Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 2

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Mara zote ukiwaza Manzese kama wewe ni mpenzi wa Bongo Flava basi utawaza Madee tu. Waliosema au alipojiita Rais wa kule sidhani kama kulikua na upinzani wowote, najua kulikua na mtu mwengine ambae alikua anataka hiyo title ila tayari ilikua na mwenyewe ambaye inamkaa haswa.
Busara zake za miaka ya karibuni na haswa niseme zaidi mwaka huu ni moja ya vitu vilinivutia kutaka kuongea nae. Maana si mara nyingi kwa kijana ambaye amekulia maisha ya ‘ki gangster’ kuwaza watu wengine au hata kuonyesha kuguswa na kitu flani. Ili mtu afikie kufikiria suala la umri kwenda na kuanza kujijengea kwenye maisha ya baadae siku Muumba atakapotuita ni jambo ambalo tunatakiwa kujifunza kutoka kwake. Na pia ni moja ya idea maridhawa nimeskia mwaka huu. Na kubwa kabisa ni kuwa mimi na yeye hatukuwahi kuwa na maongezi ya aina hii, wakati muafaka kabisa...
Seneda yeye haswa alizaliwa wapi? Ametokea kwenye familia ya mziki? Wazazi wake ni watu wa aina gani haswa? Kule Manzese ndo kwao? Au ilikua maskani tu? Na kama si hivyo aliwezaje kujikita mpaka akawa rais? Suala la elimu je? Wakati anakua kuna makashkashi yoyote alipitia? Na muziki? Na Babu Tale? Na Abdu Bonge aliwatoa wapi? Na TipTop Connection nayo chimbuko lake ni wapi?
Niliongea naye kuhusu hayo na kuwa ‘chawa’ ili yake yamuendee kwenye suala zima la kujijengea empire yake... Muziki umemfanyia nini? Kama Baba ni kitu gani ambacho watoto wake wanapenda kuhusu yeye? Yuko na hao Mama za watoto wake? Ki ukweli kuna mengi tumezungumza naye lejendari huyu wa Bongo Flava ikiwa pia pamoja na wimbo wa ‘Pombe Yangu’ ambao nao pia una story yake ya kipekee.
Yangu matumaini uta enjoy kama nilivyo enjoy mimi na wenzangu wakati tuna film hii.
Love,
Salama.../
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 94

  • @aminahassan3588
    @aminahassan35884 жыл бұрын

    Salama ni ktk waandishi bora zaidi sijui kwa nn hawajawahi kukupa tuzo kuna wengi umewainspire mzanzibar mwezangu nakusifia ukiwa hai

  • @frankissaya2578
    @frankissaya25784 жыл бұрын

    Madee ni moja ya wahojiwa bora kabisa kupita katika hiki kipindi pendwa.. nimekubari sanaa aliyo ya Sema.

  • @honestyerasto
    @honestyerasto4 жыл бұрын

    Tangu Salama umeanzisha hichi kipindi sijawahi kuruka hata sekunde moja. Bonge la interview yahni muda wote smile imekuwa usoni mwangu na kwa zaidi ya dakika 50. Big up sana Salama wewe ni mtangazaji bora wa muda wote kwangu.

  • @queenseptember4640
    @queenseptember46404 жыл бұрын

    Chelea man alizingua sana, yaan alimkera chawa wa boss ooops! Ila Madee your so fun, nimecheka peke yangu kama chizi. 😂

  • @babayoria9181
    @babayoria91814 жыл бұрын

    Salama hapa leo umenikosha sana haki yaani madee anaongea vizuri story ya life yake nimejifunza mengi kupitia huyu mwamba,huwaga naangalia show hii ila namaliza ndani siku mbili lakin leo sijaikatisha nimecheki show mpaka imeisha

