MARIOO AELEZA NANDY ALIVYOMUWEKEA POZI SIKU YA KWANZA, ALIVYOSOTA GEREJI BAADA YA KUACHA SHULE

Пікірлер: 596

  • @pacifiquerema2347
    @pacifiquerema23475 жыл бұрын

    Napenda sana njisi millard anafanya, anauliza swali alafu anakuaca unaongeya,tofauti sana nawatangazaji wengi wakibongo mbwembwe nyingi hazifai. Big up bro

  • @mwamengele

    @mwamengele

    5 жыл бұрын

    technique za ma psychiatrist hizo, wanakusikiliza tu unafunguka mwenyewe

  • @bibiejuma7523

    @bibiejuma7523

    4 жыл бұрын

    Dah kweli maisha ni safari ndefu mndenge mwenzangu

  • @jonathanibrahim1480

    @jonathanibrahim1480

    4 жыл бұрын

    Pacifique Rema vgj

  • @elizabethswai9319

    @elizabethswai9319

    4 жыл бұрын

    Sanatuuu

  • @lucyhusein4043

    @lucyhusein4043

    2 жыл бұрын

    Marioo kumbe hensm!?

  • @ally.abdullah.8699
    @ally.abdullah.86994 жыл бұрын

    kumbe Hawa wandengereko wanna vipaji Sana big up Sana kwa wandengereko km nawew no mndengereko gonga like. usiwaze

  • @omarisalum3699

    @omarisalum3699

    4 жыл бұрын

    Ally. Abdullah. mbosso

  • @allyamir7162

    @allyamir7162

    4 жыл бұрын

    Siwandengeleko tunajivunia samata malioo na Mimi nakuja kuwa bilionea nimetajwa kwenye jalida la fobss

  • @aishalibondo6745
    @aishalibondo67454 жыл бұрын

    km unapenda ngoma ya raha km mm gonga like tuende sawa

  • @mussamarsely7250

    @mussamarsely7250

    4 жыл бұрын

    Naikubar sana yani IPO kwenye sitor yangu ya msisha

  • @azizaramadhan9177

    @azizaramadhan9177

    4 жыл бұрын

    Ninoma anajua

  • @said306nyatu9

    @said306nyatu9

    4 жыл бұрын

    Usimdharau usiomjuwa nandy. Acha roho mbaya

  • @asnahmassawe9353

    @asnahmassawe9353

    2 жыл бұрын

    naikubali sana ngoma ya raha

  • @careenchazy9471
    @careenchazy94714 жыл бұрын

    wanao mkubali marioo tujuane dondosha like na kibao chake kikali ( inatosha)big up marioo 👊👊👊

  • @MaryamMaryam-me8wg

    @MaryamMaryam-me8wg

    4 жыл бұрын

    Yuko poa sn

  • @ariyuabbakari7301

    @ariyuabbakari7301

    4 жыл бұрын

    Mie siomshabiki Sana wamziki hira nirisikiriza mziki wako hinatosha kweri hurikuwa humejipanga vizuri henderea kukaza buti mungu atakujibu

  • @sophiasamwel9817

    @sophiasamwel9817

    4 жыл бұрын

    Sanaaa namuelewa,mungu azidi kumbariki Mariooo,inatosha

  • @ismailiismaili8872

    @ismailiismaili8872

    4 жыл бұрын

    da Marioo huyjamaa anatisha.san

  • @laimeliharuna7994

    @laimeliharuna7994

    4 жыл бұрын

    umetishaa

  • @mwalimmwalim6336
    @mwalimmwalim63363 жыл бұрын

    Leo 11th May 2021 mapema asubuhi Omary AKA Marioo ameondoka Johannesburg, South Africa, Olive Tambo International Airport kurudi nyumbani Tanzania. Kwa muda aliokuwa hapa Johannesburg, niligundua Marioo yupo very humble and down to earth. Kiukweli Marioo ni mwepesi sana wa kuelewa mambo mapya.

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96635 жыл бұрын

    Kama na wewe umepitia misoto kama ya MARIOO angusha like yako apa.

