Salama Na DOGO JANJA Ep 34 | YENTE Part 1

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Nakumbuka mara ya kwanza kukutana na Dongo Janja enzi hizo akiwa mtoto kabisa na hata kwenye viduara vyetu alikua anakaa mbali maana havikua vinamhusu. Kukua kwake kwenye macho yetu wakati mwengine inatufanya tuwe tunadhani kama tunamfahamu sana au tuna haki sana ya kujua kila kitu kwenye maisha yake na kumhukumu kwa maamuzi mengine ambayo sisi kama sisi hatujayapenda, tunasahau kama hayo ni maisha yake na ana haki ya kujifunza kwa kukosea na kukaa sawa kama ambavyo yuko sasa.
Jina la serikali ni Abdulaziz Abubakar Chende aka JANJARO, sio DOGO JANJA tena, sasa ana miaka 25. Unakumbuka mara ya kwanza kumuona au kusikia kuhusu yeye? Basi toka siku hiyo mambo yamebadilika sana sana. Ya ki maendeleo na ya ki binafsi kama binadamu. Kwasababu mimi ni Dada yake ilibidi turudi nyuma kidogo maana sijamuona siku nyingi so nilitaka ku catch up wazungu wanasema. Kwanza nimeona kwa ukaribu kama hana tena ile sura ya ki toto na confidence yako ni ya mtu aliyepitia kadhaa na akajifunza juu yake.
Khadithi kuhusu siku ya kwanza alipofika hapa jijini Dar es Salaam, alifikaje? Alikuja kufanya nini? Je yeye kujulikana akiwa na umri mdogo anadhani kumemtegenezea maisha yake au kumemzigua? Mahusiano yake na Rais wa Manzese, TIp Top Connection na pia kuhusu elimu ambayo kwa kipaji chake ni kama alikua akiipata kwa bei nafuu tu. Ilikuaje mpaka akashindwa kabisa kumaliza? Miaka si mingi pia alimpoteza Baba yake mzazi ambaye kwa mujibu wa Abdul walikua ni watu wa karibu sana na kifo chake kilimgusa ki vyengine sana.
Kuna suala la ndoa ambayo wengi wetu tulidhani ilikua kama geresha ivi au Kiki kama wasemavyo watoto wa mjini. Kumbe ilikua na ukweli kabisa na wawili hao walikua wameshibana mpaka wakaona waoane tu. So nini kilitokea hapo mpaka sasa hawako pamoja? Kwanini anadhani ilikua habari kubwa ambayo ilikua Ina nenda rudi nyingi? Je ana majuto yoyote kuhusu suala hili kwa ujumla yeye kama yeye? Na vipi kuhusu maisha yake ya sasa? Ana furaha? Aliye naye anadhani ndo wa kweli kwake? Pia kuna suala la muziki na umaarufu na suala la Mama yake na mahusiano yao kama Mama na mtoto wake.
Janjaro kakua na nimeliona hilo kwa jinsi tu anavyojibeba na anavyojielewa, hana papara katika kujibu maswali na kutafakari vitu, na kwa asilimia 100 naamini limetokana na kukaa na Madee karibu kwasababu nimeambiwa katika watu wenye busara na maamuzi ya kuto kukurupuka kwenye vitu basi Rais wa Manzese naye yumo. Napenda kumpogeza kwa kukuza na kuendelea kumsuka kijana awe kati ya binadamu bora. Nakutakia utazamaji mwema kwenye kipindi hiki na yangu matumaini utajifunza jambo na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 231

  • @ngasasospeter6899
    @ngasasospeter68993 жыл бұрын

    Aliyeona kuwa Dogo janja anaufahamu mkubwa wa maisha gonga like twende sawa

  • @alexmasawe9674
    @alexmasawe96743 жыл бұрын

    Aliyemwelewaa janja kuwa anaongea point weka like twende sawa

  • @giftbariki7864

    @giftbariki7864

    3 жыл бұрын

    Nice

  • @sebastianvenance2092

    @sebastianvenance2092

    3 жыл бұрын

    ³

  • @fefenailsandmakeup1353
    @fefenailsandmakeup13533 жыл бұрын

    Kwwnye maisha lazma uwe king'ang'anizi...Whoever reading this comment NEVER GIVE UP...endelea kukazia hapo hapo🔥

  • @fedrickamosy2190

    @fedrickamosy2190

    3 жыл бұрын

    Hahahaha umenifurahisha sana, my dear Fefenails and makeup. Thank you for your advice

  • @zacmngaziah1281

    @zacmngaziah1281

    3 жыл бұрын

    Blessed sanaaa sister

  • @kasongodesigner6147

    @kasongodesigner6147

    2 жыл бұрын

    Big up to you

  • @psnawana3794
    @psnawana37943 жыл бұрын

    ulivomtoa janjaro kwe story ya dingii baada ya kuona design ka inamgusia huzuni aff ukamrudisha kwe maswali ya kucheka nae🙌🏽respect sanaa salama💯

  • @nas153
    @nas1533 жыл бұрын

    SALAMA.....YOU ARE THE BEST wala sio kinafiq 1. UNAJUA SANA KUM'BADIRISHA MTU KWA MASWALI FROM SADNESS TO HAPPINESS JUST TIT4TAT👍 2. UNAHOJI MASWALI WITH EMOTIONAL...kila swali lina tone yake👍 3. HATA WASIPO SEMA......NAKUSHUKURU KWA KUBADIRISHA AINA YA VIDEOS TANZANIA KUANZIA MUZIKI HADI NCHI JIRANI WAKAJIREKEBISHA KUPITIA WEWE .....mwenyezi mungu akujaalie maisha marefu yenye afya njema

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Dogo janja unabusara sana sikufikiria 🤝,hakika Irene amepoteza mume na si bora mume.big up salama penda wewe sana ❤🥰

  • @flavianaatilio2119
    @flavianaatilio21193 жыл бұрын

    dogo kama ameiva hivi kwenye hekima😊✌✌

  • @nevers7561

    @nevers7561

    3 жыл бұрын

    Vip

  • @salumsultan1227
    @salumsultan12273 жыл бұрын

    ...moja ya mahojiano bora kabisaa 2020...!!kiukweli amebadilika na sasa anakitu@Dogojanja!!

  • @tumakassim6286
    @tumakassim62863 жыл бұрын

    Huyu dogo janja kwenye kujibu maswali yuko vizuri siku zote

  • @ashasiaga3197
    @ashasiaga31973 жыл бұрын

    Muheshimu sana madee yule ni mzazi wako anaweza ata akakulaan ukawa haupo sawa kwakua anayo mapenzi ya ukweli kutoka kwako sio mnakfi kwenye hilo mungu azid kuwasimamia ibilis awapitie mbali zaid

  • @Souza_G_94

    @Souza_G_94

    3 жыл бұрын

    Thats not right kwa ulichosemaa dear

  • @queenseptember4640

    @queenseptember4640

    3 жыл бұрын

    Unaamini katika laana? So pathetic, Alimsaidia kua alikua mlemavu akamfanya atembee? Angekua hana kipaji huyo Madee angemshika mkono?

  • @pilisumwa9363
    @pilisumwa93633 жыл бұрын

    Kimara rombo nishushee daaah #every winner have painfully story

  • @sherrysalim50

    @sherrysalim50

    3 жыл бұрын

    🤣😂😂😂

  • @magrethmkira6250

    @magrethmkira6250

    3 жыл бұрын

    Nmecheka jmn

  • @shanawilliam1050

    @shanawilliam1050

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga83183 жыл бұрын

    Dogo janja ana akili na adabu Sana.

  • @baeyanka5264
    @baeyanka52643 жыл бұрын

    32:04 Dogo anacheka kama Denver the guy from Money heist series😂😁😂😂😂

  • @fefenailsandmakeup1353

    @fefenailsandmakeup1353

    3 жыл бұрын

    Daah nalipenda li Denver jmn ka Chris brown wanafananaa kdgo😂😂

  • @fatmatz5086
    @fatmatz50863 жыл бұрын

    Tuletee bushoke na twenty percent 20% tumewamiss sana😪😪😪

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    3 жыл бұрын

    Mimi nataka unigeuze bushoke wako ila kama una chura

  • @halfanshemwanza72

    @halfanshemwanza72

    3 жыл бұрын

    nakubaliana nabao watu

  • @jkOmar2024
    @jkOmar20243 жыл бұрын

    Dodo janja uko vzr hongera kwa hekma ulokua unayo

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck3 жыл бұрын

    😂😂😂 nakumbuka hii siku mdogo wangu ulikuwa umevaa all star zako duh life nomaaa sanaaa.

