Dogo Janja alivyomkimbia P FUNK baada ya kuona msg za mapenzi kwa Paula
Ойын-сауық
Dogo Janja ameeleze ishu yake kwanini waligombana na Majani ilikuaje mpaka akaacha viatu vyake nyumbani kwa produce Majani, nani alimpeleka tena kwa majani kila kitu nimekiweka hapa.
Пікірлер: 139
Good interview. ..dogo awe casual anameza mate kila neno atoe vitu anavyovaa kwenye meno au anatumia kilev gan kinachotoa mate kila dakka. .pia kwenye vdole apunguze mapete mengi mikonon just avae moja smart. ...all n all keep it up dogo unajitaid sana kaza.
@joshuakinabo6861
2 жыл бұрын
Yuko na meno ya gold
Kuna nn mdomoni dogo...nice interview umekuwa mkweli
@wamoroboy8963
2 жыл бұрын
🤓
huyu milad Ayo,anamuangalia kweli huyu dogo mwambie tu ukwelihayo meno hayamfai
Aaah plz dogo vua hayo meno pkz bro ai bro huwezi ongea ukiwa nayo bro. 🤞😪😪😪😪😪😪😪 napenda unavyo ongea kiarusha but umeboa nahayo meno kama wala pipi au umepigwa ngumi
@patricksilva3722
5 жыл бұрын
Umesema kweli.
Bongo kunawatu wanakipaji cha uhater asee ata hii utakuta wanachukia duuuu
dogo upo powa saaana nakukubali saana .
dogo janja hayo meno kila siku mmh ww utakuwa unamapengo ww maana hayo meno mpaka domo limekuwa zito
unavaa vaa hayo meno bandia halafu yanakuteeeesaaaa, mi nilijua unamung'unya pipi bn
WATANZANIA WENGI HAMJITAMBUI NAONA WENGI MNA ONGEA KUSH SIANA NA MENO YA DOGO NYIE MNACHOPASWA KUKIFAHAMU KWAKE NI KUHUSIANA NA MAISHA YAKE SWALA LA KUWA ANA MENO SJUI ANA NINI HAYAWAHUSU NYIE MNAZINGUA SANA EMBU ACHENI USHAMBA BADILIKENI
@asiasudi1338
5 жыл бұрын
Obei kweli wanazidi
@winnyeduhawezkufaczndctlin3535
3 жыл бұрын
Watu wengne bhn hawajitambui meno ya kwake lips za kwak nyie inawahux achen uxhamb wa kufuatilia watu
ni moja ya kijana mwenzangu anaejifanyaga na kunipa funzo kuwa maisha hayaitaj kukata tamaa namkubal sana Abdur kachaa#dogo janja
Nakukubali sana dogo janja wenimkali hutumiinguvu kuendelaza kipaji chako ni miakili mingi tu
Haha Boy I like You Since Day 0ne❤️🇰🇪💥👊🏾
janja umetisha sana mwana Leo nimeangalia hiki pind nimechka sana
Meno ya dhaabu ndio mdomo unakuwa mzito
nyinyi kwa Kuwiga doh meno yameshinda Mdomo ushambaa tu
@sweetmama3242
7 жыл бұрын
Umm Ali 😆😆😆😆😆😆😂
@fahadiabdalla7677
4 жыл бұрын
Umm Ali .
Sitaki kucheka sana dogo janja unaongea kama mtoto mdgo yaani utasema meno huna mdomon namuona milad ayo yuko poa sana anaongea good tatz wew dogo
Linajuwa hilo we liache2
Grillz ni tatizo ... Nadhani sio kila kiatu kina mtosha kila mtu pengine kikakutosha ukashindwa ku make a step.
Dogo wewe comedian, nimecheka Sana😁😁😁
dogo ana meni ya kichugga, alaf anavaa grill kwa meno tena???? yesuuuu...
@danielshuma4818
7 жыл бұрын
me nashangaa wakati wamarekani waliona meno yetu ndio wakaenda kufanya yale feki.
Dogo unzingua bhana hayo meno ya kazi gani mdomo umekuwa mzito kama pumbu
@edwarddaniel5683
7 жыл бұрын
hahahahahahahahahahahahahha
@therealmsopa
7 жыл бұрын
hahahahahahaha
@danielshuma4818
7 жыл бұрын
hahahhahaaaa
@semanasitv8303
6 жыл бұрын
😂😂😂😂
vzr
mild next time usifanye interview na madogo kama hawa wasiojielewa hamna cha kugain hapo, toto jinga sana hili
anavyoongea DG ananikumbusha nikiumwaga Yale meno yamagego nyama zinavyobanana mate yananijaa nashindwa ht kuongea duuuu! DG sikwaswaga hy
sasa mdogo wetu izo gleress wa2 wanawekaa wakiwa out sasa ww unashindwaaa mpka kuongea unaongea km unakula ugoroooooooo mdog we2
dogo good uko vizuri
Co ugoro wanashobokea meno ayo😂😂😂😂
janjaro toa ayo meno bana unazngua
huyu fala sana unamung'unya meno kiboya kama mavitu mengine hamuyawezi acheni
kuanzia nimezaliwa sijawahi kuona mshamba kama huyo, muongo sanaaaaaaa anadanganya alafu wahuni wa ukweli hawaongeai u k kama huo
@winnyeduhawezkufaczndctlin3535
3 жыл бұрын
Duuh
kavaa mimeno mpaka hawez kuongea
huwa sielewi anacho kula cjui poz wallah ata cjui EMB nisaidieni jamn anaye faham
halafu saivi yameoana.....😂😂😂
Eti niliingiza mis yan nimecheka xna aise😅😅😅😅😅
Dogo kasome kwanza mziki baadae
nakukubali sana chali wa home kwtu
struggle 4 win dogo Jaja.
