🔴LIVE:ALLY KAMWE "FEI TOTO HAWEZI KUCHEZA NA DEBORA SIMBA/CHAMA TUMEMPA ULINZI MKUBWA/HATUOKOTIOKOTI

Спорт

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Vyombo vya habari,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya
Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.

Пікірлер: 110

  • @mierin8456
    @mierin845627 күн бұрын

    Acha Debora!! 😅ngoja akacheze na Joyce😂😂😂

  • @SalomeEmanuelimpalasinge
    @SalomeEmanuelimpalasinge26 күн бұрын

    Uko sawa simba no makolo🧡💛💛💛💛

  • @mimiwajuu
    @mimiwajuu27 күн бұрын

    Mbona watu wanatukana au ni Simba mbovu😂😂😂💚💚💚💛💛💛

  • @roi2554
    @roi255427 күн бұрын

    Yanga ni namba moja Africa na hamsemi, we huogop

  • @alicenice1711
    @alicenice171127 күн бұрын

    Ally kamwe unaniuwa uku😂😂

  • @emmanuelmathiasmpesa9396
    @emmanuelmathiasmpesa939626 күн бұрын

    Nikukumbushe acha kuwasimanga wachezaji kwanini unamuonea huyu debora

  • @francisngowi7556
    @francisngowi755627 күн бұрын

    Na hao watoto wakikomaa tunwachukua. Acha hiyo iwe ni as academy yetu

  • @AntonyPitter
    @AntonyPitter26 күн бұрын

    We chama karib yanga

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo841227 күн бұрын

    Hata Joyce ni Joyce

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt27 күн бұрын

    Mbona alicheza na Joyce

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles992027 күн бұрын

    Eti sisi hatuchukui watu kuja kuwalea.

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus347527 күн бұрын

    Nakubali kamwe

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv27 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤ young African

  • @marthajosephdihimbwa2329
    @marthajosephdihimbwa232926 күн бұрын

    anaongea ukweli simba bado mnazidi kuporomoka poleni sana

  • @aamarsuleymain2932
    @aamarsuleymain293226 күн бұрын

    Tasafu fc

  • @chawalagodfrey9013
    @chawalagodfrey901326 күн бұрын

    Waambie Kamwe❤❤❤😂😂😂

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent747727 күн бұрын

    Simba brand Ili uonekane lazma uisemee Simba ndo maana

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya268827 күн бұрын

    Huyu hana taaluma ya uandishi,anaiongelea simba tu

  • @khayrounabdullah806
    @khayrounabdullah80627 күн бұрын

    Why debo😅😂

  • @TeresiaDeo
    @TeresiaDeo27 күн бұрын

    We huna jipya umeishiwa nyimbo unaemtegea ni scaut was Simba chama ,bareke,mkude na okrahuna jipya pumbaa v P kuhusu jous hujui kikongo umesoma kiswahili ndio maana

  • @KevinPhilberth

    @KevinPhilberth

    27 күн бұрын

    Team kubwa haifanyi scout, wachezaj wanaipenda wenyewe,, na hao waliosajiliwa akiwemo mzuri 2 anaejua bori, anakuja team kubwa..

  • @user-hv9mb4uy1z
    @user-hv9mb4uy1z27 күн бұрын

    Zoa zoa fc mchukueni na bocco hhhhhhhhh wewe si ulisema chama ni kilema cha ajabu njiti kakata keki mamae

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles27 күн бұрын

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham

  • @Abdurazaqmbuni714
    @Abdurazaqmbuni71427 күн бұрын

    Bado hamjasema2

  • @AllyAbdallah-hn9rq
    @AllyAbdallah-hn9rq27 күн бұрын

    Zungumzia timu Yako,Kila cku Simba Simba,

  • @brownmasai774
    @brownmasai77427 күн бұрын

    Alli umenikumbusha msemo wa Kiingereza usemao: You may be hungry and yet abandon the food that is already on dining table. For it's not hunger that makes one eat from the table but rather it's the arrangement of the table and the mood of its attendant. Yanga inawavutia. wachezaji wakubwa hivi sasa wanapo assess quality ya wachezaji watakao fanya combination nao na hatimaye kufanya familia moja. Lakini pia uongzi, manjonjo na maslahi watakayo kutana nayo kama wanafamilia ktk club.