  • @IrenebadotunasikilizaMatemu
    @IrenebadotunasikilizaMatemu3 жыл бұрын

    Janjaro hekima nyingi sana

  • @khadijanurdin3163
    @khadijanurdin31633 жыл бұрын

    Salama ukijitanda unapendeza hasa mashaallah

  • @dorisskomba1177

    @dorisskomba1177

    3 жыл бұрын

    Kwakweli

  • @mwanaidyibrahimu8861

    @mwanaidyibrahimu8861

    3 жыл бұрын

    Nikweli

  • @TheMandela21
    @TheMandela213 жыл бұрын

    Kikubwa kabisa DOGO JANJA AMETUNZA ASILI YAKE KUPITIA LAFUDHI YA ARUSHA .. Ni shujaaa wa Utamaduni wa Arusha na Tanzania

  • @abdallasuleiman6414
    @abdallasuleiman64143 жыл бұрын

    Janjaro.. Mungu akuweke Sana 2...

  • @mamunote3507
    @mamunote35073 жыл бұрын

    Mashallah Mashallah Tunakupenda sana Salama Kipindi hiki napenda sana kuwatizams na kusikiliza Tunastafidi sana Alwah awabariki sana wote 😍 😘

  • @Souza_G_94
    @Souza_G_943 жыл бұрын

    Janja you seem really grown up now you speak really conscious bro i see aome stuffs proving ur now grown up fully big up sana kip the gud vibe alive...

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa84833 жыл бұрын

    Sounds so so mature and focused

  • @nozgeniuz1812
    @nozgeniuz18123 жыл бұрын

    Sema salamaww ni geniuz sana

  • @winfridapeter9455
    @winfridapeter9455 Жыл бұрын

    Napenda kumsikilizaga janjaro akiongea aiseeee

  • @kilimanjaromeditationfrequ7871
    @kilimanjaromeditationfrequ78713 жыл бұрын

    Janjaroo! So inspiring.

  • @gbwile1257
    @gbwile12573 жыл бұрын

    Salama uko vzr kweny kuhoji....keep it up dyadyaa

  • @G.S985
    @G.S9853 жыл бұрын

    Umesema vizuri sana ,elimu ni muhimu katika maisha ukipata jinsi ya kusoma.

  • @richardjoseph3347
    @richardjoseph33473 жыл бұрын

    Nice salama

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын

    Lvyu much mor janjaro

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo17293 жыл бұрын

    Janja ana story mob aise naenjoy kuangalia hiki kipindi

  • @othumanomary4032
    @othumanomary40323 жыл бұрын

    Daaaa nomaaa sana jnjarooo a ecejay

  • @gloriasawaya8764
    @gloriasawaya87643 жыл бұрын

    Unaakili sanaaaa ndio mana nakuelewa sana wa home

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana21153 жыл бұрын

    Hongera sana dada salam biti yangu uko vizuri safi

  • @evadotv9528
    @evadotv95283 жыл бұрын

    Safi

  • @lewisiangello4874
    @lewisiangello48743 жыл бұрын

    Salama na Jana mmetisha sana 🥰🥰🥰🥰

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo53543 жыл бұрын

    Good saanaa Dogoo janjaruu maisha yana harakati nyiingi

  • @theresiagreyson9606
    @theresiagreyson9606 Жыл бұрын

    So bright and wisdom papa....🤘👊

  • @joelluic2392
    @joelluic23922 жыл бұрын

    Huwa napenda xana kusikiliza na kuangalia interview za dogo janja huwa ana ni inspire xana

