Imam Abbas: Rapper nguli wa Tanzania aliyeandikwa kwenye kitabu cha waasisi wa Hip Hop ya Uingereza
Imam Abbas (sasa hivi akijitambulisha kama Emam Abbas) ni miongoni mwa wanahiphop wa mwanzo kabisa Tanzania. Alitamba na wimbo Mitaa ya Kati (Bila Sanaa) aliomshirikisha Juma Nature.
Pia, mwaka 2020 aliandikwa kwenye kitabu cha waasisi wa Hip Hop ya Uingereza. Utamfahamu zaidi kupitia mahojiano haya
Пікірлер: 166
Kizazi cha kina Imam Abbas kilinifanya niuzimikie muziki 🔥🔥💯
Samahani mtangazaji! Kwenye Mapito yangu natamani sana kusikia interview ya KALI P, MO KWELI na MNYARU japo nasikitika sana kuna watu wawili wameondoka bila kusikia interview zao zozote watu hao ni MR EBBO na JONH WOKER watu waliotendea haki sana Sana'a hii!
@sundayjoseph5424
3 жыл бұрын
Kali P Kali Popote itakuwa poa Sana interview yake na Hasheem Dogo ,Saigon pia
Sky huyo Mwamba Namkubali Sana,Kitamboooo Sana iyo nyimbo yake ya Bila sanaa.
can't forget those days miaka ya 90 mpka elfu 2 elfu 2 hivi mwanzoni kitambo hiyo watu wanarap,watu wanavaa vitu OG ile kinyangema,those days watu walikuwa wanashindana kwa ma-crew Crew yangu ilikuwa inaitwa OBC bado wanangu wanawakilisha hadi leo Hiphop maisha dah
Sky nimesikiliza hii interview aisee huyu jamaa anamadini ya kutosha aisee kila neno analoongea ni noma inabidi umualike tena brother Imam maana anamadini mengin sana huchoki kumsikiliza. Asante sana kwa kumleta
Kizazi Cha mziki wa diamond hapo kinatoa macho tu! Hawaelewi chochote! Imamu Abbas! Bila sanaa! Moja ya wimbo Bora kabisa Katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya!
@ahz6907
3 жыл бұрын
Kila zama na muziki wake huwezi linganisha. Ila ukweli hao wazamani walikuwa kikazi zaidi si kibiashara kutengeneza pesa kitaifa na kimataifa. Hii ndo tofauti.
Nakubali sana nguli huyu, heshima yake....natokea 254 ila naheshimu sana waasisi wa hiphop bongo, nimewafuatilia toka miaka ya 90's
#sns for life mnawamulika had wana waliosahaulika akat wamefanya vitu vikubwa tuu jahbless💯✊🏾
@callmangumbo1552
3 жыл бұрын
Kweli kaka
Back up vocals kuna Dolla Soul Balozi!!!! That is real shit right there
Kwa sisi tulikuwa nashabikia ngoma mwanzn mwa miaka ya 2000 tunailewa hyo ngoma vzr sn but big up sn halfan majani kwa production nzr sn 💪💪💪
@shaphyvuai6805
3 жыл бұрын
Yule jamaa ni nomaaaaaa
Aaaaah mwana ni Sure boy,, kumbe bado here big up
Napenda sana unachokifanya kaka and am always ur fan, ila nahtaji sana kuwa mtangazaji ila tu nilichokisoma ni tofauti kabisa na ndoto zangu, am a CLINICAL OFFICER (C.O) but napenda sana kuwa mtangazaji brother, please naomba unisaidie
Huu ni muda wa kujenga HESHIMA
Huyu jamaa amenifanya nimjue mapema zaidi wakati nipo dogo kabisa, na utundu wangu wa kufuatilia HIPHOP imenifanya nikujue zaidi. Niliwah kukuona kwenye ile Makala ya HALI HALISI, iliyofanywaga na wale jamaa akina GESTHUINBERG na wengine. Hiyo ilikuwa mwaka 2001. Unafaa kupata tuzo ya Heshima bongo IMMAM ABBAS
dah hii ngoma kali sana alafu nasikia kwaambali back voco amepita alfani majan mwenyewe dah awa wana wamefanya kaz sana mzee
@audaxmlowa9953
9 ай бұрын
Kapita kiroboto juma nature
Iyo Ngoma ni konyooooo na Nature kaaaauuuuaaaah bits punch lines vina vimepangika as sky said Bado ni classic.,.Emam abbas
Watabligh Wamekufikishia Ujumbe safi sana Umefanya vizuri pia kubadili kwaubunifu kabisa ❤✌
One of the best interview 2020 🤝
napendaga sana kuwaskiliza hawa waasisi wa hip-hop wa Tanzania
@audaxmlowa9953
9 ай бұрын
Wana madini sana mdau
One of the inspired and impressive interview
Dah!! Mimachozi yamenitoka, nimekumbuka mbali Sana'a. Imam nata Mani kukutana na wewe.
