#live

Спорт

Пікірлер: 38

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa15 күн бұрын

    Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson483415 күн бұрын

    Unajuaje Simba at Fanya vizuri

  • @ebisomola9989
    @ebisomola998915 күн бұрын

    Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli

  • @adamgwila3395
    @adamgwila339515 күн бұрын

    Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson483415 күн бұрын

    Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi

  • @iddrisanyange8175

    @iddrisanyange8175

    15 күн бұрын

    Weto masta na wanajuwa mpira

  • @msemakweli...

    @msemakweli...

    13 күн бұрын

    Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.

  • @sauka9622
    @sauka962215 күн бұрын

    Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana

  • @HamadMkubwa
    @HamadMkubwa15 күн бұрын

    ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢

  • @Graceyust
    @Graceyust15 күн бұрын

    mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale23515 күн бұрын

    Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu

  • @IsayaJoseph-ty3kq
    @IsayaJoseph-ty3kq15 күн бұрын

    waambie ukweli

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu846715 күн бұрын

    We fala tu

  • @shalooboyburundi
    @shalooboyburundi15 күн бұрын

    ays unaongeya ukwr

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa15 күн бұрын

    Ngao yanga 8 vs simba 0

  • @suitbertmaro5792
    @suitbertmaro579215 күн бұрын

    Jinga hili

  • @collectionline6055
    @collectionline605515 күн бұрын

    Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile546215 күн бұрын

    Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣

  • @kainkamwagila6046
    @kainkamwagila604615 күн бұрын

    We ni shabiki yanga😅

  • @user-pl4rm6rk8n
    @user-pl4rm6rk8n15 күн бұрын

    Ambukile ndo ww

  • @jumapindi2313
    @jumapindi231315 күн бұрын

    Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv15 күн бұрын

    Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja

  • @seniormagali5580
    @seniormagali558013 күн бұрын

    Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza15 күн бұрын

    Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe51215 күн бұрын

    Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana

  • @reinfridlipili5666

    @reinfridlipili5666

    14 күн бұрын

    Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.

  • @reinfridlipili5666

    @reinfridlipili5666

    14 күн бұрын

    Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli

  • @adamgwila3395
    @adamgwila339515 күн бұрын

    Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe

  • @AdenSator
    @AdenSator15 күн бұрын

    😂😂😂😂kweli kaka

  • @sophyodago5062
    @sophyodago506214 күн бұрын

    Mchambuzi maandazi kwelikweli

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g9 күн бұрын

    Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli

  • @tseinlee6727
    @tseinlee672715 күн бұрын

    Wachambuzi wa skuiz shida sana

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson483415 күн бұрын

    We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora

  • @SanziNzige
    @SanziNzige14 күн бұрын

    Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi743415 күн бұрын

    Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.

  • @maulidkawala104

    @maulidkawala104

    15 күн бұрын

    Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel

  • @idrisanaumanga6410

    @idrisanaumanga6410

    15 күн бұрын

    Makolo tulia boya wewe, jamaa anaongea fact!

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq15 күн бұрын

    Kwl😂😂😂😂

Келесі