Imam Abbas: Rapper nguli wa Tanzania aliyeandikwa kwenye kitabu cha waasisi wa Hip Hop ya Uingereza

Imam Abbas (sasa hivi akijitambulisha kama Emam Abbas) ni miongoni mwa wanahiphop wa mwanzo kabisa Tanzania. Alitamba na wimbo Mitaa ya Kati (Bila Sanaa) aliomshirikisha Juma Nature.
Pia, mwaka 2020 aliandikwa kwenye kitabu cha waasisi wa Hip Hop ya Uingereza. Utamfahamu zaidi kupitia mahojiano haya

Пікірлер: 166

  • @charlesased
    @charlesased3 жыл бұрын

    Kizazi cha kina Imam Abbas kilinifanya niuzimikie muziki 🔥🔥💯

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa67553 жыл бұрын

    Samahani mtangazaji! Kwenye Mapito yangu natamani sana kusikia interview ya KALI P, MO KWELI na MNYARU japo nasikitika sana kuna watu wawili wameondoka bila kusikia interview zao zozote watu hao ni MR EBBO na JONH WOKER watu waliotendea haki sana Sana'a hii!

  • @sundayjoseph5424

    @sundayjoseph5424

    3 жыл бұрын

    Kali P Kali Popote itakuwa poa Sana interview yake na Hasheem Dogo ,Saigon pia

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.653 жыл бұрын

    Sky huyo Mwamba Namkubali Sana,Kitamboooo Sana iyo nyimbo yake ya Bila sanaa.

  • @eventelias3566
    @eventelias35663 жыл бұрын

    can't forget those days miaka ya 90 mpka elfu 2 elfu 2 hivi mwanzoni kitambo hiyo watu wanarap,watu wanavaa vitu OG ile kinyangema,those days watu walikuwa wanashindana kwa ma-crew Crew yangu ilikuwa inaitwa OBC bado wanangu wanawakilisha hadi leo Hiphop maisha dah

  • @feisalmombo805
    @feisalmombo8053 жыл бұрын

    Sky nimesikiliza hii interview aisee huyu jamaa anamadini ya kutosha aisee kila neno analoongea ni noma inabidi umualike tena brother Imam maana anamadini mengin sana huchoki kumsikiliza. Asante sana kwa kumleta

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard48723 жыл бұрын

    Kizazi Cha mziki wa diamond hapo kinatoa macho tu! Hawaelewi chochote! Imamu Abbas! Bila sanaa! Moja ya wimbo Bora kabisa Katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya!

  • @ahz6907

    @ahz6907

    3 жыл бұрын

    Kila zama na muziki wake huwezi linganisha. Ila ukweli hao wazamani walikuwa kikazi zaidi si kibiashara kutengeneza pesa kitaifa na kimataifa. Hii ndo tofauti.

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho92262 ай бұрын

    Nakubali sana nguli huyu, heshima yake....natokea 254 ila naheshimu sana waasisi wa hiphop bongo, nimewafuatilia toka miaka ya 90's

  • @centralboytz4240
    @centralboytz42403 жыл бұрын

    #sns for life mnawamulika had wana waliosahaulika akat wamefanya vitu vikubwa tuu jahbless💯✊🏾

  • @callmangumbo1552

    @callmangumbo1552

    3 жыл бұрын

    Kweli kaka

  • @josephkaale6472
    @josephkaale64722 жыл бұрын

    Back up vocals kuna Dolla Soul Balozi!!!! That is real shit right there

  • @jacksonsabana2150
    @jacksonsabana21503 жыл бұрын

    Kwa sisi tulikuwa nashabikia ngoma mwanzn mwa miaka ya 2000 tunailewa hyo ngoma vzr sn but big up sn halfan majani kwa production nzr sn 💪💪💪

