MIRAJI |KI ASHAMALIZANA NA YANGA |KAGOMA KALETA NOUMA ZAKE MSIMBAZI | BOKA NI BEKI MTU KAZI KITAWAKA

Пікірлер: 83

  • @zuhuranasoro8923
    @zuhuranasoro892313 күн бұрын

    Wote wenye kumuulizia mzee saidi, chagamba yuko saba saba na mzee saidi yuko kwenye mishe mishe zake❤

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge827913 күн бұрын

    Aisees nimesachi sana mzee saidi bila mafanikio chagamba vpeeee yupo wp huyo mzee bhana kwa usajiri huu wa mnyama sijamsikia

  • @CharlesKatuli
    @CharlesKatuli13 күн бұрын

    Interview mlikuwa mnafanyia ukutani saizi ni sehemu moja hivi imejaa matangazo balaa ,hongera chagamba na miraji kwa kudaka madili

  • @stevenobure8241
    @stevenobure824113 күн бұрын

    Mimi nimekuwa mwana finest online kwa sababu Mzee Saidi na Miraji ila hasa hasa Mzee Saidi

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq13 күн бұрын

    Chagamba mzee saidi hatujamuona muda sana

  • @dullamuso6955
    @dullamuso695512 күн бұрын

    Chagamba umechoka kupigwa makofi 😂😂😂😂😂 umeona isiwe tabu ukatafuta kijiwe kizuri nice bro

  • @ngwilunyiga2447
    @ngwilunyiga244712 күн бұрын

    Simba nguvu moja💥🔥🔥

  • @user-zd3wy8dd6w
    @user-zd3wy8dd6w13 күн бұрын

    chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2

  • @Sebastianrichard253

    @Sebastianrichard253

    13 күн бұрын

    Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote

  • @jamesmaneno2281

    @jamesmaneno2281

    13 күн бұрын

    Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga

  • @malietamaliet

    @malietamaliet

    13 күн бұрын

    😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana

  • @saltechnologiesco.ltd.2377

    @saltechnologiesco.ltd.2377

    12 күн бұрын

    Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni

  • @user-uh2em3og8w

    @user-uh2em3og8w

    11 күн бұрын

    We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama

  • @mathiasdaud7842
    @mathiasdaud784211 күн бұрын

    Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga41713 күн бұрын

    Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq13 күн бұрын

    Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises12 күн бұрын

    miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊

  • @user-wc2gs5xs1r
    @user-wc2gs5xs1r11 күн бұрын

    Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother

  • @malietamaliet
    @malietamaliet13 күн бұрын

    Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid813 күн бұрын

    Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @athumanhusen6008
    @athumanhusen600812 күн бұрын

    Matola mbna amumzungumzii

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula947210 күн бұрын

    Mwananchi

  • @ChristianeMahendekaJr-mo6ze
    @ChristianeMahendekaJr-mo6ze13 күн бұрын

    Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana

  • @kaizermgawa
    @kaizermgawa13 күн бұрын

    anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf12 күн бұрын

    Ww chagamba tupe Mzee saidi bana

  • @elizabethywinnie1090
    @elizabethywinnie109013 күн бұрын

    Mzee Said yuko wapi jamn😢

  • @wilemajani
    @wilemajani13 күн бұрын

    Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa391412 күн бұрын

    UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba506413 күн бұрын

    Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @samsonlusheleja8809
    @samsonlusheleja880913 күн бұрын

    Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa

  • @stevensosipita

    @stevensosipita

    13 күн бұрын

    MAKOLOOOOOOOOOOO 😂😂

  • @jamesmarumbo6820
    @jamesmarumbo682013 күн бұрын

    Mzee said yupo wapi chagamba

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson447413 күн бұрын

    Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba

  • @MzeeMzee-lv7sv
    @MzeeMzee-lv7sv13 күн бұрын

    Shabalala asije kumroga mwenzake

  • @mosesnjenga-jc2to
    @mosesnjenga-jc2to13 күн бұрын

    Namba ya miraji ama chagamba tafadhali

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa163813 күн бұрын

    Kramo yupo jamani

  • @msongeomary6195
    @msongeomary619513 күн бұрын

    Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa

  • @BinbbasBinbbas
    @BinbbasBinbbas13 күн бұрын

    Chagamba unazingua nenda kwa mzee said

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert13 күн бұрын

    Mzee saidi yuko wapi chagamba😭

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p13 күн бұрын

    Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu585513 күн бұрын

    Si tusiokuwa maarufu tunasubiri liggi ianze tuone

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b13 күн бұрын

    Mzeeee said wapiii mbn hatumuoni 😢😢😢😢

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq13 күн бұрын

    Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz848513 күн бұрын

    Mirajiii bhn kumbe mutuuu 😂😂😂😂😂😂

  • @MchanaLive
    @MchanaLive13 күн бұрын

    milaj nakukubari sana

  • @mikidadymanga1346
    @mikidadymanga134613 күн бұрын

    Nkubal @miraji

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu957013 күн бұрын

    Chagamba please tuletee mzee saidi nawafatilia nikiwa dubai

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g13 күн бұрын

    Kabisa

  • @Fundirichie
    @Fundirichie13 күн бұрын

  • @jamesmakaranga1170
    @jamesmakaranga117013 күн бұрын

    Chagamba tunamuomba mzee said

  • @user-od4hl3rp3p
    @user-od4hl3rp3p13 күн бұрын

    Familia mzee said yup wap talifa za ki amezipokeaje

  • @user-lm4bu9ys1r
    @user-lm4bu9ys1r13 күн бұрын

    Miraji uiisema kuna wachezaji wakiachwa utafurai mbona kimya

  • @josinatrderss
    @josinatrderss13 күн бұрын

    Chagamba mkisimama ndiyo maongezi yanakuwa na mzuka! Ukipigwa pigwa kidogo

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga13 күн бұрын

    Leo chagamba makofi hajapigwa sijapenda kabisa😂

  • @josephmandala2225
    @josephmandala222513 күн бұрын

    Chagamba watu tumetoka Shinyanga au Kigoma huko tunatafuta banda hata tuwasalimie hata simu hupokei . Sisi ndio familia ujue sio poa

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel255713 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @patrickimran2645
    @patrickimran264513 күн бұрын

    Watalaumiwa wachezaji sawa mmkome mangungu wa watu

  • @BarakaJoseph-ij2hc
    @BarakaJoseph-ij2hc13 күн бұрын

    Chagamba tume miss kuona unapigwa mabega

  • @birundula
    @birundula13 күн бұрын

    Leo memkaa pazuri😂😂😂😂😂

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani13 күн бұрын

    Chagamba miraji haipendezi tunataka msimame maana kunavitu tunavikosa juu yenu ukipigwa pigwa makofi sisi huku tunafurahi kweli

  • @hekimarizik6599
    @hekimarizik659913 күн бұрын

    Chagamba nakubali wananguu

  • @Shadia544
    @Shadia54413 күн бұрын

    Chagamba mlete mzee saidi sasa ili tucheke jamaniii maana azizi ki yupo Kwa makolo 😢 😂

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu759613 күн бұрын

    Tunawapataje wekeni namba za sim

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge827913 күн бұрын

    Pia viongozi we2 wawalinde bas wachezaji we2 isije yakatoke ya yule kramo

  • @mnabukulakasaka
    @mnabukulakasaka13 күн бұрын

    Naomba kuungwa kwenye group la simba changamb

  • @williamjames5267
    @williamjames526713 күн бұрын

    Chagamba tuna muomba na mzee wetu mzee saidi umfate alipo maana alipo tupo

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani912113 күн бұрын

    Chagamba mtafute mzee said na masatu

  • @williamissaya8091
    @williamissaya809112 күн бұрын

    Ninyi wawili naomba niwaulize swali hivi!?huyu jamaa anayeitwa mchome anajifanya kama ni Simba ni Simba kweli huyu jamaa!?

  • @elishagregory1595
    @elishagregory159513 күн бұрын

    Eth yanga ya kipindi cha bakari

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p13 күн бұрын

    Xavi mtupu

  • @marthageorge5043
    @marthageorge504313 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f13 күн бұрын

    Kwani wewe Chagamba ni Kolo au mwananchi

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula947210 күн бұрын

    Niunge kundin

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l13 күн бұрын

    MUNGU IBARKI CHAMA LANGU SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b13 күн бұрын

    Nakubal

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome596413 күн бұрын

    Huyu sio boka muite boyka

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    13 күн бұрын

    Chadrack Issack Boka waziri wa tamisemii

  • @mhinajerome5964

    @mhinajerome5964

    13 күн бұрын

    Hahahahaaaa

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu759613 күн бұрын

    Wwkeni namba ya sim jinsi ya kuwatumia chochote

  • @mussabitomwa6713

    @mussabitomwa6713

    13 күн бұрын

    Zipo kwenye chini upande wa kulia

  • @mussabitomwa6713

    @mussabitomwa6713

    13 күн бұрын

    *kwenye video*

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi14813 күн бұрын

    Vi Mzee saidi jamani wiki sasa hatujamuona

Келесі