MIRAJI |KOCHA HANA CV ZA BENCHIKA MMH! BALEKE OKRAH TATIZO YANGA |CHOMBO KIPYA MSIMBAZI TISHIO
Жүктеу.....
Пікірлер: 151
@jumamakame39786 күн бұрын
Hii sasa safi chagamba utasalimika na makofi ya mabega😂
@HamicKauno255
5 күн бұрын
Mbona kama mwendo ni ule ule 😂
@IllhaamIbrahim
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@FranksonMkumbwa-mb3pp
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😅
@southernkid6932
5 күн бұрын
😂😂😂
@FahadBurhan-dl9ik
5 күн бұрын
Chagamba mabega yangekua meusi kwa makofi ya miraji.. 😂
@jumahabibu57726 күн бұрын
Miraji chagamba hongereni Leo nimefurahi sana mpo kwenye muonekano mzuri sana safiiii🔥🔥🔥
@hassanchiwambo6876 күн бұрын
Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Simba ijayo ni hatari sana yenye vijana wenye nguvu
@fettiemaganza1484
6 күн бұрын
Vijana ndo mpira ombeni tu waende na matarajio yenu hatutaki malalamiko
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee@@fettiemaganza1484
@mnabukulakasaka
6 күн бұрын
Miraji wachezaji wako 2 bado
@mwanangusana
6 күн бұрын
@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂
@user-wk2bg8zf3l6 күн бұрын
miraji Leo mmetisha Kama crown media, kama mpo ofisini 😂😂😂😂SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOOO
@EmmaPallanjo
6 күн бұрын
Bega la chagamba Leo limepumua
@B.M-ix4rz6 күн бұрын
Hatima mungu kasikia kilio chetu mabega ya chagamba yako salama kwa siku ya leo yamepumzika kipigo
@hamissima
6 күн бұрын
😂😂🎉
@victorlyimo8966 күн бұрын
Hapo sasa unyama sana kama studio yaan...mmeendelea snaa wakuu hongereneiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sabinaechasa29256 күн бұрын
Chagamba Leo begalimepumzika muwemnakaa hivyo kwakujinusuru siyokwamikofi yale😂😂😂😂😂😂
@mwlhalimoja.ekingunza1819
6 күн бұрын
😂😂😂😂 ila Leo haitanoga aisee. Yaani Miraji na Chagamba lazima mabega yapate moto😂😂😂
@charlesmelkiory47426 күн бұрын
Mabega ya chagamba leo yapo salamaa...hongereni sana MGen insurance
@LearnBenjamin6 күн бұрын
Kama namuona miraji 😅😅😅alivyo miss kupiga mabega ya chagmb 😂
@user-fs7xc2bb5d
6 күн бұрын
😂😂😂
@user-ff1it9og8y6 күн бұрын
Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani
@amanikwiyima90546 күн бұрын
Hapo kwenye dua bado Miraji uko nyuma sana,unaanza kujipanga pa kujifichia
@user-fg8hg9fe1w6 күн бұрын
Chagamba huyo miraji inatakiwa ukae naye mbali asikuguse mikofi ya mabegani atakupinda mgongo😂😂😂
@zamdajumbe77426 күн бұрын
Miraji leo mmekaa yaani leo kama mpo ofisini ila safi lazima siku Moja Moja mubadilishe muonekano
😂😂😂😂😂 nilitaka nishangae chagamba asipate hata kofi moja kwel nisingeangalia tena sema leo makofi yamepungua 😁🤸🤸
@SuleimanJuma-dv8gt6 күн бұрын
Setup ya leo amazing👍
@mwasunga6 күн бұрын
Milaji baba ulikua wapi baba wanasimba tukikusikiliza mwoyo yetu inainjoy omemuona okojephe baba tunakuitaji kesho umzunguzie mungu azidi kukuzidishia afya njema ww pamoja nafamilia yako mzazi
@WestonMbuba-ff4jk6 күн бұрын
Chagamba ninaomba T shirt ya MG. Mwili wangu ni kama wa Miraji
@user-sz9om9ly4y5 күн бұрын
Leo chagamba mabega yamepumzika kupigwa,utanenepa chagamba mmekaa vizuri mmependeza sana hongereni sana.