  • @shaphyvuai6805

    @shaphyvuai6805

    3 жыл бұрын

    Yule jamaa ni nomaaaaaa

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz31203 жыл бұрын

    Aaaaah mwana ni Sure boy,, kumbe bado here big up

  • @joackimbakary7392
    @joackimbakary73923 жыл бұрын

    Napenda sana unachokifanya kaka and am always ur fan, ila nahtaji sana kuwa mtangazaji ila tu nilichokisoma ni tofauti kabisa na ndoto zangu, am a CLINICAL OFFICER (C.O) but napenda sana kuwa mtangazaji brother, please naomba unisaidie

  • @isayaalfred8515
    @isayaalfred85153 жыл бұрын

    Huu ni muda wa kujenga HESHIMA

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko87673 жыл бұрын

    Huyu jamaa amenifanya nimjue mapema zaidi wakati nipo dogo kabisa, na utundu wangu wa kufuatilia HIPHOP imenifanya nikujue zaidi. Niliwah kukuona kwenye ile Makala ya HALI HALISI, iliyofanywaga na wale jamaa akina GESTHUINBERG na wengine. Hiyo ilikuwa mwaka 2001. Unafaa kupata tuzo ya Heshima bongo IMMAM ABBAS

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia32033 жыл бұрын

    dah hii ngoma kali sana alafu nasikia kwaambali back voco amepita alfani majan mwenyewe dah awa wana wamefanya kaz sana mzee

  • @audaxmlowa9953

    @audaxmlowa9953

    9 ай бұрын

    Kapita kiroboto juma nature

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68053 жыл бұрын

    Iyo Ngoma ni konyooooo na Nature kaaaauuuuaaaah bits punch lines vina vimepangika as sky said Bado ni classic.,.Emam abbas

  • @mugishaalida5580
    @mugishaalida558010 ай бұрын

    Watabligh Wamekufikishia Ujumbe safi sana Umefanya vizuri pia kubadili kwaubunifu kabisa ❤✌

  • @yacne_tz0860
    @yacne_tz08603 жыл бұрын

    One of the best interview 2020 🤝

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao49963 жыл бұрын

    napendaga sana kuwaskiliza hawa waasisi wa hip-hop wa Tanzania

  • @audaxmlowa9953

    @audaxmlowa9953

    9 ай бұрын

    Wana madini sana mdau

  • @titodickson8232
    @titodickson82323 жыл бұрын

    One of the inspired and impressive interview

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman9833 жыл бұрын

    Dah!! Mimachozi yamenitoka, nimekumbuka mbali Sana'a. Imam nata Mani kukutana na wewe.

  • @ujogroup269
    @ujogroup2693 жыл бұрын

    Moja ya ngoma ambazo nakuwa nazo muda wote kwny playlist yangu Much respect

  • @robin_MMM
    @robin_MMM3 жыл бұрын

    sky mtafute na hashim aka dogo umfanyie mahojiano kama haya uliyomfanyia imam abas

  • @mahmoudomary6600

    @mahmoudomary6600

    3 жыл бұрын

    BONGE LA IDEA ,,,,,MTAFUTE HASHIMU aka DOGO atakuwa na mambo mengi sana.. pia kina SOLO THANG wakongwe hawa wana madini sana,,,big up SKY

  • @brosataasisi3657

    @brosataasisi3657

    3 жыл бұрын

    Huyo jamaa sijui kama atakubali Kwa sasa ni sheikh mkubwa huyo

  • @mussaharun7257

    @mussaharun7257

    2 жыл бұрын

    Do this please

  • @daudisaid6198
    @daudisaid61983 жыл бұрын

    Daaa the legendary kaka rudi kwenye game uwafundishe hawa watoto wanacheza tu siku hizi. Nakukubali sana mkuu na tumiwamisi watu kama nyie.