  • @KMLotin
    @KMLotin4 жыл бұрын

    This is the best interview,madee na vijana wote wa MMB ni big thinkers🤗🤗🤗

  • @omarymziray9109
    @omarymziray91094 жыл бұрын

    Madee you are mastermind bro nimejifunza vingini sana asante dada salama kwa interview zuri nakubali unachokifanya

  • @harmonymattondo4042
    @harmonymattondo4042 Жыл бұрын

    Madee ni Inspirational Kubwa....Umeamsha vilyokuwa vimelala ndani yangu....Big up bro

  • @nasraiddy9678
    @nasraiddy96784 жыл бұрын

    Mashallah madee muongeaji kweli mcheshi

  • @amanimushi1466
    @amanimushi14664 жыл бұрын

    Point sana hiyo hao wanahabari ndio wanaozingu wanapaisha upuuzi kuliko vyemaana. Respect made✌✊

  • @samwelalphonce6326
    @samwelalphonce63264 жыл бұрын

    dah ety yule mwengine siyo mkali😂😂😂😂😂

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    2 жыл бұрын

    Ogopa Sana chawa😂😂😂

  • @aminathaabubakarmasoud565

    @aminathaabubakarmasoud565

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣mecheka kinoma

  • @Love4Ril
    @Love4Ril4 жыл бұрын

    Moja ya interview kali sanaaa. Big up Madee. Wamekuelewa

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang12884 жыл бұрын

    Natamani muwe mnatoa nafas na sisi mtupe nafasi ya maswali kwa wasanii mtakawahoji in future. Mana nlitamani atoe story deep kwenye wimbo wake wa MY STORY na ishu zake za Tanga. Ila interview kali sana

  • @mariamjumaswalehe635

    @mariamjumaswalehe635

    4 жыл бұрын

    Sana yan tena hapahapa youtube

  • @latifamadaha4377
    @latifamadaha43774 жыл бұрын

    😂😂 Madee we msemakweli thats Y maelezo yako hayascrach kbsa,nice story umetuchekesha sanaa,umetuhuzunisa na kutufundisha pia Allah akupe umri

  • @princemujuni9803
    @princemujuni98034 жыл бұрын

    interview hii noma sana full kucheka yan

  • @asueddy1465
    @asueddy14654 жыл бұрын

    YULE MWINGINE SIO MKALI KABISAAAAA..... DAAAAH RIP ABDU BONGE

  • @nizfamous3665
    @nizfamous36654 жыл бұрын

    One of the best interview, Madee

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21162 жыл бұрын

    3:24 😂😂😂, kukata simu hadi utoe betri😂😂

  • @hurumampesha5005
    @hurumampesha50054 жыл бұрын

    Fantastic interview. 👏🏿👏🏿 Salama 👏🏿👏🏿Madee

  • @henrytawa1191
    @henrytawa11914 жыл бұрын

    Ukojuu sana 🙌💣💥💥💥👍

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling47384 жыл бұрын

    Salama mi mkenya ila nakufagilia sana mshikaji wangu.

  • @aidabernard6325
    @aidabernard63254 жыл бұрын

    Hii ndio interview kali toka dunia iumbwe 🔥

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy74254 жыл бұрын

    Madee anajielezea mwenyew kabla hata ajaulizwa

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang12884 жыл бұрын

    Leo story zimenoga had hujatutajia jina msosi. Ila Marco Chali anaimba sana

  • @angeljasson4376
    @angeljasson43764 жыл бұрын

    Nime enjoy sana nimejifunza pia madee una hekima sana

  • @nahdamohammed6201
    @nahdamohammed62014 жыл бұрын

    duhhh nimecheka kwenye stayle ya kuzima sim mpk utowe betri hahahah dahh zilipendwa hizi sio poa.

