Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚
@hassanmwallimu576728 күн бұрын
Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him
@amaniomar1755
27 күн бұрын
It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.
@jumamustapha825411 күн бұрын
Zahera umepata timu, kwa heshima tunayo kuheshimu kwa yale uliyotufanyia, acha kuzungumzia usajili wa yanga, fanya kazi ya timu yako ya Sasa.
@JumaMigezo27 күн бұрын
Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like
@athmanimkangara929026 күн бұрын
Mkude & Chama political signing
@issaselemani49126 күн бұрын
Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.
@makabemwita484327 күн бұрын
Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.
@abdallahidrisa71027 күн бұрын
Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.
@BennBenn-es5fi27 күн бұрын
Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.
@djnyosoofficial30527 күн бұрын
Zahera juuu
@user-eu6gl4vs1o26 күн бұрын
Haikuhusu tulia Namungo
@hajimnubi458126 күн бұрын
First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua
@vertasmtenga298227 күн бұрын
Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi
@joshuamwambene287427 күн бұрын
Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu
@marcobulili434127 күн бұрын
Kweli kocha!
@makabemwita484327 күн бұрын
Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.
@boscomalangalila26 күн бұрын
Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda
@thomasdimme789926 күн бұрын
Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga
@amosicommedy691727 күн бұрын
Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine
@ErnestJosephat
27 күн бұрын
😂daaah
@Kabeya41027 күн бұрын
Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi
@mussandikumana356127 күн бұрын
Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani
@jamesbernad1645
27 күн бұрын
Kolo bhana😂😂
@amaniomar175527 күн бұрын
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉
@user-iz3hs8jl5p
27 күн бұрын
safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana o
@husseinshabani952227 күн бұрын
Ni kweli kabisa Uyasemayo
@speciallvoice809127 күн бұрын
Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali
@muhamedjaffar565327 күн бұрын
Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko
Пікірлер: 31
Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚
Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him
@amaniomar1755
27 күн бұрын
It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.
Zahera umepata timu, kwa heshima tunayo kuheshimu kwa yale uliyotufanyia, acha kuzungumzia usajili wa yanga, fanya kazi ya timu yako ya Sasa.
Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like
Mkude & Chama political signing
Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.
Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.
Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.
Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.
Zahera juuu
Haikuhusu tulia Namungo
First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua
Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi
Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu
Kweli kocha!
Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.
Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda
Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga
Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine
@ErnestJosephat
27 күн бұрын
😂daaah
Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi
Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani
@jamesbernad1645
27 күн бұрын
Kolo bhana😂😂
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉
@user-iz3hs8jl5p
27 күн бұрын
safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana o
Ni kweli kabisa Uyasemayo
Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali
Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko