Nini tofauti kati ya utajiri na kufanikiwa? Usikose #Msasa huu wa @therealfidq this #sunday on the #msasapodcast
Жүктеу.....
Пікірлер: 167
@platotaurus23016 ай бұрын
Fid Q always delivers Us from evil. Huyu jamaa anaakili nyingi sana. The true GOAT.
@victorchris51446 ай бұрын
Mnaojiita mbuzi hii interview ni funzo kwenu. Akili nyingi sana Fareed you are a true meaning of G.O.A.T
@raphaelkaswahili3236 ай бұрын
Nilichogundua wamiriki wa media wamegundua kua Kuna weakness kwenye upande wa habari kwa hio wamekuja na vitu mhimu saana I hop kama tutaendelea hivi vile vitangazaji vyenye maswali ya kijinga hongereni wakuu nimeenjoy saana uwepo wa fid
@omarylungoba6 ай бұрын
Nafikiri tunahitaji kitabu kuhusu maisha yako broo fid
@ibrahimzuberi10296 ай бұрын
big brain fareed wee jamaa ungepewa udaktari tu -jamaa wa msasa show kubwa sana chief pls tuongeze jamaa wengi zaid tuendelee kula shule,,,,,,,,,am looking foward kuona investrs wengi zaid kweny show yako
I like the show. Nimeokota machache ya muhimu katika mengi
@michaelmzinga47416 ай бұрын
You are a real brother. Long live Fidq
@jacobjb45156 ай бұрын
Mimi Nakumbuka na niliumia sana ile mkali wa Reymz baada ya Afande sele ulikuwa ni wewe mzee mlikuwa top ten daaah
@user-qw3vx3pl2z6 ай бұрын
Interview ya fid huwa inanipa mzuka no jamaa anayejua kujibu kisanaa
@bilalikisembe50126 ай бұрын
Kama umeikubali hii interview gonga like yako hapa
@einsteinchacha5797
6 ай бұрын
Badala ya kuLike video, unataka tuLike comment???
@pcoolmtetezi3195
5 ай бұрын
Kali
@emmanuelmayunga15186 ай бұрын
The real Mbuzi....Home boy Fid Q...I appreciate so much on what your doing brother
@user-qz5yh1dl1n6 ай бұрын
Ongezeni mda pleas show ni nzur saana ❤❤❤
@goldprocessplant58936 ай бұрын
Interview nzuri sana ya watu wenye akili sana watangazaji wengine wajifunze kuuliza maswali kwa huyu mwamba sio maswali ya ajabu na kero
@ApipaTV6 ай бұрын
Kazi nzuri bro Mpangilio wa studio Light Sound Na vitu vingine I'm your new fan
@user-fc5wm9pp6u5 ай бұрын
Broo wa msasa unajuaa kuuliza maswali vzr shout out 2 u
@robinisack80926 ай бұрын
Smart sana broooo #king
@mchangeboy59286 ай бұрын
Masikio yana enjoy then ubongo unakula kitu adim bila kelele za sound zao zile za nyuma....
@gilbertjoseph33386 ай бұрын
Ngosha the masterpiece❤
@sayhussle99186 ай бұрын
as the time moves evil/darkness/wrongs gets weak to its opposite and not otherwise. righteous its the right move. and that definition of GOD.! 💯💫🧠🙏
@MosiAmandusi3 ай бұрын
We need these kind of intellectual feeding. Ikiwapendeza tupatieni DIZASTA VINA
@MSASAPODCAST
3 ай бұрын
Sawa brother.. Tutalishughulikia
@GriffinMwakyonya
2 ай бұрын
Thats my goat
@castroydaimon31076 ай бұрын
Very Very Very Nice Interview.... Fid Q the G.O.A.T
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Glad you enjoyed it! 💪🏾🔥
@Coachsamwel6 ай бұрын
Powerful sana... nimewakubal ote
@petermbwei13476 ай бұрын
Fid huwa anajua kujielezea sana
@babasam47526 ай бұрын
Channel Iko sawa sana kwasababu mtangazaji Yuko vizuri, itafika mbali hii
@vinny.moralesАй бұрын
Kipindi kizuri sana. Can't wait for season two
@boniventurekiwanuka.80986 ай бұрын
Rock City Icon.
