Dogo Janja alivyomkimbia P FUNK baada ya kuona msg za mapenzi kwa Paula

Ойын-сауық

Dogo Janja ameeleze ishu yake kwanini waligombana na Majani ilikuaje mpaka akaacha viatu vyake nyumbani kwa produce Majani, nani alimpeleka tena kwa majani kila kitu nimekiweka hapa.

Пікірлер: 139

  • @joelnassari105
    @joelnassari1057 жыл бұрын

    Good interview. ..dogo awe casual anameza mate kila neno atoe vitu anavyovaa kwenye meno au anatumia kilev gan kinachotoa mate kila dakka. .pia kwenye vdole apunguze mapete mengi mikonon just avae moja smart. ...all n all keep it up dogo unajitaid sana kaza.

  • @joshuakinabo6861

    @joshuakinabo6861

    2 жыл бұрын

    Yuko na meno ya gold

  • @saidahj2543
    @saidahj25437 жыл бұрын

    Kuna nn mdomoni dogo...nice interview umekuwa mkweli

  • @wamoroboy8963

    @wamoroboy8963

    2 жыл бұрын

    🤓

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын

    huyu milad Ayo,anamuangalia kweli huyu dogo mwambie tu ukwelihayo meno hayamfai

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16877 жыл бұрын

    Aaah plz dogo vua hayo meno pkz bro ai bro huwezi ongea ukiwa nayo bro. 🤞😪😪😪😪😪😪😪 napenda unavyo ongea kiarusha but umeboa nahayo meno kama wala pipi au umepigwa ngumi

  • @patricksilva3722

    @patricksilva3722

    5 жыл бұрын

    Umesema kweli.

  • @mullerrbn4852
    @mullerrbn48527 жыл бұрын

    Bongo kunawatu wanakipaji cha uhater asee ata hii utakuta wanachukia duuuu

  • @winniewilliam3049
    @winniewilliam30497 жыл бұрын

    dogo upo powa saaana nakukubali saana .

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma6887 жыл бұрын

    dogo janja hayo meno kila siku mmh ww utakuwa unamapengo ww maana hayo meno mpaka domo limekuwa zito

  • @mfumukepamboto9160
    @mfumukepamboto91606 жыл бұрын

    unavaa vaa hayo meno bandia halafu yanakuteeeesaaaa, mi nilijua unamung'unya pipi bn

  • @Togolay
    @Togolay7 жыл бұрын

    WATANZANIA WENGI HAMJITAMBUI NAONA WENGI MNA ONGEA KUSH SIANA NA MENO YA DOGO NYIE MNACHOPASWA KUKIFAHAMU KWAKE NI KUHUSIANA NA MAISHA YAKE SWALA LA KUWA ANA MENO SJUI ANA NINI HAYAWAHUSU NYIE MNAZINGUA SANA EMBU ACHENI USHAMBA BADILIKENI

  • @asiasudi1338

    @asiasudi1338

    5 жыл бұрын

    Obei kweli wanazidi

  • @winnyeduhawezkufaczndctlin3535

    @winnyeduhawezkufaczndctlin3535

    3 жыл бұрын

    Watu wengne bhn hawajitambui meno ya kwake lips za kwak nyie inawahux achen uxhamb wa kufuatilia watu

  • @goodluckaugustino6981
    @goodluckaugustino69817 жыл бұрын

    ni moja ya kijana mwenzangu anaejifanyaga na kunipa funzo kuwa maisha hayaitaj kukata tamaa namkubal sana Abdur kachaa#dogo janja

  • @nasibuhinduka8612
    @nasibuhinduka86125 жыл бұрын

    Nakukubali sana dogo janja wenimkali hutumiinguvu kuendelaza kipaji chako ni miakili mingi tu

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao7 жыл бұрын

    Haha Boy I like You Since Day 0ne❤️🇰🇪💥👊🏾

  • @willyelias9263
    @willyelias92637 жыл бұрын

    janja umetisha sana mwana Leo nimeangalia hiki pind nimechka sana

  • @nega_ak4729
    @nega_ak47297 жыл бұрын

    Meno ya dhaabu ndio mdomo unakuwa mzito

  • @ummali7942
    @ummali79427 жыл бұрын

    nyinyi kwa Kuwiga doh meno yameshinda Mdomo ushambaa tu

  • @sweetmama3242

    @sweetmama3242

    7 жыл бұрын

    Umm Ali 😆😆😆😆😆😆😂

  • @fahadiabdalla7677

    @fahadiabdalla7677

    4 жыл бұрын

    Umm Ali .

