Salama Na DOGO JANJA Ep 34 | YENTE Part 1
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Nakumbuka mara ya kwanza kukutana na Dongo Janja enzi hizo akiwa mtoto kabisa na hata kwenye viduara vyetu alikua anakaa mbali maana havikua vinamhusu. Kukua kwake kwenye macho yetu wakati mwengine inatufanya tuwe tunadhani kama tunamfahamu sana au tuna haki sana ya kujua kila kitu kwenye maisha yake na kumhukumu kwa maamuzi mengine ambayo sisi kama sisi hatujayapenda, tunasahau kama hayo ni maisha yake na ana haki ya kujifunza kwa kukosea na kukaa sawa kama ambavyo yuko sasa.
Jina la serikali ni Abdulaziz Abubakar Chende aka JANJARO, sio DOGO JANJA tena, sasa ana miaka 25. Unakumbuka mara ya kwanza kumuona au kusikia kuhusu yeye? Basi toka siku hiyo mambo yamebadilika sana sana. Ya ki maendeleo na ya ki binafsi kama binadamu. Kwasababu mimi ni Dada yake ilibidi turudi nyuma kidogo maana sijamuona siku nyingi so nilitaka ku catch up wazungu wanasema. Kwanza nimeona kwa ukaribu kama hana tena ile sura ya ki toto na confidence yako ni ya mtu aliyepitia kadhaa na akajifunza juu yake.
Khadithi kuhusu siku ya kwanza alipofika hapa jijini Dar es Salaam, alifikaje? Alikuja kufanya nini? Je yeye kujulikana akiwa na umri mdogo anadhani kumemtegenezea maisha yake au kumemzigua? Mahusiano yake na Rais wa Manzese, TIp Top Connection na pia kuhusu elimu ambayo kwa kipaji chake ni kama alikua akiipata kwa bei nafuu tu. Ilikuaje mpaka akashindwa kabisa kumaliza? Miaka si mingi pia alimpoteza Baba yake mzazi ambaye kwa mujibu wa Abdul walikua ni watu wa karibu sana na kifo chake kilimgusa ki vyengine sana.
Kuna suala la ndoa ambayo wengi wetu tulidhani ilikua kama geresha ivi au Kiki kama wasemavyo watoto wa mjini. Kumbe ilikua na ukweli kabisa na wawili hao walikua wameshibana mpaka wakaona waoane tu. So nini kilitokea hapo mpaka sasa hawako pamoja? Kwanini anadhani ilikua habari kubwa ambayo ilikua Ina nenda rudi nyingi? Je ana majuto yoyote kuhusu suala hili kwa ujumla yeye kama yeye? Na vipi kuhusu maisha yake ya sasa? Ana furaha? Aliye naye anadhani ndo wa kweli kwake? Pia kuna suala la muziki na umaarufu na suala la Mama yake na mahusiano yao kama Mama na mtoto wake.
Janjaro kakua na nimeliona hilo kwa jinsi tu anavyojibeba na anavyojielewa, hana papara katika kujibu maswali na kutafakari vitu, na kwa asilimia 100 naamini limetokana na kukaa na Madee karibu kwasababu nimeambiwa katika watu wenye busara na maamuzi ya kuto kukurupuka kwenye vitu basi Rais wa Manzese naye yumo. Napenda kumpogeza kwa kukuza na kuendelea kumsuka kijana awe kati ya binadamu bora. Nakutakia utazamaji mwema kwenye kipindi hiki na yangu matumaini utajifunza jambo na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 231
Aliyeona kuwa Dogo janja anaufahamu mkubwa wa maisha gonga like twende sawa
Aliyemwelewaa janja kuwa anaongea point weka like twende sawa
@giftbariki7864
3 жыл бұрын
Nice
@sebastianvenance2092
3 жыл бұрын
³
Kwwnye maisha lazma uwe king'ang'anizi...Whoever reading this comment NEVER GIVE UP...endelea kukazia hapo hapo🔥
@fedrickamosy2190
3 жыл бұрын
Hahahaha umenifurahisha sana, my dear Fefenails and makeup. Thank you for your advice
@zacmngaziah1281
3 жыл бұрын
Blessed sanaaa sister
@kasongodesigner6147
2 жыл бұрын
Big up to you
ulivomtoa janjaro kwe story ya dingii baada ya kuona design ka inamgusia huzuni aff ukamrudisha kwe maswali ya kucheka nae🙌🏽respect sanaa salama💯
SALAMA.....YOU ARE THE BEST wala sio kinafiq 1. UNAJUA SANA KUM'BADIRISHA MTU KWA MASWALI FROM SADNESS TO HAPPINESS JUST TIT4TAT👍 2. UNAHOJI MASWALI WITH EMOTIONAL...kila swali lina tone yake👍 3. HATA WASIPO SEMA......NAKUSHUKURU KWA KUBADIRISHA AINA YA VIDEOS TANZANIA KUANZIA MUZIKI HADI NCHI JIRANI WAKAJIREKEBISHA KUPITIA WEWE .....mwenyezi mungu akujaalie maisha marefu yenye afya njema
Dogo janja unabusara sana sikufikiria 🤝,hakika Irene amepoteza mume na si bora mume.big up salama penda wewe sana ❤🥰
dogo kama ameiva hivi kwenye hekima😊✌✌
@nevers7561
3 жыл бұрын
Vip
...moja ya mahojiano bora kabisaa 2020...!!kiukweli amebadilika na sasa anakitu@Dogojanja!!
