Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 2
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Mara zote ukiwaza Manzese kama wewe ni mpenzi wa Bongo Flava basi utawaza Madee tu. Waliosema au alipojiita Rais wa kule sidhani kama kulikua na upinzani wowote, najua kulikua na mtu mwengine ambae alikua anataka hiyo title ila tayari ilikua na mwenyewe ambaye inamkaa haswa.
Busara zake za miaka ya karibuni na haswa niseme zaidi mwaka huu ni moja ya vitu vilinivutia kutaka kuongea nae. Maana si mara nyingi kwa kijana ambaye amekulia maisha ya ‘ki gangster’ kuwaza watu wengine au hata kuonyesha kuguswa na kitu flani. Ili mtu afikie kufikiria suala la umri kwenda na kuanza kujijengea kwenye maisha ya baadae siku Muumba atakapotuita ni jambo ambalo tunatakiwa kujifunza kutoka kwake. Na pia ni moja ya idea maridhawa nimeskia mwaka huu. Na kubwa kabisa ni kuwa mimi na yeye hatukuwahi kuwa na maongezi ya aina hii, wakati muafaka kabisa...
Seneda yeye haswa alizaliwa wapi? Ametokea kwenye familia ya mziki? Wazazi wake ni watu wa aina gani haswa? Kule Manzese ndo kwao? Au ilikua maskani tu? Na kama si hivyo aliwezaje kujikita mpaka akawa rais? Suala la elimu je? Wakati anakua kuna makashkashi yoyote alipitia? Na muziki? Na Babu Tale? Na Abdu Bonge aliwatoa wapi? Na TipTop Connection nayo chimbuko lake ni wapi?
Niliongea naye kuhusu hayo na kuwa ‘chawa’ ili yake yamuendee kwenye suala zima la kujijengea empire yake... Muziki umemfanyia nini? Kama Baba ni kitu gani ambacho watoto wake wanapenda kuhusu yeye? Yuko na hao Mama za watoto wake? Ki ukweli kuna mengi tumezungumza naye lejendari huyu wa Bongo Flava ikiwa pia pamoja na wimbo wa ‘Pombe Yangu’ ambao nao pia una story yake ya kipekee.
Yangu matumaini uta enjoy kama nilivyo enjoy mimi na wenzangu wakati tuna film hii.
Love,
Salama.../
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 94
Salama ni ktk waandishi bora zaidi sijui kwa nn hawajawahi kukupa tuzo kuna wengi umewainspire mzanzibar mwezangu nakusifia ukiwa hai
Madee ni moja ya wahojiwa bora kabisa kupita katika hiki kipindi pendwa.. nimekubari sanaa aliyo ya Sema.
Tangu Salama umeanzisha hichi kipindi sijawahi kuruka hata sekunde moja. Bonge la interview yahni muda wote smile imekuwa usoni mwangu na kwa zaidi ya dakika 50. Big up sana Salama wewe ni mtangazaji bora wa muda wote kwangu.
Chelea man alizingua sana, yaan alimkera chawa wa boss ooops! Ila Madee your so fun, nimecheka peke yangu kama chizi. 😂
Salama hapa leo umenikosha sana haki yaani madee anaongea vizuri story ya life yake nimejifunza mengi kupitia huyu mwamba,huwaga naangalia show hii ila namaliza ndani siku mbili lakin leo sijaikatisha nimecheki show mpaka imeisha
This is the best interview,madee na vijana wote wa MMB ni big thinkers🤗🤗🤗
Madee you are mastermind bro nimejifunza vingini sana asante dada salama kwa interview zuri nakubali unachokifanya
Madee ni Inspirational Kubwa....Umeamsha vilyokuwa vimelala ndani yangu....Big up bro
Mashallah madee muongeaji kweli mcheshi
Point sana hiyo hao wanahabari ndio wanaozingu wanapaisha upuuzi kuliko vyemaana. Respect made✌✊
dah ety yule mwengine siyo mkali😂😂😂😂😂
@johnmwandu2116
2 жыл бұрын
Ogopa Sana chawa😂😂😂
@aminathaabubakarmasoud565
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣mecheka kinoma
Moja ya interview kali sanaaa. Big up Madee. Wamekuelewa
Natamani muwe mnatoa nafas na sisi mtupe nafasi ya maswali kwa wasanii mtakawahoji in future. Mana nlitamani atoe story deep kwenye wimbo wake wa MY STORY na ishu zake za Tanga. Ila interview kali sana
@mariamjumaswalehe635
4 жыл бұрын
Sana yan tena hapahapa youtube
😂😂 Madee we msemakweli thats Y maelezo yako hayascrach kbsa,nice story umetuchekesha sanaa,umetuhuzunisa na kutufundisha pia Allah akupe umri
interview hii noma sana full kucheka yan
YULE MWINGINE SIO MKALI KABISAAAAA..... DAAAAH RIP ABDU BONGE
One of the best interview, Madee
3:24 😂😂😂, kukata simu hadi utoe betri😂😂
Fantastic interview. 👏🏿👏🏿 Salama 👏🏿👏🏿Madee
Ukojuu sana 🙌💣💥💥💥👍
Salama mi mkenya ila nakufagilia sana mshikaji wangu.
