THE CLASSIC MCHIZI MOX:MIKASI ULIKUA WANGU/MAJANI HAKUNIKUBALI/MJ ALIKUBAL/WATU KIBAO/TULIZAMIA SAUZ
Moja ya Rappers wa muda mrefu Mchizi Mox anasifika zaidi kwa sauti ya kipekee nchini alifika kwenye meza ya The Classic mwaka 2021 na kupiga stories kadhaa kuhusu yeye,Wateule na kadhalika,Je wajua kua wimbo wa mikasi ulikua wake na alimpatia rafiki yake Ngwea?tazama sehemu hii fupi ya mahojiano yetu.
Пікірлер: 56
Sema mchz ni mchz kweli. Ujambazi mwingi. Eti Tonny Akili Mbaya.
Yaani mimi hawa ndio huwa nawasikilizaga sio hao wa sasa hivi
@westcijosh
3 ай бұрын
Hata mimi
Mpka leo kuna jamaa yangu anaitwa mchiz mox
Wasanii wazamani walikua vizuri sana kwenye kila kitu, tunzi, interviews yani wanajua wanachozungumza
@bernardfrank5654
Ай бұрын
Wangekua hawa vijana wa saivi ungekuta ameshaongelea anatumia gari ghani, sijui saloon bei ghani.. yani interview nzima hamna kitu..
Hapo 2005 fiesta Arusha Uzinduzi wa Album ya Ferooz ulitisha sana pale tripple A
Nawakubali sana hamna baya
Dah! Mwamba ise sio poa yaani burudani mwanzo mwisho.
Mchizi mox ana vingi vya kusimulia sisi madogo wa zamani tunafaidi vingi sana
Wenye roho safi
Graveyard, Makumbusho. That's what am talking about bro
hizi nzuri sana tunapata kufahamu mengine hatukufaamu tukiwa shule enzi hizo sasa watu wazima, ina inspire hii..
Salute kwako sauti ya zege .
Vipaji Halisi Vya Muziki 🙏
Napenda classics za kuvifacts zinavyonipa feeling za zama zile
Bro tulete ROHO 7 kamuombe Jeshi akiwa likizo ufanye naye interview Lkn HARD MAD mtafute huyu jamaa muhimu sana mlete hapo mjengoni
@komboruga4271
Ай бұрын
Umenigusa
🔥🔥🔥
Oiii✊🏽
Mwanangu MCHIZ MOX
Legend🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wasanii wa zamani nilipenda kazi zao
Long life 🌄
Daaah fupi sana hii
Mchizi Mox × Darassa × Ben Poul na Mdada mmoja.
OLD SCHOOL BOY
Ni kipindiii bomba ila muda wake hautoshiii
Mtoto analaana😂😂 RIP Ngwair
Huyu sauti mpaka sura kama darasa mbona
Bro jabir unajua sanaa kaka
@KuviFacts
2 ай бұрын
Asante sana fam
Huyu jamaaa wa shat ya njano kaongea kihisia watoto wa makumbusho walikua wanakula bata
Muulize Nay Ile style yake mbona kama ya Ibra upupu wa fagio la chuma
@hassanmaliki2260
2 ай бұрын
Upupu ile style yake ni kwere mzeya nay anafit lakn bado kwa yule mtoto
WALIKUA siyo WANAFIKI ,na KAZ walifanya kubwa san
Haina part2?
Mlete Jose mtambo
@Munyama675
3 ай бұрын
Mtambo ameshafariki
@othumanlorenzo260
3 ай бұрын
@@Munyama675duh nilikuwa sijui wale fun with sense
@mariamisack_hardcore2010
16 күн бұрын
Mmmh jamani siyo kweli@@Munyama675
@mariamisack_hardcore2010
16 күн бұрын
@@othumanlorenzo260Yupo buana
Inaonekana kuna kipande mmekikata majani alikuwa kapewa zake hapo
@othumanlorenzo260
3 ай бұрын
Hakika Ali taikun hakopeshi
After hii tuletee Bahati wa mikasi brother
@francistadayo1569
6 ай бұрын
Hayupo bongo huyo Raa! P...yuko USA 🇺🇸
@tumpemsyani-io7pv
6 ай бұрын
@@francistadayo1569daa aisee kweli nakumbuka
Kuva interview za kibaba zote zinaingia robo robo nn mbaya
@KuviFacts
5 ай бұрын
Brother pole hizi interview tulifanya miaka 2 iliopita bahati mbaya Channel ilifutwa so hivi ndo vipande tumebaki navyo tu kaka
@kulishaandry5730
5 ай бұрын
Pole sn , ila mnatisha mbaya @@KuviFacts
p
Big kwann unavaa unavaa mask wakati wote?
@KuviFacts
5 ай бұрын
Kipindi hiko nlitoka kuumwa Covid mkuu
@bongomastory791
5 ай бұрын
Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile
@bongomastory791
5 ай бұрын
Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile
𝐨𝐥𝐝 𝐢𝐬 𝐠𝐨𝐥𝐝