THE CLASSIC MCHIZI MOX:MIKASI ULIKUA WANGU/MAJANI HAKUNIKUBALI/MJ ALIKUBAL/WATU KIBAO/TULIZAMIA SAUZ

Moja ya Rappers wa muda mrefu Mchizi Mox anasifika zaidi kwa sauti ya kipekee nchini alifika kwenye meza ya The Classic mwaka 2021 na kupiga stories kadhaa kuhusu yeye,Wateule na kadhalika,Je wajua kua wimbo wa mikasi ulikua wake na alimpatia rafiki yake Ngwea?tazama sehemu hii fupi ya mahojiano yetu.

Пікірлер: 56

  • @GodlistenAlen
    @GodlistenAlenАй бұрын

    Sema mchz ni mchz kweli. Ujambazi mwingi. Eti Tonny Akili Mbaya.

  • @user-gf9pb5jz9j
    @user-gf9pb5jz9j5 ай бұрын

    Yaani mimi hawa ndio huwa nawasikilizaga sio hao wa sasa hivi

  • @westcijosh

    @westcijosh

    3 ай бұрын

    Hata mimi

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa7595 ай бұрын

    Mpka leo kuna jamaa yangu anaitwa mchiz mox

  • @user-kb3mi2ws8h
    @user-kb3mi2ws8h5 ай бұрын

    Wasanii wazamani walikua vizuri sana kwenye kila kitu, tunzi, interviews yani wanajua wanachozungumza

  • @bernardfrank5654

    @bernardfrank5654

    Ай бұрын

    Wangekua hawa vijana wa saivi ungekuta ameshaongelea anatumia gari ghani, sijui saloon bei ghani.. yani interview nzima hamna kitu..

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279Ай бұрын

    Hapo 2005 fiesta Arusha Uzinduzi wa Album ya Ferooz ulitisha sana pale tripple A

  • @FaridiIbrahim-ix6hb
    @FaridiIbrahim-ix6hb11 күн бұрын

    Nawakubali sana hamna baya

  • @mrambathomas9529
    @mrambathomas95292 күн бұрын

    Dah! Mwamba ise sio poa yaani burudani mwanzo mwisho.

  • @owenchimela4527
    @owenchimela45273 ай бұрын

    Mchizi mox ana vingi vya kusimulia sisi madogo wa zamani tunafaidi vingi sana

  • @danieldavid4733
    @danieldavid473312 күн бұрын

    Wenye roho safi

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam79716 ай бұрын

    Graveyard, Makumbusho. That's what am talking about bro

  • @kyannickk2be
    @kyannickk2be4 ай бұрын

    hizi nzuri sana tunapata kufahamu mengine hatukufaamu tukiwa shule enzi hizo sasa watu wazima, ina inspire hii..

  • @qimlaw6723
    @qimlaw67235 ай бұрын

    Salute kwako sauti ya zege .

  • @maufijose2294
    @maufijose22943 ай бұрын

    Vipaji Halisi Vya Muziki 🙏

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti6 ай бұрын

    Napenda classics za kuvifacts zinavyonipa feeling za zama zile

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro94945 ай бұрын

    Bro tulete ROHO 7 kamuombe Jeshi akiwa likizo ufanye naye interview Lkn HARD MAD mtafute huyu jamaa muhimu sana mlete hapo mjengoni

  • @komboruga4271

    @komboruga4271

    Ай бұрын

    Umenigusa

  • @MOJAPROMO
    @MOJAPROMO5 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @nyotamy3678
    @nyotamy36786 ай бұрын

    Oiii✊🏽

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77696 ай бұрын

    Mwanangu MCHIZ MOX

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90035 ай бұрын

    Legend🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @GoodluckLameck-nh9tq
    @GoodluckLameck-nh9tq5 ай бұрын

    Wasanii wa zamani nilipenda kazi zao

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90035 ай бұрын

    Long life 🌄

  • @jumakabota8277
    @jumakabota82776 ай бұрын

    Daaah fupi sana hii

  • @KingMuta
    @KingMuta6 ай бұрын

    Mchizi Mox × Darassa × Ben Poul na Mdada mmoja.

  • @stangebo177
    @stangebo1776 ай бұрын

    OLD SCHOOL BOY

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya30205 ай бұрын

    Ni kipindiii bomba ila muda wake hautoshiii

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo36716 ай бұрын

    Mtoto analaana😂😂 RIP Ngwair

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe99765 ай бұрын

    Huyu sauti mpaka sura kama darasa mbona

  • @ramadhaniali1102
    @ramadhaniali11022 ай бұрын

    Bro jabir unajua sanaa kaka

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 ай бұрын

    Asante sana fam

  • @farajiissa560
    @farajiissa5604 ай бұрын

    Huyu jamaaa wa shat ya njano kaongea kihisia watoto wa makumbusho walikua wanakula bata

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga75816 ай бұрын

    Muulize Nay Ile style yake mbona kama ya Ibra upupu wa fagio la chuma

  • @hassanmaliki2260

    @hassanmaliki2260

    2 ай бұрын

    Upupu ile style yake ni kwere mzeya nay anafit lakn bado kwa yule mtoto

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315Ай бұрын

    WALIKUA siyo WANAFIKI ,na KAZ walifanya kubwa san

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu73372 ай бұрын

    Haina part2?

  • @mackjr5291
    @mackjr52915 ай бұрын

    Mlete Jose mtambo

  • @Munyama675

    @Munyama675

    3 ай бұрын

    Mtambo ameshafariki

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    3 ай бұрын

    ​@@Munyama675duh nilikuwa sijui wale fun with sense

  • @mariamisack_hardcore2010

    @mariamisack_hardcore2010

    16 күн бұрын

    Mmmh jamani siyo kweli​@@Munyama675

  • @mariamisack_hardcore2010

    @mariamisack_hardcore2010

    16 күн бұрын

    ​@@othumanlorenzo260Yupo buana

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu24045 ай бұрын

    Inaonekana kuna kipande mmekikata majani alikuwa kapewa zake hapo

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    3 ай бұрын

    Hakika Ali taikun hakopeshi

  • @BwaxyWaMichano
    @BwaxyWaMichano6 ай бұрын

    After hii tuletee Bahati wa mikasi brother

  • @francistadayo1569

    @francistadayo1569

    6 ай бұрын

    Hayupo bongo huyo Raa! P...yuko USA 🇺🇸

  • @tumpemsyani-io7pv

    @tumpemsyani-io7pv

    6 ай бұрын

    ​@@francistadayo1569daa aisee kweli nakumbuka

  • @user-ef7ef4bv8t
    @user-ef7ef4bv8t6 ай бұрын

    Kuva interview za kibaba zote zinaingia robo robo nn mbaya

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    5 ай бұрын

    Brother pole hizi interview tulifanya miaka 2 iliopita bahati mbaya Channel ilifutwa so hivi ndo vipande tumebaki navyo tu kaka

  • @kulishaandry5730

    @kulishaandry5730

    5 ай бұрын

    Pole sn , ila mnatisha mbaya ​@@KuviFacts

  • @KINGDOWN-rx8sy
    @KINGDOWN-rx8sy4 ай бұрын

    p

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_5 ай бұрын

    Big kwann unavaa unavaa mask wakati wote?

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    5 ай бұрын

    Kipindi hiko nlitoka kuumwa Covid mkuu

  • @bongomastory791

    @bongomastory791

    5 ай бұрын

    Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile

  • @bongomastory791

    @bongomastory791

    5 ай бұрын

    Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa45604 ай бұрын

    𝐨𝐥𝐝 𝐢𝐬 𝐠𝐨𝐥𝐝

Келесі