#TheBarTender ... Episode Number 08 🍹🍸 . . @mkudesimbaoriginal Yupo Ndani ya #TheBarTender 🍹 na BabaAko @jonijooo . . Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙
Жүктеу.....
Пікірлер: 1 100
@annajemsi35525 жыл бұрын
Jaman nime enjoy sana interview ya mkunde Simba mlo enjoy interview ya mkunde Simba weka like yako hapa.
@pilikhamis2924
5 жыл бұрын
kitale yan nakuaminia maneno yakua mkuambiwa vzr sana hongera kk ila weka kila siku maana duu niuhondo
@sechelelafungo1884
4 жыл бұрын
Yupo poasana
@kaniyahiouise14745 жыл бұрын
*Kama unaangalia huku ukisoma comments tujuane gonga like twende sawa*
@mtumishihewa7595
5 жыл бұрын
nielekeze mkuu naandikaj hayo maandishi aisee
@Official_Sunday_Mjeda
5 жыл бұрын
Nice kk pammoj
@mtumishihewa7595
5 жыл бұрын
kaka nelekeze bhx
@azizarajabu6476
5 жыл бұрын
Mkude anajielewa sana anaakili ya kufkilia jambo jema namkubal sana
@ngnkjumanne3287
5 жыл бұрын
Sana
@officialfranktv90815 жыл бұрын
Hiyo juice hata ningekuwa mimi ningeinywa hivoo hivoo ujakosea😂😂😂
@stevenshonza68695 жыл бұрын
Uhalisia wa inje ya camera juice grac kama zote kudadeq nimekubali
@cleverphd71585 жыл бұрын
1:Young Killer 2:Giggy Money 3:Country Boy 4:Lulu Diva 5:Dude 6:Master Jay 7:Romy Jones 8:Mkude Simba The best show in Town tuko pa1 show ya kibabe
@chiefhelloguysmbossoshikam5822
5 жыл бұрын
Duh uko vzr ktk ufuatiliaj
@salma_6j975
5 жыл бұрын
Master j umemsahau
@BeneguPro
5 жыл бұрын
@@salma_6j975 rudia usome liste
@shodristvtv6121
5 жыл бұрын
Master jay
@cleverphd7158
5 жыл бұрын
Shodris tv TV uyo apo no.6
@fredykutaly30615 жыл бұрын
Noma sana wasaf Tv joni jooo na kitale ndan ya nyumba
@K257955 жыл бұрын
icho kimwendo Cha mkude simba nimekikubali kama naw unakiona sw gonga like hapa
@georgegerase1903
5 жыл бұрын
Kytet Mackam m
@ilhammshana9143
5 жыл бұрын
Matege flan nn😂😂😂😂😂😂
@zuusaidibushiri5556
3 жыл бұрын
Kumbe we pia umekiona
@K25795
3 жыл бұрын
@@zuusaidibushiri5556 ndio ndiio umenikumbusha mbaliii
@zulfatothman10515 жыл бұрын
Jonijooo leo utakiona ametembea juani alafu ucku piga tarumbeta baba😆😆🔥
@emmanueldaudi74035 жыл бұрын
Me namkubali sana mkude🙌 kama unamkubali mkunde kama mim gonga like
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Namkubali mzee wa maneno ya kuambiwa acha nikupe mistari kidogo ya kitale!...asante sana afande nimefurahi kuniweka jela mana kula nure kulala bure dah Asante 😁😁😁😁
@missdija4959
4 жыл бұрын
Khadija Njama wajina hii nilichekaga mpaka mbavu zinauma😂😂
@rahimrifaiiyabdullah15305 жыл бұрын
Yaani kiuujumla mkude simba kwa maneno ya kuambiwa umeecheza vizuri sana na kwa mtazamo ule wa maneno ya kuambiwa uko vizuri
@swabanswar29795 жыл бұрын
Yani Nakupenda zaidi ya sana kitale😍 Lookng good mashaallah
One of the best kati ya zote zilizopita yani mkude katishaa sanaa BABA AKO
@alicedavido13305 жыл бұрын
Siku nyingine huitwi Tena the bar tender😄😄 unamaliza juice
@mussamgundoi55365 жыл бұрын
Mkude uko poa sana yan mm nakupendaga sana Broo haswa kwenye maneno ya kuambiwa, mungu akulinde na akupe nguvu afya njema wewe na familia yako Amina
@frankrenatus55245 жыл бұрын
😁😁😁😁 Nipigie tena juice kumbe choo kipo hapo
@hawaomar5045
5 жыл бұрын
Millard Ayo kaka yangu sorry mi natafuta kazi aina yoyote ile naomba msaada wako
@hawaomar5045
5 жыл бұрын
Iwe Duka au kaunta fresh tu but nahitaji msaada wako
@abdulaziz703
5 жыл бұрын
Safi sana kuona Millard unapata time ya kupitia channels nyingine za wenzako kuona wanafanya nini. Nachukulia hii ni kama nafasi ya kujikuza kikazi kwa kupata mapya na kuchubgulia mapungufu ili uteleze nayo. Safi sana Millard. Keep it Up !