  • @Mtamaduni14
    @Mtamaduni143 жыл бұрын

    Interview safi , Legendary,bila sanaa ningekua teja

  • @jumamagabu7376
    @jumamagabu73763 жыл бұрын

    Jamaaa hiii interview kaua Sana huyu jamaaa

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe3 жыл бұрын

    DAAH KITAMBO SANA♨♨♨

  • @fly_soon3569
    @fly_soon35693 жыл бұрын

    Best interview

  • @khalidngalima599
    @khalidngalima5995 ай бұрын

    The real MC One of the best MC'S tz kuwahi kutokea

  • @mackjr5291
    @mackjr52913 жыл бұрын

    Duuuuuu kitambo sana, mlete na adili chapakazi aisee

  • @titodickson8232

    @titodickson8232

    3 жыл бұрын

    Bila kumsahau salu tee

  • @bongeone
    @bongeone3 жыл бұрын

    Nakubali sana

  • @joackimbakary7392
    @joackimbakary73923 жыл бұрын

    I always love the way u do brother

  • @Juma_Content
    @Juma_Content3 жыл бұрын

    Nakubali

  • @masungakamihanda4357
    @masungakamihanda43573 жыл бұрын

    Huwezi wataja wakina Arsenal , ukamuacha Cassidy, kwenye free style

  • @husseinseif7438
    @husseinseif74383 жыл бұрын

    daaaa mpaka mchozii umenitoka aiseee ''bila sanaa"mitaa ya kati

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri85013 жыл бұрын

    huyu jamaa namkubali sana sana respect Kwako IMAM ABBAS

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu12243 жыл бұрын

    Nimelidhika kinoma mzee wa kazi.kumskia leo EMAM HABASI

  • @afterx3172
    @afterx31723 жыл бұрын

    Bonge la interview kwangu 2020 #SNS

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe89303 жыл бұрын

    Wimbo wenye hisia.... Imam Abas, Bila sanaa👍

  • @tumainisimbaya4688
    @tumainisimbaya4688 Жыл бұрын

    Hawa jamaaa banhaaa....fundisheni vijana wa Sasa, Sasa

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga50333 жыл бұрын

    Imebidi ni google dah!!! kumbe u did a song with P funk n jay mmmh mitaa yakati iko sawa pia

  • @malcolmkomba4067

    @malcolmkomba4067

    3 жыл бұрын

    Ngoma ya kitambo ni kali sana inatwa horse

  • @ellymtima3673
    @ellymtima36733 жыл бұрын

    Bro nime enjoy sanaaa hiii interview!.

  • @johncosta2181
    @johncosta21813 жыл бұрын

    Sky wew ungekuwa msanii bwana kuna ule wimbo wako fulani wa bila wew ule dah

  • @jumannemfaume

    @jumannemfaume

    3 жыл бұрын

    Kabisa nae anajua sana

  • @mugishadavidsengati5119
    @mugishadavidsengati51193 жыл бұрын

    Respect sana Imam Abbas

  • @titodickson8232
    @titodickson82323 жыл бұрын

    Impressive interview

  • @erickendrick3330
    @erickendrick33303 жыл бұрын

    Imam abas, bila elimu, ningekuwa wapi mitaa ya kati

  • @mugadimon3563
    @mugadimon35633 жыл бұрын

    Watu kama hawa muwe mnawahoji mara kwa mara wanaongea vitu vya msingi sana.Madogo wa sasahivi kukuta anaongea hivi ni nadra sana.

  • @ahz6907

    @ahz6907

    3 жыл бұрын

    Sasa hivi hatuna vichwa kama hivi yani watoto walaini sanaaa.

  • @tumainimatandala1847
    @tumainimatandala18473 жыл бұрын

    In this world, GREAT PEOPLE are always stand behind the mirror. THE WORLD ONLY SEES THE PRODUCT.

  • @mindrest.2879
    @mindrest.28793 жыл бұрын

    Arsonal is disrespectful a lot but Tay Roc, K-Shine and DNA those are ruthless. Murder Mook and Charlie Clips are in another thing. I need to see Mex Cortez vs Cheff Trez or Loso or Bdot. He should try battle mr translation O-Red.