@eliudwiston42066 ай бұрын
The world 🌍.....fid q,..... usisahau kusubscribe......bro kubanda kiberiti ni ya moto sana kichwani mwangu
@millardmbaraka61146 ай бұрын
This man ni shule @Don Miguel 🔥🔥
@nicksoncharles-kx3gr6 ай бұрын
Fanya utusogezee Nikki mbishi apo
@izvibez68234 ай бұрын
Dope PODCAST 🔥🙌🐐
@maishaforreal77986 ай бұрын
Tunaitaji CheusiDawa aandike kitabu tena cha KISWAHILI RAHISI ILI TUJIFINZE NA KWENYE ICO KITABU ATUTAFSIRIYE NYIMBO KAZAA KAMA MAFAANIKIYO.
@user-bf4xh9kc3n6 ай бұрын
Bonge Moja la interview la kufungia mwaka
@user-fp4ir4ej9v4 ай бұрын
Umetisha sana ngosha hauna mpinzan
@hassanbakari45256 ай бұрын
MAFANIKIO NDO UTAJIRI WENYEWE HUO,,,UTAJIRI UKIKUFUATA HUWEZI KUUKWEPA,,UTATEMBEA NAO TU
@ngabo7865 ай бұрын
mtangazaji💥
@selemanisalum81426 ай бұрын
its my first time naangalia kipindi and nimekipenda sana but I would like kumshauri interviewer asubiri msanii amalize kujibu swahili kisha abandike swali lengine. but all in all I like it
@njoroboihastla
6 ай бұрын
Fid ni genius akijibu swal analielezea kiundani sana mtangazaji anakua kama ameona kamaliza ndo mana unakuta wanalandana
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Asante for the feedback. Zinatujenga. Tutalifanyia kazi hilo💪🏽
@jacksonfred49946 ай бұрын
Nimeipenda interview broo utulivu wa maswali skills ya kujua vitu nimeipenda
@mohamedismail26626 ай бұрын
Powerful sana
@saluuhans5 ай бұрын
👑 King Fid 🙌
@user-yx7fs4ts5zАй бұрын
Nakubal fid. Q
@hamisamiraji6 ай бұрын
Kazi nzuri
@sospetersayi71766 ай бұрын
My GOAT 🐐 HIP HOP 🙌
@zainabmaulid96376 ай бұрын
Ukenda mbio mda mtapishana mafanikio huja kwa kile unachofanya% dah mstari huu ndo chanzo cha kufanikiwa mm nauzingatia sana ndo maana sifeli%
@kelvinjoseph41576 ай бұрын
this podcast is awesome ila i suggest the "fill-a-words" could be minimized by simple edits I mean by Mhhhs and Ahhhas
@user-vd4yp2ou8t6 ай бұрын
Interview inanipa somo bongo la interview
@user-op5iu1qt2m3 ай бұрын
🎉😊
@Burner_Acc6 ай бұрын
Interviewer amepoa sana. He lacks reaction and follow-up questions. Fid a great story teller as always.
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Thank you for the feedback. Tutaifanyia kazi💪
@mastaplan6 ай бұрын
Kipindi kipo fresh lakini inatakiwa iwe na party 2 hii msasa ya Fid Q
@fanuelmtewele56606 ай бұрын
Fid q anajua sana
@jumalihumbo53146 ай бұрын
Wajameni iko kitabu cha kutochukulia vitu personal kinaitwaje😊😊😊
@kijokombao5345
5 ай бұрын
Kijitabu kidogo tu cha kuitwa "THE FOUR AGREEMENTS" by Don Miguel ila kina madini sana aisee
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Woah! thanks for sharing 💪🏾🔥
@vannytz5006 ай бұрын
Mzee pindi limenyooka sana
@sontrillthereal81866 ай бұрын
Hapo mwisho hapo kuna madini sana, Soko, kuuza.