  • @evelynjoseph7326
    @evelynjoseph73263 жыл бұрын

    Nzuri sana hiyo

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian36853 жыл бұрын

    Salama nakupenda sana kutoka 🇷🇼 nimekujua kutoka bss ningependa mwaka huu urudi namichambo yako👑🇷🇼

  • @baiduhawa565
    @baiduhawa5653 жыл бұрын

    Haya bhana

  • @othumanomary4032
    @othumanomary40323 жыл бұрын

    Ecejay nakunote sana hvi nguooo nyeusi nd sare ya ofisi yako

  • @daviduisso7264
    @daviduisso72643 жыл бұрын

    KAZI nzuri

  • @Peter-ed7ji
    @Peter-ed7ji Жыл бұрын

    Nakubali dogo janja

  • @cbreezy2397
    @cbreezy23973 жыл бұрын

    Ilikua uzinduz wa tigo pesa pale triple A asee he was my friend bn asee chali wangu sana huyo

  • @nasrajuma136

    @nasrajuma136

    3 жыл бұрын

    C breezy chali angu ushaanza hahahha hata mm.nkujua

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan68293 жыл бұрын

    Asa naipendaa hii jamn ni kalii kulikooo zoteeee

  • @annamariamarcel9268
    @annamariamarcel92683 жыл бұрын

    Tuletee bushoke plz

  • @dianaferdinand7546
    @dianaferdinand75463 жыл бұрын

    Challii ya Arrrr salute!!!

  • @ramadhanjuma9926
    @ramadhanjuma99263 жыл бұрын

    Ktk vipindi Bora SALAMA NA NI Bora zaidi

  • @edwardarestas161
    @edwardarestas1613 жыл бұрын

    I Love the show

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74433 жыл бұрын

    Salama bwana noma

  • @dajia4787
    @dajia47873 жыл бұрын

    halaaz sana kwa vijana wajanja kimaisha tutatoboa tuu

  • @hawasalim6388
    @hawasalim63883 жыл бұрын

    Upo vizur dogo jaja pambana sana

  • @allymatilda7519
    @allymatilda75193 жыл бұрын

    Daah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti umebeba mapazia kwenye begi

  • @rajabukhamis467
    @rajabukhamis467 Жыл бұрын

    Kweli dogo janja unasema kweli kabisa audanganyi

  • @carenfrancis2880
    @carenfrancis28803 жыл бұрын

    Nimecheka sana Dogojanja kubeba mapazia hahaha Ila dogo Ana akil Sana anaongea kistarabu sanaa

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando52853 жыл бұрын

    Dogo nimecheka begi la mapazia🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤩🤩🤩🤩

  • @edwinmwambene3743
    @edwinmwambene37433 жыл бұрын

    Hongera sAnA salama kwa interview nzuri saaaaa be blessed ma negro blood one love koba

  • @daudasajile813
    @daudasajile8133 жыл бұрын

    yes salam nakukubar kwa maswar yako

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim84283 жыл бұрын

    😂😂😂janjaro bhn unawakumbuka sasa hao wenzio kweli

  • @devismakoi7112
    @devismakoi71123 жыл бұрын

    mapazia hahahaha kweli wenge la dar

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 Жыл бұрын

    Dogo story inafurahisha ila ina mmb ya kujifunza

  • @mpulitv8011
    @mpulitv80113 жыл бұрын

    Janja makin sana

  • @leilahkezen2475
    @leilahkezen24753 жыл бұрын

    Salama genius....🤘

  • @ashashabani4989
    @ashashabani49893 жыл бұрын

    😍😍

  • @djabacbayo4477
    @djabacbayo44773 жыл бұрын

    Dahaaa dogo hatariiiiii sanaaaaa😂🤣😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂

  • @blog3620
    @blog36203 жыл бұрын

    Nimemsikiliza dogo janja ,kweli anajua sana kuongea kisha nimemsikiliza Fatuma Karume ovyo kabisa.Janjaro anaonekana kasoma kuliko fatuma ukiwasikiliza. kipaji kinazidi elimu ya vyeti

  • @mobaisa1704

    @mobaisa1704

    3 жыл бұрын

    Kuna watu wanakipaj cha kuongea,,So kuwa Elimu sio kuwa na uwezo wa kuongea

  • @starehepesa7084
    @starehepesa70842 жыл бұрын

    From 254mombasani nakubali sana kazi zako mungu aendeleekukueka utupe habari motomoto za bongoflavour