@marcelinamkireri2786
4 жыл бұрын
Millard ayo nakutafuta sana nikupateje
@marcelinamkireri2786
4 жыл бұрын
Millard ayo Kaka nakupayeje
@abbaslivene5 жыл бұрын
Tunawajua ndioooooo... Walimu wapyaaa "Kwa sauti ya Mstalini"🤣🤣🤣
@abdulsalum28525 жыл бұрын
Dah uyu jamaa kitale ni balaa sana juice itaisha kabisa
Пікірлер: 1 100
Jaman nime enjoy sana interview ya mkunde Simba mlo enjoy interview ya mkunde Simba weka like yako hapa.
@pilikhamis2924
5 жыл бұрын
kitale yan nakuaminia maneno yakua mkuambiwa vzr sana hongera kk ila weka kila siku maana duu niuhondo
@sechelelafungo1884
4 жыл бұрын
Yupo poasana
*Kama unaangalia huku ukisoma comments tujuane gonga like twende sawa*
@mtumishihewa7595
5 жыл бұрын
nielekeze mkuu naandikaj hayo maandishi aisee
@Official_Sunday_Mjeda
5 жыл бұрын
Nice kk pammoj
@mtumishihewa7595
5 жыл бұрын
kaka nelekeze bhx
@azizarajabu6476
5 жыл бұрын
Mkude anajielewa sana anaakili ya kufkilia jambo jema namkubal sana
@ngnkjumanne3287
5 жыл бұрын
Sana
Hiyo juice hata ningekuwa mimi ningeinywa hivoo hivoo ujakosea😂😂😂
Uhalisia wa inje ya camera juice grac kama zote kudadeq nimekubali
1:Young Killer 2:Giggy Money 3:Country Boy 4:Lulu Diva 5:Dude 6:Master Jay 7:Romy Jones 8:Mkude Simba The best show in Town tuko pa1 show ya kibabe
@chiefhelloguysmbossoshikam5822
5 жыл бұрын
Duh uko vzr ktk ufuatiliaj
@salma_6j975
5 жыл бұрын
Master j umemsahau
@BeneguPro
5 жыл бұрын
@@salma_6j975 rudia usome liste
@shodristvtv6121
5 жыл бұрын
Master jay
@cleverphd7158
5 жыл бұрын
Shodris tv TV uyo apo no.6
Noma sana wasaf Tv joni jooo na kitale ndan ya nyumba
icho kimwendo Cha mkude simba nimekikubali kama naw unakiona sw gonga like hapa
@georgegerase1903
5 жыл бұрын
Kytet Mackam m
@ilhammshana9143
5 жыл бұрын
Matege flan nn😂😂😂😂😂😂
@zuusaidibushiri5556
3 жыл бұрын
Kumbe we pia umekiona
@K25795
3 жыл бұрын
@@zuusaidibushiri5556 ndio ndiio umenikumbusha mbaliii
Jonijooo leo utakiona ametembea juani alafu ucku piga tarumbeta baba😆😆🔥
Me namkubali sana mkude🙌 kama unamkubali mkunde kama mim gonga like
Namkubali mzee wa maneno ya kuambiwa acha nikupe mistari kidogo ya kitale!...asante sana afande nimefurahi kuniweka jela mana kula nure kulala bure dah Asante 😁😁😁😁
@missdija4959
4 жыл бұрын
Khadija Njama wajina hii nilichekaga mpaka mbavu zinauma😂😂
Yaani kiuujumla mkude simba kwa maneno ya kuambiwa umeecheza vizuri sana na kwa mtazamo ule wa maneno ya kuambiwa uko vizuri
Yani Nakupenda zaidi ya sana kitale😍 Lookng good mashaallah
@andersonchibule4761
5 жыл бұрын
Do you really mean?.