  • @abdulrahimahmed4545
    @abdulrahimahmed45454 жыл бұрын

    Tisha saana madee

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Жыл бұрын

    Buku 80 tu ikaleta sugu kwenye moyo pesa noma sana 😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @MegaPhage
    @MegaPhage4 жыл бұрын

    Salama natamani uje na mwamba wa kaskazin siku 1. Nakumbuka nikiwa form 5 au 6 2004 au 5 kama skosei hv benja mkapa, jmosi flan uliintroduce goma lake la kwanza planet bongo, nilimwambia mchz wangu hili dide litablow up..i am curious to go back in time, u and Joh. Pls, a humbe request...

  • @moseskarima3824
    @moseskarima38244 жыл бұрын

    S/O salama interview Bora kabisaa

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao4 жыл бұрын

    Asante Sana Kw Elimu..

  • @juliusjustice9170
    @juliusjustice91704 жыл бұрын

    Madee ur great now bro big up

  • @ambestambest9165
    @ambestambest91654 жыл бұрын

    Intervew nzuri sana

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu4 жыл бұрын

    Dakika ya 7' sekunde 22! Hamadi Mkorofi sana! Lol..

  • @hanifamallya1589
    @hanifamallya15892 жыл бұрын

    Nmeinjoi hii na madee balaaa😘

  • @rohityalsina5972
    @rohityalsina59724 жыл бұрын

    Ndo kwa mala ya kwanza leo madee kamtaja ALIKIBA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Ujawahi kuharibu salama, uko vizuri sana katika hii sekta salute kwako Salama 💕😘

  • @sharifamfaume9342
    @sharifamfaume93424 жыл бұрын

    Sawalama madee kakupa stori tam mpaka juis imepoa

  • @marykalavo9410
    @marykalavo94104 жыл бұрын

    Huyu anafaa kuwa commedian nimecheka sana

  • @devicegaspar1431
    @devicegaspar14314 жыл бұрын

    Best I ever heard

  • @mtanzaniamwenzangu181
    @mtanzaniamwenzangu1814 жыл бұрын

    Interview kali sanaaaa

  • @mzeemakame3734
    @mzeemakame37344 жыл бұрын

    Najifunza kupitia kipindi

  • @saidahj2543
    @saidahj25434 жыл бұрын

    Watu hutoka mbali kweli

  • @mussamohamedi8322
    @mussamohamedi83224 жыл бұрын

    Aisee Madee ametishaa sana, and Salama Umetisha big up kwa kazi nzuri.

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa21074 жыл бұрын

    Bonge moja ya interview.

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi15504 жыл бұрын

    ofisini😁

  • @salamamchingama3033
    @salamamchingama30334 жыл бұрын

    Haha hahaaa madee nimependa sn

  • @sadamsuleiman8484
    @sadamsuleiman84844 жыл бұрын

    jamaa ni bonge la msimuliaji

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi95304 жыл бұрын

    Nimemuelewa sana Madee kwenye suala la kiuchiuchi lazma tukubali kipaji sio story za kijinga

  • @abdulkhamis6683
    @abdulkhamis66834 жыл бұрын

    salama .. jabir bonge la .. shooo

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын

    Saafiii sn..show saf kabsa na nme enjoy wallah..Madee umenfanya nacheka tu

  • @tomdackis7281
    @tomdackis72814 жыл бұрын

    mi naona ungekuwa unawagizia chakula ikiwa zimebaki dakika 10 kumaliza kipindi

  • @keifatuke99
    @keifatuke994 жыл бұрын

    Nice 😂😂😂

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI.4 жыл бұрын

    Madee wanamanywelee😁

  • @devicegaspar1431
    @devicegaspar14314 жыл бұрын

    Bonge la interview

  • @sharifamfaume9342
    @sharifamfaume93424 жыл бұрын

    😂😂😂😂nimecheka kifara

  • @suhailaali4175
    @suhailaali41754 жыл бұрын

    Part one nishaisaka sana sijaiona

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo2604 жыл бұрын

    Sogy dogy hunter....pia

  • @joanna_kitchens6402
    @joanna_kitchens64024 жыл бұрын

    ❤️🙏🏼🙏🏼 nice interview

  • @josephineluzango1463
    @josephineluzango14634 жыл бұрын

    This is nice

  • @iddseph436
    @iddseph4364 жыл бұрын

    Leo mbona hujataja aina ya hicho chakuka na Bei zake???

