MIRAJI |KOCHA HANA CV ZA BENCHIKA MMH! BALEKE OKRAH TATIZO YANGA |CHOMBO KIPYA MSIMBAZI TISHIO

Пікірлер: 151

  • @jumamakame3978
    @jumamakame39786 күн бұрын

    Hii sasa safi chagamba utasalimika na makofi ya mabega😂

  • @HamicKauno255

    @HamicKauno255

    5 күн бұрын

    Mbona kama mwendo ni ule ule 😂

  • @IllhaamIbrahim

    @IllhaamIbrahim

    5 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @FranksonMkumbwa-mb3pp

    @FranksonMkumbwa-mb3pp

    5 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😅

  • @southernkid6932

    @southernkid6932

    5 күн бұрын

    😂😂😂

  • @FahadBurhan-dl9ik

    @FahadBurhan-dl9ik

    5 күн бұрын

    Chagamba mabega yangekua meusi kwa makofi ya miraji.. 😂

  • @jumahabibu5772
    @jumahabibu57726 күн бұрын

    Miraji chagamba hongereni Leo nimefurahi sana mpo kwenye muonekano mzuri sana safiiii🔥🔥🔥

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo6876 күн бұрын

    Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    6 күн бұрын

    Simba ijayo ni hatari sana yenye vijana wenye nguvu

  • @fettiemaganza1484

    @fettiemaganza1484

    6 күн бұрын

    Vijana ndo mpira ombeni tu waende na matarajio yenu hatutaki malalamiko

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    6 күн бұрын

    Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee​@@fettiemaganza1484

  • @mnabukulakasaka

    @mnabukulakasaka

    6 күн бұрын

    Miraji wachezaji wako 2 bado

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    6 күн бұрын

    ​@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l6 күн бұрын

    miraji Leo mmetisha Kama crown media, kama mpo ofisini 😂😂😂😂SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOOO

  • @EmmaPallanjo

    @EmmaPallanjo

    6 күн бұрын

    Bega la chagamba Leo limepumua

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz6 күн бұрын

    Hatima mungu kasikia kilio chetu mabega ya chagamba yako salama kwa siku ya leo yamepumzika kipigo

  • @hamissima

    @hamissima

    6 күн бұрын

    😂😂🎉

  • @victorlyimo896
    @victorlyimo8966 күн бұрын

    Hapo sasa unyama sana kama studio yaan...mmeendelea snaa wakuu hongereneiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sabinaechasa2925
    @sabinaechasa29256 күн бұрын

    Chagamba Leo begalimepumzika muwemnakaa hivyo kwakujinusuru siyokwamikofi yale😂😂😂😂😂😂

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819

    @mwlhalimoja.ekingunza1819

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂 ila Leo haitanoga aisee. Yaani Miraji na Chagamba lazima mabega yapate moto😂😂😂

  • @charlesmelkiory4742
    @charlesmelkiory47426 күн бұрын

    Mabega ya chagamba leo yapo salamaa...hongereni sana MGen insurance

  • @LearnBenjamin
    @LearnBenjamin6 күн бұрын

    Kama namuona miraji 😅😅😅alivyo miss kupiga mabega ya chagmb 😂

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    6 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y6 күн бұрын

    Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani

  • @amanikwiyima9054
    @amanikwiyima90546 күн бұрын

    Hapo kwenye dua bado Miraji uko nyuma sana,unaanza kujipanga pa kujifichia

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w6 күн бұрын

    Chagamba huyo miraji inatakiwa ukae naye mbali asikuguse mikofi ya mabegani atakupinda mgongo😂😂😂

  • @zamdajumbe7742
    @zamdajumbe77426 күн бұрын

    Miraji leo mmekaa yaani leo kama mpo ofisini ila safi lazima siku Moja Moja mubadilishe muonekano

  • @deogratiusvalentino6248

    @deogratiusvalentino6248

    5 күн бұрын

    Leo bega la chagamba litapumzika😂

  • @BubuallyMwakipesile-br8dc
    @BubuallyMwakipesile-br8dc6 күн бұрын

    Naomba uwakumbushe viongozi wetu wa Simba chakwanza wawalinde wachezaji kwadua nakilakitu