  • @elizabethzolla5331
    @elizabethzolla53316 жыл бұрын

    Sitaki kucheka sana dogo janja unaongea kama mtoto mdgo yaani utasema meno huna mdomon namuona milad ayo yuko poa sana anaongea good tatz wew dogo

  • @linusifajensi5677
    @linusifajensi56772 жыл бұрын

    Linajuwa hilo we liache2

  • @erickfestor4542
    @erickfestor45427 жыл бұрын

    Grillz ni tatizo ... Nadhani sio kila kiatu kina mtosha kila mtu pengine kikakutosha ukashindwa ku make a step.

  • @dennischarles8524
    @dennischarles85247 жыл бұрын

    Dogo wewe comedian, nimecheka Sana😁😁😁

  • @masaimara3750
    @masaimara37507 жыл бұрын

    dogo ana meni ya kichugga, alaf anavaa grill kwa meno tena???? yesuuuu...

  • @danielshuma4818

    @danielshuma4818

    7 жыл бұрын

    me nashangaa wakati wamarekani waliona meno yetu ndio wakaenda kufanya yale feki.

  • @khamissoud1305
    @khamissoud13057 жыл бұрын

    Dogo unzingua bhana hayo meno ya kazi gani mdomo umekuwa mzito kama pumbu

  • @edwarddaniel5683

    @edwarddaniel5683

    7 жыл бұрын

    hahahahahahahahahahahahahha

  • @therealmsopa

    @therealmsopa

    7 жыл бұрын

    hahahahahahaha

  • @danielshuma4818

    @danielshuma4818

    7 жыл бұрын

    hahahhahaaaa

  • @semanasitv8303

    @semanasitv8303

    6 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @muddyhatibu3336
    @muddyhatibu33366 жыл бұрын

    vzr

  • @eveliusdaniel7587
    @eveliusdaniel75877 жыл бұрын

    mild next time usifanye interview na madogo kama hawa wasiojielewa hamna cha kugain hapo, toto jinga sana hili

  • @rosejohn2488
    @rosejohn24887 жыл бұрын

    anavyoongea DG ananikumbusha nikiumwaga Yale meno yamagego nyama zinavyobanana mate yananijaa nashindwa ht kuongea duuuu! DG sikwaswaga hy

  • @abdimohamed1499
    @abdimohamed14997 жыл бұрын

    sasa mdogo wetu izo gleress wa2 wanawekaa wakiwa out sasa ww unashindwaaa mpka kuongea unaongea km unakula ugoroooooooo mdog we2

  • @obedylayzer6606
    @obedylayzer66067 жыл бұрын

    dogo good uko vizuri

  • @jaystar1004
    @jaystar10047 жыл бұрын

    Co ugoro wanashobokea meno ayo😂😂😂😂

  • @raphaelnamama7570
    @raphaelnamama75707 жыл бұрын

    janjaro toa ayo meno bana unazngua

  • @yusuphathuman8596
    @yusuphathuman85967 жыл бұрын

    huyu fala sana unamung'unya meno kiboya kama mavitu mengine hamuyawezi acheni

  • @christianleonard5392
    @christianleonard53926 жыл бұрын

    kuanzia nimezaliwa sijawahi kuona mshamba kama huyo, muongo sanaaaaaaa anadanganya alafu wahuni wa ukweli hawaongeai u k kama huo