@sittandaki21355 күн бұрын
Naona chagamba mabega yako yamepumzika hongera sana 😂😂😂😂😂😂😂 but nawakubari sana wote wawili
@user-cw8yt9pr8j5 күн бұрын
Leo sehem salama
@marthageorge50436 күн бұрын
💥💥💥💥
@SospeterMasanja-r6b6 күн бұрын
Chagamba kaona isiwe shida. Kakaa mbali na makofi ya miraji
@mwlhalimoja.ekingunza18196 күн бұрын
Aaah Leo mmekaa chagamba leo hutapigwa mabega😂😂. Ila sijapenda yaani muongee bila kupigwa mabega na miraji!!?
@abduldihomba16325 күн бұрын
Huyu miraji sometimes maneno yake anayatafuna mwenyewe tusubiri tuone..
@BahatiomaryMwambela6 күн бұрын
Kikubwa tusiwape plesha wachezaji na walindwe
@KaujuMwakajumba6 күн бұрын
Asante kwa kupata pa kukaa.... maana Miraji alikuwa alikuwa anakuumiza sana mabega chagamba,😂😂😂
@Charlesmagita2 күн бұрын
chagamba leo.kachukuwa kitu maana Yale makofi ya miraji ni hatari
@fettiemaganza14846 күн бұрын
Kwa leo chagamba mikofi inamkosa
@chng19906 күн бұрын
Josee morinho anakuja na falsafa zake na anakupatia matokeo
@kibwanakizulege46326 күн бұрын
Kwa staili ya Leo tunakosa radha Ile ya Miraji KUMPIGA Chagamba BEGA. BEGA la Chagamba lipo salama leo😂😂😂
@FredyPeter-rq8hj6 күн бұрын
hapo sawa umemkalisha milaji kwenye sofa maana unge msimamisha mabega ugesoma namba acha apige pige sofa❤❤❤
@kihilenahimana8821
6 күн бұрын
Umeona eeeh.
@abelimaganga4176 күн бұрын
Leo mmeupiga mwingi mnoo mpaka una mwagika nataman hata mmengeongeza hata mda nimeipenda hyo leo❤❤❤
@RajabuSelemani-rj9hy5 күн бұрын
Chagamba anaogopa makofi amekaa mbali leo 😂😂😂😂
@monifrank3476 күн бұрын
Okojepha tayari tushamsajiri
@user-qo6qv6mc5p6 күн бұрын
Aaaa gambaaaa
@SamsonSaruni-s3g6 күн бұрын
🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️
@user-me3dy9zk7e5 күн бұрын
Daah! Kwahy Miraji 7bu ya kuvurunda sio tena mangungu na jaribu tena?
@omarkipotwile90525 күн бұрын
Chagamba leo mabega yatawasha hayo 😂😂
@JANE-jv4eq6 күн бұрын
Milaji wewe fundi 💪💪
@dicksonmapunda78366 күн бұрын
Miraji🎉
@kihilenahimana88216 күн бұрын
Miraji tunza maneno ya akiba, leo unatupanga kiushabiki.
@user-zk6sy4rn9n5 күн бұрын
Miraji bora usiname,ukikaa hainogi.unakuwa hauna ma points kama Ungekuwa umeaimama
@AliAliahmada-ht4ri6 күн бұрын
Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.
@Elias130836 күн бұрын
❤
@mimiraia25315 күн бұрын
Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee
@AbbasyMdabwa5 күн бұрын
Miraji mara moja Simba wachezaji wasimba walindeni
@mhehejrtv96376 күн бұрын
Nimekusubiri Sana mirajii unajua afu unajua Tena familia
@AidaniKungi5 күн бұрын
Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.
@killingmleke18105 күн бұрын
Mmesahau kama yanga anaandaa ligi kuchukua ninyi mnaongea sana na sasa mnasema mmesajili vizuri ila mkishaanza ligi yanga akishinda mnaongea
@tumainimano99535 күн бұрын
Ila sauti ya Leo ipo chin Bora uendelee kutumia mike kubwa
@user-er9xv9yz7b5 күн бұрын
Chagamba ameona mabega yatang'oka katengeneza sehemu ya kukaa
@frankmisana11335 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@alexshambutu59276 күн бұрын
Chagamba kaona mabega yake yapumue😅
@user-bt6ep3yb2h5 күн бұрын
Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.
@deogratiaspmwolo19426 күн бұрын
Gamba tulete mzee Said Aisee.