  • @emmanuelmahumbi3596
    @emmanuelmahumbi35963 жыл бұрын

    Good interview! Kuna haja ya kuwa na mikutano ya battles ya kutosha. Fid alifanya kipindi fulani hata Immam afanye pia ziwe nyingi plus battles. Wapi Hashim dogo?

  • @emmanuelmahumbi3596

    @emmanuelmahumbi3596

    3 жыл бұрын

    Wapi Balozi?

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia32033 жыл бұрын

    dah bleased sana mzee iman nimempata sana kuliko abas. hip hop raha sana

  • @allankiluvia4860
    @allankiluvia48603 жыл бұрын

    The Legend.

  • @nuffsedworldentertainment
    @nuffsedworldentertainment2 жыл бұрын

    Abbas you have good points. Currently Kiswahili is an international language waseeh

  • @talazain1017
    @talazain10173 жыл бұрын

    Mitaaa ya kati kama emam abbas

  • @sosoflix
    @sosoflix3 жыл бұрын

    Good interview, anyone who knows where I can purchase emam Abbas's album?

  • @jeanfernandez2863
    @jeanfernandez28633 жыл бұрын

    Big up home boy

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko87673 жыл бұрын

    Huyu jamaa IMAM ABAS yuko moto sana.

  • @samniza1763
    @samniza17633 жыл бұрын

    I like the brother from Merseyside.

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao3 жыл бұрын

    Sence 🙌💜❤️🇸🇦

  • @adamzakaria5860
    @adamzakaria58603 жыл бұрын

    nakubari sana

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9413 жыл бұрын

    Imamu upo wapi mzee wangu ...kitambo sana mtu wangu mimi shabiki sana wa iyo ngoma bila sanaa ...coz mimi bila hii michongo ninayo ifanya sasa ivi ningekua mkabaji mitaa ya kati maana ndoto yangu ni kua tajiri mkubwa sana

  • @mbux7443
    @mbux74433 жыл бұрын

    Tumedanganywa saana ahsante imam👊🏿

  • @mussaharun7257
    @mussaharun72572 жыл бұрын

    Mtangazaji umetulia sana

  • @mfaumerashid4358
    @mfaumerashid43583 жыл бұрын

    Bro u are so deep mentality...anko sky naelew Sana interview zako unatumia akili nying Sana

  • @soudbako5925
    @soudbako59253 жыл бұрын

    So deep

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu71463 жыл бұрын

    sisi arusha hatukubali kuwa hip hop ilianzia ilala... sisi tunajua hiphop ilianzia arusha na hatujawahi kuwa inspired au kuoina hiphop ya dsm kipindi icho!!! the fact is tanzania hiphop mushroomed in arusha as far as hiphop culture and its pillars are concerned. by the time arusha had gangster rap (as it was in america )in which we had ever saw it in dar es salaam! we only respect hasheem dogo ndio tunaemjua angalau kwa kipind io na kipindi tumemjua tayar tulikuwa tumetoa hit kibao!

  • @jumaamanghi8764

    @jumaamanghi8764

    3 жыл бұрын

    Dats tru n reality

  • @brosataasisi3657

    @brosataasisi3657

    3 жыл бұрын

    Hasheem Dogo mbona hajaanza kitambo sana sijui unaongelea kipindi gani?

  • @barakamshiu7146

    @barakamshiu7146

    3 жыл бұрын

    @@brosataasisi3657 hashem kaanza toka miaka ya 1980s unasemaje cyo kitambo??? ulimwenguni hiphop ilianzia marekani na ilianzishwa na wamarekani weusi katika karne ya 20 na cyo vinginevyo.. we unaongelea zamani ipi ya hao wasanii wako????

