THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK
Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.
Пікірлер: 105
Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥
Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller
Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother
Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿
Bonge moja la show, Mo is the best
Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!
Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo
J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅
Super Men.... Hii nimeisubir sana
Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.
BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE
return of supermen..!!
Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.
Mchopanga azeeki
My brother my cousin Jay Moe ✊🏾
My best story teller
Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....
@jumazahoro3537
2 ай бұрын
Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man
@joelasu2984
2 ай бұрын
D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢
@amandusmark3060
2 ай бұрын
D tayari.
Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku
@KuviFacts
2 ай бұрын
Jumamosi inaanza saa 8 mchana mkuu hadi 11 jioni
@DicksonBiseko-mx9mx
2 ай бұрын
mr kuvi
Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤
Juma mchopanga, nakukubali brother
More technics, more flavour, hatari fire 🔥
Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂
Appreciation Kwa jay more
My role model mbakiaji
one of the best MC in this industry
Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali
Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿
Eh Jay moe ni story teller mzuri sana
Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️
@CoachHafidh
2 ай бұрын
Agreed 💯%
@arafuminpetro9625
Ай бұрын
Hakika...utamsikiliza penda usipende
Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥
Top 5 dead or alive, mo technix
Noma
J mo brain in the house
🔥🔥🔥👊
Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo
One of my idol
One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉
SO FAMOUS
Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥 Story 3
J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,
@josephlyakurwa
2 ай бұрын
Umeiweka kikubwa sana hii 😊
Big up sana Jay
Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
#Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌
Mo saluti xana kk
💪
Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.
Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records
LEGEND 🤟
Moe 🙏
Best Interview 2024
The story teller himself mo the classic
Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk
@johnmwandu2116
2 ай бұрын
Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia
@johnrichard5482
2 ай бұрын
Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️
Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤
@edsonniwagira9569
2 ай бұрын
Yaap man ✌
Superman
Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary
So famous
Tumemsubiri sana hyu
Anko MO
Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai
@mabudaissere2295
2 ай бұрын
Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.
Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.
Best interview,hongereni sana
@KuviFacts
2 ай бұрын
Shukran sana
aisee sina deni
Damme pind liko moto Sana
@KuviFacts
2 ай бұрын
Mzuka sana kaka
Naaam 😅 moo technic
Moho mbakiaji🔥🔥💪
@daddyarfaksadi
2 ай бұрын
moe mbakiaji😊😊
Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.
@KuviFacts
2 ай бұрын
Haha mzee umepambana sana 🙌🏾
Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua
@KuviFacts
2 ай бұрын
Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa
Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣
@KuviFacts
2 ай бұрын
Hahaha noma bro
Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.
Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂
Top 3 dead or alive
Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅
Pop corn zije
Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.
Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi
@KuviFacts
2 ай бұрын
Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀
@elinamilyatuu7337
2 ай бұрын
English haiepukiki punguza ushauri
Guys who is evid??
@frankmtukananje2136
2 ай бұрын
Ni Heavy D
interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.
@KuviFacts
2 ай бұрын
🙏🏾
Bonge ya madini
Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??
@KuviFacts
2 ай бұрын
Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio
@johnmwandu2116
2 ай бұрын
@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu
Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange