GB64:HUYU MWAMBA ALIYETUA LEO REKODI ZAKE MYAKIMBIA WENYEWE

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 91

  • @barakamapayu2850
    @barakamapayu28504 күн бұрын

    Hongera gb64 upovizuri tunakuelewa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l5 күн бұрын

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n5 күн бұрын

    GB nakukubali

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia79405 күн бұрын

    Gb 64 kazi kazi brother

  • @januarysungura8119
    @januarysungura81195 күн бұрын

    Tunakwenda na timu na boss tunamkubali.

  • @drizyMg
    @drizyMg5 күн бұрын

    nakukubali bro GB 64 endelea kutuwakilisha ndugu zako tusiokuwa na sauti.

  • @barakaPaulo-ei8zp
    @barakaPaulo-ei8zp5 күн бұрын

    Pamoja sanaa

  • @user-xh8sh9pu4s
    @user-xh8sh9pu4s5 күн бұрын

    Kaka nakuelewa

  • @JohnKulwa-c9v
    @JohnKulwa-c9v5 күн бұрын

    Gb nimekuelewa kaka

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru16295 күн бұрын

    Wamerithi kwa Ahmed Ally Gundu Kiroporopo Uongo Huyo ni Kigeugeu.

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    4 күн бұрын

    Achana na sisi kaiongelee timu ya wachawi yanga

  • @AdhamAlliy-mg5py

    @AdhamAlliy-mg5py

    3 күн бұрын

    Ulitaka aiponde Simba ndio mumsifie

  • @Dastanikasanda
    @Dastanikasanda5 күн бұрын

    Kwahiyo ulitaka akwambie vp. Mfuate

  • @user-gp3pm4qp5y
    @user-gp3pm4qp5y5 күн бұрын

    Uko vizuri kaka

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz5 күн бұрын

    Ahadi yako kuhama team akiondoka Chama sasa unasubiri nini

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u4 күн бұрын

    sana kaka upo sawa

  • @AndrewShayo-np1sy
    @AndrewShayo-np1sy5 күн бұрын

    Siyo Shomari lawi ni Lamek Lawi

  • @emmanuelmayunga1518

    @emmanuelmayunga1518

    5 күн бұрын

    😅😅na huwa anapenda kwel kusema shamari lawi

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy5 күн бұрын

    Ebu search video za chama apo alaf uringanishe na pumba za gb64😂😂

  • @user-md7sd3hk6l

    @user-md7sd3hk6l

    5 күн бұрын

    Ata uyo chama kapata jina simba bisha tuone nauyo ata pata jina unya mani shika iyoo

  • @BenPeter-vp2cy

    @BenPeter-vp2cy

    5 күн бұрын

    @@user-md7sd3hk6l mbona povu sheikh 😁😁😁 kama chama kakuuma nenda kashtaki kw mangungu😂😂😂😂😂💚💛.. simba nguvu moyaaaaaaaa

  • @musamwakalibule3383
    @musamwakalibule33832 күн бұрын

    Nilikuwa najiuliza kwanini uliondolewa kwenye ualimu? Tayari nimejua maana halisi ya vyeti feki.

  • @KirishwaRashid
    @KirishwaRashid5 күн бұрын

    Asante.. Gb.. 64

  • @musamwakalibule3383
    @musamwakalibule33832 күн бұрын

    Tayari gb 64 umeitwa na kupigwa noti umeanza kuwasafisha viongozi uliokuwa unawatukana hadi ukafungwa rockup ya polisi!?

  • @gulamjuma8939
    @gulamjuma89394 күн бұрын

    Piga kazi kaka

  • @emmanuelibrahim4556
    @emmanuelibrahim45565 күн бұрын

    Sawa ata kama nikupunguza umri ndo mtale awe na miaka 22 kweli?😅

  • @FrankMaiko-xb5fn
    @FrankMaiko-xb5fn5 күн бұрын

    Nakuami bloo maneno yakishujaa

  • @elirahammwiri6519
    @elirahammwiri65194 күн бұрын

    Amepoteza mvuto tokana na ahadi ambazo hazitimiii!!!

  • @AsiaBakari-k4k
    @AsiaBakari-k4k5 күн бұрын

    bado mmoja kaka

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge82794 күн бұрын

    Uliniaminisha kuwa chama haondoki popote mo keshamalizana nae mwisho wa cku chama anatambulishwa yanga kikweli ww ni mkundu tu chawa tu.

  • @emanuerchrsimas5151
    @emanuerchrsimas51515 күн бұрын

    bro kuwa na msimamo juzi ulimsifia ila baada ya kutambulishwa yanga unamuita mchochezi wa migomo

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y4 күн бұрын

    Mimi nime fulai kuondoka mana Kila siku migogolo na kosha

  • @selemanidando298
    @selemanidando2984 күн бұрын

    Msije mkawasema tena viongozi wenu tena hizi clip zinaishi

  • @raybirry3816
    @raybirry38164 күн бұрын

    JAMAA MUONGOOOO! UNAGUNDUA HUA HANA ZA NDANI,ANAROPOKA TU.

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole44945 күн бұрын

    Hawa wachezaji tunawasifia Sana,ligi ikianza,misumari,mauzauza vinaanza.Viongozi wawe makini asee.

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    😂😂😂 acha kuamini mauzauza ..... Mpira ni science ukileta mbugila mbugila mtashikana mashati buree

  • @geraldbagole4494

    @geraldbagole4494

    5 күн бұрын

    @@mwanangusana Sisi wenye D2 tunajua,Simba wanasifia Sana usajili kabla ya ligi,matokeo mnahatarisha wachezaji bureee.

