GB64 NA MUHINDI WA SIMBA WAMWAGA SIFA KWA WACHEZAJI WA SIMBA MASHABIKI WA YANGA WAKASILIKA

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 107

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson96188 күн бұрын

    Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima

  • @AzizaMayemba-td8po

    @AzizaMayemba-td8po

    7 күн бұрын

    Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina

  • @joshuasamson9618

    @joshuasamson9618

    7 күн бұрын

    @@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani

  • @user-id5oc7hm4n

    @user-id5oc7hm4n

    7 күн бұрын

    ​@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa

  • @joshuasamson9618

    @joshuasamson9618

    Күн бұрын

    Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55678 күн бұрын

    Sema sema kaka. Simba hoyooo Mahindiiiiii❤❤❤❤👍👍👍🎉🎉🎉😁😁😁😁😁😁

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u8 күн бұрын

    Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa

  • @user-hm6uz7zc5b
    @user-hm6uz7zc5b3 күн бұрын

    Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde

  • @PaulSengo
    @PaulSengo7 күн бұрын

    ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56778 күн бұрын

    😅😅😅 eti Baleke kapewa VITS...😅😅

  • @georgeuswege5905
    @georgeuswege59058 күн бұрын

    Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka

  • @eliwazadaniel6535
    @eliwazadaniel65358 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤

  • @barakamwacha8214
    @barakamwacha82148 күн бұрын

    Mtayala maneno yenu, mwenyewe naogopa kusifia kwanza. Huyu ndo atarudi hapa kulia

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn48828 күн бұрын

    yanga jiandaeni kisakologia

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga8 күн бұрын

    GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale2358 күн бұрын

    Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake

  • @user-wh3so3px2y
    @user-wh3so3px2y8 күн бұрын

    Ila hichi kingeleza😂😂😂😂

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja22828 күн бұрын

    Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila5078 күн бұрын

    Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.

  • @jumaali9243
    @jumaali92438 күн бұрын

    Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib2238 күн бұрын

    Tatizo umri, uwezo wanao? Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch

  • @user-co5qk5xo8i
    @user-co5qk5xo8i8 күн бұрын

    Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg8 күн бұрын

    Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉

  • @juliussimion7187
    @juliussimion71877 күн бұрын

    Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus7 күн бұрын

    Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @georgekagwebe2461
    @georgekagwebe24616 күн бұрын

    Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh8 күн бұрын

    Uko vizuri kaka

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u8 күн бұрын

    Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂

  • @MgangaShabani
    @MgangaShabani8 күн бұрын

    Unabaya mwalimu

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi21957 күн бұрын

    Alie sikia kizungu aseme ndioooo

  • @PeterMussa-sm7if
    @PeterMussa-sm7if4 күн бұрын

    Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao

  • @user-or3bg6oj9v
    @user-or3bg6oj9v8 күн бұрын

    Naomba namba ya sim gb 64

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa8 күн бұрын

    We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania

  • @festoissa7476

    @festoissa7476

    2 күн бұрын

    Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelis8 күн бұрын

    Lakini mzamiru mpambanaji

  • @user-pm2ww1ir8z
    @user-pm2ww1ir8z8 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉 pokea chapu mauwa yako mwamba 64 GB mwanao hapa kutoka tete mozambique ❤❤

  • @ShaibuShaibu-c3e
    @ShaibuShaibu-c3e8 күн бұрын

    Machine yakuongea gb mwamba

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi7 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51928 күн бұрын

    Muda utaongea maneno mengi ya nn

  • @muharamiamiri9750
    @muharamiamiri97506 күн бұрын

    Huyo anasema fa nne ni ipi na ipi kama sio uongo

  • @RevocatusKambimbaya
    @RevocatusKambimbaya8 күн бұрын

    GB aminia mwanang

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota21426 күн бұрын

    Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo8 күн бұрын

    Kweri 😂😂

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo8 күн бұрын

    GB 64 nakuerewa

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw7 күн бұрын

    useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru16297 күн бұрын

    GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane. Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani

  • @ChivaKayange
    @ChivaKayange7 күн бұрын

    Huyu jamaa mwamba

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo8 күн бұрын

    Wambie 😂😂😂😂

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c6 күн бұрын

    Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo8 күн бұрын

    Kweri

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo8 күн бұрын

    Fei ToTo karibu msimbazi rahatu

  • @user-tv5px7mw7k
    @user-tv5px7mw7k8 күн бұрын

    Sawa msija pamoja

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr6 күн бұрын

    Tim mpya ya vijana watakoma uto

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo8 күн бұрын

    Nimekuerewa mwamba

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja22828 күн бұрын

    Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad96158 күн бұрын

    Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa

  • @MatulizoMahenge
    @MatulizoMahengeКүн бұрын

    Huna baya

  • @SalumSevingi
    @SalumSevingi7 күн бұрын

    Saluti gb 64

  • @user-em7xh9cn4y
    @user-em7xh9cn4y8 күн бұрын

    Ndiyomanaanaitwa gb 64

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el7 күн бұрын

    Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu

  • @peterchande957
    @peterchande9578 күн бұрын

    Bado hujasema

  • @user-ck1vr4iu7p
    @user-ck1vr4iu7p4 күн бұрын

    Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u8 күн бұрын

    Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele

  • @TABIAMBWATE

    @TABIAMBWATE

    7 күн бұрын

    mm Simba lakini yanga atuwawez

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole44948 күн бұрын

    Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi18818 күн бұрын

    Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema

  • @ernestsereli8559

    @ernestsereli8559

    8 күн бұрын

    Tulia sindano ikuingieee

  • @Shirimaaloyce
    @Shirimaaloyce8 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-em7xh9cn4y
    @user-em7xh9cn4y8 күн бұрын