Huyu dogo janja kwenye kujibu maswali yuko vizuri siku zote
Muheshimu sana madee yule ni mzazi wako anaweza ata akakulaan ukawa haupo sawa kwakua anayo mapenzi ya ukweli kutoka kwako sio mnakfi kwenye hilo mungu azid kuwasimamia ibilis awapitie mbali zaid
@Souza_G_94
3 жыл бұрын
Thats not right kwa ulichosemaa dear
@queenseptember4640
3 жыл бұрын
Unaamini katika laana? So pathetic, Alimsaidia kua alikua mlemavu akamfanya atembee? Angekua hana kipaji huyo Madee angemshika mkono?
Kimara rombo nishushee daaah #every winner have painfully story
@sherrysalim50
3 жыл бұрын
🤣😂😂😂
@magrethmkira6250
3 жыл бұрын
Nmecheka jmn
@shanawilliam1050
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dogo janja ana akili na adabu Sana.
32:04 Dogo anacheka kama Denver the guy from Money heist series😂😁😂😂😂
@fefenailsandmakeup1353
3 жыл бұрын
Daah nalipenda li Denver jmn ka Chris brown wanafananaa kdgo😂😂
Tuletee bushoke na twenty percent 20% tumewamiss sana😪😪😪
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
Mimi nataka unigeuze bushoke wako ila kama una chura
@halfanshemwanza72
3 жыл бұрын
nakubaliana nabao watu
Dodo janja uko vzr hongera kwa hekma ulokua unayo
😂😂😂 nakumbuka hii siku mdogo wangu ulikuwa umevaa all star zako duh life nomaaa sanaaa.
Janjaro hekima nyingi sana
Salama ukijitanda unapendeza hasa mashaallah
@dorisskomba1177
3 жыл бұрын
Kwakweli
@mwanaidyibrahimu8861
3 жыл бұрын
Nikweli
Kikubwa kabisa DOGO JANJA AMETUNZA ASILI YAKE KUPITIA LAFUDHI YA ARUSHA .. Ni shujaaa wa Utamaduni wa Arusha na Tanzania
Janjaro.. Mungu akuweke Sana 2...
Mashallah Mashallah Tunakupenda sana Salama Kipindi hiki napenda sana kuwatizams na kusikiliza Tunastafidi sana Alwah awabariki sana wote 😍 😘
Janja you seem really grown up now you speak really conscious bro i see aome stuffs proving ur now grown up fully big up sana kip the gud vibe alive...
Sounds so so mature and focused
Sema salamaww ni geniuz sana
Napenda kumsikilizaga janjaro akiongea aiseeee
Janjaroo! So inspiring.
Salama uko vzr kweny kuhoji....keep it up dyadyaa
Umesema vizuri sana ,elimu ni muhimu katika maisha ukipata jinsi ya kusoma.
