EXCLUSIVE: OMMY DIMPOZ ARUDI NA UMENIWEZA, AJIBU KUHUSU DIAMOND NA MAMA YAKE, MBOSSO NA VANESSA MDEE

Пікірлер: 339

  • @sistersade9039
    @sistersade90392 жыл бұрын

    Dah hii interview inampa ommy heshima kubwa kwenye industry. Wonderful interview 👏 👏👏

  • @margaretalekxine8634
    @margaretalekxine86342 жыл бұрын

    A very professional and entertaining interview. I like the way Ommy speaks, polite and no star arrogance. Thank you Millard for the interview.

  • @ladybosibori.1444
    @ladybosibori.14442 жыл бұрын

    I love the respect he accords Kenyans, Ommy is a Star. TZ and Kenya hawafai kupigana.

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila32962 жыл бұрын

    Omy anaongea vizuri sana , kistaarabu na hekima. Hana majivuno Big up sana sema tumemiss mziki wako

  • @rahemaheri1615

    @rahemaheri1615

    2 жыл бұрын

    Anajielewaa sana huyuu kaka

  • @zeinababdulla8137

    @zeinababdulla8137

    2 жыл бұрын

    Hakika

  • @conceit_schoolboy
    @conceit_schoolboy2 жыл бұрын

    Omar Nyembo humble man always.

  • @mummysalim2438
    @mummysalim24382 жыл бұрын

    Ommy uko sawa haki mungu akuzidishie naazidi kukupa umri lakini naeza tembea Tanzania nikutembelee

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla33192 жыл бұрын

    Ommy haswaaa interview zake zinakuwa kaliiii na tamu,jamaa yuko peace ✌ na anajielewa sana sana

  • @esthermwendeofficial1146
    @esthermwendeofficial11462 жыл бұрын

    I really love ommy he is so humble...

  • @hamisngalama1857

    @hamisngalama1857

    2 жыл бұрын

    Nc1

  • @ashaally6993
    @ashaally69932 жыл бұрын

    Jamani nawapenda sana Millard na Ommy nime enjoy sana🥰❤

  • @minzamariamcasmir189
    @minzamariamcasmir1892 жыл бұрын

    I like the fact kwamba uko very patriotic and loyal to your roots. Anataka kutoboa kama mtanzania na he’s very proud ❤️

  • @PAPANYANGI
    @PAPANYANGI2 жыл бұрын

    I am a gospel artist based in Canada had a chance to meet him 10 years ago in TZ , he is so humble

  • @yohanamhagama8975

    @yohanamhagama8975

    2 жыл бұрын

    Please check me to give connection

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro38452 жыл бұрын

    Ommy is one of the smartest artists💯i know

  • @tresorbin148
    @tresorbin1482 жыл бұрын

    Valid points, you are definitely right about kuiga that's wabongo tunaiga Sana, as will all know that Bongo Flavor ni mix ya sounds yaki kongo na kizungu, sikiliza Mbosso, who you claim to be deep into mbongo Flavor. Big up Bro You sound like a wise man.

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu11512 жыл бұрын

    Kweli wengi kwasasa bila Millard Ayo hiyoo habar sio sahihi anaeamin gonga like hapo

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone78252 жыл бұрын

    ●●●●●●●Point tupu ■■■■DIMPOZ CONGRATULATIONS 👏 🙌 👍

  • @dicksonnoel1004
    @dicksonnoel10042 жыл бұрын

    Ommy kweli upo vzr sana unaonekanaata unvyoonge ata hayati baba wa taifa mw/juliasi kambarage nyerere alisema mtu apoongea muagalie usoni kama kweli uyu mtu aya anayoongea yatoka moyoni kweli ww upo reality unaongea kweli big up mzee baba uo ndio upendo 2naotaka wasanii wote muwe nao msijengeane matabaka kama ulivyosema duniani tunapia

  • @nuzaatmenicjamalmenic654
    @nuzaatmenicjamalmenic6542 жыл бұрын

    Comments from Italy milano but am from kenya haki ommy amenigusa sana mkarimu maskini .hapo ungempigia tu direct mama mondi najuwa kama mzazi angefurahi sana au diamond basi mchezo ungeufunga.na hungekosa thawabu kwa mungu wako .

  • @Kobe_254
    @Kobe_2542 жыл бұрын

    Big up Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 and East Africa 🙏

  • @bonnyzaugusty6409
    @bonnyzaugusty64092 жыл бұрын

    Sign of maturity inside u , big up bro

  • @munashabani1376
    @munashabani13762 жыл бұрын

    Ommy dimpozi kweli kabisa umeongea kwa hisiaa kaliii hasa kuhusu daimond ule ungomvi wenu

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu123452 жыл бұрын

    mashaallah one love omy and Daimond

  • @sarahraphael6958
    @sarahraphael69582 жыл бұрын

    I really understand Ommy he's really and open

  • @fidelisluvanda3585
    @fidelisluvanda35852 жыл бұрын

    I like the way omy alivyo humble na mwenye hekima Sana,, Hongera Sana Millard you are so good in interview

  • @musajack7276
    @musajack72762 жыл бұрын

    Aliyeona ommy kanywa maji ya 500 afya like hapa

  • @fundi_feli6299
    @fundi_feli62992 жыл бұрын

    Ommy 🙌🏼🇧🇮 Much Love from Burundi 🇧🇮

  • @abdullahaldarae1523
    @abdullahaldarae1523 Жыл бұрын

    Dimpoz mie nakutafuta sio kwa ajili wewe star no kwaajili wewe mtu mzuri me from oman

  • @EneMkulati2024
    @EneMkulati20242 жыл бұрын

    Best interview ever 👌👌worth listening!!

  • @nicki1885
    @nicki18852 жыл бұрын

    Ommy is so humble ❤️

  • @fredsengo4122
    @fredsengo41222 жыл бұрын

    One of the best interviews

  • @TandS462
    @TandS4622 жыл бұрын

    Brilliant conversation, well done Ommy Dimpoz

  • @samueldzombo9626
    @samueldzombo96262 жыл бұрын

    Interview tamu hii Millard Ayo,nakuaminia kaka.Ommy napenda nyimbo zake.

  • @saidaramadhan3481
    @saidaramadhan34812 жыл бұрын

    Ommy yafaa uwe mwalimu wa wasanii😍😍

  • @gracemukome9862
    @gracemukome98622 жыл бұрын

    Ommy nakupenda sana kwanza unajua kujieleza na un a hofu ya Mungu big up kwa me and you na vanessa

  • @leonjohn2010
    @leonjohn20102 жыл бұрын

    Good points Ommy. 👌🙏🏽

  • @mwanahawarajabu1837
    @mwanahawarajabu18372 жыл бұрын

    His very humble

  • @fredyswalehe7867
    @fredyswalehe78672 жыл бұрын

    Ebwana hakuna interview nime wah ku enjoy kama hii milad & omy mmetisha sana Ayo forever

  • @zubedadahalgould8809
    @zubedadahalgould88092 жыл бұрын

    Very true Ommie good luck and focus with your life and fucher 👍👍

  • @esthermatijo6040
    @esthermatijo60402 жыл бұрын

    Millard nakkbaliii king of interview..........ilaa natamaniii ufanye interview na diamond platinam....

  • @agnestanzania2426
    @agnestanzania24262 жыл бұрын

    Mziki mzuri ommy karibu tena Greece 🇬🇷

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani1722 жыл бұрын

    Mmetisha sana 🙌🇶🇦

  • @saidypilly1803
    @saidypilly18032 жыл бұрын

    LET'S GOOO OMY

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, nimempenda bure, interview ya kizazi sana.

  • @angelfortunatus117
    @angelfortunatus1172 жыл бұрын

    Nampendaga tu Ommy d Mungu akuweke

  • @aminamnyaruge8574
    @aminamnyaruge85742 жыл бұрын

    Milad ayo na sns Habari zao hazinaga kupindapinda nawakubali sana big up

  • @hamzaallymbwego6214
    @hamzaallymbwego62142 жыл бұрын

    Kiukweli mitaani + mitandaon habari ikitokea kwa MILLARD AYO tunaichukulia ni ya kweli 100%

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Жыл бұрын

    Hii Interview nimeipenda sana Brother ommy na millard mmetisha sana imefanya niirudie rudie sana

  • @davidpesi8351
    @davidpesi83512 жыл бұрын

    We love you 💜💜 too Omi

  • @aminahassan3709
    @aminahassan37092 жыл бұрын

    Big up ommy ManshaAllah nimependa sana 🤝

  • @videozaaj1069
    @videozaaj10692 жыл бұрын

    My FAV🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @gazaomar5953
    @gazaomar59532 жыл бұрын

    Big Up ommy

  • @tumasse
    @tumasse2 жыл бұрын

    All the way from Russia 🇷🇺, umeongea fact dimpoz

  • @elishakitomari587
    @elishakitomari5872 жыл бұрын

    Dah! hii ndio Tanzania yetu buwana ya mpasho😂😂😂😂

  • @yasiniamri5458
    @yasiniamri54582 жыл бұрын

    OMY DIMPO OM BOY KIGOMA 🧡 MABEGANI 🔥🔥👆

  • @trillionthamani
    @trillionthamani2 жыл бұрын

    Mimi nimemwelewa brother omy and he used to be my judge on bss,but wabongo tusisahau huku kudandia magari ya wenzetu imetusaidia kuingia kwenye masoko yao ht yeye enzi za tupogo,wanjela alisoogelea soko lao.So inategemeana na huyo msanii anatarget nini, think abt Diamond hicho ndo kimempeleka majuu.tuige ili tupate njia ya kupenyeza chetu