  • @winnyeduhawezkufaczndctlin3535

    @winnyeduhawezkufaczndctlin3535

    3 жыл бұрын

    Duuh

  • @abdallahchettu4513
    @abdallahchettu45137 жыл бұрын

    kavaa mimeno mpaka hawez kuongea

  • @halimamohamedy3571
    @halimamohamedy35717 жыл бұрын

    huwa sielewi anacho kula cjui poz wallah ata cjui EMB nisaidieni jamn anaye faham

  • @mrminase9592
    @mrminase95926 жыл бұрын

    halafu saivi yameoana.....😂😂😂

  • @linuslivingstone9913
    @linuslivingstone99137 жыл бұрын

    Eti niliingiza mis yan nimecheka xna aise😅😅😅😅😅

  • @aminamshana1511
    @aminamshana15112 жыл бұрын

    Dogo kasome kwanza mziki baadae

  • @laithalshabibi1875
    @laithalshabibi18757 жыл бұрын

    nakukubali sana chali wa home kwtu

  • @habibumabina113
    @habibumabina1136 жыл бұрын

    struggle 4 win dogo Jaja.

  • @goodluckfoya2237
    @goodluckfoya22376 жыл бұрын

    janj nzuri hiyo

  • @donaldmwangasa852
    @donaldmwangasa8527 жыл бұрын

    Dogo unaongea huku unakula gomba

  • @man4mjuni999
    @man4mjuni9997 жыл бұрын

    dah chalii angu unanifurahisha ila unaboa kwenye hio mijino mdomoni kama unakula ugoro aisee hata ukiongea sioni Vibes zako aisee chalii wa bibi yani kama umebwia Ganzi ipo mdomoni unapima geji mdogomdogo hahahahaha mengine ni full kinyulaaa mzee kali yake chali wangu

  • @isaacadam3898
    @isaacadam38986 жыл бұрын

    Afadhali ya huyu anajitambua pamoja na grillz zake anajibu kile anacho ulizwa kuliko yule young anae lamba lamba lips akiongea kama anasinzia

  • @praygodurio2967
    @praygodurio29676 жыл бұрын

    Safi kachaa Wangu

  • @micochazchaz6342
    @micochazchaz63426 жыл бұрын

    We dogo unapendeza kitu gani? choko tu huna lolote kuimba hujui choko we muachie young killer mume wako choko we.

  • @johnsonjohndavid1915
    @johnsonjohndavid19157 жыл бұрын

    Janja wewe ni noma

  • @mengimswaki7517
    @mengimswaki75177 жыл бұрын

    kabwia ugoro nn hyo dogo

  • @rodakazungu9685

    @rodakazungu9685

    7 жыл бұрын

    duuuuuuuu

  • @monicamasanja5498

    @monicamasanja5498

    7 жыл бұрын

    hahahahahahah...

  • @jojoinarukundo3110

    @jojoinarukundo3110

    6 жыл бұрын

    Mengi Mswaki hahahahaha

  • @mumbayeashata993

    @mumbayeashata993

    6 жыл бұрын

    Mengi Mswaki 🤣🤣🤣🤣🤣 kachafua meno eti

  • @mwiluduuma6603
    @mwiluduuma66036 жыл бұрын

    hahahaa dogo umeniangusha ase ....

  • @fatumasamiasuluhuog8696
    @fatumasamiasuluhuog86962 жыл бұрын

    yani abduli umenichekesha leoo hahahahaaa

  • @bonnysure5131
    @bonnysure51316 жыл бұрын

    Janja unamumunya nini Eroh! Kama mdomo umelemewa hivi

  • @deogratias7108
    @deogratias71087 жыл бұрын

    uura Chalii wen kwere atawakiponda

  • @sleimanhemed6109
    @sleimanhemed61095 жыл бұрын

    naona mdomo hauwezi kama amechoma shindano ya gazi

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica8036 жыл бұрын

    Duuh janja unachekesha sana

  • @naj5228
    @naj52286 жыл бұрын

    😧😧😧nimetapika walay

  • @alexlastan5078
    @alexlastan50787 жыл бұрын

    hayo meno kijanaaa yatakuuwa maana una kwama !!!