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Namtamani sana Mzee wangu
@FabianiNguvumali5 күн бұрын
Leo umeongelea kiushabik zaid ukwel miaka mitatu ujao sio leo
@josephgalandu1286 күн бұрын
Week and ya mabega leo😂😂😂
@abasikusaga61324 күн бұрын
Watoto hao2 mtawakataa tu mpila Sasa hivi ni bishara chukua bidha kwa faida ya Leo sio kesho hakuna anaejua kesho yake
@muhsinkimaro42836 күн бұрын
Chagamba siku unafany kipind na mzee said mlete naye akae hapo apigwe na uyoyozi, ila angalizo anaweza akakataa kuondoka
@LwessoKisekaJuma-wb1zu5 күн бұрын
Umesubili hadi mabega yakalibie kutobolewa ndio ukatfta viti
@derimkongwa59655 күн бұрын
Hakuna timu inayojengwa duniani bila kuwa na wazoefu
@AlfredRutaguza5 күн бұрын
Yaani mshabiki yeyote wa simba anakuwa na asili ya uongo uongo Sana na propaganda za kutosha na vipo kwenye damu
@hawachitale5 күн бұрын
Chagamba ana hamu ya kupigwa leo
@chandeyusufu95705 күн бұрын
Chagamba unachekesha unasema mtu anafinywa giza kimya kimya nawakubali nawafatilia kutoka dubai
@mrrockboy95086 күн бұрын
Bado mjasema msim ujao mtasemaaa😂😂😂
@josephgalandu1286 күн бұрын
Kumbe pamoja na ofisi mapigo ya mabega yako palepale!!!!😂😂😂😂
@brunomtweve80736 күн бұрын
Chagamba leo bega umepoa mana maramoja anahatari
@user-qi3wv8sf5j6 күн бұрын
Chagamba,hao ndio WATU wa kukufikisha mbali yaani wanamadini ya boli na MZEE Said a Sio MASATU
@mwafyelatv14365 күн бұрын
Chagamba Leo umekaa mbali na milaji unaepusha mabega
@user-vc8yc5oj6y5 күн бұрын
Chagamba leo bega halitauma!!!
@deonatusdaud46406 күн бұрын
🙏🤝🤲
@kasimuhamidu84675 күн бұрын
Malamoja wakumbushe wachezaji walindwe usisahau baba
@BennBenn-es5fi5 күн бұрын
Heee afadhali Leo bega halijaguswa😅😅😅
@kasimuhamidu84676 күн бұрын
Safi iiiiiiooooooo saa mbovu
@EmmanuelZenda-ji5gc6 күн бұрын
Jamaa ana akili sana
@user-zx1vk9pr1w5 күн бұрын
Ehee hapo sas chagamba mmetishaa kama hofsin yani waaaah ! Namabega yako yatapumua gamba 🤣🤣🤣
@abdallayunnus34755 күн бұрын
Nkubali chagamba na miraji
@DullaBallack-mw9zd6 күн бұрын
Bora leo chagamba ulivo kaa mbali maana miraji atakutoa mabega kwa makofi
@carrenbenson21116 күн бұрын
Baleke mzuri sana
@jamesmaneno22815 күн бұрын
We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli
@jifunze00426 күн бұрын
wakwanza mimi leo
@kihilenahimana88216 күн бұрын
Bado mnaamini ktk ushirikina.
@user-mj3lt1ef7j5 күн бұрын
Leo mabega yamepumuwa
@user-gb2pl3ln9m6 күн бұрын
Leo mko pambe sanaaaaa
@user-fs7xc2bb5d
6 күн бұрын
❤❤❤❤
@RaphaelRapha-vz2sh5 күн бұрын
Ase uyo mchezaji umempatia kinyama
@maimunaathumani91216 күн бұрын
Miraji leo unaumwa
@hassanmohamed94886 күн бұрын
Intavew yaleo haijapendeza miraji amebanea
@PASCHALPETER-gp8ek5 күн бұрын
Gamba leo makofi ya bega umepumzika😅😅😅
@brighters48976 күн бұрын
habari ya mjini ni simba tu
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Hujakosea ndugu yangu na hivyo ndio wananchi tunataka
@AbisinaRashidi-c8d6 күн бұрын
Hatutaki makochavwakubwa Tena maana hawajatusaidia kitu
@user-qo6qv6mc5p6 күн бұрын
Xavi mtupu
@user-sn9nm1wu9j6 күн бұрын
acheni ujinga muwalinde kivipi acheni imani za kichawi leo mnavaa nakupendeza lakini vichwani mwenu mweusi kwani bilaya uchawi uwezi kufanikiwa
@user-lz1lj9qg8e6 күн бұрын
Leo hakuna makofi ya mabega
@user-hu4el2rx2u6 күн бұрын
Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua
Пікірлер: 151
Hii sasa safi chagamba utasalimika na makofi ya mabega😂
@HamicKauno255
5 күн бұрын
Mbona kama mwendo ni ule ule 😂
@IllhaamIbrahim
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@FranksonMkumbwa-mb3pp
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😅
