THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK

Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.

Пікірлер: 105

  • @amoskagika8884
    @amoskagika88842 ай бұрын

    Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥

  • @Yegon254
    @Yegon2542 ай бұрын

    Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller

  • @qserick7799
    @qserick77992 ай бұрын

    Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother

  • @makantaafrika
    @makantaafrika2 ай бұрын

    Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿

  • @thomasshello8138
    @thomasshello81382 ай бұрын

    Bonge moja la show, Mo is the best

  • @simas.a1003
    @simas.a10032 ай бұрын

    Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!

  • @Don_mountana
    @Don_mountana2 ай бұрын

    Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau88172 ай бұрын

    J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts2 ай бұрын

    Super Men.... Hii nimeisubir sana

  • @MackameHassani
    @MackameHassani2 ай бұрын

    Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003Ай бұрын

    BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE

  • @godfreykiama1930
    @godfreykiama19302 ай бұрын

    return of supermen..!!

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi2 ай бұрын

    Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.

  • @gnmbi
    @gnmbi2 ай бұрын

    Mchopanga azeeki

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam79712 ай бұрын

    My brother my cousin Jay Moe ✊🏾

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele50402 ай бұрын

    My best story teller

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa2 ай бұрын

    Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....

  • @jumazahoro3537

    @jumazahoro3537

    2 ай бұрын

    Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man

  • @joelasu2984

    @joelasu2984

    2 ай бұрын

    D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢

  • @amandusmark3060

    @amandusmark3060

    2 ай бұрын

    D tayari.

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb2 ай бұрын

    Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Jumamosi inaanza saa 8 mchana mkuu hadi 11 jioni

  • @DicksonBiseko-mx9mx

    @DicksonBiseko-mx9mx

    2 ай бұрын

    mr kuvi

  • @martinmwambembe6943
    @martinmwambembe69432 ай бұрын

    Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima19372 ай бұрын

    Juma mchopanga, nakukubali brother

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa2 ай бұрын

    More technics, more flavour, hatari fire 🔥

  • @amoskagika8884
    @amoskagika88842 ай бұрын

    Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂

  • @Manyesha6290
    @Manyesha62902 ай бұрын

    Appreciation Kwa jay more

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele50402 ай бұрын

    My role model mbakiaji

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni2 ай бұрын

    one of the best MC in this industry

  • @Kitaautange
    @Kitaautange2 ай бұрын

    Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali

  • @yayananajota5838
    @yayananajota58382 ай бұрын

    Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb2 ай бұрын

    Eh Jay moe ni story teller mzuri sana

  • @obbymweucy4424
    @obbymweucy44242 ай бұрын

    Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️

  • @CoachHafidh

    @CoachHafidh

    2 ай бұрын

    Agreed 💯%

  • @arafuminpetro9625

    @arafuminpetro9625

    Ай бұрын

    Hakika...utamsikiliza penda usipende

  • @makantaafrika
    @makantaafrika2 ай бұрын

    Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr58082 ай бұрын

    Top 5 dead or alive, mo technix

  • @edsonniwagira9569
    @edsonniwagira95692 ай бұрын

    Noma

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela4832 ай бұрын

    J mo brain in the house

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu2 ай бұрын

    🔥🔥🔥👊

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11402 ай бұрын

    Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo

  • @gambajunior138
    @gambajunior1382 ай бұрын

    One of my idol

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro93132 ай бұрын

    One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉

  • @thomasgunje7640
    @thomasgunje76402 ай бұрын

    SO FAMOUS

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack33382 ай бұрын

    Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥 Story 3

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi71252 ай бұрын

    J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,

  • @josephlyakurwa

    @josephlyakurwa

    2 ай бұрын

    Umeiweka kikubwa sana hii 😊

  • @JacksonOchieng-dt7xo
    @JacksonOchieng-dt7xo2 ай бұрын

    Big up sana Jay

  • @makantaafrika
    @makantaafrika2 ай бұрын

    Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnrichard5482
    @johnrichard54822 ай бұрын

    #Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌

  • @MrishoMussa-bx8ws
    @MrishoMussa-bx8ws2 ай бұрын

    Mo saluti xana kk

  • @patrickmwakasungu7121
    @patrickmwakasungu71212 ай бұрын

    💪

  • @hiphopoldschoolkalama1405
    @hiphopoldschoolkalama14052 ай бұрын

    Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar62172 ай бұрын

    Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.56822 ай бұрын

    LEGEND 🤟

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani84752 ай бұрын

    Moe 🙏

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary87432 ай бұрын

    Best Interview 2024

  • @MaryamRajab-vb6sx
    @MaryamRajab-vb6sx2 ай бұрын

    The story teller himself mo the classic

  • @evanceburton4364
    @evanceburton43642 ай бұрын

    Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    2 ай бұрын

    Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia

  • @johnrichard5482

    @johnrichard5482

    2 ай бұрын

    Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️

  • @amoskagika8884
    @amoskagika88842 ай бұрын

    Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤

  • @edsonniwagira9569

    @edsonniwagira9569

    2 ай бұрын

    Yaap man ✌

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media2 ай бұрын

    Superman

  • @shithyomar3828
    @shithyomar38282 ай бұрын

    Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary

  • @sokastreet
    @sokastreet2 ай бұрын

    So famous

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah25442 ай бұрын

    Tumemsubiri sana hyu

  • @salumjumah5648
    @salumjumah56482 ай бұрын

    Anko MO

  • @shithyomar3828
    @shithyomar38282 ай бұрын

    Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai

  • @mabudaissere2295

    @mabudaissere2295

    2 ай бұрын

    Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi2 ай бұрын

    Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.

  • @BoNoBo_Tlm
    @BoNoBo_Tlm2 ай бұрын

    Best interview,hongereni sana

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Shukran sana

  • @marcowelano2245
    @marcowelano22452 ай бұрын

    aisee sina deni

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr2 ай бұрын

    Damme pind liko moto Sana

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Mzuka sana kaka

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media2 ай бұрын

    Naaam 😅 moo technic

  • @astonchiba5037
    @astonchiba50372 ай бұрын

    Moho mbakiaji🔥🔥💪

  • @daddyarfaksadi

    @daddyarfaksadi

    2 ай бұрын

    moe mbakiaji😊😊

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara43292 ай бұрын

    Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Haha mzee umepambana sana 🙌🏾

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga16732 ай бұрын

    Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa

  • @Chemba67
    @Chemba672 ай бұрын

    Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Hahaha noma bro

  • @allysudi4429
    @allysudi44292 ай бұрын

    Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21162 ай бұрын

    Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂

  • @dostovan5142
    @dostovan51422 ай бұрын

    Top 3 dead or alive

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian12592 ай бұрын

    Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅

  • @lusungumkolla6672
    @lusungumkolla66722 ай бұрын

    Pop corn zije

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla6082 ай бұрын

    Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson1992 ай бұрын

    Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    2 ай бұрын

    English haiepukiki punguza ushauri

  • @iddbahati5245
    @iddbahati52452 ай бұрын

    Guys who is evid??

  • @frankmtukananje2136

    @frankmtukananje2136

    2 ай бұрын

    Ni Heavy D

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31492 ай бұрын

    interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    🙏🏾

  • @lucaskomba7125
    @lucaskomba71252 ай бұрын

    Bonge ya madini

  • @user-dj5wb1lc1q
    @user-dj5wb1lc1q2 ай бұрын

    Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    2 ай бұрын

    ​@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n2 ай бұрын

    Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange

Келесі