@mohamedabubakar3273
5 жыл бұрын
.
@fumually4991
4 жыл бұрын
Nice
Wangapi wamewaona wadada kulee wanahangaika kumuangalia kitale
@nasernasser7733
4 жыл бұрын
U
One of the best kati ya zote zilizopita yani mkude katishaa sanaa BABA AKO
Siku nyingine huitwi Tena the bar tender😄😄 unamaliza juice
Mkude uko poa sana yan mm nakupendaga sana Broo haswa kwenye maneno ya kuambiwa, mungu akulinde na akupe nguvu afya njema wewe na familia yako Amina
😁😁😁😁 Nipigie tena juice kumbe choo kipo hapo
@hawaomar5045
5 жыл бұрын
Millard Ayo kaka yangu sorry mi natafuta kazi aina yoyote ile naomba msaada wako
@hawaomar5045
5 жыл бұрын
Iwe Duka au kaunta fresh tu but nahitaji msaada wako
@abdulaziz703
5 жыл бұрын
Safi sana kuona Millard unapata time ya kupitia channels nyingine za wenzako kuona wanafanya nini. Nachukulia hii ni kama nafasi ya kujikuza kikazi kwa kupata mapya na kuchubgulia mapungufu ili uteleze nayo. Safi sana Millard. Keep it Up !
@marcelinamkireri2786
4 жыл бұрын
Millard ayo nakutafuta sana nikupateje
@marcelinamkireri2786
4 жыл бұрын
Millard ayo Kaka nakupayeje
Tunawajua ndioooooo... Walimu wapyaaa "Kwa sauti ya Mstalini"🤣🤣🤣
Dah uyu jamaa kitale ni balaa sana juice itaisha kabisa
Ndiyooooo walimu wapyaaaaa hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaa kweli wewe mkude simba
@issamuadham7890
5 жыл бұрын
Naangalia huku nafuraha na hela ya kubet
*kita kitale lufufu lufufu bwakila bwakila kama una mkubali kitale gonga like*
@maindaafricanbeauty3360
4 жыл бұрын
Namkubali sana
That ninja is real G mob love from 254
Always huwa sina manenoooooooooo napitaaaaaaaa😅😅😅😅😅 #big up kitale # big up wasafi✌✌
Shoo la kibabe jonijo + kitale #Bartender #Wasafi 👊👊 like kama hubanduki wasafi
@timotheomwashilindi4224
5 жыл бұрын
Kizazi sana
@osmansuphian7900
5 жыл бұрын
Uko poa sana kitale
Daaah leo mswahiri kavAMIA KAMBI
Dope.....pindi la kijanja always #hallaaah
Asee hii ya mkude nimeikubali sn!! @Bartender,
Huyo mshikaji dairy ye pepsi tu hahahahaha
😂😂😂😂😂Juice imempata mnywaji
@issaramadhani9714
5 жыл бұрын
Kupatwa kwa juisi
@haroonmdou2954
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mayusahussain8045
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@elishamusyani190
5 жыл бұрын
Eee bwana mkunaji limemkuta pele
@barakakaduma8803
5 жыл бұрын
minho kid 😂😂😂😂 Hakika
Daaaah kitale huvungi me mwenyewe na juice si vungi yani
Kama una futilia maneno ya kuambiwa ngoga like hapa
@naimakweyamba5340
5 жыл бұрын
Tupo sawa sasa episode 26
@mudymboriko4453
5 жыл бұрын
Baba ako uyu jamaa anakunyw kama me na me siwezi kunywa taratibu
@kervinalfred9993
5 жыл бұрын
AFRICAN NOLLYWOOD MOVIE TV kitale
Kupatwaa kwa juicee 😂😂😂😂😂😂😂
Daaah hizi juice leo zimemtambua yeye ni nan!?
