MTANZANIA ALIESHINDA MILIONI 340 MAREKANI "SINA GARI, BADO NITATEMBEA KWA MGUU"
Tanzania ilimfahamu baada ya kurudi Tanzania na kuweka wazi kwamba baada ya kusoma Marekani hakutaka kubaki huko na alikataa kazi yenye Mshahara wa zaidi ya MILIONI 425 ili arudi Tanzania, Benjamin Fernandes ndio huyohuyo leo hii ameshinda MILIONI 340 lakini hataki kununua gari na kwamba bado ataendelea kutembea kwa mguu
Пікірлер: 319
Kama unamkubali benjamini gonga like! za kutosha!!...
@estherlema9893
5 жыл бұрын
I admire this Guy. He inspires me alot
@mjunimjuni9982
5 жыл бұрын
stupidest comment EVER, STOP THIS!!!!!
@faucynkrctian6607
5 жыл бұрын
acha. usenge wewe likes zinakupeleka wapi
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@mjunimjuni9982 hmmh
@saidinyoni1937
4 жыл бұрын
Nakukubali sanaimi nipo south africa naitaji hiyo nala ifike Africa yote
Anachokisema Benjamin kuhusu watu kupewa nafasi kutokana na uwezo wao bila kujali umri wala elimu yao ni swala la kuzingatiwa sana. Mimi ni mtanzania kutoka Mbeya ninaye ishi Ulaya, hapa Ulaya nafanya kazi mbili. Project management consultant na pia ni mwalimu wa waalimu wa high school lakini sina degree wala cheti cha ualimu, wanachojali hapa ni uwezo ulionao. Huko Tanzania nisingeweza kuruhusiwa hata kufundisha shule ya msingi Mapambano. Ukitaka kazi hapa Ulaya hata uwe na degree utapewa jaribio la kupima ufahamu na uwezo wako wa kufikiri na ndiyo maana wenzetu wamepiga hatua. Tanzania na nchi nyingi za Afrika kuna wasomi wengi wana ufikiri mdogo kwa kuwa walisoma ili wapate kazi nzuri na si vinginevyo
@amosbeatus6325
5 жыл бұрын
Hongera sna kaka Good idea Mungu akusaidie ufike mbali nimejifunza kitu
@monilahcruz7293
5 жыл бұрын
Safi sana brother
@dicksonexavery726
5 жыл бұрын
Hongera brother nichek dicksonexavery@gmail.com
@jsjdndb
5 жыл бұрын
Kaka umenena, yani upo sahihi kabisa. Nataka nijuwe hiyo ulaya ni nchi gani ? Mm nipo north America, yamenikuta kama yaliyokukuta wewe mpaka sshivi sina Degree, lkn wameachishwa kazi watu wa Masters nami nikabaķ. Namshukuru mwenyezimungu kwa neema zake. But kutokuwa nayo hata Degree napata changamoto kubwa saana. Mpaka nafikiria kurudi shule ili nikapate hizo karatasi wanazozitolea nafasi. Naomba unisaidie ushauri wako. Tujitahidi saana kumshukuru mungu kwa neema nyingi alizotujaalia.
@ngometvarusha4030
5 жыл бұрын
Aisee nimependa andishi lako hadi nimesisimka mimi ni pastor hapa Tanzania
Hongeren Sana Millad Ayo na Benjamin mnatuwakilisha vyema Mwenyezi Mungu awatie nguvu nasi tunakuja nyuma yenu.