@saluuhans5 ай бұрын
G.O.A.T 🐐 👑
@Coffted6 ай бұрын
Kama umeskia (T.I amemuiga Flow) Fid. Grab ur Skunk please😊
@saluuhans5 ай бұрын
The best interview
@user-qw3vx3pl2z6 ай бұрын
Fid may I have your t shirt
@ChristopherMillanzi27 күн бұрын
Mtam Sana farid
@damaresi6 ай бұрын
💚💚💚🎬 safi sana . Msasani, kwangu mimi unanikumbusha Mchonga nyerere kama sio Mikocheni hahaa.. 📽 naachia video ya kuikaribisha 2024 kwa wimbo Ma Mtoni.. by King Bidder from his own youtube ya king bidder.💚🤳 Album ina itwa Power Of Writing. Karibuni
@habari2546 ай бұрын
safi sana
@bainolatino34126 ай бұрын
Tunamtaka jay moe pia nae anayo yakisema music scientists
@SaidiMeza-ug7mn
2 ай бұрын
Kwel kabisa anajua vingi mo
@sixbertaMakoko-rn8cx6 ай бұрын
Nakubalii🔥
@maximusalnono64256 ай бұрын
Man alone can transform his thoughts into physical reality. man alone can dream and make his dreams come true 🔥muda wowote Fid anapoongea lazima uondoke ukiwa positive interview ya kibabe sana nimekubali 🔥
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
🔥Asante sana, the man is a living legend.
@magaimagayane19476 ай бұрын
Mzee mbuzi Namuelewa sana
@dominickkisulo80176 ай бұрын
Ngosha the don
@dennardleonard12285 ай бұрын
NGOSHA
@kabhikachambala33926 ай бұрын
Are the one we met on MUHAS & UNICEF Symposium on. Social behavior change
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Yes sir😉
@missiontown0016 ай бұрын
MBUZI🎉🎉🎉🎉
@MkilemaPantaleo6 ай бұрын
Nangoja part 2 ianze na majibu kutoka kwa fid maana jibu lako linalenga kilicho kwenye mzunguko sokoni ila yeye anaepaswa ajekuelezea kama inaingiza sokoni bidhaa haipo na huo wakati ipo inayo trend sokoni
@chusseboywcb28082 ай бұрын
Mafanikio hayaji kwa kukata taama yenyewe yanawafata wanao jituma sio kusukumwa na njaa ukijituma naneema imekalibia ote waio give Up mapena wangekaza wangeifikia kwenye mistari hizo zinafanya nijitume fd q kwangu ni namba1🙏🙏🙏🙏
@MSASAPODCAST
2 ай бұрын
💯💯💯💯
@user-qw3vx3pl2z6 ай бұрын
Kkutafuta kitu positive kwenye negatively
@mweusiasili83456 ай бұрын
Madini q no 1
@Hassanhamisi-sw4be6 ай бұрын
Mecca flash 🎧
@godfreyndaki95226 ай бұрын
Fid Q
@user-yt8cm6kr3v6 ай бұрын
The hip hop king big up bro
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
A legend 🙌🏾
@mshindotv5 ай бұрын
fid q ndio alitufundisha kua USTAA hauji Bila Skendo,
@joycekonga40954 ай бұрын
very good interview 🔥🔥🔥
@user-pi6ij6uu8x6 ай бұрын
nikisikia mwanza namsikia fidq kikubwa tunahitaji kitabu
@ebenezermangowi74035 ай бұрын
Sitaki kuwa Tajiri. Nataka kufanikiwa
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
🔥🙌🏾
@JacoboMjungu-ql8fj6 ай бұрын
Fid q❤
@lukanboyboy48536 ай бұрын
GoAT fid Q ehe eshima yako kAka🎉🎉🎉
@IssaMabao
Ай бұрын
Aaah nakubal apo mzee mbuziiiiiii
@user-pi6ij6uu8x6 ай бұрын
tupate part2
@nellysosteness98986 ай бұрын
Nimejifunza kitu hapa
@habyhabib75386 ай бұрын
Kiberiti,siiitaj marafiki ,kwani hii intervw ina second 😂😂,tunahitj zaid kujua mengi
@bonifacearoni60326 ай бұрын
dah binadam wabaya sana bora waseme unaringa, hasa hawa wa kukutana nao ukubwani
@Mahmoud_7636 ай бұрын
Second time of listening
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Sehem zipi zimekugusa zaidi?