  • @brosataasisi3657

    @brosataasisi3657

    3 жыл бұрын

    @@barakamshiu7146 miaka ya 80 Hasheem hakuwepo bob watu wa kwanza ni kina Saleh Jabir na Kwanza Unit,P.Funk,Hard Blastaz na Diplomats na SogDogg na hao wote walikuwa miaka ya 90 sio 80 Hasheem kaja miaka ya 95 tena hakuwa hata na jina kiivyo

  • @barakamshiu7146

    @barakamshiu7146

    3 жыл бұрын

    @@brosataasisi3657 sisi tunawajua x plastaz na hardcore unitykipindi iyoo....afu swala la hasheeem.... hashimu alikuwa nationalwise miaka iyo ya 90 ila tumemjua toka 80 akiwa underground!!

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan92543 жыл бұрын

    Huko anaposema immam Abbas Tanzania tutafika lakini baada ya miaka 10 kuanzia sasa tutakuwa na maa MC na marapa na waimbaji wajao watakuwa wapo vizuri kwenye lugha hii ya kigeni, nawale wakongwe bado wanajifunza , tusisahau kwenye hii lugha ya kigeni sisi Tanzania tumechelewa lakini ndipo tunapo elekea amini Tanzania inaenda kuwa nchi tishio AFRICA kuanzia diplosia michezo yaani kila sekta. Ni muda tuu coz watu wanazidi kuelimika na kujifunza kila kukicha. Mfano hai angalia Joseph magufuli anavyo tuamsha Tanzania kwenye lasilimali zetu na kadhalika... naiyona Tanzania ikiwa mbele kwenye kila sekta hapo baadae. In shaa Allah

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50903 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kennedymwagala6337
    @kennedymwagala63373 жыл бұрын

    Uyu ni Rakim wa tanzania

  • @archtecturaldesigner5916
    @archtecturaldesigner59163 жыл бұрын

    Wapi saleh Jabir

  • @kayamandiautoparts3579
    @kayamandiautoparts35792 жыл бұрын

    imam abbas maunda wewe ni msanii hatari sana nchini na kimataifa pia [seseme kay]

  • @jeanfernandez2863
    @jeanfernandez28633 жыл бұрын

    Tunakukubali

  • @machiluelisha393
    @machiluelisha3933 жыл бұрын

    👏🏽👏🏽

  • @nyumbumjanja
    @nyumbumjanja11 ай бұрын

    Legender HipHop

  • @husseinissa7155
    @husseinissa71553 жыл бұрын

    Bro sky mwambie imam abas nataka kuonana nae

  • @methodsanga8025
    @methodsanga80253 жыл бұрын

    Ninacho penda interview za art of hip-hop hukosi kitu kipya kabisa wasikilize Fid q Nikki mbishi Imam abas Nikki wa pili Lord eyes N.k

  • @bakarirashid8591
    @bakarirashid85913 жыл бұрын

    sns nina ombi kwa huyu jamaa tuwe nae hapo tena ili aweze kutuchambulia kuwa sisi ndio waanzalishi wa hip hop nasisi ili tuweze kujua hii history

  • @mrdocta3106
    @mrdocta31063 жыл бұрын

    Jambo SNS , mimi nimemtafuta Emam Abbas kwa youtube but sijapata channel yake. Please kwa eshima natadhima nilikuwa naomba uweke utaratibu wakupata vhannel yake. Maana uchanaji wake ninoma. Haswa kwa kingereza amenimaliza.

  • @ahz6907

    @ahz6907

    3 жыл бұрын

    Tafuta emmam 9 abbas

  • @hassanabdallah9333
    @hassanabdallah93333 жыл бұрын

    Nakuona the new Nikki mbishi kwenye interview

  • @laurajoseph8795
    @laurajoseph87953 жыл бұрын

    Kaka sky mtafuteni na saigoni

  • @hamzahussein4493
    @hamzahussein44933 жыл бұрын

    @sns hawa ndio watu unatakiwa uwalete. Vichwa timamu kabisa.

