulisema unahama timu wew au ndo maneno yamtu mwenye nja

  • @user-cg4gi3no7r

    @user-cg4gi3no7r

    20 күн бұрын

    We ndio fala mwema njaa

  • @user-cg4gi3no7r

    @user-cg4gi3no7r

    20 күн бұрын

    Boya kweli

  • @user-cg4gi3no7r

    @user-cg4gi3no7r

    20 күн бұрын

    Pimbi wwe

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe22 күн бұрын

    Ilikuwa kipindi Cha korona na mjinga mmoja kumkamata manji

  • @user-cg4gi3no7r

    @user-cg4gi3no7r

    20 күн бұрын

    Aliye mkamata manji sio mjinga

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h23 күн бұрын

    Simba hewa, ubaya ubwela ni misemo ya kale sana, ya kijima, sasa mambo ya kale uyalete leo?.

  • @sakinasakina1286

    @sakinasakina1286

    22 күн бұрын

    wew unatafuta bwana nini

  • @farajasospeter9668
    @farajasospeter966823 күн бұрын

    Akili hana huyu ila kwa kuwa makolo hua hawana wanamuona huyu jamaa anaongea madini

  • @user-rq1hn1xx9x

    @user-rq1hn1xx9x

    23 күн бұрын

    Ww mwenyewe unampenda huyu ndomana unamfatilia.

  • @omanoman8700

    @omanoman8700

    23 күн бұрын

    Ww mwenyewe huna akili

  • @user-rq1hn1xx9x

    @user-rq1hn1xx9x

    23 күн бұрын

    @@omanoman8700 ww mwenyewe akili zako umeziacha utopoloni umekuja kumwangalia shabiki tu..je angeongea msemaji cungeanza kutukana matusi kabisa??fata yako chura ww

  • @Gisakijamaduda

    @Gisakijamaduda

    23 күн бұрын

    Weeeeeeee ngogwe fc huna cha kusema mbele ya gb64 unajiropokea tu!!!!!😅😅😅😅

Келесі