@southernkid6932
5 күн бұрын
😂😂😂
@FahadBurhan-dl9ik
5 күн бұрын
Chagamba mabega yangekua meusi kwa makofi ya miraji.. 😂
Miraji chagamba hongereni Leo nimefurahi sana mpo kwenye muonekano mzuri sana safiiii🔥🔥🔥
Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Simba ijayo ni hatari sana yenye vijana wenye nguvu
@fettiemaganza1484
6 күн бұрын
Vijana ndo mpira ombeni tu waende na matarajio yenu hatutaki malalamiko
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee@@fettiemaganza1484
@mnabukulakasaka
6 күн бұрын
Miraji wachezaji wako 2 bado
@mwanangusana
6 күн бұрын
@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂
miraji Leo mmetisha Kama crown media, kama mpo ofisini 😂😂😂😂SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOOO
@EmmaPallanjo
6 күн бұрын
Bega la chagamba Leo limepumua
Hatima mungu kasikia kilio chetu mabega ya chagamba yako salama kwa siku ya leo yamepumzika kipigo
@hamissima
6 күн бұрын
😂😂🎉
Hapo sasa unyama sana kama studio yaan...mmeendelea snaa wakuu hongereneiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chagamba Leo begalimepumzika muwemnakaa hivyo kwakujinusuru siyokwamikofi yale😂😂😂😂😂😂
@mwlhalimoja.ekingunza1819
6 күн бұрын
😂😂😂😂 ila Leo haitanoga aisee. Yaani Miraji na Chagamba lazima mabega yapate moto😂😂😂
Mabega ya chagamba leo yapo salamaa...hongereni sana MGen insurance
Kama namuona miraji 😅😅😅alivyo miss kupiga mabega ya chagmb 😂
@user-fs7xc2bb5d
6 күн бұрын
😂😂😂
Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani
Hapo kwenye dua bado Miraji uko nyuma sana,unaanza kujipanga pa kujifichia
Chagamba huyo miraji inatakiwa ukae naye mbali asikuguse mikofi ya mabegani atakupinda mgongo😂😂😂
Miraji leo mmekaa yaani leo kama mpo ofisini ila safi lazima siku Moja Moja mubadilishe muonekano
@deogratiusvalentino6248
5 күн бұрын
Leo bega la chagamba litapumzika😂
Naomba uwakumbushe viongozi wetu wa Simba chakwanza wawalinde wachezaji kwadua nakilakitu
Duuh tumeshapata office good 👍
MIRAJI SAWAAA🎉🎉🎉🎉❤
Simba nguvu moja miraji Mimi nakukubali sana
Ligi ikianza Mangungu tuachie timu yetu
Maramoja leo umeongea kishabiki Zaid
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Amejitahidi lakini
😂😂😂😂😂 nilitaka nishangae chagamba asipate hata kofi moja kwel nisingeangalia tena sema leo makofi yamepungua 😁🤸🤸
Setup ya leo amazing👍
Milaji baba ulikua wapi baba wanasimba tukikusikiliza mwoyo yetu inainjoy omemuona okojephe baba tunakuitaji kesho umzunguzie mungu azidi kukuzidishia afya njema ww pamoja nafamilia yako mzazi
Chagamba ninaomba T shirt ya MG. Mwili wangu ni kama wa Miraji
Leo chagamba mabega yamepumzika kupigwa,utanenepa chagamba mmekaa vizuri mmependeza sana hongereni sana.
Naona chagamba mabega yako yamepumzika hongera sana 😂😂😂😂😂😂😂 but nawakubari sana wote wawili
Leo sehem salama
💥💥💥💥
Chagamba kaona isiwe shida. Kakaa mbali na makofi ya miraji
Aaah Leo mmekaa chagamba leo hutapigwa mabega😂😂. Ila sijapenda yaani muongee bila kupigwa mabega na miraji!!?
Huyu miraji sometimes maneno yake anayatafuna mwenyewe tusubiri tuone..
Kikubwa tusiwape plesha wachezaji na walindwe
Asante kwa kupata pa kukaa.... maana Miraji alikuwa alikuwa anakuumiza sana mabega chagamba,😂😂😂
chagamba leo.kachukuwa kitu maana Yale makofi ya miraji ni hatari
Kwa leo chagamba mikofi inamkosa
Josee morinho anakuja na falsafa zake na anakupatia matokeo
Kwa staili ya Leo tunakosa radha Ile ya Miraji KUMPIGA Chagamba BEGA. BEGA la Chagamba lipo salama leo😂😂😂
hapo sawa umemkalisha milaji kwenye sofa maana unge msimamisha mabega ugesoma namba acha apige pige sofa❤❤❤
@kihilenahimana8821
6 күн бұрын
Umeona eeeh.