  • @AbassiBaro-jc3il
    @AbassiBaro-jc3il6 күн бұрын

    Duuh tumeshapata office good 👍

  • @husseynomar9523
    @husseynomar95236 күн бұрын

    MIRAJI SAWAAA🎉🎉🎉🎉❤

  • @BubuallyMwakipesile-br8dc
    @BubuallyMwakipesile-br8dc6 күн бұрын

    Simba nguvu moja miraji Mimi nakukubali sana

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela48896 күн бұрын

    Ligi ikianza Mangungu tuachie timu yetu

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani57176 күн бұрын

    Maramoja leo umeongea kishabiki Zaid

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    6 күн бұрын

    Amejitahidi lakini

  • @shebbylove9463
    @shebbylove94632 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 nilitaka nishangae chagamba asipate hata kofi moja kwel nisingeangalia tena sema leo makofi yamepungua 😁🤸🤸

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt6 күн бұрын

    Setup ya leo amazing👍

  • @mwasunga
    @mwasunga6 күн бұрын

    Milaji baba ulikua wapi baba wanasimba tukikusikiliza mwoyo yetu inainjoy omemuona okojephe baba tunakuitaji kesho umzunguzie mungu azidi kukuzidishia afya njema ww pamoja nafamilia yako mzazi

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk6 күн бұрын

    Chagamba ninaomba T shirt ya MG. Mwili wangu ni kama wa Miraji

  • @user-sz9om9ly4y
    @user-sz9om9ly4y5 күн бұрын

    Leo chagamba mabega yamepumzika kupigwa,utanenepa chagamba mmekaa vizuri mmependeza sana hongereni sana.

  • @sittandaki2135
    @sittandaki21355 күн бұрын

    Naona chagamba mabega yako yamepumzika hongera sana 😂😂😂😂😂😂😂 but nawakubari sana wote wawili

  • @user-cw8yt9pr8j
    @user-cw8yt9pr8j5 күн бұрын

    Leo sehem salama

  • @marthageorge5043
    @marthageorge50436 күн бұрын

    💥💥💥💥

  • @SospeterMasanja-r6b
    @SospeterMasanja-r6b6 күн бұрын

    Chagamba kaona isiwe shida. Kakaa mbali na makofi ya miraji

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza18196 күн бұрын

    Aaah Leo mmekaa chagamba leo hutapigwa mabega😂😂. Ila sijapenda yaani muongee bila kupigwa mabega na miraji!!?

  • @abduldihomba1632
    @abduldihomba16325 күн бұрын

    Huyu miraji sometimes maneno yake anayatafuna mwenyewe tusubiri tuone..

  • @BahatiomaryMwambela
    @BahatiomaryMwambela6 күн бұрын

    Kikubwa tusiwape plesha wachezaji na walindwe

  • @KaujuMwakajumba
    @KaujuMwakajumba6 күн бұрын

    Asante kwa kupata pa kukaa.... maana Miraji alikuwa alikuwa anakuumiza sana mabega chagamba,😂😂😂

  • @Charlesmagita
    @Charlesmagita2 күн бұрын

    chagamba leo.kachukuwa kitu maana Yale makofi ya miraji ni hatari

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza14846 күн бұрын

    Kwa leo chagamba mikofi inamkosa

  • @chng1990
    @chng19906 күн бұрын

    Josee morinho anakuja na falsafa zake na anakupatia matokeo

  • @kibwanakizulege4632
    @kibwanakizulege46326 күн бұрын

    Kwa staili ya Leo tunakosa radha Ile ya Miraji KUMPIGA Chagamba BEGA. BEGA la Chagamba lipo salama leo😂😂😂

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj6 күн бұрын

    hapo sawa umemkalisha milaji kwenye sofa maana unge msimamisha mabega ugesoma namba acha apige pige sofa❤❤❤

  • @kihilenahimana8821

    @kihilenahimana8821

    6 күн бұрын

    Umeona eeeh.