Moja ya ngoma ambazo nakuwa nazo muda wote kwny playlist yangu Much respect
sky mtafute na hashim aka dogo umfanyie mahojiano kama haya uliyomfanyia imam abas
@mahmoudomary6600
3 жыл бұрын
BONGE LA IDEA ,,,,,MTAFUTE HASHIMU aka DOGO atakuwa na mambo mengi sana.. pia kina SOLO THANG wakongwe hawa wana madini sana,,,big up SKY
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
Huyo jamaa sijui kama atakubali Kwa sasa ni sheikh mkubwa huyo
@mussaharun7257
2 жыл бұрын
Do this please
Daaa the legendary kaka rudi kwenye game uwafundishe hawa watoto wanacheza tu siku hizi. Nakukubali sana mkuu na tumiwamisi watu kama nyie.
Interview safi , Legendary,bila sanaa ningekua teja
Jamaaa hiii interview kaua Sana huyu jamaaa
DAAH KITAMBO SANA♨♨♨
Best interview
The real MC One of the best MC'S tz kuwahi kutokea
Duuuuuu kitambo sana, mlete na adili chapakazi aisee
@titodickson8232
3 жыл бұрын
Bila kumsahau salu tee
Nakubali sana
I always love the way u do brother
Nakubali
Huwezi wataja wakina Arsenal , ukamuacha Cassidy, kwenye free style
daaaa mpaka mchozii umenitoka aiseee ''bila sanaa"mitaa ya kati
huyu jamaa namkubali sana sana respect Kwako IMAM ABBAS
Nimelidhika kinoma mzee wa kazi.kumskia leo EMAM HABASI
Bonge la interview kwangu 2020 #SNS
Wimbo wenye hisia.... Imam Abas, Bila sanaa👍
Hawa jamaaa banhaaa....fundisheni vijana wa Sasa, Sasa
Imebidi ni google dah!!! kumbe u did a song with P funk n jay mmmh mitaa yakati iko sawa pia
@malcolmkomba4067
3 жыл бұрын
Ngoma ya kitambo ni kali sana inatwa horse
Bro nime enjoy sanaaa hiii interview!.
Sky wew ungekuwa msanii bwana kuna ule wimbo wako fulani wa bila wew ule dah
@jumannemfaume
3 жыл бұрын
Kabisa nae anajua sana
Respect sana Imam Abbas
Impressive interview
Imam abas, bila elimu, ningekuwa wapi mitaa ya kati
Watu kama hawa muwe mnawahoji mara kwa mara wanaongea vitu vya msingi sana.Madogo wa sasahivi kukuta anaongea hivi ni nadra sana.
@ahz6907
3 жыл бұрын
Sasa hivi hatuna vichwa kama hivi yani watoto walaini sanaaa.
In this world, GREAT PEOPLE are always stand behind the mirror. THE WORLD ONLY SEES THE PRODUCT.