Leo mmeupiga mwingi mnoo mpaka una mwagika nataman hata mmengeongeza hata mda nimeipenda hyo leo❤❤❤
Chagamba anaogopa makofi amekaa mbali leo 😂😂😂😂
Okojepha tayari tushamsajiri
Aaaa gambaaaa
🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️
Daah! Kwahy Miraji 7bu ya kuvurunda sio tena mangungu na jaribu tena?
Chagamba leo mabega yatawasha hayo 😂😂
Milaji wewe fundi 💪💪
Miraji🎉
Miraji tunza maneno ya akiba, leo unatupanga kiushabiki.
Miraji bora usiname,ukikaa hainogi.unakuwa hauna ma points kama Ungekuwa umeaimama
Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.
❤
Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee
Miraji mara moja Simba wachezaji wasimba walindeni
Nimekusubiri Sana mirajii unajua afu unajua Tena familia
Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.
Mmesahau kama yanga anaandaa ligi kuchukua ninyi mnaongea sana na sasa mnasema mmesajili vizuri ila mkishaanza ligi yanga akishinda mnaongea
Ila sauti ya Leo ipo chin Bora uendelee kutumia mike kubwa
Chagamba ameona mabega yatang'oka katengeneza sehemu ya kukaa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Chagamba kaona mabega yake yapumue😅
Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.
Gamba tulete mzee Said Aisee.
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Namtamani sana Mzee wangu
Leo umeongelea kiushabik zaid ukwel miaka mitatu ujao sio leo
Week and ya mabega leo😂😂😂
Watoto hao2 mtawakataa tu mpila Sasa hivi ni bishara chukua bidha kwa faida ya Leo sio kesho hakuna anaejua kesho yake
Chagamba siku unafany kipind na mzee said mlete naye akae hapo apigwe na uyoyozi, ila angalizo anaweza akakataa kuondoka
Umesubili hadi mabega yakalibie kutobolewa ndio ukatfta viti
Hakuna timu inayojengwa duniani bila kuwa na wazoefu
Yaani mshabiki yeyote wa simba anakuwa na asili ya uongo uongo Sana na propaganda za kutosha na vipo kwenye damu
Chagamba ana hamu ya kupigwa leo
Chagamba unachekesha unasema mtu anafinywa giza kimya kimya nawakubali nawafatilia kutoka dubai
Bado mjasema msim ujao mtasemaaa😂😂😂
Kumbe pamoja na ofisi mapigo ya mabega yako palepale!!!!😂😂😂😂
Chagamba leo bega umepoa mana maramoja anahatari
Chagamba,hao ndio WATU wa kukufikisha mbali yaani wanamadini ya boli na MZEE Said a Sio MASATU
Chagamba Leo umekaa mbali na milaji unaepusha mabega
Chagamba leo bega halitauma!!!
🙏🤝🤲
Malamoja wakumbushe wachezaji walindwe usisahau baba
Heee afadhali Leo bega halijaguswa😅😅😅
Safi iiiiiiooooooo saa mbovu
Jamaa ana akili sana
Ehee hapo sas chagamba mmetishaa kama hofsin yani waaaah ! Namabega yako yatapumua gamba 🤣🤣🤣
Nkubali chagamba na miraji
Bora leo chagamba ulivo kaa mbali maana miraji atakutoa mabega kwa makofi
Baleke mzuri sana
We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli
wakwanza mimi leo
Bado mnaamini ktk ushirikina.
Leo mabega yamepumuwa
Leo mko pambe sanaaaaa
@user-fs7xc2bb5d
6 күн бұрын
❤❤❤❤
Ase uyo mchezaji umempatia kinyama
Miraji leo unaumwa
Intavew yaleo haijapendeza miraji amebanea
Gamba leo makofi ya bega umepumzika😅😅😅
habari ya mjini ni simba tu
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Hujakosea ndugu yangu na hivyo ndio wananchi tunataka
Hatutaki makochavwakubwa Tena maana hawajatusaidia kitu
Xavi mtupu
acheni ujinga muwalinde kivipi acheni imani za kichawi leo mnavaa nakupendeza lakini vichwani mwenu mweusi kwani bilaya uchawi uwezi kufanikiwa
Leo hakuna makofi ya mabega
Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua