MZEE SAID: WACHEZAJI WALINDWE | MSIMU UJAO VIKOMBE | AZIZ KI KABAKI?
Жүктеу.....
Пікірлер: 34
@AbbasyMdabwa26 күн бұрын
Mzee said upo sahihi kabisa naunauchungunatimu yako
@mwanaidimtengo815126 күн бұрын
Mzee Saidi MUNGU akuweke Unatufurahisha sana,Hahahahaaaaaaaa
@SultanSuleiman-qf7cx26 күн бұрын
Hadi Raha sana kma utani n huyu Mzee Dunia Haina shida
@boniphacesimkonda229325 күн бұрын
Kaingia kwenye mfumo😂😂 mzee said anasema hataki kusikia kabisa mkiwa mnasema kaingia kwenye mfumo😅😅
@user-jz4vq2zm5f26 күн бұрын
Mungu lete wemaa wako! Mzee saidi😂😂😂
@mhinajerome596426 күн бұрын
Mzee said Siku simba ikifungwa hatakubari interview
@noelmakere138126 күн бұрын
Kiukweli napenda sana interview ya mzee saidi yaani anatoa....full Raha
@EzekiaMichael-jn5np25 күн бұрын
Mzee Leo umeamka kivingine
@husnasena605526 күн бұрын
😂😂😂nimecheka Kwa sauti wallah Mzee said anasema mfano wake ushaisha🤣🤣🤣
@lubenjackson5243
25 күн бұрын
Red scorpion mzee said😂😂😂😂😂😂😂
@stephenwainage252325 күн бұрын
Boka Tena eeeh😅😅😂
@albertvalentino13024 күн бұрын
Eeee tatizo ni tarehe yenyewe ina namba kubwa mno --- tarehe 08/08 --- ilikuwa tarehe 05/Nov ikatokea dhahama kama ilivyo tarehe yake -- ushauri wangu wa bure kwenu ni huu --- "Madu msilete timu uwanjani "
@RajabuLanda21 күн бұрын
Kunamambo hayajafahamika. Sora kuchaji betr Lili oza
@boniphacesimkonda229325 күн бұрын
Kuna Boka tena 😂😂😂
@deogratiaspmwolo194226 күн бұрын
Mzee Said mzee said mzee said mzee said angalia yanga tunakupenda ila sijui utajificha wapi mkiingia kwenye mfumo ha ha ha
@AbuuMuhsin26 күн бұрын
CHAGAMBA Muulize mzee said anatokea wilaya gani Tabora, maana anavyoongea huyu ni mnyamwezi
@user-or4oq3pr4v24 күн бұрын
Na Yao kwas hakuwepo
@josephgalandu12824 күн бұрын
Mutali mukwala,mkwembe mukolo,yooooote tutayajua tar jitieni moyo tu😅😅😅
@lucasmombo-di4zr26 күн бұрын
Mzee said , umeanza tena yanga waje mmmh umesahau 5 ?
@archiekarage73726 күн бұрын
Litakufa jitu
@ChartyMpepo26 күн бұрын
😂😂😂😂 mzee saidi kwanzia leo debora
@Dizzoboy-u2c26 күн бұрын
Zile 5 tuna multiple kwa 2 ngoja uone
@mhinajerome596426 күн бұрын
Mbonahii yajana sio yaleo ndio maana naona yanajirudia hii ilikuwa finest online nanyie kuweni wabunifu
@mbuche_055
25 күн бұрын
Hawa wanaiba kutoka @ finest online wanaleta hapa ambapo sio vizuri anatumia nguvu ya mwenzake
@AbasiyaKingalu26 күн бұрын
Ahahahaahahaha😅😅😅
@HamadRamadhanKhatib25 күн бұрын
Ha ha ha Simba kufungwa na yanga lazima ila tujadili idadi tu yamagoli
@kolosii435126 күн бұрын
Mzee Said ongezea na mpenja anavyootangaza wakati wachezaji wanaingia, " sasa ule mida wa vijembe na matambo umeisha, sasa dakika 90"
@MzeewaYanga-hm8jq26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@michaelmazoya934726 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-bt6ep3yb2h26 күн бұрын
Ukuta wa yeriko ulibomoka msimu uliopita mzee said.
@anoldselfalphonce467125 күн бұрын
Acha kuiba content za watu we fala
@FannySporttz
25 күн бұрын
Kuwa na amani familia hii ni familia na Finest... Instagram tunapatikana kwa Finest Online au Alqasusu... 🙏
Пікірлер: 34
Mzee said upo sahihi kabisa naunauchungunatimu yako
Mzee Saidi MUNGU akuweke Unatufurahisha sana,Hahahahaaaaaaaa
Hadi Raha sana kma utani n huyu Mzee Dunia Haina shida
Kaingia kwenye mfumo😂😂 mzee said anasema hataki kusikia kabisa mkiwa mnasema kaingia kwenye mfumo😅😅
Mungu lete wemaa wako! Mzee saidi😂😂😂
Mzee said Siku simba ikifungwa hatakubari interview
Kiukweli napenda sana interview ya mzee saidi yaani anatoa....full Raha
Mzee Leo umeamka kivingine
😂😂😂nimecheka Kwa sauti wallah Mzee said anasema mfano wake ushaisha🤣🤣🤣
@lubenjackson5243
25 күн бұрын
Red scorpion mzee said😂😂😂😂😂😂😂
Boka Tena eeeh😅😅😂
Eeee tatizo ni tarehe yenyewe ina namba kubwa mno --- tarehe 08/08 --- ilikuwa tarehe 05/Nov ikatokea dhahama kama ilivyo tarehe yake -- ushauri wangu wa bure kwenu ni huu --- "Madu msilete timu uwanjani "
Kunamambo hayajafahamika. Sora kuchaji betr Lili oza
Kuna Boka tena 😂😂😂
Mzee Said mzee said mzee said mzee said angalia yanga tunakupenda ila sijui utajificha wapi mkiingia kwenye mfumo ha ha ha
CHAGAMBA Muulize mzee said anatokea wilaya gani Tabora, maana anavyoongea huyu ni mnyamwezi
Na Yao kwas hakuwepo
Mutali mukwala,mkwembe mukolo,yooooote tutayajua tar jitieni moyo tu😅😅😅
Mzee said , umeanza tena yanga waje mmmh umesahau 5 ?
Litakufa jitu
😂😂😂😂 mzee saidi kwanzia leo debora
Zile 5 tuna multiple kwa 2 ngoja uone
Mbonahii yajana sio yaleo ndio maana naona yanajirudia hii ilikuwa finest online nanyie kuweni wabunifu
@mbuche_055
25 күн бұрын
Hawa wanaiba kutoka @ finest online wanaleta hapa ambapo sio vizuri anatumia nguvu ya mwenzake
Ahahahaahahaha😅😅😅
Ha ha ha Simba kufungwa na yanga lazima ila tujadili idadi tu yamagoli
Mzee Said ongezea na mpenja anavyootangaza wakati wachezaji wanaingia, " sasa ule mida wa vijembe na matambo umeisha, sasa dakika 90"
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Ukuta wa yeriko ulibomoka msimu uliopita mzee said.
Acha kuiba content za watu we fala
@FannySporttz
25 күн бұрын
Kuwa na amani familia hii ni familia na Finest... Instagram tunapatikana kwa Finest Online au Alqasusu... 🙏
Kwenye. Mfumo
😂😂😂😂