Benjamin umetumwa na mungu kuja kuleta heshima tanzania,mi nitazidi kukuombea ktk kazi za mikono yako
@brightben6250
5 жыл бұрын
Amen
Vichwa kama hivi sio vya kuviacha viende serikali iamke jamani mtu anafundisha vyuo vikuu vya ulaya na bado ana mapenzi na nchi yake, Hongera sana Benjamin nimekupenda bure
Kaka Benjamin Fernandes, huwa nafurahi na pia najifunza sana kutoka kwako, HONGERA SANA kwa kazi nzuri katika App ya NALA na hongera pia kwa uzalendo juu ya nchi yako. Natamani sana kuendelea kujifunza kupitia wewe kijana mwenzangu... God bless you so much brother... Nimeipenda sana NALA lakn kwa sasa sipo Tanzania hivyo huduma hii nashindwa kuipata, naomba kama inawezekana maboresho yaendelee kufanyika kwenye App ili kuweza kufanya miamala ya Mpesa/Tigopesa n.k hata kwa walio nje ya Tanzania.. Once Again.. Big Up brother... #Mimi naamini Watanzania tunaweza kufanya mambo makubwa sana, Benji umetufungua macho mkuu
Japo ulivyovitaja vya kuhusu technology cvijui lkn nmependa unavyoongea na moyo wako juu ya Tanzania yetu Mungu akubariki brother
Now I can realise that why did you refuse the salary of 420 milion per month,,,! The power of identity is working inside you!, you real inspiring me.
kama unamuelewa benjamin brother gonga like za kutosha
Ukiwa na Yesu umepata kila kitu!
@isaacdendula9735
5 жыл бұрын
Yesu na kujituma kwa juhudi
@paschaldaniel6595
5 жыл бұрын
Blessed sana
Ulivokataa milioni400 watu walikuona mjinga sna kila baada mafanikio saivi wanakupa hongera tz tupende kuheshim maamuzi ya watu benja u inspire me since day1
Pamoja na Kukaa Mbele Kwa Muda Mrefu Ila Anajitahidi kuongea Kiswahili Bila Kuchanganya na Kingereza Ila Ingekuwa Mbongo Hapooo Uwiiiiii Ungekomaaa Hapo Ayo..
@alleyd.alleyd
5 жыл бұрын
SANA AISEE...HUYU JAMAA NI MFANO MKUBWA SANA WA KUIGWA. NINACHO KISHANGAA NI JINSI HUYU JAMAA ALIVYO MZALENDO KWA NCHI YAKE: MFANO WA KUIGWA. BUT I DOUGHT IF HE GETS EQUAL AMOUNT OF RESPECT HE IS GETTING FROM BIG COUNTRIES AROUND THE WORLD THAN RESPECT HE GETS IN TANZANIA. SIJUI TZ GOVERNMENT INAMSAPORT AU HATA KUJARIBU KUMTUMIA KU INSPIRE VIJANA ILI TUWE NA WAKINA BENJAMIN WENGI ZAIDI KWA MANUFAA YA INCHI. YAANI INGEKUWA NI DIAMOND AU ALLY KIBA AME WIN HIZO AWARDS NAFIKIRI VIJANA WOTE WA TZ MPK WALE WALIOKO NEWALA WANGEJUA LKN HEBU ULIZA KM KUNA VIJANA HATA 20 WALIO NA ACCOUNT ZA INSTAGRAM WANAJUA KUHUSU AWARDS ALIOSHINDA HUYU...JAMAA. YAANI MAGAZETI YOTE YA UDAKU NA YENYE MAANA YANGEANDIKA KUHUSU YEYE. I M SO SURPRISED. I WISH THIS GUY COULD BE MY BEST FRIEND. IM PROUD TO BE TANZANIAN BECAUSE OF YOU MA MEN. CONGRATULATIONS.
@africanhappyadventure6951
5 жыл бұрын
@@alleyd.alleyd Kweli Kabisa Sisi Fanya ujinga ndio unakuwa Maarufu na Kujulikana ila Fanya Vya Maana Hutajulikana na Wala hutafuatiliwa kibaya ni Hata ukitaka Kufanya Mapinduzi Flani kuna Watu watakuvuta.Ila huyu Jamaa ni Mzalendo Mno Sijui Kama Serikali Yetu ina mwonaje inamtumiaje..Ila ndio Wanasemaga Nabii Hakubaliki Kwao.