  • @williammassawe2372
    @williammassawe23727 жыл бұрын

    Dogo ni Dogo tu,

  • @officialobylove190
    @officialobylove1904 жыл бұрын

    Napataje mawasiliano ya ayo tv

  • @edwardlwenza4828
    @edwardlwenza48287 жыл бұрын

    Janjalo anaongea kama msambaa coz of grillz kwa meno!!!.

  • @mariahhaule4102

    @mariahhaule4102

    7 жыл бұрын

    Edward Mwombeky umenichekesha

  • @neymarmbilinyi9735

    @neymarmbilinyi9735

    6 жыл бұрын

    haahhahaa

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary89704 жыл бұрын

    Meno kaanza mondi akaj kutoa nawew umewk unatatizo ya meno yak yamepinda au ni fashion

  • @emmanuelntemi531
    @emmanuelntemi5317 жыл бұрын

    sasa unaogea kama unamate mdomoni ushamba tuu ovyoooo

  • @sampeter360

    @sampeter360

    7 жыл бұрын

    we dog nirudishie mb zangu

  • @rozinakimaro9010
    @rozinakimaro90106 жыл бұрын

    vp dogo mbona unaongea kama unamapengo ama unakula ugoro maana machalii wa ar ndo zao kula ugoro.

  • @denismerimbuki1368
    @denismerimbuki13686 жыл бұрын

    Dogo upo vzr

  • @breezy9398
    @breezy93987 жыл бұрын

    upo kwenye interview na unakula acha usenge we kiazi

  • @angelshirima7347

    @angelshirima7347

    7 жыл бұрын

    Benjah Magatti kwan anaomba kazi!???? acha ugoro mbaazi wew!

  • @michaelmaingi1662
    @michaelmaingi16626 жыл бұрын

    Janjaro Hujawahi nibore

  • @ramahmussa5139
    @ramahmussa51397 жыл бұрын

    Anakujaje na ugoro studiooo

  • @kesiamenyaulilaizer392
    @kesiamenyaulilaizer3926 жыл бұрын

    MALIFE DOGO JANJA UTAIKA MBALI HAHAAAAA

  • @robbycomediantz2916
    @robbycomediantz29166 жыл бұрын

    d ninomaaaaaah

  • @njaucresta2243
    @njaucresta22437 жыл бұрын

    uajiramba kama demu

  • @k.kswitzerland4168
    @k.kswitzerland41687 жыл бұрын

    All the best youngman

  • @tinomarsLive

    @tinomarsLive

    7 жыл бұрын

    Nice and strong interview.....coz it based on true story....

  • @pendomasawe163
    @pendomasawe1637 жыл бұрын

    Mmmh dogo kweli umekua maneno yako tu naona kama umekua vile napenda ulivo mkweli dah umekua mkweli dah! Ulikua unakaba matejoo ee! Aisee maisha ni safar ndefu sana

  • @guydollars334
    @guydollars3345 жыл бұрын

    Juma jux uko wp😂

  • @ombenmichael3473
    @ombenmichael34736 жыл бұрын

    Hizo grill zinakulemeaa janja

  • @shemejiwaxxl9563
    @shemejiwaxxl95637 жыл бұрын

    janja si kwa kumbukumbu hizo !!!! unafurahisha sana

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson44647 жыл бұрын

    ugolo

  • @marthamafipa5634
    @marthamafipa56346 жыл бұрын

    Dogo ugoro nini au kuberi

  • @husseinokassim3041
    @husseinokassim30416 жыл бұрын

    now unamzik mzur saaan

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma71426 жыл бұрын

    Liongo hili litoto😂😂😂😂😂😂

  • @abdalladullah57

    @abdalladullah57

    4 жыл бұрын

    Mambo

  • @jallymsemwa
    @jallymsemwa7 жыл бұрын

    huyu chalii anaongea huku anakula jojo kwa interview

  • @emmanueldottto5379

    @emmanueldottto5379

    7 жыл бұрын

    Afro chart kwani anaomba kaz

  • @angelshirima7347

    @angelshirima7347

    7 жыл бұрын

    Emmanuel Dottto hahhahahha hahah haha uwiiiiii kunywa Pepsi bariiiidi

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13657 жыл бұрын

    Yani uyu dogo naonaga uvivu hata kusikilizaga interview zake, cjui kwanini inakuwa hivi.