@mayusahussain8045
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@gebomartin264
5 жыл бұрын
Hatbt Alveson 9
Majizo kabisa anafanya kazi mzuri sana tena kwaki siri ❤️🥰❤️🥰🥰🔥🔥🔥🔥
@paultz1731
5 жыл бұрын
Julienne Heart naomba namba yko
@Buterajm1
5 жыл бұрын
Ali Ali did you know Majizo was helping them?? Tell me where you heard that I can go watch it too🙄🙄
@Buterajm1
5 жыл бұрын
Paul Reuben ThT not a problem but this is public comment come in my inbox on Instagram @julienneheart
@stanleyjunior7230
5 жыл бұрын
@@Buterajm1 hi naomba nikutafute
Jonijo na kubari sana burundi oyoooooo tunafatiria kipindi cako hongera sana show kari ya kizazi kabisa
Duuuh kapiga vikombe vi 5 vya juice nimekukubali mzee baba
I love you Mkude a.k.a Lufufuu 😂😂😂😂
@maegaosca7601
5 жыл бұрын
Mhhhhhh 0719975406
Wasafi tv nooma sana sana yaani.show la kibabe ...#Babako
Nomaaaa sanaa ndo namalizia bongo dar natembelea tena huku....
mkude simba much love from kenya jonijoo 🔥🔥🔥🔥bigup babakooo
Bwakila leo kanywa juis utalipa mze baba hhhhh
Umetisha sana bro kital 😂😂😂
Ahahah mkude ataki uzungu juice mapigo yafasta😂😂😂
da jamn huyu jamaa namkubali xan wangap tuko pamoj
Nmependa unavyo fanya maambulizi ya hio juice bro
@veronicaminja7680
4 жыл бұрын
Mike Sonko
OLAAA JUICE BEI GANI KM VP NITALIPAAAAA WEKAAAA JUICE BAAAAAAAAAAAAKO HAPO HAKUNA KUREMBAAAA MWENDO WA JUICE TUUUU 😅😅😅
Kitale is real....maswali yako jonijoo hunifurahisha
Nimetoka zangu bongo dar saram kwa dude sasa nipo na babaako mdogo mdogo
@princehenry4196
5 жыл бұрын
ESEMUDJE MUDIAGAA hahahhahahaa kama mm vileee
Yes hongera sana kabisa kwa Movie ile ya MANENO YA KUAMBIWA 🔥👏
@kingwigo2961
4 жыл бұрын
Ile ni tamthilia sio movie
Jamaaa anajua sana..... na yupo siriasi na jambo lake.
Alimasi king. je suis au congo (DRC) à kinshasa. j'aime beaucoup kitale. il fait bien son boulot. je l'adore. il est beaugar
Akija mzee wa gambe #Piere liquid atamaliza pombe zotee apo 😀😁😀😂😀😁😂
@jackleenmandary2632
5 жыл бұрын
Htr
2:14 eti nikampiga za mbali tu.. babaaako... hahahahahah... hlf mkude we ni hbr nyngn umepiga Glass 5.. salute baba
Yaan huyuu jamaa amekaaga kishari em ona ata anavooingia apoo 😂😂😂
@marrymimependasanacosta1837
4 жыл бұрын
Hahahaa
MKUDE SIMBA kamaliza show KINYAMWEZI
Dah Wasafi tv mko poa sana,kitale ameniuwa sana kabisa nimecheka sana
Mhh juice nne🤔🤔 Watakuwa hawakuiti kwenye shoo za kula😂😂
😂😂😂Dhu!? Leo nimecheka sana kitare we noma kwamba juis iko nying
Hongera xana kake yngu katika iman kwa kua hautumi kilevi i salute u blazer kitale from saudi Arabia
Nakubali sana hajawahi kuharibu interview hata siku Moja, like kwake tafadhali.
#mkudeeeee🍷🍷🍷✔ Like kama jamaa umemuelewa
@hilarytemba50
5 жыл бұрын
Kizazi sana
Nakubali Jonijo namkubali sana jamaa yupo active harafu maswali anajibu kama inavyotakiwa hapindishi, pamoja sana
Ivi jaman inamaana bwakira ndo huyu huyu mkude Simba mwenye kujua ukweli jaman.
Duh- huyumshkaji namkubali pia anavpaj 4 vyakuigiza
Nimemkubali kbs bwana Mkude Simba, Kitale kama umemkubali na ww gonga like 👍👍
Nakukubaliiii my brooooooooo
Ata kojoa Sasa haaahaaa yani ana chekesha sanaaa
@tumainimatulo3358
5 жыл бұрын
Kafanya mambo kiualisia kbs nimekukubali babaake
KAMA JUICE NI YA BURE LEO KWAKWELI MMEFILISIWA KABISA....... 😀😀😀😀😀
@squadbaby7837
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😭
mkude simba nimemkubali anishi maisha ya ualisia wake
Ebwane maneno ya kuambiwa sijakohta nukta #kitale.#jonijo
Kitale bhana eti ''hii juice ipo nyingi ?'' 😂😂
Kitare nakushukuru sana kutureteam maneno yakuambiwa nimeifatiria toka mwanzo mpaka sasaivi hongera sana kitare wangu munyezimungu abariki kazi zako
@stanleyjunior7230
5 жыл бұрын
Naomba namba yako
Aisee #mkude nimekukubali sio poa kwenye matunda juis
Kama kawa mzeee baba nakbalina na wewe unacho fanya wauni sio watu baba ako wanakbali uswailini by PEACEBABU
Mkende jilan yangu,,,,kabsa
Kula tu GB zangu sina neno juu yako kaka #wahunisiowatuwazuri #babakooooo
Daaahhh n noumaaa sana hkii kipindiii
😂😂😂nmecheka unywaji wa juice daah
Baba akooo
Nakupenda bure kitale watching from Saudis Arab
walevi wanakunywa bia ata zaidi ya kumi kwnn juice tucnywe ata lita 5,,,,
@priscamlyuka5531
5 жыл бұрын
Umeonaaaa
Asa huo ndo uanaume mwanaume hatumii mrija nakukubali sana broh
Hahaha mkude umetisha izo glass mzee
Nakupenda sana my frendy ,Mungu akupe maisha marefuu
Babaaakoooooo Jonijoo izo juice simchezo siungempa na dumu la juice aweana jimimi nia mwenyewe😁😁😁😁
Kitale nouma babaako
@lindawiman9634
5 жыл бұрын
Yani kitale kumbe wewe mzuri hivo ayise nakupenda sana kwa maneno ya kuambiwa umeshuti vizuri sana
Mkude Simba juice unakunywa Kama maji hahahah😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkude simba mtu mbay nakubali broo
Bonge la kipind aseee big up mzee
Ety nilijua msaga sumu eeh!! Vitu vizuri kavijulia wapiiii?
Ila mm nakubali lufufu safi sana
Mkude simba nakukubali sana kaka natamani nikuine kaka
Jamaa yuko poa sana namkubali kitale
@hansytz1068
5 жыл бұрын
Shamim Ally I ∆ u
baba akooo nmeisubil kwa hamu aisee
Jamani huyu kaka hb wallahy kama unakubaliana na mimi achia like yako wacha chuki
@stanleyjunior7230
5 жыл бұрын
Ww dada samahani ila naomba number yako nikutafute
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
@@stanleyjunior7230 mmh ukona mazuri gani kakangu
Kutale I love you😍😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘
@stanleyjunior7230
5 жыл бұрын
Umekosea ni kitale mrembo wangu
Hiki kipindi ni hatariii bigup sanaa jonijoo
Juice kama zote! Hongera kwa kuwa mhalisia mbele ya camera!!! 🔥🔥🔥💪💪💪💯
Kupatwa kwa juice 😀😀😀 jonijoo kumbe upo pande hizi naona ile account yako siku hizi kimya sana....
@fatmasemfuko6383
5 жыл бұрын
@Ali Ali sijamuita ila nimemuulizia tuu jamani 😟😟😟😟😟😷😷😷😷
@hamisifuko4281
5 жыл бұрын
@Ali Ali, mbona wivu kama wote hivi na maneno makali flani ,vipi mzee Baba😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bg up sana sikuwah kuiangalia hii lakn leo nimeiangalia mb zanga zimeenda kihalali👍💥💥