@wingstarmsanii98626 ай бұрын
Fid amenifunza kitu leo
@iammichaellukindo6 ай бұрын
Ndio vile vitu mi hupenda. Hii nimei verify 👍
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Bless
@dicksonnba87725 ай бұрын
Very cool host link with goat The reality of opportunity meet preparation turns magic 🔗🔗
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
😎🙏🏾
@ramadjuma2196 ай бұрын
I like the the interview for real
@Nature-loverss5 ай бұрын
Bro interview nyingi but sama shirt colour kila interview
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Yes sir
@malombemunyithya93416 ай бұрын
Mzee mbuzi
@jacksonmsendo34786 ай бұрын
Wewe mwongo fid q wakati anatoka miaka ya 2000 tayari cd zilikuepo labda uniambie miaka ya 90 plus cd zipo tangu 1995
@lubbahmorento5138
6 ай бұрын
Ina depend huenda zilikuwepo lakini nchi zilizoendelea ndo zilikuwepo but nchi km tz hazikuepo
@fidq6282
6 ай бұрын
Kabla ya CD, kulikua na Tepu/ kanda/ kaseti zinaitwa Chrome yaani ( Chrome tapes ) ndio zilikua zinatumika miaka ya 90
@emmanuelpeter465
6 ай бұрын
We nae unareta mambo ya ubishan tena si uchaw sasa huo
@one2tell508
6 ай бұрын
Mwaka 2000 wenyew computer zilikua zinauzwa tofauti na cd rom, unanunua computer na unaenda kununua cd rom na card yake.
@zedekiahmagwega8044
6 ай бұрын
Ww mzaliwa wa 2004 kelele mingii 2000 jambo kubwa kama bank halijaenea kote watu wanalipwa mkononi ije iwe hiyo CD!? biti kipindi hiyo inawekwa mic unatengeneza biti via mic kama anataka sound ya kikombe anatonga kikombe kwenye mic ili arecord akachanganye huko
@yohanabaraka81925 ай бұрын
Great...
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
🔥🙌🏾
@hinikasteve176Ай бұрын
Hii ni zaid ya interview nimemeza madini mengi Sana
@ZainabuIdrisaАй бұрын
Samaya x ananiita fiq the future
@user-xv8fu9xu6k6 ай бұрын
Erewa neno! kuvuta vuta😂
@jbdedon6 ай бұрын
98 kakutana na mtt wa dandu after 10yrs wakakutana 2000 mbona katipiga...?
@nyemondagalla6086 ай бұрын
Saa 1 kama dk1 haichoshi wala haiboi, faridi ni darasa tosha.
Пікірлер: 167
Fid Q always delivers Us from evil. Huyu jamaa anaakili nyingi sana. The true GOAT.
Mnaojiita mbuzi hii interview ni funzo kwenu. Akili nyingi sana Fareed you are a true meaning of G.O.A.T
Nilichogundua wamiriki wa media wamegundua kua Kuna weakness kwenye upande wa habari kwa hio wamekuja na vitu mhimu saana I hop kama tutaendelea hivi vile vitangazaji vyenye maswali ya kijinga hongereni wakuu nimeenjoy saana uwepo wa fid
Nafikiri tunahitaji kitabu kuhusu maisha yako broo fid
big brain fareed wee jamaa ungepewa udaktari tu -jamaa wa msasa show kubwa sana chief pls tuongeze jamaa wengi zaid tuendelee kula shule,,,,,,,,,am looking foward kuona investrs wengi zaid kweny show yako
The Truest master of his own craft 🔥🔥
@patricknaiman8005
6 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dq2Izrquh8K-Xdo.htmlsi=Aledt3Mx4TPLOV-n
Fid dandala da MUNGU akupe maisha marefu bro
I like the show. Nimeokota machache ya muhimu katika mengi
You are a real brother. Long live Fidq
Mimi Nakumbuka na niliumia sana ile mkali wa Reymz baada ya Afande sele ulikuwa ni wewe mzee mlikuwa top ten daaah
Interview ya fid huwa inanipa mzuka no jamaa anayejua kujibu kisanaa
Kama umeikubali hii interview gonga like yako hapa
@einsteinchacha5797
6 ай бұрын
Badala ya kuLike video, unataka tuLike comment???
@pcoolmtetezi3195
5 ай бұрын
Kali
The real Mbuzi....Home boy Fid Q...I appreciate so much on what your doing brother
Ongezeni mda pleas show ni nzur saana ❤❤❤
Interview nzuri sana ya watu wenye akili sana watangazaji wengine wajifunze kuuliza maswali kwa huyu mwamba sio maswali ya ajabu na kero
Kazi nzuri bro Mpangilio wa studio Light Sound Na vitu vingine I'm your new fan
Broo wa msasa unajuaa kuuliza maswali vzr shout out 2 u
Smart sana broooo #king
Masikio yana enjoy then ubongo unakula kitu adim bila kelele za sound zao zile za nyuma....