  • @pablomufasa84
    @pablomufasa847 жыл бұрын

    Anakula nini

  • @kevinbarnabasi7677
    @kevinbarnabasi76776 жыл бұрын

    dogo anapiga ugoro nn

  • @monicajulius905
    @monicajulius9057 жыл бұрын

    jaman dogo janja umenichekeshaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @sukaliyawalembo6809
    @sukaliyawalembo68096 жыл бұрын

    Harmonazy

  • @mbaudaibaraka2927
    @mbaudaibaraka29276 жыл бұрын

    akipiga ugoro yanauz nyie

  • @mamymy2256
    @mamymy22566 жыл бұрын

    unajua kuongea

  • @jacklinefilibet5741
    @jacklinefilibet57417 жыл бұрын

    🙌

  • @ridiayohana9311
    @ridiayohana93117 жыл бұрын

    Dogo unakula ugolo au pozi nishidaaaaaaaaa

  • @umojamedia4167
    @umojamedia41676 жыл бұрын

    Huyu dogo anakula pumbu

  • @umojamedia4167

    @umojamedia4167

    6 жыл бұрын

    Msango

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma6887 жыл бұрын

    Halima mohamed meno hayo ya 2500 mimi ndo maana sipendi kusikiliza vipi vyake

  • @asuutherapper2908

    @asuutherapper2908

    7 жыл бұрын

    Rahima Juma kanunue nawewe uvae

  • @shebbywao3967
    @shebbywao39676 жыл бұрын

    wanaotambia nguo wamechelewa kuja mjin

  • @semanasitv8303

    @semanasitv8303

    6 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @allydossa4555

    @allydossa4555

    5 жыл бұрын

    Noma xana

  • @rehemasalima2150
    @rehemasalima21507 жыл бұрын

    nimekupenda Sana. niwachache wanaotoa Siri za maisha yao

  • @therealmsopa
    @therealmsopa7 жыл бұрын

    huyu dogo bangi anayokula inachanganwa na mbolea aisee...hahahaha he z funny

  • @bone102
    @bone1027 жыл бұрын

    Dogo janja nmependa interview yako umejibu vizuri

  • @gottaboy4178
    @gottaboy41787 жыл бұрын

    msaanii no moja anae pendeza east Africa, ha! ha! ha! ha! ha!.....

  • @shemejiwaxxl9563
    @shemejiwaxxl95637 жыл бұрын

    janjalo we noma kwa maneno hatareee

  • @suitbertmaro5792
    @suitbertmaro57927 жыл бұрын

    😅😅😅

  • @jacquemasemotozby6639
    @jacquemasemotozby66397 жыл бұрын

    dg janja acha uongo sema tu ukweli kuwa umepata alama iyo shingoni kwajili yawanawake mm nakujuwa sana nimeshanga mpaka ilipitiya kuwa mwana mziki najapokuwa ulikuwa natabiya mbaya sana

  • @wilfredjohn85
    @wilfredjohn857 жыл бұрын

    Janja hii meno inakusumbua bado hahahahah #NomaSanaMchugganian

  • @fetilishazomar4799
    @fetilishazomar47997 жыл бұрын

    😂😂😂😂 jamn wewe

  • @jacquemasemotozby6639
    @jacquemasemotozby66397 жыл бұрын

    dogo mm nauliza ivi nasikiya unasema eti uko staar simbaya kwanini unachelewa kutowa mziki tunasubiri nyimbo mpya acha mawenge dogo janja

  • @faithstar833
    @faithstar8337 жыл бұрын

    ahahaaa interview tamu hii

  • @tatunaally1510
    @tatunaally15107 жыл бұрын

    Hahahahahahaaa

Келесі