Arsonal is disrespectful a lot but Tay Roc, K-Shine and DNA those are ruthless. Murder Mook and Charlie Clips are in another thing. I need to see Mex Cortez vs Cheff Trez or Loso or Bdot. He should try battle mr translation O-Red.
Good interview! Kuna haja ya kuwa na mikutano ya battles ya kutosha. Fid alifanya kipindi fulani hata Immam afanye pia ziwe nyingi plus battles. Wapi Hashim dogo?
@emmanuelmahumbi3596
3 жыл бұрын
Wapi Balozi?
dah bleased sana mzee iman nimempata sana kuliko abas. hip hop raha sana
The Legend.
Abbas you have good points. Currently Kiswahili is an international language waseeh
Mitaaa ya kati kama emam abbas
Good interview, anyone who knows where I can purchase emam Abbas's album?
Big up home boy
Huyu jamaa IMAM ABAS yuko moto sana.
I like the brother from Merseyside.
Sence 🙌💜❤️🇸🇦
nakubari sana
Imamu upo wapi mzee wangu ...kitambo sana mtu wangu mimi shabiki sana wa iyo ngoma bila sanaa ...coz mimi bila hii michongo ninayo ifanya sasa ivi ningekua mkabaji mitaa ya kati maana ndoto yangu ni kua tajiri mkubwa sana
Tumedanganywa saana ahsante imam👊🏿
Mtangazaji umetulia sana
Bro u are so deep mentality...anko sky naelew Sana interview zako unatumia akili nying Sana
So deep
sisi arusha hatukubali kuwa hip hop ilianzia ilala... sisi tunajua hiphop ilianzia arusha na hatujawahi kuwa inspired au kuoina hiphop ya dsm kipindi icho!!! the fact is tanzania hiphop mushroomed in arusha as far as hiphop culture and its pillars are concerned. by the time arusha had gangster rap (as it was in america )in which we had ever saw it in dar es salaam! we only respect hasheem dogo ndio tunaemjua angalau kwa kipind io na kipindi tumemjua tayar tulikuwa tumetoa hit kibao!
@jumaamanghi8764
3 жыл бұрын
Dats tru n reality
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
Hasheem Dogo mbona hajaanza kitambo sana sijui unaongelea kipindi gani?
@barakamshiu7146
3 жыл бұрын
@@brosataasisi3657 hashem kaanza toka miaka ya 1980s unasemaje cyo kitambo??? ulimwenguni hiphop ilianzia marekani na ilianzishwa na wamarekani weusi katika karne ya 20 na cyo vinginevyo.. we unaongelea zamani ipi ya hao wasanii wako????
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
@@barakamshiu7146 miaka ya 80 Hasheem hakuwepo bob watu wa kwanza ni kina Saleh Jabir na Kwanza Unit,P.Funk,Hard Blastaz na Diplomats na SogDogg na hao wote walikuwa miaka ya 90 sio 80 Hasheem kaja miaka ya 95 tena hakuwa hata na jina kiivyo
@barakamshiu7146
3 жыл бұрын
@@brosataasisi3657 sisi tunawajua x plastaz na hardcore unitykipindi iyoo....afu swala la hasheeem.... hashimu alikuwa nationalwise miaka iyo ya 90 ila tumemjua toka 80 akiwa underground!!
