Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅
@benjaminnelson483415 күн бұрын
Unajuaje Simba at Fanya vizuri
@ebisomola998915 күн бұрын
Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli
@adamgwila339515 күн бұрын
Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona
@benjaminnelson483415 күн бұрын
Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi
@iddrisanyange8175
15 күн бұрын
Weto masta na wanajuwa mpira
@msemakweli...
13 күн бұрын
Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.
@sauka962215 күн бұрын
Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana
@HamadMkubwa15 күн бұрын
ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢
@Graceyust15 күн бұрын
mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka
@salymgaimale23515 күн бұрын
Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu
@IsayaJoseph-ty3kq15 күн бұрын
waambie ukweli
@kasimuhamidu846715 күн бұрын
We fala tu
@shalooboyburundi15 күн бұрын
ays unaongeya ukwr
@RashidiMkongewa15 күн бұрын
Ngao yanga 8 vs simba 0
@suitbertmaro579215 күн бұрын
Jinga hili
@collectionline605515 күн бұрын
Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌
@kabujeasukile546215 күн бұрын
Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣
@kainkamwagila604615 күн бұрын
We ni shabiki yanga😅
@user-pl4rm6rk8n15 күн бұрын
Ambukile ndo ww
@jumapindi231315 күн бұрын
Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali
@KS-iw7qv15 күн бұрын
Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja
@seniormagali558013 күн бұрын
Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki
@AlfredRutaguza15 күн бұрын
Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli
@christopherchisuligwe51215 күн бұрын
Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana
@reinfridlipili5666
14 күн бұрын
Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.
@reinfridlipili5666
14 күн бұрын
Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli
@adamgwila339515 күн бұрын
Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe
@AdenSator15 күн бұрын
😂😂😂😂kweli kaka
@sophyodago506214 күн бұрын
Mchambuzi maandazi kwelikweli
@user-sz6ht5wm2g9 күн бұрын
Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli
@tseinlee672715 күн бұрын
Wachambuzi wa skuiz shida sana
@benjaminnelson483415 күн бұрын
We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora
@SanziNzige14 күн бұрын
Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako
@jonathansirkintungi743415 күн бұрын
Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.
@maulidkawala104
15 күн бұрын
Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel
Пікірлер: 38
Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅
Unajuaje Simba at Fanya vizuri
Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli
Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona
Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi
@iddrisanyange8175
15 күн бұрын
Weto masta na wanajuwa mpira
@msemakweli...
13 күн бұрын
Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.
Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana
ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢
mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka
Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu
waambie ukweli
We fala tu
ays unaongeya ukwr
Ngao yanga 8 vs simba 0
Jinga hili
Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌
Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣
We ni shabiki yanga😅
Ambukile ndo ww
Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali
Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja
Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki
Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli
Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana
@reinfridlipili5666
14 күн бұрын
Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.
@reinfridlipili5666
14 күн бұрын
Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli
Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe
😂😂😂😂kweli kaka
Mchambuzi maandazi kwelikweli
Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli
Wachambuzi wa skuiz shida sana
We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora
Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako
Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.
@maulidkawala104
15 күн бұрын
Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel
@idrisanaumanga6410
15 күн бұрын
Makolo tulia boya wewe, jamaa anaongea fact!
Kwl😂😂😂😂