  • @CoachHafidh

    @CoachHafidh

    4 жыл бұрын

    Imenoga sana leo interview

  • @anthonytesha5197
    @anthonytesha51974 жыл бұрын

    Madee noma saana

  • @mohamedhamadi1056
    @mohamedhamadi10564 жыл бұрын

    Kwann KZread zinachelewa sn.

  • @ramadhanimrisho5532
    @ramadhanimrisho55323 жыл бұрын

    Salute kwako madee

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton82683 жыл бұрын

    Salama una heshimiwa saaana katika tasinia hii maana watu wanafunguka hadi wivu

  • @samwelimushi5549
    @samwelimushi55493 жыл бұрын

    Salama mwambie made iyo nyimbo ninayoo Kama vp anichek nimtumiee

  • @shabankawambwa4397
    @shabankawambwa43974 жыл бұрын

    Nimekubali

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi15504 жыл бұрын

    jamaa kaitamka 'Brazil' ki offsir sana😄

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi77564 жыл бұрын

    leo bidada umedamshi

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid26332 жыл бұрын

    Madee hukukosea huyo dogo kumfyeka inafurahisha kweli

  • @hadijagere
    @hadijagere4 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

  • @mohamedzungufya5151
    @mohamedzungufya51514 жыл бұрын

    7:22 😀😀😀😀

  • @wagonzizi1184
    @wagonzizi11843 жыл бұрын

    Hii interview salama umeniibia sana....i wanted more laughs from Seneda 😂😂😂😂...after all tuwaache watu wa enjoy maisha aisee...imagine Tale and Madee were sharing the same phone😰

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull94424 жыл бұрын

    Kwamazungumzo yalivokua pambe Salama umesahau kututambulisha msosi waleo unaitwaje....

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba11434 жыл бұрын

    Madee iyo pesa bado ipo huo wimbo nikutumie?

  • @racheljoseph7620

    @racheljoseph7620

    4 жыл бұрын

    mfate istagram ukapige hela

  • @ramstwaha6416
    @ramstwaha64164 жыл бұрын

    Goma nalikubali sana...linanitia speed nikiliskiza"kazi yake mola"ninalo kwny USB yng

  • @majormotivators
    @majormotivators3 жыл бұрын

    nigga is funny😂😂😂😂,one of my best interviews inline with music celebrities,Madee is easy to go guy👊🏾

  • @warrenchristopher6521
    @warrenchristopher65214 жыл бұрын

    Oooooohhhh

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba11434 жыл бұрын

    Madee nicheki Kama bado hujaupata huo wimbo 0658814010 izzo pesa nazihitajia Sana aisee

  • @makulerobert2916
    @makulerobert29163 жыл бұрын

    jamaaa ni bonge la mtu aseee

  • @jasmineally1493
    @jasmineally14934 жыл бұрын

    Nice interview❤

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Жыл бұрын

    Shineida unabaya 😂

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya35284 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅

  • @allysingle2446
    @allysingle24464 жыл бұрын

    Tuna mtaka bluu naye atuambie kwa nini aliacha kuimba na akaanza kulap

  • @grorybenson7843

    @grorybenson7843

    4 жыл бұрын

    We Bluu kaanza kulap kitambo na pia alikuwa anaimba fatilia nyimbo zake za nyuma

  • @onpointenterprises4233
    @onpointenterprises42334 жыл бұрын

    nyimbo ya mwisho ipo vzur sana inatwaje?

  • @Kibitiyetu1
    @Kibitiyetu14 жыл бұрын

    Salama Naomba Uni Unblock Instagram @eliasakitasa

  • @Remmy_Remmah
    @Remmy_Remmah4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂

Келесі