chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2
@Sebastianrichard253
13 күн бұрын
Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote
@jamesmaneno2281
13 күн бұрын
Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga
@malietamaliet
13 күн бұрын
😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana
@saltechnologiesco.ltd.2377
12 күн бұрын
Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni
@user-uh2em3og8w
11 күн бұрын
We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama
@mathiasdaud784211 күн бұрын
Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂
@abelimaganga41713 күн бұрын
Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha
@FatumaSwaleh-it4qq13 күн бұрын
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅
@moiseszacariasmoisesmoises12 күн бұрын
miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊
@user-wc2gs5xs1r11 күн бұрын
Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother
@malietamaliet13 күн бұрын
Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi
@mansoursaid813 күн бұрын
Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣
@athumanhusen600812 күн бұрын
Matola mbna amumzungumzii
@leonardmabula947210 күн бұрын
Mwananchi
@ChristianeMahendekaJr-mo6ze13 күн бұрын
Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana
@kaizermgawa13 күн бұрын
anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bf12 күн бұрын
Ww chagamba tupe Mzee saidi bana
@elizabethywinnie109013 күн бұрын
Mzee Said yuko wapi jamn😢
@wilemajani13 күн бұрын
Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake
@mr.lawimagupa391412 күн бұрын
UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE
@huseinbusaba506413 күн бұрын
Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
@samsonlusheleja880913 күн бұрын
Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa
@stevensosipita
13 күн бұрын
MAKOLOOOOOOOOOOO 😂😂
@jamesmarumbo682013 күн бұрын
Mzee said yupo wapi chagamba
@hoseadyson447413 күн бұрын
Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba
@MzeeMzee-lv7sv13 күн бұрын
Shabalala asije kumroga mwenzake
@mosesnjenga-jc2to13 күн бұрын
Namba ya miraji ama chagamba tafadhali
@samwelingasa163813 күн бұрын
Kramo yupo jamani
@msongeomary619513 күн бұрын
Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa
@BinbbasBinbbas13 күн бұрын
Chagamba unazingua nenda kwa mzee said
@JeniphaRobert13 күн бұрын
Mzee saidi yuko wapi chagamba😭
@user-tg7vq3ty8p13 күн бұрын
Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.
@fatumasophu585513 күн бұрын
Si tusiokuwa maarufu tunasubiri liggi ianze tuone
@user-eh6wn9qf4b13 күн бұрын
Mzeeee said wapiii mbn hatumuoni 😢😢😢😢
@JANE-jv4eq13 күн бұрын
Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi
Пікірлер: 83
Wote wenye kumuulizia mzee saidi, chagamba yuko saba saba na mzee saidi yuko kwenye mishe mishe zake❤
Aisees nimesachi sana mzee saidi bila mafanikio chagamba vpeeee yupo wp huyo mzee bhana kwa usajiri huu wa mnyama sijamsikia
Interview mlikuwa mnafanyia ukutani saizi ni sehemu moja hivi imejaa matangazo balaa ,hongera chagamba na miraji kwa kudaka madili
Mimi nimekuwa mwana finest online kwa sababu Mzee Saidi na Miraji ila hasa hasa Mzee Saidi
Chagamba mzee saidi hatujamuona muda sana
Chagamba umechoka kupigwa makofi 😂😂😂😂😂 umeona isiwe tabu ukatafuta kijiwe kizuri nice bro
Simba nguvu moja💥🔥🔥
chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2
@Sebastianrichard253
13 күн бұрын
Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote
@jamesmaneno2281
13 күн бұрын
Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga
@malietamaliet
13 күн бұрын
😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana
@saltechnologiesco.ltd.2377
12 күн бұрын
Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni
@user-uh2em3og8w
11 күн бұрын
We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama
Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂
Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅
miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊
Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother
Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi
Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣
Matola mbna amumzungumzii
Mwananchi
Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana
anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂
Ww chagamba tupe Mzee saidi bana
Mzee Said yuko wapi jamn😢
Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake
UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE
Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa
@stevensosipita
13 күн бұрын
MAKOLOOOOOOOOOOO 😂😂
Mzee said yupo wapi chagamba
Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba
Shabalala asije kumroga mwenzake
Namba ya miraji ama chagamba tafadhali
Kramo yupo jamani
Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa
Chagamba unazingua nenda kwa mzee said
Mzee saidi yuko wapi chagamba😭
Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.
Si tusiokuwa maarufu tunasubiri liggi ianze tuone
Mzeeee said wapiii mbn hatumuoni 😢😢😢😢
Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi
Mirajiii bhn kumbe mutuuu 😂😂😂😂😂😂
milaj nakukubari sana
Nkubal @miraji
Chagamba please tuletee mzee saidi nawafatilia nikiwa dubai
Kabisa
❤
Chagamba tunamuomba mzee said
Familia mzee said yup wap talifa za ki amezipokeaje
Miraji uiisema kuna wachezaji wakiachwa utafurai mbona kimya
Chagamba mkisimama ndiyo maongezi yanakuwa na mzuka! Ukipigwa pigwa kidogo
Leo chagamba makofi hajapigwa sijapenda kabisa😂
Chagamba watu tumetoka Shinyanga au Kigoma huko tunatafuta banda hata tuwasalimie hata simu hupokei . Sisi ndio familia ujue sio poa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Watalaumiwa wachezaji sawa mmkome mangungu wa watu
Chagamba tume miss kuona unapigwa mabega
Leo memkaa pazuri😂😂😂😂😂
Chagamba miraji haipendezi tunataka msimame maana kunavitu tunavikosa juu yenu ukipigwa pigwa makofi sisi huku tunafurahi kweli
Chagamba nakubali wananguu
Chagamba mlete mzee saidi sasa ili tucheke jamaniii maana azizi ki yupo Kwa makolo 😢 😂
Tunawapataje wekeni namba za sim
Pia viongozi we2 wawalinde bas wachezaji we2 isije yakatoke ya yule kramo
Naomba kuungwa kwenye group la simba changamb
Chagamba tuna muomba na mzee wetu mzee saidi umfate alipo maana alipo tupo
Chagamba mtafute mzee said na masatu
Ninyi wawili naomba niwaulize swali hivi!?huyu jamaa anayeitwa mchome anajifanya kama ni Simba ni Simba kweli huyu jamaa!?
Eth yanga ya kipindi cha bakari
Xavi mtupu
😂😂😂😂😂😂😂
Kwani wewe Chagamba ni Kolo au mwananchi
Niunge kundin
MUNGU IBARKI CHAMA LANGU SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nakubal
Huyu sio boka muite boyka
@mwanangusana
13 күн бұрын
Chadrack Issack Boka waziri wa tamisemii
@mhinajerome5964
13 күн бұрын
Hahahahaaaa
Wwkeni namba ya sim jinsi ya kuwatumia chochote
@mussabitomwa6713
13 күн бұрын
Zipo kwenye chini upande wa kulia
@mussabitomwa6713
13 күн бұрын
*kwenye video*
Vi Mzee saidi jamani wiki sasa hatujamuona