  • @gowithmesafaris

    @gowithmesafaris

    5 жыл бұрын

    Daah! Jamaa kanigusa sana yani kapitia magumu kama yangu

  • @michaelsamson9663

    @michaelsamson9663

    5 жыл бұрын

    Isaya Paul katugusa weng sana

  • @ibrahimrassi7835

    @ibrahimrassi7835

    5 жыл бұрын

    na kubari sanaa

  • @ibuninkwaje3191

    @ibuninkwaje3191

    5 жыл бұрын

    Yani kama kakopi ya kwangu yani tofauti ndogo yeye msani nami nakipaji cha uchekeshaji

  • @jafetfelix6362

    @jafetfelix6362

    5 жыл бұрын

    Mungu amuongoze na kumuongezea maarifa Amen

  • @MargauxNyambura
    @MargauxNyambura2 жыл бұрын

    I love vile Marioo his talking,Yuko very humble, much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪.Marioo usibadilike endelea kuwa mnyenyekevu wakenya tunakukubali

  • @alexmdatch532

    @alexmdatch532

    2 жыл бұрын

    Mm sijakuelewa

  • @felistafelista7088

    @felistafelista7088

    Жыл бұрын

    ​@@alexmdatch532 kwaiyo afanyeje kama ujaelewa 😏

  • @aishakopose26
    @aishakopose26Ай бұрын

    Mario wewe nikijana watofauti sana mungu akupe Kila hitaji lamoyo wako ufike unapo pataka Amina🙏

  • @mastaplan83
    @mastaplan835 жыл бұрын

    Millard Ayo you are very experienced presenter i love how you are composed and give your interviewee time to xplain.

  • @fatumafey9256
    @fatumafey92564 жыл бұрын

    Marioo kiboko nampenda mpaka naumwa love you 😘

  • @mathewtheodorynikweli5751

    @mathewtheodorynikweli5751

    2 жыл бұрын

    Kwahiyo Mimi au basi😂😂😂😂🤓🤓

  • @sashoright8213
    @sashoright82132 жыл бұрын

    Uber ni producer mzuri Sanaa ametoa wengi Sanaa na beat zake nzur congratulations mburahat wanatoa watu wengii maarufu ad na queen video marioo we ni msaniii Bora mnooo na utafika mbali ata Kama unaimba kiswahili akija msaniii was nje we imba kiswahil na kinasikilizwaa kokotee watu tunapenda nyimbo za kikorea tukitzama tamthilia zao na wao wasioolewa watapenda tuu songesha,na kufeli shule sio kufel maisha mie nmesoma ad chuo lkn. Natgmea biashara kwa Sasa sjawah kukata tamaa kwnye kutafta much love#Mario

  • @meedaafarai9677
    @meedaafarai96775 жыл бұрын

    Mungu akufanyie wepesi .pole sana.

  • @lamecksmernest9651
    @lamecksmernest96515 жыл бұрын

    Daaaah ama kweli no sweet without sweat## mungu mubarike MARIOO## mungu mubarik Millard ayoo

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Hongera Marioo umepambana sana👏👏👏

  • @elchapo9125
    @elchapo91255 жыл бұрын

    Bonge la interview God bless you Mariooo Tonga like Kama umeikubali

  • @benajra3374
    @benajra33745 жыл бұрын

    Kama naww umelelewa na mama to gonga like apa

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu25444 жыл бұрын

    Wamama tuna pitia mengi kwenye kulea, mungu atufanyie wepesi

  • @fatmahamid64

    @fatmahamid64

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @faridamjungu1028
    @faridamjungu10285 жыл бұрын

    Duh! Pole sana mdg Wang, kaza buti mafanikio utayaona in shaa Allah

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir2 жыл бұрын

    Msanii wangu Bora 2021 .. He is real dil in town ..

  • @devotamruma3459
    @devotamruma34595 жыл бұрын

    i have being waiting this interview for so long

  • @andrewmwita119
    @andrewmwita1195 жыл бұрын

    Hongera sana Dogo marioo napenda sana kazi zako Dogo unafanya vizuri,kaza boti cha mhimu wapenda washabiki wote wabaya na wazuri

  • @SelphahDelphine
    @SelphahDelphine18 күн бұрын

    Marioo napenda sana nyimbo zake ..Yuko on top sana mm nipo Kenya

  • @SelphahDelphine

    @SelphahDelphine

    12 күн бұрын

    Nyimbo zake zote Niko nazo ...pia nafuatilia sana...nampenda sana haswa sauti yake anapoimba

  • @marsgenesis7200
    @marsgenesis72004 жыл бұрын

    The guy is humble na kwenye suala la mkorogo sidhani kama anatumia ila ni kwamba ana chunusi zinazomsumbua na karibia dawa zote za chunusi huwa zinang'arisha ili kutoa makovu