Huko anaposema immam Abbas Tanzania tutafika lakini baada ya miaka 10 kuanzia sasa tutakuwa na maa MC na marapa na waimbaji wajao watakuwa wapo vizuri kwenye lugha hii ya kigeni, nawale wakongwe bado wanajifunza , tusisahau kwenye hii lugha ya kigeni sisi Tanzania tumechelewa lakini ndipo tunapo elekea amini Tanzania inaenda kuwa nchi tishio AFRICA kuanzia diplosia michezo yaani kila sekta. Ni muda tuu coz watu wanazidi kuelimika na kujifunza kila kukicha. Mfano hai angalia Joseph magufuli anavyo tuamsha Tanzania kwenye lasilimali zetu na kadhalika... naiyona Tanzania ikiwa mbele kwenye kila sekta hapo baadae. In shaa Allah
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Uyu ni Rakim wa tanzania
Wapi saleh Jabir
imam abbas maunda wewe ni msanii hatari sana nchini na kimataifa pia [seseme kay]
Tunakukubali
👏🏽👏🏽
Legender HipHop
Bro sky mwambie imam abas nataka kuonana nae
Ninacho penda interview za art of hip-hop hukosi kitu kipya kabisa wasikilize Fid q Nikki mbishi Imam abas Nikki wa pili Lord eyes N.k
sns nina ombi kwa huyu jamaa tuwe nae hapo tena ili aweze kutuchambulia kuwa sisi ndio waanzalishi wa hip hop nasisi ili tuweze kujua hii history
Jambo SNS , mimi nimemtafuta Emam Abbas kwa youtube but sijapata channel yake. Please kwa eshima natadhima nilikuwa naomba uweke utaratibu wakupata vhannel yake. Maana uchanaji wake ninoma. Haswa kwa kingereza amenimaliza.
@ahz6907
3 жыл бұрын
Tafuta emmam 9 abbas
Nakuona the new Nikki mbishi kwenye interview
Kaka sky mtafuteni na saigoni
@sns hawa ndio watu unatakiwa uwalete. Vichwa timamu kabisa.
Watu wana Comment kabla awaja maliza kutazama mpaka mwisho
Kizazi xn namwelewa xn mwamba
Bila Sanaa haijawahi kutokea
Imam Abbas ametisha
Huyu jamaa nilimuona kwenye video ya prof j wimbo hakuna noma
Semaaa aiseee Imma ni Tafsiri halisi ya Mwanahip Hop halisi yani hiyo Confidence with somesort of Majigambo flani ya kibabe haha aisee safi sana.
Mitaah ya kati wimbo bora wa hip-hop tanzania
Jamaa kitambo sana
East Coast for Life
Nuclear oncology. SALUT
Yah!!ivi ndo vitu tunataka
SKY WALKER NAOMBA MTAFUTE DJ STEVE B NI NGULI KWEMYE HIP HOP
Bonge la enterview mzee
Imam Abbas, Balozi wa mitaa ya kati
Hii interview ilitakiwa kua na views million 3 mpaka sasa bt wabongo hawaelew,ni shule na madin tosha sana yako humu
@humphreyalbano3349
3 жыл бұрын
True Brother...umeandka
@wonanjijabongah1906
3 жыл бұрын
@@humphreyalbano3349 Kiukwel ukifutilia interviews nying za hawa kizan cha zaman km kina P funk,mj na wasanii wengi wa zamani kuna madini meng sana n unainjoy zt hadi kuna ambazo hua nazirudia
Nakuubali mita ya kati mpaka kesho
SKY vipi unasikia baridiiiii mnke una jacket huyo mwalikwa Ana t shirt sasa mntuchanganya mpo katika weather gani au Air condition ni Kali saana hpo mjengoni au.
@saidtembele3070
3 жыл бұрын
Achana na weather, concentrate na interview
@leecode6135
3 жыл бұрын
@@saidtembele3070 Interview iko poa kinoma
@ahz6907
3 жыл бұрын
We utakuwa sigara bwege
@leecode6135
3 жыл бұрын
@@ahz6907 wee ujui kitu hta anachozungumza Abbas wee ujui kwanza enzi hizo wee upo kijijini untfuta nauli uje mjini
@HamisAlly-uw7sc
2 ай бұрын
Sasa wewe bwege suala la mavazi linakuhusu Nini!???
Hip Hop
those times when real gangstars become MC'S sio sku hz mcs wanajaribu kuwa gangstars