Ngosha the masterpiece❤
as the time moves evil/darkness/wrongs gets weak to its opposite and not otherwise. righteous its the right move. and that definition of GOD.! 💯💫🧠🙏
We need these kind of intellectual feeding. Ikiwapendeza tupatieni DIZASTA VINA
@MSASAPODCAST
3 ай бұрын
Sawa brother.. Tutalishughulikia
@GriffinMwakyonya
2 ай бұрын
Thats my goat
Very Very Very Nice Interview.... Fid Q the G.O.A.T
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Glad you enjoyed it! 💪🏾🔥
Powerful sana... nimewakubal ote
Fid huwa anajua kujielezea sana
Channel Iko sawa sana kwasababu mtangazaji Yuko vizuri, itafika mbali hii
Kipindi kizuri sana. Can't wait for season two
Rock City Icon.
The world 🌍.....fid q,..... usisahau kusubscribe......bro kubanda kiberiti ni ya moto sana kichwani mwangu
This man ni shule @Don Miguel 🔥🔥
Fanya utusogezee Nikki mbishi apo
Dope PODCAST 🔥🙌🐐
Tunaitaji CheusiDawa aandike kitabu tena cha KISWAHILI RAHISI ILI TUJIFINZE NA KWENYE ICO KITABU ATUTAFSIRIYE NYIMBO KAZAA KAMA MAFAANIKIYO.
Bonge Moja la interview la kufungia mwaka
Umetisha sana ngosha hauna mpinzan
MAFANIKIO NDO UTAJIRI WENYEWE HUO,,,UTAJIRI UKIKUFUATA HUWEZI KUUKWEPA,,UTATEMBEA NAO TU
mtangazaji💥
its my first time naangalia kipindi and nimekipenda sana but I would like kumshauri interviewer asubiri msanii amalize kujibu swahili kisha abandike swali lengine. but all in all I like it
@njoroboihastla
6 ай бұрын
Fid ni genius akijibu swal analielezea kiundani sana mtangazaji anakua kama ameona kamaliza ndo mana unakuta wanalandana
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Asante for the feedback. Zinatujenga. Tutalifanyia kazi hilo💪🏽
Nimeipenda interview broo utulivu wa maswali skills ya kujua vitu nimeipenda
Powerful sana
👑 King Fid 🙌
Nakubal fid. Q
Kazi nzuri
My GOAT 🐐 HIP HOP 🙌
Ukenda mbio mda mtapishana mafanikio huja kwa kile unachofanya% dah mstari huu ndo chanzo cha kufanikiwa mm nauzingatia sana ndo maana sifeli%
this podcast is awesome ila i suggest the "fill-a-words" could be minimized by simple edits I mean by Mhhhs and Ahhhas
Interview inanipa somo bongo la interview
🎉😊
Interviewer amepoa sana. He lacks reaction and follow-up questions. Fid a great story teller as always.
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Thank you for the feedback. Tutaifanyia kazi💪
Kipindi kipo fresh lakini inatakiwa iwe na party 2 hii msasa ya Fid Q
Fid q anajua sana
Wajameni iko kitabu cha kutochukulia vitu personal kinaitwaje😊😊😊
@kijokombao5345
5 ай бұрын
Kijitabu kidogo tu cha kuitwa "THE FOUR AGREEMENTS" by Don Miguel ila kina madini sana aisee
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Woah! thanks for sharing 💪🏾🔥
Mzee pindi limenyooka sana
Hapo mwisho hapo kuna madini sana, Soko, kuuza.
G.O.A.T 🐐 👑
Kama umeskia (T.I amemuiga Flow) Fid. Grab ur Skunk please😊
The best interview
Fid may I have your t shirt
Mtam Sana farid
💚💚💚🎬 safi sana . Msasani, kwangu mimi unanikumbusha Mchonga nyerere kama sio Mikocheni hahaa.. 📽 naachia video ya kuikaribisha 2024 kwa wimbo Ma Mtoni.. by King Bidder from his own youtube ya king bidder.💚🤳 Album ina itwa Power Of Writing. Karibuni
safi sana
Tunamtaka jay moe pia nae anayo yakisema music scientists
@SaidiMeza-ug7mn
2 ай бұрын
Kwel kabisa anajua vingi mo
Nakubalii🔥
Man alone can transform his thoughts into physical reality. man alone can dream and make his dreams come true 🔥muda wowote Fid anapoongea lazima uondoke ukiwa positive interview ya kibabe sana nimekubali 🔥
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
🔥Asante sana, the man is a living legend.