  • @AdijaSurutan
    @AdijaSurutan5 күн бұрын

    Maneno. Saii

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu4 күн бұрын

    Wakati unaongelea simba usimtaje samia utafanya nitapike

  • @FumaoFumao-d8w
    @FumaoFumao-d8w4 күн бұрын

    Naona hurumà kwa wale watakaokùtanao simba

  • @Shinarambod
    @Shinarambod4 күн бұрын

    Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti

  • @saidismail6676
    @saidismail66764 күн бұрын

    Gb 64 ww ni kichwa unajua unacho kisema

  • @makoreremakorere4212
    @makoreremakorere42125 күн бұрын

    Heeee nimekukubali chuma Cha Simba

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n4 күн бұрын

    Niswala la muda kuwa kataa

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h5 күн бұрын

    Kumbe viongozi wako vzuri ila unadanganya sana

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel13745 күн бұрын

    Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama, Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu, Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?

  • @georgecuthbert5230

    @georgecuthbert5230

    5 күн бұрын

    Sawa hawamuitaji Chama basi wampe thank-you

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad78875 күн бұрын

    GB64 yule ni Lameck Lawi,yule Shomari Lawi ni refarii

  • @OmaryAlly-h1j

    @OmaryAlly-h1j

    5 күн бұрын

    Kaka unatisha nguv moja

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt5 күн бұрын

    Sina imani nauyujamaa anawadanganya ndugu zake wa simba

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot5 күн бұрын

    Uko xawa

  • @user-sm1zu2mo4b
    @user-sm1zu2mo4b5 күн бұрын

    Mmm mtaani wanalia hukuuu schama

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l4 күн бұрын

    Aliyepunguza miaka nani ?hata hivyo haiwahusu, pakome azizi wanamiaka mingapi famyeni yenu mikundu wekeni keki mikunduni mwenu tuacheni

  • @fatumasophu5855

    @fatumasophu5855

    4 күн бұрын

    Haaaa matusi Tena

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha4 күн бұрын

    100

  • @JustineMasele
    @JustineMasele2 күн бұрын

    ❤❤❤😂

  • @georgebetram63
    @georgebetram635 күн бұрын

    😂

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy5 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 jamaa ni mnafki uyuuu

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz5 күн бұрын

    ACHA UONGO PSYCHOLOGY GANI ULITUMIA BWANA,,, WEW ULIKUW UNAMAANISHA UNAJIONA UNA AKILI SANA SIO

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    5 күн бұрын

    Fala huyo anavunga mjanja

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael55 күн бұрын

    Huyu mwehu msiwe mnamhoji, ni mjuaji halafu hajui, nahisi ni tapeli wa dar

  • @deniskangombe7442

    @deniskangombe7442

    4 күн бұрын

    Hivi unapataje jeuri ya kuandika maneno kama hayo Aya Sasa ngoja wakuhoji ww usiejua lolote unajua some time mnakera eti

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    3 күн бұрын

    @@deniskangombe7442 peleka ujinga huko

  • @eliashagai7920
    @eliashagai79205 күн бұрын

    Chawa

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h5 күн бұрын

    Mbona ulisema unahamia Azam na uhame basi

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h5 күн бұрын

    Ulitudanganya umeongea na mo kuwa issue ya chama ameimaliza, wewe siyo mkweli.

  • @DarliotonTumaini

    @DarliotonTumaini

    5 күн бұрын

    Weunategemea ukweli kupitia hawa 😂😂😂😂😂

  • @user-sq3cu7dv7c

    @user-sq3cu7dv7c

    5 күн бұрын

    Tena uyu fala kwan ajuw kma watu tunamfuatilia sana

  • @Oscarmarwa-fitnesstrainer

    @Oscarmarwa-fitnesstrainer

    5 күн бұрын

    Mpuuzi wewe si ulisema chama akihama utaacha kushabikia simba madako wewe

  • @Oscarmarwa-fitnesstrainer

    @Oscarmarwa-fitnesstrainer

    5 күн бұрын

    Matako wewe

  • @Oscarmarwa-fitnesstrainer

    @Oscarmarwa-fitnesstrainer

    5 күн бұрын

    Hama team kama ulivyo sema

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco43115 күн бұрын

    Chawa 😂

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h5 күн бұрын

    Unahamia lini azamu

  • @georgebetram63
    @georgebetram635 күн бұрын

    Kubwa kuliko😂😂😂😂 namkumbuka Bugatti

  • @RashidOmary-bd5oz
    @RashidOmary-bd5oz4 күн бұрын

    Wacha chama aende zake tunashusha vifaa watakoma mwaka huu.

  • @isayamneja7020
    @isayamneja70205 күн бұрын

    We mlopokaji sana, hata usivyovijua unaropoka tu

  • @mzugigizzlelife6229
    @mzugigizzlelife62295 күн бұрын

    Kwani nawe si mmoja wapo aliyehitaji maandamano

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    5 күн бұрын

    @@mwanangusana wewe ulimchangia nini wewe kaa kule..

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    5 күн бұрын

    @@januarysungura8119 nilichangia elfu 2 kwenye mchango. Au Imekuumiza Moyo kuwa asiambiwe ukwel kuwa ni bumundaaa ndumilakuwili

  • @user-dw5ce3ht6c
    @user-dw5ce3ht6c5 күн бұрын

    Gb 64 nakuelewa sana

  • @kassimmwawado7002

    @kassimmwawado7002

    4 күн бұрын

    Kichapo kiko pale pale!

Келесі