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa163826 күн бұрын

    Hivi Deborah na muda nan mkali comment

  • @shaxonboy_
    @shaxonboy_27 күн бұрын

    Ila kacheza na Joyce sio

  • @jacminjosefh4400
    @jacminjosefh440026 күн бұрын

    Debo😂😂😂😂

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne12327 күн бұрын

    𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲 𝗻𝗮 𝗧𝘂𝗻𝗮 𝗧𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗡𝗮𝗲 😂😂😂

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles27 күн бұрын

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham 9:31

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m27 күн бұрын

    Uta umia sana Kwa usajili wa Simba na Bado mpa ukome Usha Anza kuunga unga maneno

  • @sosomacharles9920

    @sosomacharles9920

    27 күн бұрын

    Usajili gani huo alioufanya Simba😆😆😆😆 mnachukua watoto wa ili muwalee🤣🤣🤣

  • @josephndaki8003
    @josephndaki800326 күн бұрын

    Mwana zungumzia na timu zingine kama makolo wasiokuwa na msemaji

  • @JumaLuwaly
    @JumaLuwaly27 күн бұрын

    Mkata mauno akiongea anajulikana

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing27 күн бұрын

    Watapat Tabu Xan Mwaka Huu Makolo Kazi Yaho Kuzurura Tu😅😅

  • @Vedax_mashauri
    @Vedax_mashauri27 күн бұрын

    Badala aongelee team yake anaongelea simba

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent747727 күн бұрын

    Kwani fei hakucheza na Joyce

  • @salumuomari
    @salumuomari27 күн бұрын

    Simba sasahv wanaitwa mishangazi wanalea watoto

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m27 күн бұрын

    Yanga hamna mchezaji wa kuifunga alahli

  • @vicentsagudasheyi564

    @vicentsagudasheyi564

    27 күн бұрын

    Pacome ni bibi yako eti😂

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha942527 күн бұрын

    Yaani Yanga mnasajili watalakiwa 😂

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m27 күн бұрын

    Unajipendekeza kwa fei

  • @mimiwajuu
    @mimiwajuu27 күн бұрын

    DC😂😂😂

  • @Kelvin-gi1zp
    @Kelvin-gi1zp27 күн бұрын

    Duh huyu jamaa akapimwe akili,,coz msemaji mzuri ni yule anayeongelea timu yake sasa huyu mmmh anatia ad huruma

  • @MunirPingili
    @MunirPingili26 күн бұрын

    Ali kamwe unajua kukela

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy27 күн бұрын

    Uzuri msemaji wetu wa simba akiongea huwa haongelei hawa mashog

  • @cyprianbernard3378
    @cyprianbernard337827 күн бұрын

    Acha upumbavu wako mbona Feitoto alipokuwaapo alicheza na joyce

  • @user-yr8eq7rr1z
    @user-yr8eq7rr1z25 күн бұрын

    Kitoto kinajidai hiki

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba140227 күн бұрын

    Michezo sio matusi

  • @shabanishabani9350
    @shabanishabani935027 күн бұрын

    Nimekuwa wakwanza

  • @Marthamajebele-xr8lb
    @Marthamajebele-xr8lb27 күн бұрын

    Kwan dube kaishafany nn cha maana ????

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira281727 күн бұрын

    Debora ni mcheza lede huyo hamna ki2

  • @user-pf6tl1jy8c
    @user-pf6tl1jy8c27 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 unachukuatuu sio?? Gonga taarabu babaaaa

  • @law93king
    @law93king27 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @jumakalinga2812
    @jumakalinga281227 күн бұрын

    Dogo hajielewi uyu

  • @ZuberiMlanzi
    @ZuberiMlanzi27 күн бұрын

    Ww zungumza ynu ni NSSF mbna hatuwataji wenu . Kolo ni mjomba kk wa mamako. Utaiga sana .fara ww

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm27 күн бұрын

    Duuu hili nisemaji au ni bwabw tu

  • @user-pf6tl1jy8c
    @user-pf6tl1jy8c27 күн бұрын

    Baba simba namba sita timu yako yaangapi??????😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @leonardmhina4004