@hobokelamwakajuja4174
5 жыл бұрын
@@africanhappyadventure6951 kabisa yaani ingekua ni ujingaujinga wtz wote tungejua lkn maswala mazuri kama haya hawayaoni du!
@TheLordismyshepherd...
5 жыл бұрын
Hyo siyo ishu. LA muhimu ujumbe ufike
@christopherpaulrwehumbiza4244
4 жыл бұрын
Duh,umenichekesha sana kijana sie wabongo hatujambo.😂😂😂
vijana tujifunzeni kwa kijana huyu ,unajua Tangu nimeanza kumfuatilia nimejifunza vitu vingi sana kwake ........hongera sana BENJAMINI
Explore ni tatizo jingine katika nchi yetu, tunafundishwa kwa ajili ya kujibu maswali ya mitihani na sio kufundishwa kwenda na dunia inavyoenda...
@africanhappyadventure6951
5 жыл бұрын
Ndiyo hivyo etiii.. alafu mi mtu Hiyo Hiyo iliyokufundisha baadae inakuja inasem Mitoto ya sikuizi hamna Kitu wakati walikufundisha kujibu mitihani tu ukimaliza Huna kingine..
@patrickm1056
5 жыл бұрын
Tunafundishwa kuipigia makofi CHAMA tawala
Thank yo bro...am in form 6 right now natumaini siku moja ntakuja kufanya kazi pa1 na ww
Daha umenifindisha kitu Benjamin 👍😘najifunza vitu vingi Sana kutoka kwako
Hongera Sana bro tunahitaj vijana km huyu mzalendo mungu akubariki Sana Benjamin
@justinupuzikekwaaman6591
4 жыл бұрын
hongela sana blo
Safi kaka ubarikiwe wewe hero pls Rais Muugalia huyu kijana anapenda nchi yake pia anawssaidia vijana wote pls pls tanzania kwanza tanzania ya viwanda yeye gatafuti kiki yeye ni mchapakazi ubarikiwe sana Mungu hakupe uwepesi fanya zaidi na zaidi
Asnt kaka benja , kuna kitu nimejifunxa sana tena umejaaliwa hakili na maono ya mbali sana , unamambo adim sana hongera kaka mungu akuweke miaka mingi uendelee kutufunua kiakili.
Hivi waziri wa science and technology anamfaham huyu jamaa Na anashirikiana naye Kwa namna gani?
@timothmwakakusyu4563
5 жыл бұрын
Chanua kihara pointi sana mdau
Huyu jamaa nilimuona hapa Seattle Washington USA 🇺🇸
Huyu kaka anajitahidi sana kuongea kiswahili msimlaumu
Elimu yetu siyo ya kuvumbua ni utumwa na bado tutakua watumwa kwasababu yakutojiamini
Huyu jamaa kasoma mbele elimu anayo skills anayo alkn hatujawah mskia na skendo yeyote wal kuskia couple yake. Ila mwenye akil fupi angetafuta kinyago aanze kuzurura nacho mitandaoni. My friend piga kaz kwanza cku zote maji hufuata mkondo
@magreth7981
5 жыл бұрын
@Felix wilvin huyo ni mtoto wa Pastor Fernandes mwenye ATN Tv.. mbezi jogoo, kalelewaa kimaadili ya kidini si rahisi a behavior vibaya, namjua toka babake akianzishaa kanisa.
@gentlethegentle9607
5 жыл бұрын
magreth 79 Aaah! Kumbe Asante kwakiniabarisha lkn ndo kijana anatakiwa ajitambue hivyo siyo lazima tuh watoto wa mapastor
@nicholausmbilinyi3587
5 жыл бұрын
hahahahahahahahahahahahahahahahahaha..eti angetafuta kinyago
@manyaramrema6531
5 жыл бұрын
Umenichekesha
@bigowillythomaskayanda7763
5 жыл бұрын
Hahahahaaha,, Kinyago aisee.
Bro!! Very inspiring...truely
Congrats bro Benja.. NALA iko vzur,nimeikubali baada ya kuipakua.
I hope that one day Millard Ayo.com will be more of influential and developmental information like this one. Well done Feranandes and Millard Ayo
Anaongea kiswahili vizuri mpaka nimependaaa kweli nyumbani ni nyumbani
Hongera yako mwenzako hatimaye mi nime SHINDA NJAAA#NAIPENDA TANZANIA YANGU.....
@bogwemedia
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Utajiri wa bilgate ulianzia kwenye software. Mtu anaeinvest upande huu, mafanikio yake yapo karibu sana maana anamgusa karibu kila mtu.
Hakiiii, this is Husband material.... Wanaume wote, take notes!
Dah naruka hii interview toka mwaka jana leo nimeona ni fungue na sasa najuta kwanini sikuifungua mapema😡
Benjamin na millard nawapenda sana, in Jesus Christ everything is possible
Benjamin akili kubwa sana! Thumps up
@saidinyoni1937
4 жыл бұрын
U gud brother big up benjamin n keep up
Kaka Sisi huku Hatuangalii kuwa mtu anapenda kujifunza Tunaangalia Midigrii na Mijipi A tuu hata kama Kichwani hamna Kitu..Kaazi kweli kweli Ndio.utagundua Tofauti ya Civilized na Uncivilized Country il mdogo mdogo tutafika yapo kwa kuchelewaa. Sisi Ma Rules na Maregulation Kibao Tena Mengi yasio Na Maana kiukweli Japo tukisema utaonekana mpinzani ila ndio ukweli unashindwa namna gani ya kushawishi wawekezaji waje..Kuna jaama Yeye Kawekeza Hapa ila kwa Jinsi anavyopata shida na Hao TRA na Watu wengine Rafiki Zake huwa wakitaka kuja Tz anawambia hata msije nendeni nchi za jirani hii kwa kweli ni Mbaya Sana
Hyu ni next billionear kwa idea hii
Warren Buffett ma man, he's my idol asee, I had a whole speech about him 👌👍
Mimemuelewa sana huyu bro. Please bro Millard niunganishe nae nahitaji kujifunza zaidi na zaidi hususani masuala ya APPLICATION maana naona amenigusa kabisa kwenye nukta yangu NAOMBA BASI NAFASI 1 japo ya Dakika 1 TU hakika nitajihisi shujaa na sitaifanyia makosa maana mtu nilie kuwa namhitaji nahisi ndio huyu. Kama una wasi wasi na hili basi hata wewe unaweza ukawa msaada kwangu. Namba yangu 0715 382 238 JUMA B SADICK natanguliza shukran zangu za dhati nikiamini utanitafuta bro, kazi njema
Hongera Benjamin na Milad kwa interview nzuri kabisa.
kaka mi nakufuatilia sana na ninajifunza vitu vingi sana kutoka kwako mungu akubariki sana, kweli kabisa huku tz kama huna vyeti we si chochote,wanahitaji vyeti sio uwezo,wana majina yao ya vyeti wanaita PhD,Mara vcd sijui DVD balaa kama huna hivo hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima mzee utapambana na hali yako,ila umenipa nguvu mpya sana hongera umenivisha vazi jipya
Asante saana kaka kuwakilisha Tanzania yetu mungu akujaarie umri mlefu
Nakukubari Benjamin God bless you
Hongera sana kaka ferndas ubarikiwe saaana ndoto yangu sikumoja nifanye kazi AyoTV
@petersonshaezra1135
5 жыл бұрын
Kuwa na Imani tu broo ipo siku sms zako zitakuja zimguse mmiliki wa Ayo tv,, na ndoto zako atakuja azitimize millard ayo kuwa na imani and never give up on your Dream 💪
@MOtownTV.
5 жыл бұрын
shukrani sana broo mimi naaminitu iposiku NITAKUWA NINAVYOOTA KUWA NA KUKARIBISHA PIA KWENYE PAGE YANGU YA IG NAPOST BAADHI YA KAZI ZANGU KULEKWA MAWAZO MAPYA NA USHAURI NA KUKARIBISA @LA_MBEGU0416 instagram
@petersonshaezra1135
5 жыл бұрын
@@MOtownTV. kitambo sana me nimeshakua follow kweny page yko I_am_Peterson_sha_Ezra
@punguzauzitofurahiamaisha
5 жыл бұрын
Nimeguswa sana na hii interview kuna mengi nimejifunza
@MOtownTV.
5 жыл бұрын
shukren sana kakama kwa spot yako #tutatoboa2
Jamaa yuko sawa bado kazi ipo kwenye ofisi za serikal. Badala ya kutoa support mtu anakuzungushaweeee mpka unakata tamaa.
Hongera sana mkurugenzi wa Nala, kwakweli tumeona matokeo mazuri yote ni kwa neema za Mungu kwakweli nimemwona mungu live kwenye maisha yako pia nabarikiwa sana na wewe na malengo yako ya kufungua bank ninakuombee yatimie nitafurahi kwani jamii tutapona damu ya yesu ikufunike.
Millard ayo mwambie huyo ,Benjamin, anikopeshe pesa nianzishe mradi wa kufuga kuku broiler
@maryammaram2612
5 жыл бұрын
😂😂😂 umetisha ndugu
@bigowillythomaskayanda7763
5 жыл бұрын
Safi sana,,, ila naomba uwe mpole kidogo, nimesikia baadae ataanza kukopesha,, inakuja.
@Kaizirege
5 жыл бұрын
Kabeti
Ni kweli sheria za tanzania ni ngumu sana zinawafanya watu wengi hasa vijana kukata tamaa na kushindwa kabisa kua wajasiliamali na ndiomaana ichumi wa nchi haukui Serikali iliangalie hilo
Ur an inspiration to many Beny ....God bless you
yan nampenda sana uyu kk jaman anaakili mpk zinamwagika
Nakukubali Sana.Vijana tunakua na mawazo mazuri yamaendeleo ndia tunakosa mueleke. Vikwazo ni vingi hairuhusiwi kwa mantiki gani. ipo kimazoea ila dunia ipo kiteknolojia wapi sasa tutafikia?.... Ni vyema kukubali Changamoto kuzipitia ili lengo ladhati kulifikia.Dunia Kaka imekuskia👌
Bwana Yesu asifiwe kwa hilo.
Congratulations ni meona matokeo tunazidi kujivunia Tuna Kijana mtaalamu hakika kujifunza ni mtaji unanibariki sana naunazidi kunitia moyo wa kusongambele I like it , is by Grace be Blessing Nala
You're inspiring me🙊😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Nimekupata sana Bwana Benjamin....... Ahukran sana MiradAyo kwa kutuletea kijana mwenzetu kwenye Kipindi chako
Hivi hao jamaa ni kina nani hao wanamkatisha tamaa mwenzao?
daaah mzee Benjamin umenena faith ndo utajiri wetu tu....
Always you put smile on my face God bless you abundantly
Hongera sana Benja,Nakuelewa sana,Keep it up bro
milard unaenda vizuri vipindi kama cha benjamin,hakika vinaashiria hapa kazi kwelikweli
FAMILY MATTERS......AMINI KWAMBA👍
Hongera sana Benjamin ulianza mdogomdogo!
Hongera!
Ubarikiwe sana.Unafanya vizuri Benjamin
@salumbahati321
5 жыл бұрын
Hongera saana
safi sana
hongera benjamin
Watu wajifunze daaaa ingekuwa wale wenzetu wakipata tu kidogo ...wanakanyaga watu kichwani
Your so creative brother,appreciate
Ukiachana na innovation Benjamin is so positivity man
Saf sana Benjamin uko vizur sana unapaswa kuwa mfano kwa vijan Millard uko pwa sana kutufikishia mtu muhim kwa vijan nimejifunza kitu kikubwa sana
Big up sana ..millad ayo kamera zako zipo vizuri sana
Mashallah my brother mungu akuzidisia elimu ameen thuma ameen
Hongera Benjamini Mungu akuongoze najua unayo malengo mazuri.