  • @Coco_drilo11
    @Coco_drilo113 жыл бұрын

    Xafi xana dada salama kwa kazi yko nzuri

  • @stivenyoungson2288
    @stivenyoungson22882 жыл бұрын

    Nice discussion

  • @obeykeam2212
    @obeykeam2212 Жыл бұрын

    Dog Unapotea Sanaa Saiv

  • @anitakamene5073
    @anitakamene50733 жыл бұрын

    Nice

  • @beatuskihwelo4888
    @beatuskihwelo48883 жыл бұрын

    Nice ayo maswal huwa unapang au yanashuka tu

  • @shadrackndikuriyo4654
    @shadrackndikuriyo46543 жыл бұрын

    Good

  • @leticiamussa603
    @leticiamussa6033 жыл бұрын

    Umenichekesha sana kubeba mapazia, ila una busara hongera

  • @limbomambo9728
    @limbomambo97283 жыл бұрын

    Dogo katisha yupo sawa

  • @joseecontroversial8720
    @joseecontroversial87203 жыл бұрын

    Jessica kama Jessica! Jessica time, is the best time!...

  • @firdausgreen1391
    @firdausgreen13913 жыл бұрын

    Yastone town

  • @yusuphbaracha6137
    @yusuphbaracha61373 жыл бұрын

    Ningependa ungemuhoji #Country boy ni very inspirational Artist kwa most young rappers wa apa kwetu.Atakuwa anajambo la kutuambia washabiki. Maoni yangu tu

  • @halimanassoro1762
    @halimanassoro17622 жыл бұрын

    Good boy

  • @jiggahmeruss266
    @jiggahmeruss2663 жыл бұрын

    Yah look charming bruh! I feel youh Ma men all the way from Chuggah

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Interview ya kizazi sana hii 🔥🔥

  • @hopeobeth9806
    @hopeobeth98063 жыл бұрын

    Sijambo shikamooooo

  • @shellybig1617
    @shellybig16173 жыл бұрын

    Nakupenda janja

  • @zpii9317
    @zpii93173 жыл бұрын

    The first time to smoke weed is the happiest one ☝🏾 who knows.😂😂😂

  • @esmahnguzo8448
    @esmahnguzo84483 жыл бұрын

    Mapazia

  • @tafawasaid4740
    @tafawasaid47403 жыл бұрын

    Kuna watangazaji halafu kuna Salama Jabir #Goat 🐐

  • @mapenzisylus4776
    @mapenzisylus47763 жыл бұрын

    😂😂😂😂umenichekesha aki nakupenda bure

  • @aishamohamed7986
    @aishamohamed79863 жыл бұрын

    Janjaro❤💋

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino98683 жыл бұрын

    Haaaa haaa eti pazia nimecheka aswaaa

  • @juliennempawenimana2049
    @juliennempawenimana20493 жыл бұрын

    À santé salama

  • @Remmy_Remmah
    @Remmy_Remmah3 жыл бұрын

    😂😂😂uuuwwiii mbavi zangu 🤣🤣🤣yani umenimaliza

  • @daudimwidimakihanda5386
    @daudimwidimakihanda53863 жыл бұрын

    Salama tuletee Marioo

  • @nevers7561
    @nevers75613 жыл бұрын

    Duuu salama mkali wakuuliza yanii kama hupo makini unaaumbukaaaa😅😅😂

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto1583 жыл бұрын

    Salama na wewe wakuintervew

  • @araphathmussa3027
    @araphathmussa30273 жыл бұрын

    Tshaa

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew92733 жыл бұрын

    Asee ile simu waliiba ilikuwa yangu yessuuu na mariaaaaa hemu nitumie hata vocha aseee

  • @watsonjesse8300

    @watsonjesse8300

    3 жыл бұрын

    Hahaha duuh umejuaje

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6243 жыл бұрын

    Janjaro kakuwaaa

  • @bonny1087
    @bonny10873 жыл бұрын

    Mmmh

Келесі