Mzee mbuzi Namuelewa sana
Ngosha the don
NGOSHA
Are the one we met on MUHAS & UNICEF Symposium on. Social behavior change
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Yes sir😉
MBUZI🎉🎉🎉🎉
Nangoja part 2 ianze na majibu kutoka kwa fid maana jibu lako linalenga kilicho kwenye mzunguko sokoni ila yeye anaepaswa ajekuelezea kama inaingiza sokoni bidhaa haipo na huo wakati ipo inayo trend sokoni
Mafanikio hayaji kwa kukata taama yenyewe yanawafata wanao jituma sio kusukumwa na njaa ukijituma naneema imekalibia ote waio give Up mapena wangekaza wangeifikia kwenye mistari hizo zinafanya nijitume fd q kwangu ni namba1🙏🙏🙏🙏
@MSASAPODCAST
2 ай бұрын
💯💯💯💯
Kkutafuta kitu positive kwenye negatively
Madini q no 1
Mecca flash 🎧
Fid Q
The hip hop king big up bro
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
A legend 🙌🏾
fid q ndio alitufundisha kua USTAA hauji Bila Skendo,
very good interview 🔥🔥🔥
nikisikia mwanza namsikia fidq kikubwa tunahitaji kitabu
Sitaki kuwa Tajiri. Nataka kufanikiwa
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
🔥🙌🏾
Fid q❤
GoAT fid Q ehe eshima yako kAka🎉🎉🎉
@IssaMabao
Ай бұрын
Aaah nakubal apo mzee mbuziiiiiii
tupate part2
Nimejifunza kitu hapa
Kiberiti,siiitaj marafiki ,kwani hii intervw ina second 😂😂,tunahitj zaid kujua mengi
dah binadam wabaya sana bora waseme unaringa, hasa hawa wa kukutana nao ukubwani
Second time of listening
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Sehem zipi zimekugusa zaidi?
Fid amenifunza kitu leo
Ndio vile vitu mi hupenda. Hii nimei verify 👍
@MSASAPODCAST
6 ай бұрын
Bless
Very cool host link with goat The reality of opportunity meet preparation turns magic 🔗🔗
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
😎🙏🏾
I like the the interview for real
Bro interview nyingi but sama shirt colour kila interview
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
Yes sir
Mzee mbuzi
Wewe mwongo fid q wakati anatoka miaka ya 2000 tayari cd zilikuepo labda uniambie miaka ya 90 plus cd zipo tangu 1995
@lubbahmorento5138
6 ай бұрын
Ina depend huenda zilikuwepo lakini nchi zilizoendelea ndo zilikuwepo but nchi km tz hazikuepo
@fidq6282
6 ай бұрын
Kabla ya CD, kulikua na Tepu/ kanda/ kaseti zinaitwa Chrome yaani ( Chrome tapes ) ndio zilikua zinatumika miaka ya 90
@emmanuelpeter465
6 ай бұрын
We nae unareta mambo ya ubishan tena si uchaw sasa huo
@one2tell508
6 ай бұрын
Mwaka 2000 wenyew computer zilikua zinauzwa tofauti na cd rom, unanunua computer na unaenda kununua cd rom na card yake.
@zedekiahmagwega8044
6 ай бұрын
Ww mzaliwa wa 2004 kelele mingii 2000 jambo kubwa kama bank halijaenea kote watu wanalipwa mkononi ije iwe hiyo CD!? biti kipindi hiyo inawekwa mic unatengeneza biti via mic kama anataka sound ya kikombe anatonga kikombe kwenye mic ili arecord akachanganye huko
Great...
@MSASAPODCAST
5 ай бұрын
🔥🙌🏾
Hii ni zaid ya interview nimemeza madini mengi Sana
Samaya x ananiita fiq the future
Erewa neno! kuvuta vuta😂
98 kakutana na mtt wa dandu after 10yrs wakakutana 2000 mbona katipiga...?
Saa 1 kama dk1 haichoshi wala haiboi, faridi ni darasa tosha.