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    4 жыл бұрын

    Ukosawa maranyingi dawa zakuondoa chunusi hua zina ng'arisha

  • @saudakayela5439

    @saudakayela5439

    4 жыл бұрын

    Mars Genesis nikweri sikupingi

  • @saididd3121

    @saididd3121

    4 жыл бұрын

    Kw

  • @rizikijaha3390

    @rizikijaha3390

    3 жыл бұрын

    Hizi chunusi hataree

  • @celestinekhivali5824

    @celestinekhivali5824

    3 жыл бұрын

    Aki watu wabaya kumsema marioo vibaya,leo ndio nawatch hii interview but uso kuharibika Ni kawaida si must iwe mikorogo tu,alisema ajawai tumia mikorogo Mimi namuamuni wale wa kusema waseme tu,

  • @bennie7239
    @bennie72394 жыл бұрын

    Hii ni interview ya kwanza naiona kwa Millard ambayo kimsingi Millard hana kaz kubwa 😁😃, Marioo anajieleza vzr sana...he's 4 real..

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    Saana yaan anampa nafasi ya kuongea

  • @Jc-wl6yf
    @Jc-wl6yf5 жыл бұрын

    Unajua kujieleza marioo...Mungu akupeleke viwango vingine zaidi

  • @samirayussuf280
    @samirayussuf2804 жыл бұрын

    Love you so much marioo unasautinziri Masha Allah bless nakukubali mno pigakazi brother ❤️💯

  • @monicajulius905
    @monicajulius9055 жыл бұрын

    tuanapenda Sana kazi zako,ila kama unatumia mkorogo acha kabisa

  • @umikram6755

    @umikram6755

    4 жыл бұрын

    Haaaahaaaa

  • @roseignace4810

    @roseignace4810

    4 жыл бұрын

    hahahaha kweli kabisa umenuna dada

  • @salomeally6145

    @salomeally6145

    4 жыл бұрын

    Monica Julius mbona mpaka mwilini mweupe muone mikono

  • @hamadharerimana8187

    @hamadharerimana8187

    4 жыл бұрын

    no nahisi iyo ni skin condition(matatizo ya ngozi}

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    4 жыл бұрын

    Monica Julius HAO wanatumia sikrabu

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral5 жыл бұрын

    A Very Talented humbleGuy 🎤#Mario👑🎶 kp it up jooh..🔝

  • @ayshaaysha7786

    @ayshaaysha7786

    2 жыл бұрын

    Mario

  • @shozylamparboom8393
    @shozylamparboom83935 жыл бұрын

    Keep it up... U made it... Inatoooshaaaaa... Bonge la kaziii #marioo

  • @yusuphharuna1476
    @yusuphharuna14765 жыл бұрын

    Baba yangu aliashaniambia usitegemee ndugu yako yoyote kukusaidia mwanao ktk maisha

  • @patrickyohanna5120

    @patrickyohanna5120

    5 жыл бұрын

    Mchizi kanikumbusha mbali saana enzi nasoma halafu mimi ndoo fundi wa shule na kukarabati matlanga ya wanafunzi wenzangu

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    Ni kweli

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi13275 жыл бұрын

    Brother Marioo, Mimi shabiki wako Sana kutoka Kenya. Wimbo wako wa inatosha uko juu saaana

  • @azizaramadhan9177

    @azizaramadhan9177

    4 жыл бұрын

    Tutambuane kwetunimombasa likoni

  • @twerkworld6049

    @twerkworld6049

    4 жыл бұрын

    @@azizaramadhan9177 hy

  • @kassimramadhani79
    @kassimramadhani794 жыл бұрын

    Kama unamkubal mariooo dondxha like hapa🔥🔥🔥

  • @godwinegacharo9001
    @godwinegacharo90014 жыл бұрын

    Huyu ndo msanii bora 2019 kwa maoni yangu

  • @ramadramad8050

    @ramadramad8050

    4 жыл бұрын

    Mond

  • @m-jay2840
    @m-jay28405 жыл бұрын

    Aki his so humble You can read he has a ver good personality honest guy

  • @rahillhamidu2544

    @rahillhamidu2544

    4 жыл бұрын

    You can say that again my dear, more than a hamble

  • @lovesamson2939
    @lovesamson29394 жыл бұрын

    Story yako ya upande wa baba tunafanana Ila usikate tamaa unafanya mziki mzr nakukubali sana Mungu akupemaisha malefu💪💪💪❤❤❤❤❤