Nice salama
Lvyu much mor janjaro
Janja ana story mob aise naenjoy kuangalia hiki kipindi
Daaaa nomaaa sana jnjarooo a ecejay
Unaakili sanaaaa ndio mana nakuelewa sana wa home
Hongera sana dada salam biti yangu uko vizuri safi
Safi
Salama na Jana mmetisha sana 🥰🥰🥰🥰
Good saanaa Dogoo janjaruu maisha yana harakati nyiingi
So bright and wisdom papa....🤘👊
Huwa napenda xana kusikiliza na kuangalia interview za dogo janja huwa ana ni inspire xana
Nzuri sana hiyo
Salama nakupenda sana kutoka 🇷🇼 nimekujua kutoka bss ningependa mwaka huu urudi namichambo yako👑🇷🇼
Haya bhana
Ecejay nakunote sana hvi nguooo nyeusi nd sare ya ofisi yako
KAZI nzuri
Nakubali dogo janja
Ilikua uzinduz wa tigo pesa pale triple A asee he was my friend bn asee chali wangu sana huyo
@nasrajuma136
3 жыл бұрын
C breezy chali angu ushaanza hahahha hata mm.nkujua
Asa naipendaa hii jamn ni kalii kulikooo zoteeee
Tuletee bushoke plz
Challii ya Arrrr salute!!!
Ktk vipindi Bora SALAMA NA NI Bora zaidi
I Love the show
Salama bwana noma
halaaz sana kwa vijana wajanja kimaisha tutatoboa tuu
Upo vizur dogo jaja pambana sana
Daah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti umebeba mapazia kwenye begi
Kweli dogo janja unasema kweli kabisa audanganyi
Nimecheka sana Dogojanja kubeba mapazia hahaha Ila dogo Ana akil Sana anaongea kistarabu sanaa
Dogo nimecheka begi la mapazia🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤩🤩🤩🤩
Hongera sAnA salama kwa interview nzuri saaaaa be blessed ma negro blood one love koba
yes salam nakukubar kwa maswar yako
😂😂😂janjaro bhn unawakumbuka sasa hao wenzio kweli
mapazia hahahaha kweli wenge la dar
Dogo story inafurahisha ila ina mmb ya kujifunza
Janja makin sana
Salama genius....🤘
😍😍
Dahaaa dogo hatariiiiii sanaaaaa😂🤣😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂
Nimemsikiliza dogo janja ,kweli anajua sana kuongea kisha nimemsikiliza Fatuma Karume ovyo kabisa.Janjaro anaonekana kasoma kuliko fatuma ukiwasikiliza. kipaji kinazidi elimu ya vyeti
@mobaisa1704
3 жыл бұрын
Kuna watu wanakipaj cha kuongea,,So kuwa Elimu sio kuwa na uwezo wa kuongea
From 254mombasani nakubali sana kazi zako mungu aendeleekukueka utupe habari motomoto za bongoflavour
Xafi xana dada salama kwa kazi yko nzuri
Nice discussion
Dog Unapotea Sanaa Saiv
Nice
Nice ayo maswal huwa unapang au yanashuka tu
Good
Umenichekesha sana kubeba mapazia, ila una busara hongera
Dogo katisha yupo sawa
Jessica kama Jessica! Jessica time, is the best time!...
Yastone town
Ningependa ungemuhoji #Country boy ni very inspirational Artist kwa most young rappers wa apa kwetu.Atakuwa anajambo la kutuambia washabiki. Maoni yangu tu
Good boy
Yah look charming bruh! I feel youh Ma men all the way from Chuggah
Interview ya kizazi sana hii 🔥🔥
Sijambo shikamooooo
Nakupenda janja
The first time to smoke weed is the happiest one ☝🏾 who knows.😂😂😂
Mapazia
Kuna watangazaji halafu kuna Salama Jabir #Goat 🐐
😂😂😂😂umenichekesha aki nakupenda bure
Janjaro❤💋
Haaaa haaa eti pazia nimecheka aswaaa
À santé salama
😂😂😂uuuwwiii mbavi zangu 🤣🤣🤣yani umenimaliza
Salama tuletee Marioo
Duuu salama mkali wakuuliza yanii kama hupo makini unaaumbukaaaa😅😅😂
Salama na wewe wakuintervew
Tshaa
Asee ile simu waliiba ilikuwa yangu yessuuu na mariaaaaa hemu nitumie hata vocha aseee
@watsonjesse8300
3 жыл бұрын
Hahaha duuh umejuaje
Janjaro kakuwaaa
Mmmh