  • @Starlighttz538
    @Starlighttz5383 жыл бұрын

    Watu wana Comment kabla awaja maliza kutazama mpaka mwisho

  • @hemedymohamedy8725
    @hemedymohamedy87253 жыл бұрын

    Kizazi xn namwelewa xn mwamba

  • @scaniatanzanialtd5966
    @scaniatanzanialtd59662 жыл бұрын

    Bila Sanaa haijawahi kutokea

  • @yussufmussa91
    @yussufmussa913 жыл бұрын

    Imam Abbas ametisha

  • @leonardmwacha5151
    @leonardmwacha51515 ай бұрын

    Huyu jamaa nilimuona kwenye video ya prof j wimbo hakuna noma

  • @allycaydo9865
    @allycaydo98653 жыл бұрын

    Semaaa aiseee Imma ni Tafsiri halisi ya Mwanahip Hop halisi yani hiyo Confidence with somesort of Majigambo flani ya kibabe haha aisee safi sana.

  • @funnyhouse5896
    @funnyhouse58963 жыл бұрын

    Mitaah ya kati wimbo bora wa hip-hop tanzania

  • @abdallahhussein7539
    @abdallahhussein75393 жыл бұрын

    Jamaa kitambo sana

  • @frankmasai902
    @frankmasai9023 жыл бұрын

    East Coast for Life

  • @mospeciol
    @mospeciol3 жыл бұрын

    Nuclear oncology. SALUT

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu12243 жыл бұрын

    Yah!!ivi ndo vitu tunataka

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri85013 жыл бұрын

    SKY WALKER NAOMBA MTAFUTE DJ STEVE B NI NGULI KWEMYE HIP HOP

  • @mponjoli8676
    @mponjoli86763 жыл бұрын

    Bonge la enterview mzee

  • @KiooTvOnline
    @KiooTvOnline3 жыл бұрын

    Imam Abbas, Balozi wa mitaa ya kati

  • @wonanjijabongah1906
    @wonanjijabongah19063 жыл бұрын

    Hii interview ilitakiwa kua na views million 3 mpaka sasa bt wabongo hawaelew,ni shule na madin tosha sana yako humu

  • @humphreyalbano3349

    @humphreyalbano3349

    3 жыл бұрын

    True Brother...umeandka

  • @wonanjijabongah1906

    @wonanjijabongah1906

    3 жыл бұрын

    @@humphreyalbano3349 Kiukwel ukifutilia interviews nying za hawa kizan cha zaman km kina P funk,mj na wasanii wengi wa zamani kuna madini meng sana n unainjoy zt hadi kuna ambazo hua nazirudia

  • @3bsfamilly860
    @3bsfamilly8603 жыл бұрын

    Nakuubali mita ya kati mpaka kesho

  • @leecode6135
    @leecode61353 жыл бұрын

    SKY vipi unasikia baridiiiii mnke una jacket huyo mwalikwa Ana t shirt sasa mntuchanganya mpo katika weather gani au Air condition ni Kali saana hpo mjengoni au.

  • @saidtembele3070

    @saidtembele3070

    3 жыл бұрын

    Achana na weather, concentrate na interview

  • @leecode6135

    @leecode6135

    3 жыл бұрын

    @@saidtembele3070 Interview iko poa kinoma

  • @ahz6907

    @ahz6907

    3 жыл бұрын

    We utakuwa sigara bwege

  • @leecode6135

    @leecode6135

    3 жыл бұрын

    @@ahz6907 wee ujui kitu hta anachozungumza Abbas wee ujui kwanza enzi hizo wee upo kijijini untfuta nauli uje mjini

  • @HamisAlly-uw7sc

    @HamisAlly-uw7sc

    2 ай бұрын

    Sasa wewe bwege suala la mavazi linakuhusu Nini!???

  • @mnubihekima4842
    @mnubihekima48423 жыл бұрын

    Hip Hop

  • @irenekawogo828
    @irenekawogo8283 жыл бұрын

    those times when real gangstars become MC'S sio sku hz mcs wanajaribu kuwa gangstars

Келесі