  • @deusdedithmanugulilo1980
    @deusdedithmanugulilo19805 жыл бұрын

    MIllard hii inageuka kuwa moja kati ya interview bora kabisa kuwahi kufanywa na wewe, Si kwa sababu wewe ni presenter bora lakini kwa sababu ya uwezo binafsi wa kujieleza wa Marioo. In this interview you had a total relaxation since the guy knew how to tell the tale. Natamani ningemshauri kitu lakini kwakuwa sina ukaribu nae basi please only share the remaining part of this interview

  • @slayingtee6044

    @slayingtee6044

    5 жыл бұрын

    True

  • @michaelbwoma2760

    @michaelbwoma2760

    5 жыл бұрын

    Kma unafatilia hizi online Tv na interviews zao, this interview ina best techniques Millard anauliza na anasikiliza na anazalisha swali zuri sana

  • @subiraally6711
    @subiraally67112 жыл бұрын

    Hongera Marioo

  • @hawaseif9305
    @hawaseif93054 жыл бұрын

    Millard ayo mtangazaji mzuri sana unajua kuhoji vzr 🙌🏿👏🏿

  • @husnahkidula4009
    @husnahkidula40093 жыл бұрын

    Touching story 😢😢but we love you 💕

  • @anastaziaquenberth9443
    @anastaziaquenberth94435 жыл бұрын

    Me nakukubali marioo

  • @glorytarimo9730
    @glorytarimo97305 жыл бұрын

    Namkubali sanaaa marioooo 💖💖💖💖💖

  • @paulgodwini2910
    @paulgodwini29105 жыл бұрын

    Bonge LA interview big up marioo

  • @josephmlelwa3175
    @josephmlelwa31753 жыл бұрын

    Ndo inavyo takiwa,katika kupambana, maisha ndo yalivyo, big up ni story ya ukweli kibongo. Good.

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam18652 жыл бұрын

    Mario best artist all tyms nice interview

  • @paulinemichael4658
    @paulinemichael46582 жыл бұрын

    Nmpendaa snaa yaan wee n motoo

  • @jacquelinemtei8058
    @jacquelinemtei80584 жыл бұрын

    Unafanya vizur sana marioo love u

  • @samirnaty8774
    @samirnaty87745 жыл бұрын

    Big up millardayo bonge la interview tupachikie ya mwisho wake

  • @rahmaomary1043

    @rahmaomary1043

    5 жыл бұрын

    Nc

  • @scollapatric8342
    @scollapatric83424 жыл бұрын

    Aiseee mungu nimwema sana hongera marioo

  • @bongobytheway103
    @bongobytheway1034 жыл бұрын

    dah nimeipnda story yako broda marioo ur fire since day one

  • @lindaziti7545
    @lindaziti75454 жыл бұрын

    Marioo napenda nyimbo zako uko vizuri sana

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36835 жыл бұрын

    Daaa! Marioo hatimae ndoto yako ilitimia 🔥🔥🔥

  • @ninadelina7576

    @ninadelina7576

    5 жыл бұрын

    Allahmdhulilah🤲

  • @ellybissack8284

    @ellybissack8284

    4 жыл бұрын

    big up marioo mwanzo mgumu ndio km hv so ebu Fanya kitu na Nandy

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    🙏🙏

  • @wemambonde9363
    @wemambonde93635 жыл бұрын

    Kaza mdogo wangu wa shule moja kijiji kimoja acha tu umenikumbusha mbali Sana kibiti moja ndo home

  • @kakagranto135
    @kakagranto1354 жыл бұрын

    Very nice interview big Ayo good job, Marioo very inspiring ma Main

  • @meshackkangwe7744
    @meshackkangwe77444 жыл бұрын

    Marioo💪💪💪💪 nakukubali sana nataman siku tukutane nikupe kitu💥💥💥💥👊👊👊👊🤔

  • @ninadelina7576
    @ninadelina75765 жыл бұрын

    Inshallah nakuombea kakangu utafika mbali inshallah nq ushafika mbali pia mie shabiki wako wanguvu Ilee nyimbo yako inatosha Masha Allah 💃💗

  • @peterzjohn6260
    @peterzjohn62605 жыл бұрын

    Daaah nmepend xn hii interview, post part two bac Millard

  • @leonardbenjamen4694

    @leonardbenjamen4694

    4 жыл бұрын

    Komaa tyyu brother kutoboa kupo

  • @godwinegacharo9001
    @godwinegacharo90014 жыл бұрын

    Msanii bora wa mwaka hapa Bongo. Ana ngoma Kali so kitotoooo

  • @jenifferfalnadesseaus5671
    @jenifferfalnadesseaus56714 жыл бұрын

    Nampenda sana marioo😢😢😢😢😢

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa14865 жыл бұрын

    Dah! Baba ako kafariki Mwaka mmoja na wangu! R.I.P baba

  • @Mwakibinga_wisdom

    @Mwakibinga_wisdom

    2 жыл бұрын

    Sad deathday

  • @nestorykuringe9194
    @nestorykuringe91944 жыл бұрын

    Km na wewe una tamani Interview indele km mm ninvyo taman gonga like hapa...