    Pamojasana

  • @user-ru3ct5en2m
    @user-ru3ct5en2m8 күн бұрын

    Hahah jipe moyo

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg8 күн бұрын

    Wachezaji wa bei nafuu tusubiri. Msianze kufungiana

  • @FeydhullahTwalib

    @FeydhullahTwalib

    8 күн бұрын

    Chiziiiii hiloooo

  • @user-ip6xg6jx3g
    @user-ip6xg6jx3g8 күн бұрын

    Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.

  • @allymnyenye8109

    @allymnyenye8109

    8 күн бұрын

    Hahah wewe mmbustani....

  • @tosh7671
    @tosh76718 күн бұрын

    ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.

  • @user-ov6kd3jz6c
    @user-ov6kd3jz6c8 күн бұрын

    LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO

  • @FeydhullahTwalib

    @FeydhullahTwalib

    8 күн бұрын

    Chiziiiiii

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    8 күн бұрын

    Hii haiondoi ubovu wa Mangungu

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga8 күн бұрын

    Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji

  • @joshuasamson9618

    @joshuasamson9618

    8 күн бұрын

    Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri

  • @AnordKapalamba
    @AnordKapalamba6 күн бұрын

    Wivuwako unakusumbua

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo7 күн бұрын

    Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    21 сағат бұрын

    Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg8 күн бұрын

    Kwani Mo hakuwepo?

  • @MrishoMindu-zq7mz

    @MrishoMindu-zq7mz

    8 күн бұрын

    Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.

  • @salehemsumi615
    @salehemsumi6158 күн бұрын

    Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!

  • @MamboMbuli

    @MamboMbuli

    8 күн бұрын

    Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    8 күн бұрын

    Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka

  • @georgesteven5185

    @georgesteven5185

    4 күн бұрын

    ​@@mohdkhatib223acha ujinga wewe

  • @uredipeter412
    @uredipeter4128 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Papycon22_
    @Papycon22_8 күн бұрын

    Tusubiri mpigwe chuma tano halafu tuskie kelele za mangungu 😂

  • @RashidiMwiga

    @RashidiMwiga

    8 күн бұрын

    @@Papycon22_ maisha hayana formula so ukikalili utaferi

  • @Papycon22_
    @Papycon22_8 күн бұрын

    Kipindi cha usajili makolo wanaongea sana ila ligi ikifika katikati ni mtafutano 😂

  • @gerphasntaziha4475

    @gerphasntaziha4475

    8 күн бұрын

    Usiishi kwa kukariri

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad96158 күн бұрын

    SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi8 күн бұрын

    Kwani saido mlipomsajili hajatokea Yanga?

  • @bone102

    @bone102

    8 күн бұрын

    Katokea geita gold

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd8 күн бұрын

    😂😂😂😂leo unamtukana chama?kweli kolo kolo tu,..ngojeni legue ianze mtaanza ohooo viongozi wanakula 10% ohoo wametuletea magalasa

  • @edwarddastani3691

    @edwarddastani3691

    8 күн бұрын

    Tuliza mbulolo mzee muda utaongea 🙌 🙌 🙌 🙌

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z8 күн бұрын

    Ropokeni tu subirini goli nane mpalanganane tena na this time unaenda segerea kabisaaaa bwege wewe

  • @FeydhullahTwalib

    @FeydhullahTwalib

    8 күн бұрын

    Kubalini ukweli

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne1238 күн бұрын

    Mzamiru Yassin 😂😂😂 ni 30 bhana

  • @Mra_brand

    @Mra_brand

    8 күн бұрын

    Kumanina wewe ndo baba yake chizi 😂

  • @InnocentBobsleigh-mc6sm

    @InnocentBobsleigh-mc6sm

    6 күн бұрын

    Au 35 umefurahi xaxa

  • @georgeuswege5905
    @georgeuswege59058 күн бұрын

    Ndo maana walikufurumusha kwa vyeti feki, angalia mazee yamekosa kazi ya kufanya yanamsikiliza kolo vyeti feki

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    21 сағат бұрын

    Wewe mwenyewe uamaliza hela ya kununulia kitumbua kwa kununua MB😂😂😂

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h8 күн бұрын

    Washirikina nyie, wanalogwa na nani? Mpira unachezwa mahari peupee.

Келесі