THE CLASSIC MAALIM NASH :TOKA NASH Y HADI MAALIM/NILIWAHI FUKUZWA STUDIO KAMA MBWA /KUTAPELIWA ZENJI
Kama ilikupita episode hii na Maalim Nash ambayo ilifanyika mwaka mmoja uliopita basi hii ni maalum kwa ajili yako,MC Mahiri Maalim Nash alifika na kutupa simulizi za kusisimu
Kuhusa muziki na maisha yake kwa ujumla.
Пікірлер: 41
Tuonyeshe ufuasi wetu kwa hawa kwa vitendo sio maneno matupu,hawa wana bidhaa kama album,eps,nguo kama tisheti,tununue kazi zao hiyo ndio sapoti ya kweli
Conscious! Nilikuwa namuona Nash sana kipindi naishi Temeke miaka ya 2016-17 sikuwahi jua ana knowledge kubwa kiasi hiki. Kipindi kizuri, nimejifunza mengi!
Mzee wa CBT (Chamazi Bamia TV)..majina mengi, Maalim Nash
Mwanangu Nash Mc Zuzu mtoto wa Temeke
Mwaka uliofuata nikarudi Masasi, Kijijini CHIGUGU kuanza maisha mapya
Amani wana🇰🇪 namkubali Maalim Oi Oi
Respect to you brother Kuvi kwa kumleta Maalim Nash.......
Kk Saleh Jabir mlete Bonta Maarifa kwenye session yako
@uwezokinahi7870
7 ай бұрын
Bonta ni another Legend kwenye Huu Muziki ambaye watu wengi hawamfahamu... Watoto wa 2000 hawawezi kumjua
@rogerslwitiko3915
7 ай бұрын
@@uwezokinahi7870 Umeonae Mtaalamu hiyo haina ubishi
@frankkajoba8372
7 ай бұрын
Daah, kibongo bongo haheshimiki sijui kwa nn, Bonta ni noma sana
@rogerslwitiko3915
7 ай бұрын
@@frankkajoba8372 Bongo unafiki ni mwingi unapewa Maua yako au unashindanishwa na kuambiwa ww ni Mkali ukiwa upo kwenye futi 6 za ardhi😥😥😥😓😓😓😓😓😓😓😓
Ilala Home ndio mnatokea.shout out to dully homeboy .all the from Brazil
Maalim Nash King 🤴 TMK
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼HESHIMA KWAKO #Nash_Mc Zuzu...✍️🎤🎧🎵🎶🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nash nimeanza kusikia nyimbo yake ya TABIA nikiwa simjui kabisa, ila badae nikamjua... kupitia tamaduni music
Huyu jamaa ana akili siyo sana mungu amjaalie kila a kher
Asante kaka kuvi kibonge tozi
Respect Hiphop 👊✊
Kumbe huo wimbo wa kisa cha mwanafunzi umeimba we bro! Kumamamae wali, nilikuwa naupenda sana huu wimbo
@fatmafatu1128
7 ай бұрын
Jinga wewe matusi ya nn
Nash ni mmoja tu 🔥🔥
Nash Mc namkubali Kwa ngoma zake za Mitihani,Naandika,VVU,Tabia na Mwalimu Mashaka
@rogerslwitiko3915
7 ай бұрын
@@emmanuelmayunga1518 Sana tu sema tu hizi Mainstreams media zinawabania Wasanii wa Hip Hop
@user-vy7zy8pb5c
5 ай бұрын
Tafuta muhadhiri kaka
@rogerslwitiko3915
5 ай бұрын
@@user-vy7zy8pb5c Hiyo nitaisaka
Maalim
Nakubal zuzu
Kuvichaka 🐐
Tamaduni 🎶🎶🎤🫡
Gadafi
Kaka fanya mpango tupate na ile uliyofanya na MC Koko Kalapina. Haipatikani popote pale..
Mwalimu nash mc mtoto wa temeke madege maenee kata 14
LEGEND
Hac.15
@REVOLUTIONARYLYRICS
7 ай бұрын
Bomu la nuclear rejea historia
Mlete na Nikki Mbishi napenda wanaadisia toka walipoanzia
Kipindi hicho naanza kumuona nash ni pale BRITISH COUNCIL kwenye harakati walizokuwa wanazifanya kina zavara na jamaa anaitwa evance..
Oyaa wanataka PIN CODE 😂😂😂 shwain zao
❤
Nash mc