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga4176 күн бұрын

    Leo mmeupiga mwingi mnoo mpaka una mwagika nataman hata mmengeongeza hata mda nimeipenda hyo leo❤❤❤

  • @RajabuSelemani-rj9hy
    @RajabuSelemani-rj9hy5 күн бұрын

    Chagamba anaogopa makofi amekaa mbali leo 😂😂😂😂

  • @monifrank347
    @monifrank3476 күн бұрын

    Okojepha tayari tushamsajiri

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p6 күн бұрын

    Aaaa gambaaaa

  • @SamsonSaruni-s3g
    @SamsonSaruni-s3g6 күн бұрын

    🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️

  • @user-me3dy9zk7e
    @user-me3dy9zk7e5 күн бұрын

    Daah! Kwahy Miraji 7bu ya kuvurunda sio tena mangungu na jaribu tena?

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile90525 күн бұрын

    Chagamba leo mabega yatawasha hayo 😂😂

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq6 күн бұрын

    Milaji wewe fundi 💪💪

  • @dicksonmapunda7836
    @dicksonmapunda78366 күн бұрын

    Miraji🎉

  • @kihilenahimana8821
    @kihilenahimana88216 күн бұрын

    Miraji tunza maneno ya akiba, leo unatupanga kiushabiki.

  • @user-zk6sy4rn9n
    @user-zk6sy4rn9n5 күн бұрын

    Miraji bora usiname,ukikaa hainogi.unakuwa hauna ma points kama Ungekuwa umeaimama

  • @AliAliahmada-ht4ri
    @AliAliahmada-ht4ri6 күн бұрын

    Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.

  • @Elias13083
    @Elias130836 күн бұрын

  • @mimiraia2531
    @mimiraia25315 күн бұрын

    Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa5 күн бұрын

    Miraji mara moja Simba wachezaji wasimba walindeni

  • @mhehejrtv9637
    @mhehejrtv96376 күн бұрын

    Nimekusubiri Sana mirajii unajua afu unajua Tena familia

  • @AidaniKungi
    @AidaniKungi5 күн бұрын

    Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.

  • @killingmleke1810
    @killingmleke18105 күн бұрын

    Mmesahau kama yanga anaandaa ligi kuchukua ninyi mnaongea sana na sasa mnasema mmesajili vizuri ila mkishaanza ligi yanga akishinda mnaongea

  • @tumainimano9953
    @tumainimano99535 күн бұрын

    Ila sauti ya Leo ipo chin Bora uendelee kutumia mike kubwa

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b5 күн бұрын

    Chagamba ameona mabega yatang'oka katengeneza sehemu ya kukaa

  • @frankmisana1133
    @frankmisana11335 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @alexshambutu5927
    @alexshambutu59276 күн бұрын

    Chagamba kaona mabega yake yapumue😅

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h5 күн бұрын

    Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.

  • @deogratiaspmwolo1942
    @deogratiaspmwolo19426 күн бұрын

    Gamba tulete mzee Said Aisee.

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    6 күн бұрын

    Namtamani sana Mzee wangu

  • @FabianiNguvumali
    @FabianiNguvumali5 күн бұрын

    Leo umeongelea kiushabik zaid ukwel miaka mitatu ujao sio leo

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu1286 күн бұрын

    Week and ya mabega leo😂😂😂

  • @abasikusaga6132
    @abasikusaga61324 күн бұрын

    Watoto hao2 mtawakataa tu mpila Sasa hivi ni bishara chukua bidha kwa faida ya Leo sio kesho hakuna anaejua kesho yake

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro42836 күн бұрын

    Chagamba siku unafany kipind na mzee said mlete naye akae hapo apigwe na uyoyozi, ila angalizo anaweza akakataa kuondoka

  • @LwessoKisekaJuma-wb1zu
    @LwessoKisekaJuma-wb1zu5 күн бұрын

    Umesubili hadi mabega yakalibie kutobolewa ndio ukatfta viti

  • @derimkongwa5965
    @derimkongwa59655 күн бұрын

    Hakuna timu inayojengwa duniani bila kuwa na wazoefu

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza5 күн бұрын

    Yaani mshabiki yeyote wa simba anakuwa na asili ya uongo uongo Sana na propaganda za kutosha na vipo kwenye damu

