THE CLASSIC TID:NILIACHA KURAP NI UJINGA/MADEM FAKE/ NILITANGAZA TANZANIA DUNIAN BILA MSAADA/ SIJALI

Top In Dar ama TID amefika kwenye The Classic katika episode hii ambae walau alipata nafasi ya kuelezea safari yake kwa ufupi na kuzungumzia nyakati za awali kabisa mpaka sasa alipofika na ameweza kubainisha mambo mengi ambayo pengine hukuwahi kuyafahamu usisahau ku subscribe ukimaliza kutazama for more

Пікірлер: 53

  • @harakati1
    @harakati16 ай бұрын

    “Siku kama hizi” one of the best song

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti6 ай бұрын

    🇰🇪Nimetokea kumpenda sana TID baada ya hii interview. Huwaga nafikiri hayuko sober akiongea kumbe ni mcheshi tu in general. Good talent of all time

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro71586 ай бұрын

    Sema bro Jabir Saleh mjanja sn wkt unafanya interview kuna kitu nimenote ukiona msanii anaenda OP unachukua kipaza unasherehesha kidogo kwny point yko ile ile ulokusudia then unampa swal lingine unamuhamisha na mada yke y OP pind linaendelea 😂😂😂 Bip up sn bro

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    6 ай бұрын

    😂😂🤝

  • @salaita2829
    @salaita28295 ай бұрын

    Jabir saleh bonge moja la interviewer

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo88176 ай бұрын

    Nipe nafasi Tid na fid q ndo ngoma kali zaidi ya Tid

  • @user-cn2ol4gk4b
    @user-cn2ol4gk4b19 күн бұрын

    eti wale wangu 🎉 wanaoniita TID ni wale wanaotoka mikoani .......kuma sana huyu janki

  • @justinmashala6944
    @justinmashala69446 ай бұрын

    Sauti ya Dhahabu, one of the best album

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari45256 ай бұрын

    Dakika ya 4..KATA SIM KALALE 😂😂,,,tidi kichaa😅😅

  • @barnabasmafuru6735
    @barnabasmafuru67356 ай бұрын

    The industry doesn't pay enough respect to this legend but once he sleeps into 6" down a lot will pay shits 😢

  • @davidwambura5915
    @davidwambura59156 ай бұрын

    Asha ni ngoma kubwa sana kuliko zeze

  • @arsenalic23

    @arsenalic23

    6 ай бұрын

    Sio kweli jomba. Zeze ngoma kubwa sana ikifuatiwa na Siamini halafu ndo Asha na Girlfriend

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga44916 ай бұрын

    Im proud of you top in dar. Umeuweka mziki wetu kweny ramani

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90036 ай бұрын

    Consistent, Maji mengi Mtoto mdogo Legend🔥🔥🔥🔥

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q6 ай бұрын

    Ww msenge! unanichekesha sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga9576 ай бұрын

    Huyu jamaa interview zake haziboeshi😂 TID Yuko vzury

  • @William_ngela
    @William_ngela6 ай бұрын

    Nakubali pindi

  • @ConventionalViews
    @ConventionalViews6 ай бұрын

    Smart and funny dude

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro94946 ай бұрын

    Siamini ni 🔥🔥🔥 mpaka kesho kutwa

  • @sajo_lkm2781
    @sajo_lkm27816 ай бұрын

    TID ni rnb gangster 😅

  • @imogimasta9077
    @imogimasta90776 ай бұрын

    nakifwatilia sana hiki kipindi big up

  • @destroyerban7364
    @destroyerban73646 ай бұрын

    Zeze hat club inafaa kwa matumiz yetu

  • @youngdula5409
    @youngdula54096 ай бұрын

    Huyu Jamaa Anangoma nyingi sana Kali lakni sidhani kama Kuna ngoma Kali zaidi kama nyota Yako / Asha noma sana

  • @salaita2829

    @salaita2829

    5 ай бұрын

    Kuna siku kama hizi,rahisa

  • @sultansuleman1690
    @sultansuleman16906 ай бұрын

    Kaimba vzuri hiyo nyimbo ya fally was good

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything6 ай бұрын

    👊👍✌️。

  • @christianluvanga8148
    @christianluvanga81484 ай бұрын

    Zeze,,tulivaa mpaka ma jeans mamaeee

  • @khanafrica22
    @khanafrica226 ай бұрын

    #watoto_wadogo_hawaelewiiii__😂😂 #vunjuvenga

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili3236 ай бұрын

    Kwangu Mimi zeze sio mkubwa ila wimbo mkubwa ni ASHA❤❤ TID mpaka anakufa hatokuja kuimba wimbo mkali kama ASHA

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    6 ай бұрын

    Nimkubwa Sana ilahapo mpak kufa hapana

  • @georgeburchard4872

    @georgeburchard4872

    6 ай бұрын

    Wewe tu sikio lako Ila ukweli zeze ndio wimbo mkubwa wa TID

  • @aminmohammed4249

    @aminmohammed4249

    6 ай бұрын

    Hiyo Asha akati inatoka itakua ulitongozwa nayo😂 au ulitumiwa dedication

  • @raphaelkaswahili323

    @raphaelkaswahili323

    6 ай бұрын

    @@aminmohammed4249 Sasa hizi ni zarau Mie mwanaume nitongozwe nitake radhi:::. Na istosha ASHA imetoka nilikua shule ya msingi nyumbani nilikua na redio so kwa habari ya burudani na mziki walikua wananiuliza Mimi 😂🤣😂🤣 ASHA for me is one of the best song, and I can say is greatest all the time ASHA mpigie makofi 2 Bwana TID

  • @raphaelkaswahili323

    @raphaelkaswahili323

    6 ай бұрын

    @@joshuamuro9494 Sasa bro unataka kunambia huyu jamaa atakuja atoe nyimbo Kali kuliko alizoimba kipindi hicho? Kwa Sasa hawezi kuumiza kichwa kuandika wimbo mkali na badala ya atatoa nyimbo is just for fun

  • @joelntile9078
    @joelntile90786 ай бұрын

    TID Kituko sana 🤣

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili3236 ай бұрын

    Kumbe ndio maana hili lijinga lilikua linapiga mziki mkubwa 😂😂😂 kumbe ni zao la hip hop mamaeeee

  • @sidiqmhina7823

    @sidiqmhina7823

    6 ай бұрын

    MNALIJINGA LINALOPIGA MZIKI MKUBWA NI MA LEGEND TU.

  • @salaita2829

    @salaita2829

    5 ай бұрын

    Zamani was all bout hip hop

  • @hiphopoldschoolkalama1405

    @hiphopoldschoolkalama1405

    3 ай бұрын

    Black gangstars. Hafu wasanii wa zamani walikua wasomi. Ziku izi kina modi hawamo kabisa.

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro94946 ай бұрын

    😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kibakivideos
    @kibakivideos6 ай бұрын

    Ni Yeye mnyama ……….ni noma

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    6 ай бұрын

    🙌🏾

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina78236 ай бұрын

    kIGOGO warioba ni YEYE.

  • @user-ry6qo5lf3r
    @user-ry6qo5lf3r6 ай бұрын

    Anaongea mnyama 😂😂

  • @emmanuelfungo2236
    @emmanuelfungo22364 ай бұрын

    😂

  • @emmanuelchristopher6791
    @emmanuelchristopher67916 ай бұрын

    Ngoma kali mimi ni nyota ndo kali sana

  • @deathrow8004
    @deathrow80046 ай бұрын

    😂😂😂😂

Келесі