    @leonardmhina4004

    27 күн бұрын

    Pimbi tu huyo kelele nyingi tu

  • @roi2554

    @roi2554

    27 күн бұрын

    Yanga ni namba moja

  • @johnshija8917
    @johnshija891727 күн бұрын

    Haujakua bado siku ukikua utaacha utoto

  • @johnfrank234
    @johnfrank23427 күн бұрын

    Yani huyu jamaa hajui kabisa kuongea Yani ni zero nyeusi

  • @devynnedennis7358
    @devynnedennis735827 күн бұрын

    Mwacheni aongee semaji letu nyie wote mnaomsema ni ya mkosaji

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m27 күн бұрын

    Unajipendekeza kwa fei wewe alikamwe

  • @jamessanga6768

    @jamessanga6768

    26 күн бұрын

    Kati ya alikamwe na madunduka nani anajipendekeza😊😂

  • @cyprianbernard3378
    @cyprianbernard337827 күн бұрын

    Wewe huna akili ndomaana unajikilimu hunalolotewewe

  • @emmanuelngussa1529
    @emmanuelngussa152927 күн бұрын

    Makolo mama yako

  • @user-lr6kf6bf9l

    @user-lr6kf6bf9l

    27 күн бұрын

    Ndo jina lenu 😂😂😂

  • @MzeewaYanga-hm8jq

    @MzeewaYanga-hm8jq

    27 күн бұрын

    Debora fc wamenuna

  • @JustinePogba
    @JustinePogba27 күн бұрын

    Choko we alikomwe

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi27 күн бұрын

    Atacheza. Na. Mamaaako

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p25 күн бұрын

    Xavi mtupu fei

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm27 күн бұрын

    Huyu ni zero lipuuuzi m

  • @Busagotz
    @Busagotz27 күн бұрын

    Wewe zungumzia team yako simba na Azam ndo nn

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk26 күн бұрын

    Ww ni chura a,k,,a uto kama kaweza kucheze utopolo timu zingine je

  • @emmanuelngussa1529
    @emmanuelngussa152927 күн бұрын

    Zungumzia usajir wako acha kuzungumzia wachezaj wasimba na cuf hamfik popote hata robo hamtoboi

  • @user-lr6kf6bf9l

    @user-lr6kf6bf9l

    27 күн бұрын

    Nani kakutuma umskize....😂😂😂

  • @kolosii4351

    @kolosii4351

    27 күн бұрын

    Unatafuta nini huku choo cha kike??

  • @user-cb3uo6rs7o

    @user-cb3uo6rs7o

    27 күн бұрын

    😂😂😂😂 unateseka na maneno

  • @paulnzilo7252

    @paulnzilo7252

    27 күн бұрын

    Mbona mapovu ndugu?!

  • @KevinPhilberth

    @KevinPhilberth

    27 күн бұрын

    Kasikilize wasemaj watim ndogo achana na mwananchi

  • @NadriqDotto-lk5ss
    @NadriqDotto-lk5ss27 күн бұрын

    Acha zako wewe mbn unakufa kwa maneno muache msemaji wa caf na mashabki wa caf tutambe weweee

  • @HajiKanju-x8o
    @HajiKanju-x8o26 күн бұрын

    Acha hizo wewe dogo, kwani Fei hakuiacha Yanga inakwenda Champions Club akaenda Azam ambayo ilicheza Confidaration Cup? watu wana angalia Pesa sio sifa ya kucheza michuano mikubwa.

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq27 күн бұрын

    😂 debora fc 😂😂😂😂😂

  • @aamarsuleymain2932

    @aamarsuleymain2932

    26 күн бұрын

    Joyce lomalisa

  • @samwelingasa1638

    @samwelingasa1638

    26 күн бұрын

    Inatamkwa Debrii Fernandez

  • @RwechungulaBegumisa
    @RwechungulaBegumisa27 күн бұрын

    We ni kapumbavu kabisa

  • @shabanishabani9350
    @shabanishabani935027 күн бұрын

    Waaambie

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent747727 күн бұрын

    Ubingwa unaujua wewe bwaaa

  • @SanziNzige
    @SanziNzige27 күн бұрын

    Huyo joisi wako unajizima data humjui.pumbafu wewe.

  • @user-lr6kf6bf9l

    @user-lr6kf6bf9l

    27 күн бұрын

    Mtaumia sana makolo😅😅😅

  • @nashirkamugisha9425

    @nashirkamugisha9425

    27 күн бұрын

    Joyce, zawadi,

  • @veronikasilayo1455

    @veronikasilayo1455

    27 күн бұрын

    We vp mbona unakimdomo sana

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856126 күн бұрын

    Wewe nimjinga mchezaji wa simba anakuhusu nini.mwehu tu wewe

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles27 күн бұрын

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham

  • @user-hv9mb4uy1z
    @user-hv9mb4uy1z27 күн бұрын

    😂😂😂 njiti fc mtoeni hiyo miwani mtu unacheza mpira umevaa miwani na huyo si alisema chama mzee chama ni kilema dunia hii lakin sawa zoa zoa fc mchukueni na bocco

  • @ShabaniIssaBenja
    @ShabaniIssaBenja27 күн бұрын

    Yan Ww mxhukulu Mungu kukuumba wakiume Ila Ungekuwa wakike Ucnge olewa Nahata Asaiv Nina Hofu inaezekana Co Mwenzetu Kwann huzungumzii Timu Yako Ya Wazee lazima uitaje Simba Huo Ndo Mwanzo Wakufeli Mbwa ww

Келесі