#ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam
Kumbe Dr.you are very professional achana na makolo uwe mchambuzi bora
Kazii nzurii dr Mo
bro uko sawa safi sana
MUNGU ni mwema hongera Sana Dr Mo vyema uchambuzi mwema kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana nyote
Dr Mo uko vizuri kwa uchambuzi wako hongera
Salut kwako mo
Mupo vizuri mjengon
Timu Kali Sana iyo umepanga kutakuwa na kiama 😂
safi
Mo . Unajua kuchambua safi
Duuuu yanga tusameeni mbona kama 5 zinarudi tena
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania iyo niatari sana asikwambie mtu
Kumbe Dr unajua kuchambua viziri kabisa ila unajizimaga data
Mhhh we jamaa unajifanya mchambuzi sasa kila siku kuisemea yanga tu hatutaki
Achana na MAKOLOO Baki kuchambua boli Utaheshimika kaka
paapaapa
Bado hujasema
Kumbe una akili muda mwingine
Ngao natabili yanga 5 vs simba 1
Simba inakuvunjia heshima,endelea kufanya uchambuzi kaka.
Kumbe akili unazo😅😅😅
Ushabiki maandazi unamshangaa Dr mo msikilize Justin kessy Kuna wakati unasimama kama shabiki na Kuna wakati unasimama kama shabiki
He huyu nae mchambuzi sio mpiga domo tema😂😂😂😂 Tanzania jii
Ushabiki maandazi unamshangaa Dr mo msikilize Justin kessy Kuna wakati unasimama kama shabiki na Kuna wakati unasimama kama mchambuzi
Wewe kwenye Simba yako itakua wamekunyima posho unako welekea utahamia YANGA nasi tunakukaribisha karibu
Ongelea simba yako bhana huko hakukufai hata hupendezei kabisa. Walokusimamisha wana Lao jambo simba tumekumiss ndugu yetu.
Naona utarudi yanga mda siyo mrefu😂😂😂
Kwani alikuwaga Yanga zamani
Mangungu anakuona
Mari ndiyo wapi
Hahahaaaa
Niushamba au kujipendekeza kuzungumzia timu pinzani na kujisifia wakati wenzetu wanatuponda tu, wasemaji wa simba jiulizeni nyie mna nini?
Wenawe
Acha ushabiki maandazi unamshangaa Dr mo msikilize Justin kessy, Kuna wakati unasimama kama shabiki na Kuna wakati una simama kama mchambuzi.
Пікірлер: 34
Kumbe Dr.you are very professional achana na makolo uwe mchambuzi bora
Kazii nzurii dr Mo
@DotoKizupa
8 күн бұрын
bro uko sawa safi sana
MUNGU ni mwema hongera Sana Dr Mo vyema uchambuzi mwema kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana nyote
Dr Mo uko vizuri kwa uchambuzi wako hongera
Salut kwako mo
Mupo vizuri mjengon
Timu Kali Sana iyo umepanga kutakuwa na kiama 😂
safi
Mo . Unajua kuchambua safi
Duuuu yanga tusameeni mbona kama 5 zinarudi tena
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania iyo niatari sana asikwambie mtu
Kumbe Dr unajua kuchambua viziri kabisa ila unajizimaga data
Mhhh we jamaa unajifanya mchambuzi sasa kila siku kuisemea yanga tu hatutaki
Achana na MAKOLOO Baki kuchambua boli Utaheshimika kaka
paapaapa
Bado hujasema
Kumbe una akili muda mwingine
Ngao natabili yanga 5 vs simba 1
Simba inakuvunjia heshima,endelea kufanya uchambuzi kaka.
Kumbe akili unazo😅😅😅
Ushabiki maandazi unamshangaa Dr mo msikilize Justin kessy Kuna wakati unasimama kama shabiki na Kuna wakati unasimama kama shabiki
He huyu nae mchambuzi sio mpiga domo tema😂😂😂😂 Tanzania jii
Ushabiki maandazi unamshangaa Dr mo msikilize Justin kessy Kuna wakati unasimama kama shabiki na Kuna wakati unasimama kama mchambuzi
Wewe kwenye Simba yako itakua wamekunyima posho unako welekea utahamia YANGA nasi tunakukaribisha karibu
Ongelea simba yako bhana huko hakukufai hata hupendezei kabisa. Walokusimamisha wana Lao jambo simba tumekumiss ndugu yetu.
Naona utarudi yanga mda siyo mrefu😂😂😂
@johnnyambuya8671
11 күн бұрын
Kwani alikuwaga Yanga zamani
@user-qb6tf1qb1w
11 күн бұрын
Mangungu anakuona
Mari ndiyo wapi
@allysaidi-uy9rm
10 күн бұрын
Hahahaaaa
Niushamba au kujipendekeza kuzungumzia timu pinzani na kujisifia wakati wenzetu wanatuponda tu, wasemaji wa simba jiulizeni nyie mna nini?
@user-po8hz7xw9j
11 күн бұрын
Wenawe
@bkkomesho9272
11 күн бұрын
Acha ushabiki maandazi unamshangaa Dr mo msikilize Justin kessy, Kuna wakati unasimama kama shabiki na Kuna wakati una simama kama mchambuzi.