Simple and clear
Kichwa adimu , keep up Benjamini
Inspired me alot Katika Mafanikio Kuna Kuanguka Pia So Usikate Tamaa Pambana..
jamaa nimekukubali sana uko vizuri ningependa kujifunza mambo mengi mazuri kutoka kwako ispokuwa ubahili tu. Naomba niwe loan officer wako ukizindua e- bank
HUYU NI MZALENDO WA KWELI
Ni mfano mzuri sana hasa kwetu sisi vijana wenye nia na tamaa ya kufanikiwa.
Kwakweli rais Magufuli mpe nafasi huyu kijana uonane nae. Atawakilisha idea nzuri sana kwa ajili ya kupeleka mpele malengo yako. His is a smart guy.
Nimeelewaa, na nimetumia matumiz sahihi ya MB,
Huyu jamaa ni m Tanzania lakini ni ngozi jeupe lazima wawe na maono makubwa m Tanzania hawezi kuhaso namna hii tena hawezi kusema vizuri ili asitokee mtu mwingine asimuige ubarikiwe sana🎉😅
Good creative in your life
Naomba Mh Magufuri akuone Muungane uongeze kitu katika nchi Yetu
Ufunguo wa Kwanza wa kufanikiwa kwenye Maisha ni DELIVARENCE YA MIND.
Mtaji was buku 2 kujifunza programming brother were ni genius, Mwanzo nilivyo sikia kuhusu Nala nilijua una i promote tu, founders ni watu wengine tena wenye degrees + PhD's kwenye maswala ya programming na technology, kumbe ni wew mwenyewe kwa kuwashirikisha hao programmers.
Hatar sana natamani sana kufanya kazi naee kanifanya nipate moyo wa kazi Mimi isack mandiga
I like this show Millard
Nzuri sana ,brother ulicho kifanya ,kabla ya kuinvest ulinvestigate kwanza asnte sana nimejifunza kitu
Millard una interviews nzuri sanaaa tatizo ni matangazo bro too much. Hata kama ni monetized
Hadi naona unachelewa ku-launch NARA program Ulimwengu mzima.
hongera kaka millard
Unyama sana brother
Well said bro 21:08 👍🏽
Big up bro...
Nimewakushinda shilingi 10000 kupitia faili lake linaitwa Nala nilifurahi sana
@simonmwanyika8288
3 жыл бұрын
Liko wapi hilo nalitafuta sioni pls whatsapp 0765282800
GENIUS
Tuzo 5 mwaka mmoja kwakweli ni kibali kikubwa sana nimekufurahia sana mungu anajibu maombi hongera sana daaa sio rahisi kweli umelipa gharama sifa nautukufu ni kwa bwana .
WATU KAMA HAWA WAKO WENGI SANA TANZANIA LAKINI KWAVILE BADO TUKO NA USHAMBA WA KUANGALIA VYETI NA HIGH PASS MARK AMBAYO HATA HAIJAWAHI KUIMPROVE DERIVERY OF WHAT WE HAVE IN OUR HEADS. TUTAENDELEA KUMTEGEMEA MZUNGU SIJAJUA MPAKA LINI. EMBU WAAFRICA TUACHE UJINGA. MTU AKIJITOKEZA ANAJUA KITU FULANI HAPEWI SUPPORT LAKINI WENZETU WEUPE HAWAWAACHI WATU KAMA HAO. NILICHOJIFUNZA MPAKA LEO TANZANIA FIGHT KIVYAKO WATAKUKUBALI UKITOKA. JAMANI NMESHINDWA KUDOWNLOAD THE APP NAOMBA AMBAE KADOWNLOAD ANISAIDIE. NMEIPENDA
watu potential kama hawa inabidi wapewe nafasi serikalini coz wanamengi ya kuifanyia Tanzania
Hongera Kijana utawasaidia vijana wengi