  • @chany9950
    @chany99502 жыл бұрын

    Love you ommy ❤

  • @bilha_nyawera
    @bilha_nyawera2 жыл бұрын

    Millard holds mature interviews naye Ommy is so wise and talented👏

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa75132 жыл бұрын

    Love you Ommy ❤️❤️❤️🔥💯

  • @bahaticlaire4906
    @bahaticlaire49062 жыл бұрын

    Tommy uwanakukubali brother

  • @alineolivia2392
    @alineolivia23922 жыл бұрын

    He is very right 💯

  • @shamsanasserharith4998
    @shamsanasserharith49982 жыл бұрын

    Very wise

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira77592 жыл бұрын

    Love you guys ❤❤❤❤❤

  • @morganfreddy9533
    @morganfreddy95332 жыл бұрын

    Points and positive

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana87762 жыл бұрын

    Nic interview

  • @malkoabdi
    @malkoabdi2 жыл бұрын

    OMMY WOW NICE INTERVIEW 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏💓💓💓

  • @NajmasoudiNajmasoudi
    @NajmasoudiNajmasoudi2 жыл бұрын

    Nampenda saana omy

  • @deogratiuscharles4899
    @deogratiuscharles48992 жыл бұрын

    yupo fact sana bro dimpoz

  • @mussanavas1283
    @mussanavas12832 жыл бұрын

    Kuna kitu tunatakiwa tujifunze kutoka ommy 🙏🙏❤️

  • @millicentcandy6660
    @millicentcandy66602 жыл бұрын

    Woow mmetisha sana

  • @majaliwakinyonyi1006
    @majaliwakinyonyi10062 жыл бұрын

    Unatisha sana king 🤴 of interview 🙏

  • @ceciliaernest4983

    @ceciliaernest4983

    2 жыл бұрын

    Ommy😍😍😍

  • @selestinmhagama1538
    @selestinmhagama15382 жыл бұрын

    Omi Mungu akubariki sana

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official2 жыл бұрын

    Omy umeongea point kabisaa, watanzania wanapenda kua watumwa sasa niwatumwa wa wanegeria duh

  • @dafemadafema1365
    @dafemadafema13652 жыл бұрын

    Nzuri sana interview

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg2 жыл бұрын

    Safi sana marizaneni shaishe

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi50042 жыл бұрын

    Unavipaji vingi kaka comedy uimbaji mashaallah 🤗

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama40002 жыл бұрын

    Unaga baya ommy mi nakukubari sana una maneno ya busara..

  • @gracemackenzi.1711
    @gracemackenzi.17112 жыл бұрын

    Ommy dimpoz never disappoint..

  • @emmanuelgilbert308
    @emmanuelgilbert3082 жыл бұрын

    He know it indeed

  • @shamsanasserharith4998
    @shamsanasserharith49982 жыл бұрын

    Good man

  • @denisenery7358
    @denisenery73582 жыл бұрын

    Maturity... nakubali sana...

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan95522 жыл бұрын

    Omii Dimpoz hongera

  • @princeyabili789
    @princeyabili7892 жыл бұрын

    I really like you Ommy 💪🔥🔥💪🔥

  • @lucyjohn1342
    @lucyjohn13422 жыл бұрын

    Kazi zuri kaka omi👏👏👏🔥

  • @shamomar629
    @shamomar6292 жыл бұрын

    Omar very proud of you

  • @salmaahumansalmaathuman5190
    @salmaahumansalmaathuman51902 жыл бұрын

    Bg up dimpoz❤

  • @kaykay4629
    @kaykay46292 жыл бұрын

    Congratulations

  • @lovenoor988
    @lovenoor9882 жыл бұрын

    One love Omy D🥰🥰

  • @isackmwarusubilo8041
    @isackmwarusubilo80412 жыл бұрын

    Hengera sana ommy kazi yako nzur

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas38092 жыл бұрын

    Safi sana Kua Mwafrika kua Mtanzania raha sana Tanzania yajayo kwa Tanzania yana leta Raha

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool52232 жыл бұрын

    Nampenda ommy jmn mm

  • @juliettenga8718
    @juliettenga87182 жыл бұрын

    Upo vizuri ommy

  • @isakamwakasege4200
    @isakamwakasege42002 жыл бұрын

    Appriciate ommy dimpoz

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool52232 жыл бұрын

    Jmn ommy anaongea mpk mirrad anashndwa kuulza🤣🤣🤣🤣but nmpenda yuko humble sana

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15182 жыл бұрын

    Mungu akupe MAISHA marefu bro,akili unayo SEMA bongo wengi hawajielewi zaidi ni kufatilia MAISHA ya watu tu

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 Жыл бұрын

    Safi sana MUNGU pia amekusamehe sana ♥️💯

  • @marynathaniel976
    @marynathaniel9762 жыл бұрын

    WOo hongeraa utafika mbalii

  • @ayoubballe8494
    @ayoubballe84942 жыл бұрын

    Nice ommy Na milard

  • @Harexo
    @Harexo2 жыл бұрын

    Oyyyooooo MillardAyo hun baya mzee✌

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena33172 жыл бұрын

    Miradi Ayo Mimi nakupenda sana unajua kuoji pia Omiy Una hekima sana

  • @kasomodanny6816
    @kasomodanny68162 жыл бұрын

    Milliards ayo number one in east Africa

  • @chanouchanounou281
    @chanouchanounou2812 жыл бұрын

    PERIOD

Келесі