  • @rayshikeli1577
    @rayshikeli15773 жыл бұрын

    Eeeh birthday ya Marioo inaendana na ya mwanangu Ashraf🙌🙌🙌big up sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salamakenga2782
    @salamakenga27825 жыл бұрын

    From +254 penda xana kijana angu mariiooo,,dar pagumu,,chibonge,,na ringtone YANGU ya kila Sikh inatosha,,ila wapi video ya iii ngoma inatosha broo,,

  • @issayasimon190

    @issayasimon190

    4 жыл бұрын

    Ipo ingia KZread

  • @godigaspatv6146
    @godigaspatv61465 жыл бұрын

    Part two iko wap ayo tv

  • @raphaelmkumbovalane1710
    @raphaelmkumbovalane17104 жыл бұрын

    Marioo ni fundi wa muziki sana yaani akiimba anatulia sana

  • @prince70863
    @prince708634 жыл бұрын

    Never gave up ... Mungu akikupa nafas onesha juhudi .. Ukiwa star usiwe kiburi maisha hayana wenyewe

  • @mbalakasulutani2942

    @mbalakasulutani2942

    4 жыл бұрын

    Kujieleza ni shida wewe

  • @salummwakatughu
    @salummwakatughu Жыл бұрын

    Sanaaaaaa nakubari sana uwimbaji wako keep it up

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa14865 жыл бұрын

    Dah! Yan lifestyles ya Maisha ya baba ako iko sawa kabsa na ya mzee Wang, japo mm wadogo zake yan baba wadogo zangu wamenpga kampan sana

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma27605 жыл бұрын

    Daah maisha haya Marioo hajui CPU hahahahaha natania he is so humble nachelea kusema Dogo huyo ataichukua bongoflavor

  • @clianmichael7472

    @clianmichael7472

    5 жыл бұрын

    Michael Bwoma central procesing unit

  • @jumamkali375
    @jumamkali3755 жыл бұрын

    Rea life ya vijana wengi wa kibongo

  • @michaelsamson9663

    @michaelsamson9663

    5 жыл бұрын

    Ata mimi nmeishi maisha ya msoto sana

  • @aminaniyonsenga1946
    @aminaniyonsenga19465 жыл бұрын

    I hope there is part two. This interview is really good.

  • @jofreymatati9332

    @jofreymatati9332

    5 жыл бұрын

    watu wanahustle 4real

  • @eliaslaiser8425
    @eliaslaiser84255 жыл бұрын

    Daah jamani tuangalie na aina ya vitu tunavyopaka usoni kama umemwona marioooo kwa uso sey yeeeeeh!!!

  • @noahchepe8036

    @noahchepe8036

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya96542 жыл бұрын

    Marioo is a genius of bongo flavour

  • @saidahj2543
    @saidahj25435 жыл бұрын

    Aki watu hutoka mbali for real...God has good plan for you Marioo

  • @peacebrowntz3949

    @peacebrowntz3949

    5 жыл бұрын

    Saidah licious kwel umenena

  • @malafyaletistar7613
    @malafyaletistar76135 жыл бұрын

    maisha ya mafanikio huwa yana safari ndefu sana

  • @harryvice77
    @harryvice775 жыл бұрын

    Apo kwenye kuskilizana kanikumbusha mbali sanah

  • @mohamedabdallah7526
    @mohamedabdallah75265 жыл бұрын

    Interview imetulia 👊🏿

  • @noahchepe8036
    @noahchepe80364 жыл бұрын

    Mziki mzuri sana anafanya dg!!!

  • @henrickaidan8371
    @henrickaidan83713 жыл бұрын

    Uko vizuri. Bibi yako kakutendea haki, unamkumbuka?

