THE CLASSIC MAALIM NASH :TOKA NASH Y HADI MAALIM/NILIWAHI FUKUZWA STUDIO KAMA MBWA /KUTAPELIWA ZENJI

Kama ilikupita episode hii na Maalim Nash ambayo ilifanyika mwaka mmoja uliopita basi hii ni maalum kwa ajili yako,MC Mahiri Maalim Nash alifika na kutupa simulizi za kusisimu
Kuhusa muziki na maisha yake kwa ujumla.

Пікірлер: 41

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile32347 ай бұрын

    Tuonyeshe ufuasi wetu kwa hawa kwa vitendo sio maneno matupu,hawa wana bidhaa kama album,eps,nguo kama tisheti,tununue kazi zao hiyo ndio sapoti ya kweli

  • @medardsotta5211
    @medardsotta52117 ай бұрын

    Conscious! Nilikuwa namuona Nash sana kipindi naishi Temeke miaka ya 2016-17 sikuwahi jua ana knowledge kubwa kiasi hiki. Kipindi kizuri, nimejifunza mengi!

  • @juliusngowi952
    @juliusngowi9527 ай бұрын

    Mzee wa CBT (Chamazi Bamia TV)..majina mengi, Maalim Nash

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji11337 ай бұрын

    Mwanangu Nash Mc Zuzu mtoto wa Temeke

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye30107 ай бұрын

    Mwaka uliofuata nikarudi Masasi, Kijijini CHIGUGU kuanza maisha mapya

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS7 ай бұрын

    Amani wana🇰🇪 namkubali Maalim Oi Oi

  • @Chemba67
    @Chemba677 ай бұрын

    Respect to you brother Kuvi kwa kumleta Maalim Nash.......

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39157 ай бұрын

    Kk Saleh Jabir mlete Bonta Maarifa kwenye session yako

  • @uwezokinahi7870

    @uwezokinahi7870

    7 ай бұрын

    Bonta ni another Legend kwenye Huu Muziki ambaye watu wengi hawamfahamu... Watoto wa 2000 hawawezi kumjua

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    7 ай бұрын

    @@uwezokinahi7870 Umeonae Mtaalamu hiyo haina ubishi

  • @frankkajoba8372

    @frankkajoba8372

    7 ай бұрын

    Daah, kibongo bongo haheshimiki sijui kwa nn, Bonta ni noma sana

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    7 ай бұрын

    @@frankkajoba8372 Bongo unafiki ni mwingi unapewa Maua yako au unashindanishwa na kuambiwa ww ni Mkali ukiwa upo kwenye futi 6 za ardhi😥😥😥😓😓😓😓😓😓😓😓

  • @lawrencedeocary9940
    @lawrencedeocary99407 ай бұрын

    Ilala Home ndio mnatokea.shout out to dully homeboy .all the from Brazil

  • @enezacleopa6272
    @enezacleopa62727 ай бұрын

    Maalim Nash King 🤴 TMK

  • @johnrichard5482
    @johnrichard54826 ай бұрын

    👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼HESHIMA KWAKO #Nash_Mc Zuzu...✍️🎤🎧🎵🎶🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz7 ай бұрын

    Nash nimeanza kusikia nyimbo yake ya TABIA nikiwa simjui kabisa, ila badae nikamjua... kupitia tamaduni music

  • @tahfifdilham3688
    @tahfifdilham368815 күн бұрын

    Huyu jamaa ana akili siyo sana mungu amjaalie kila a kher

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo72917 ай бұрын

    Asante kaka kuvi kibonge tozi

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis40737 ай бұрын

    Respect Hiphop 👊✊

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q7 ай бұрын

    Kumbe huo wimbo wa kisa cha mwanafunzi umeimba we bro! Kumamamae wali, nilikuwa naupenda sana huu wimbo

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    7 ай бұрын

    Jinga wewe matusi ya nn

  • @little_tz
    @little_tz7 ай бұрын

    Nash ni mmoja tu 🔥🔥

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39157 ай бұрын

    Nash Mc namkubali Kwa ngoma zake za Mitihani,Naandika,VVU,Tabia na Mwalimu Mashaka

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    7 ай бұрын

    @@emmanuelmayunga1518 Sana tu sema tu hizi Mainstreams media zinawabania Wasanii wa Hip Hop

  • @user-vy7zy8pb5c

    @user-vy7zy8pb5c

    5 ай бұрын

    Tafuta muhadhiri kaka

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    5 ай бұрын

    @@user-vy7zy8pb5c Hiyo nitaisaka

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn96337 ай бұрын

    Maalim

  • @jumazinga941
    @jumazinga9417 ай бұрын

    Nakubal zuzu

  • @samirmswahili
    @samirmswahili7 ай бұрын

    Kuvichaka 🐐

  • @enezacleopa6272
    @enezacleopa62727 ай бұрын

    Tamaduni 🎶🎶🎤🫡

  • @briangodfrey1487
    @briangodfrey14877 ай бұрын

    Gadafi

  • @francismsobi3893
    @francismsobi38937 ай бұрын

    Kaka fanya mpango tupate na ile uliyofanya na MC Koko Kalapina. Haipatikani popote pale..

  • @ahmedmudric9546
    @ahmedmudric95466 ай бұрын

    Mwalimu nash mc mtoto wa temeke madege maenee kata 14

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90037 ай бұрын

    LEGEND

  • @mtuporicharles9110
    @mtuporicharles91107 ай бұрын

    Hac.15

  • @REVOLUTIONARYLYRICS

    @REVOLUTIONARYLYRICS

    7 ай бұрын

    Bomu la nuclear rejea historia

  • @jumajuma6612
    @jumajuma66127 ай бұрын

    Mlete na Nikki Mbishi napenda wanaadisia toka walipoanzia

  • @user-cb9us5oi6d
    @user-cb9us5oi6d7 ай бұрын

    Kipindi hicho naanza kumuona nash ni pale BRITISH COUNCIL kwenye harakati walizokuwa wanazifanya kina zavara na jamaa anaitwa evance..

  • @warrapgtimamuskillz6872
    @warrapgtimamuskillz68727 ай бұрын

    Oyaa wanataka PIN CODE 😂😂😂 shwain zao

  • @nyotamy3678
    @nyotamy36787 ай бұрын

  • @kessylyuma2593
    @kessylyuma25937 ай бұрын

    Nash mc

Келесі