  • @hawachitale
    @hawachitale5 күн бұрын

    Chagamba ana hamu ya kupigwa leo

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu95705 күн бұрын

    Chagamba unachekesha unasema mtu anafinywa giza kimya kimya nawakubali nawafatilia kutoka dubai

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy95086 күн бұрын

    Bado mjasema msim ujao mtasemaaa😂😂😂

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu1286 күн бұрын

    Kumbe pamoja na ofisi mapigo ya mabega yako palepale!!!!😂😂😂😂

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve80736 күн бұрын

    Chagamba leo bega umepoa mana maramoja anahatari

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j6 күн бұрын

    Chagamba,hao ndio WATU wa kukufikisha mbali yaani wanamadini ya boli na MZEE Said a Sio MASATU

  • @mwafyelatv1436
    @mwafyelatv14365 күн бұрын

    Chagamba Leo umekaa mbali na milaji unaepusha mabega

  • @user-vc8yc5oj6y
    @user-vc8yc5oj6y5 күн бұрын

    Chagamba leo bega halitauma!!!

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud46406 күн бұрын

    🙏🤝🤲

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu84675 күн бұрын

    Malamoja wakumbushe wachezaji walindwe usisahau baba

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi5 күн бұрын

    Heee afadhali Leo bega halijaguswa😅😅😅

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu84676 күн бұрын

    Safi iiiiiiooooooo saa mbovu

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc6 күн бұрын

    Jamaa ana akili sana

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w5 күн бұрын

    Ehee hapo sas chagamba mmetishaa kama hofsin yani waaaah ! Namabega yako yatapumua gamba 🤣🤣🤣

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus34755 күн бұрын

    Nkubali chagamba na miraji

  • @DullaBallack-mw9zd
    @DullaBallack-mw9zd6 күн бұрын

    Bora leo chagamba ulivo kaa mbali maana miraji atakutoa mabega kwa makofi

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson21116 күн бұрын

    Baleke mzuri sana

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno22815 күн бұрын

    We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli

  • @jifunze0042
    @jifunze00426 күн бұрын

    wakwanza mimi leo

  • @kihilenahimana8821
    @kihilenahimana88216 күн бұрын

    Bado mnaamini ktk ushirikina.

  • @user-mj3lt1ef7j
    @user-mj3lt1ef7j5 күн бұрын

    Leo mabega yamepumuwa

  • @user-gb2pl3ln9m
    @user-gb2pl3ln9m6 күн бұрын

    Leo mko pambe sanaaaaa

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    6 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @RaphaelRapha-vz2sh
    @RaphaelRapha-vz2sh5 күн бұрын

    Ase uyo mchezaji umempatia kinyama

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani91216 күн бұрын

    Miraji leo unaumwa

  • @hassanmohamed9488
    @hassanmohamed94886 күн бұрын

    Intavew yaleo haijapendeza miraji amebanea

  • @PASCHALPETER-gp8ek
    @PASCHALPETER-gp8ek5 күн бұрын

    Gamba leo makofi ya bega umepumzika😅😅😅

  • @brighters4897
    @brighters48976 күн бұрын

    habari ya mjini ni simba tu

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    6 күн бұрын

    Hujakosea ndugu yangu na hivyo ndio wananchi tunataka

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d6 күн бұрын

    Hatutaki makochavwakubwa Tena maana hawajatusaidia kitu

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p6 күн бұрын

    Xavi mtupu

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j6 күн бұрын

    acheni ujinga muwalinde kivipi acheni imani za kichawi leo mnavaa nakupendeza lakini vichwani mwenu mweusi kwani bilaya uchawi uwezi kufanikiwa

  • @user-lz1lj9qg8e
    @user-lz1lj9qg8e6 күн бұрын

    Leo hakuna makofi ya mabega

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u6 күн бұрын

    Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua

Келесі