  • @seniroya7834
    @seniroya78345 жыл бұрын

    Marioo kiboko top 20 ameishusha hata kadogo ya kiba.saiz anatamba na wauwe ndio namb moja top 20 😂😂😂😂

  • @nazgonke6918
    @nazgonke69184 жыл бұрын

    Kama unapenda wimbo inatosha wa marioo gonga like hapa tumsupport👇

  • @ramadhanimrisho833
    @ramadhanimrisho8334 жыл бұрын

    Nakukubali sana marioo zaidi ya sana kwanza unajua kutoa story ikaeleweka

  • @mwana4599
    @mwana45992 жыл бұрын

    He is very intelligent.

  • @jameslaizer9841
    @jameslaizer98413 жыл бұрын

    I like this Story

  • @khalidndemo4386
    @khalidndemo43865 жыл бұрын

    Hizo microphone unazotumia zimekaa vizuri za kijanja,, sio unaweka mike unafikiri skaveta linamzima mpaka mzungumzaji

  • @rhodachristopher4398

    @rhodachristopher4398

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaaaaa

  • @bahatimwagaro3410

    @bahatimwagaro3410

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv5 жыл бұрын

    Shilawadu wametoa sapoti sana aisee...I wish afikie level ya akina dai

  • @emmanuelmahumbi3596
    @emmanuelmahumbi35965 жыл бұрын

    La msingi sana Marioo ajielimishe, pia ajaribu kutengeneza njia nyepesi kwa wanaochipukia kuepuka vikwazo alivyopitia yeye. Keep it up

  • @feidhabakari261

    @feidhabakari261

    3 жыл бұрын

    Anaongea kwa hekima Sana nime penda 💯❤️

  • @mwalimmwalim6336

    @mwalimmwalim6336

    3 жыл бұрын

    For the past two weeks, I have been teaching and sharpening Omary's English here in Rosebank, Johannesburg - South Africa. He has a very good power of reasoning, a surperb capacity, flexible to cooperate with and he's a quicker Learner.

  • @siwatuhassan2281
    @siwatuhassan22815 жыл бұрын

    Umetoka mbali bro enzi hzo ulikua rafiki yangu arafu ukawa ni mdogo sanaa

  • @zaphyzmasoud7129
    @zaphyzmasoud71295 жыл бұрын

    Kumbe wandenge tupo wengi

  • @salmarajabu1959

    @salmarajabu1959

    4 жыл бұрын

    💪💪

  • @mcjayz8686
    @mcjayz86865 жыл бұрын

    Nandy aaaaah ebwana nouma nimeipenda

  • @user-vt8mj2vr5b
    @user-vt8mj2vr5b5 жыл бұрын

    Mndengeleko maneno mengi😅

  • @mjukuuwabibi4868
    @mjukuuwabibi48684 жыл бұрын

    Mndengereko mwenzang 😘😘😘😘

  • @Lifeofkafoi
    @Lifeofkafoi5 жыл бұрын

    bro marioo .. nakuelew hatari unajuw bro..

  • @sudyboy3441

    @sudyboy3441

    4 жыл бұрын

    nambie mburo

  • @mbassatz8504
    @mbassatz85045 жыл бұрын

    Mr chibonge mwenyewe nakubali broh

  • @zawadilongo9908
    @zawadilongo99084 жыл бұрын

    Upo vizuri marioo

  • @fkingomar9077
    @fkingomar90774 жыл бұрын

    God bless my name Omar aka marioo mungu akuekee sana my name tunaiuwanawewe Hadi kufakwetu shahidi mungu tunakusapoti kwa kilanjia Somo yangu mungu akulinde sana achana nawasiokupenda elewakizuri lazima kipendwe nahatawasiokupenda ndiochanzo chakufanya uwape ngoma kalizaidi ili wajue jina ni Omar kipajiunacho Somo keep it up somo

  • @nuruhbright5856
    @nuruhbright58565 жыл бұрын

    Big up sana @millad Ayo

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b5 жыл бұрын

    Safi sana interview nzr

  • @anithawimbe1564
    @anithawimbe15644 жыл бұрын

    Nampenda tu Millard uulizaji wake Wa maswali anakuuliza halafu anakuacha ujielezee Wengine Hata hujaelezea vizuri kashakuuliza lingine Hata hujamaliza lingine wanambwembwe nyingi Kama wauza kahawa ila Millard yuko vizuri

  • @lizzygabriel9601
    @lizzygabriel96014 жыл бұрын

    😀😀 eti sauti ya nandy nilitamba nayo,ila Nampenda Sana huyo Kaka yupo real

  • @user-sp2wm1xe1b
    @user-sp2wm1xe1bАй бұрын

    Wasanii wengi wanaleoewa nawamama❤❤ nawapenda wanangu

Келесі