Hii ndio interview kali toka dunia iumbwe 🔥
Madee anajielezea mwenyew kabla hata ajaulizwa
Leo story zimenoga had hujatutajia jina msosi. Ila Marco Chali anaimba sana
Nime enjoy sana nimejifunza pia madee una hekima sana
duhhh nimecheka kwenye stayle ya kuzima sim mpk utowe betri hahahah dahh zilipendwa hizi sio poa.
Tisha saana madee
Buku 80 tu ikaleta sugu kwenye moyo pesa noma sana 😃😃😃😃😃😃😃😃
Salama natamani uje na mwamba wa kaskazin siku 1. Nakumbuka nikiwa form 5 au 6 2004 au 5 kama skosei hv benja mkapa, jmosi flan uliintroduce goma lake la kwanza planet bongo, nilimwambia mchz wangu hili dide litablow up..i am curious to go back in time, u and Joh. Pls, a humbe request...
S/O salama interview Bora kabisaa
Asante Sana Kw Elimu..
Madee ur great now bro big up
Intervew nzuri sana
Dakika ya 7' sekunde 22! Hamadi Mkorofi sana! Lol..
Nmeinjoi hii na madee balaaa😘
Ndo kwa mala ya kwanza leo madee kamtaja ALIKIBA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ujawahi kuharibu salama, uko vizuri sana katika hii sekta salute kwako Salama 💕😘
Sawalama madee kakupa stori tam mpaka juis imepoa
Huyu anafaa kuwa commedian nimecheka sana
Best I ever heard
Interview kali sanaaaa
Najifunza kupitia kipindi
Watu hutoka mbali kweli
Aisee Madee ametishaa sana, and Salama Umetisha big up kwa kazi nzuri.
Bonge moja ya interview.
ofisini😁
Haha hahaaa madee nimependa sn
jamaa ni bonge la msimuliaji
Nimemuelewa sana Madee kwenye suala la kiuchiuchi lazma tukubali kipaji sio story za kijinga
salama .. jabir bonge la .. shooo
Saafiii sn..show saf kabsa na nme enjoy wallah..Madee umenfanya nacheka tu
mi naona ungekuwa unawagizia chakula ikiwa zimebaki dakika 10 kumaliza kipindi
Nice 😂😂😂
Madee wanamanywelee😁
Bonge la interview
😂😂😂😂nimecheka kifara
Part one nishaisaka sana sijaiona
Sogy dogy hunter....pia
❤️🙏🏼🙏🏼 nice interview
This is nice
Leo mbona hujataja aina ya hicho chakuka na Bei zake???
@CoachHafidh
4 жыл бұрын
Imenoga sana leo interview
Madee noma saana
Kwann KZread zinachelewa sn.
Salute kwako madee
Salama una heshimiwa saaana katika tasinia hii maana watu wanafunguka hadi wivu
Salama mwambie made iyo nyimbo ninayoo Kama vp anichek nimtumiee
Nimekubali
jamaa kaitamka 'Brazil' ki offsir sana😄
leo bidada umedamshi
Madee hukukosea huyo dogo kumfyeka inafurahisha kweli
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
7:22 😀😀😀😀
Hii interview salama umeniibia sana....i wanted more laughs from Seneda 😂😂😂😂...after all tuwaache watu wa enjoy maisha aisee...imagine Tale and Madee were sharing the same phone😰
Kwamazungumzo yalivokua pambe Salama umesahau kututambulisha msosi waleo unaitwaje....
Madee iyo pesa bado ipo huo wimbo nikutumie?
@racheljoseph7620
4 жыл бұрын
mfate istagram ukapige hela
Goma nalikubali sana...linanitia speed nikiliskiza"kazi yake mola"ninalo kwny USB yng
nigga is funny😂😂😂😂,one of my best interviews inline with music celebrities,Madee is easy to go guy👊🏾
Oooooohhhh
Madee nicheki Kama bado hujaupata huo wimbo 0658814010 izzo pesa nazihitajia Sana aisee
jamaaa ni bonge la mtu aseee
Nice interview❤
Shineida unabaya 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅
Tuna mtaka bluu naye atuambie kwa nini aliacha kuimba na akaanza kulap
@grorybenson7843
4 жыл бұрын
We Bluu kaanza kulap kitambo na pia alikuwa anaimba fatilia nyimbo zake za nyuma
nyimbo ya mwisho ipo vzur sana inatwaje?
Salama Naomba Uni Unblock Instagram @eliasakitasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