janj nzuri hiyo
Dogo unaongea huku unakula gomba
dah chalii angu unanifurahisha ila unaboa kwenye hio mijino mdomoni kama unakula ugoro aisee hata ukiongea sioni Vibes zako aisee chalii wa bibi yani kama umebwia Ganzi ipo mdomoni unapima geji mdogomdogo hahahahaha mengine ni full kinyulaaa mzee kali yake chali wangu
Afadhali ya huyu anajitambua pamoja na grillz zake anajibu kile anacho ulizwa kuliko yule young anae lamba lamba lips akiongea kama anasinzia
Safi kachaa Wangu
We dogo unapendeza kitu gani? choko tu huna lolote kuimba hujui choko we muachie young killer mume wako choko we.
Janja wewe ni noma
kabwia ugoro nn hyo dogo
@rodakazungu9685
7 жыл бұрын
duuuuuuuu
@monicamasanja5498
7 жыл бұрын
hahahahahahah...
@jojoinarukundo3110
6 жыл бұрын
Mengi Mswaki hahahahaha
@mumbayeashata993
6 жыл бұрын
Mengi Mswaki 🤣🤣🤣🤣🤣 kachafua meno eti
hahahaa dogo umeniangusha ase ....
yani abduli umenichekesha leoo hahahahaaa
Janja unamumunya nini Eroh! Kama mdomo umelemewa hivi
uura Chalii wen kwere atawakiponda
naona mdomo hauwezi kama amechoma shindano ya gazi
Duuh janja unachekesha sana
😧😧😧nimetapika walay
hayo meno kijanaaa yatakuuwa maana una kwama !!!
Dogo ni Dogo tu,
Napataje mawasiliano ya ayo tv
Janjalo anaongea kama msambaa coz of grillz kwa meno!!!.
@mariahhaule4102
7 жыл бұрын
Edward Mwombeky umenichekesha
@neymarmbilinyi9735
6 жыл бұрын
haahhahaa
Meno kaanza mondi akaj kutoa nawew umewk unatatizo ya meno yak yamepinda au ni fashion
sasa unaogea kama unamate mdomoni ushamba tuu ovyoooo
@sampeter360
7 жыл бұрын
we dog nirudishie mb zangu
vp dogo mbona unaongea kama unamapengo ama unakula ugoro maana machalii wa ar ndo zao kula ugoro.
Dogo upo vzr
upo kwenye interview na unakula acha usenge we kiazi
@angelshirima7347
7 жыл бұрын
Benjah Magatti kwan anaomba kazi!???? acha ugoro mbaazi wew!
Janjaro Hujawahi nibore
Anakujaje na ugoro studiooo
MALIFE DOGO JANJA UTAIKA MBALI HAHAAAAA
d ninomaaaaaah
uajiramba kama demu
All the best youngman
@tinomarsLive
7 жыл бұрын
Nice and strong interview.....coz it based on true story....
Mmmh dogo kweli umekua maneno yako tu naona kama umekua vile napenda ulivo mkweli dah umekua mkweli dah! Ulikua unakaba matejoo ee! Aisee maisha ni safar ndefu sana
Juma jux uko wp😂
Hizo grill zinakulemeaa janja
janja si kwa kumbukumbu hizo !!!! unafurahisha sana
ugolo
Dogo ugoro nini au kuberi
now unamzik mzur saaan
Liongo hili litoto😂😂😂😂😂😂
@abdalladullah57
4 жыл бұрын
Mambo
huyu chalii anaongea huku anakula jojo kwa interview
@emmanueldottto5379
7 жыл бұрын
Afro chart kwani anaomba kaz
@angelshirima7347
7 жыл бұрын
Emmanuel Dottto hahhahahha hahah haha uwiiiiii kunywa Pepsi bariiiidi
Yani uyu dogo naonaga uvivu hata kusikilizaga interview zake, cjui kwanini inakuwa hivi.
Anakula nini
dogo anapiga ugoro nn
jaman dogo janja umenichekeshaaaa😂😂😂😂😂😂
Harmonazy
akipiga ugoro yanauz nyie
unajua kuongea
🙌
Dogo unakula ugolo au pozi nishidaaaaaaaaa
Huyu dogo anakula pumbu
@umojamedia4167
6 жыл бұрын
Msango
Halima mohamed meno hayo ya 2500 mimi ndo maana sipendi kusikiliza vipi vyake
@asuutherapper2908
7 жыл бұрын
Rahima Juma kanunue nawewe uvae
wanaotambia nguo wamechelewa kuja mjin
@semanasitv8303
6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@allydossa4555
5 жыл бұрын
Noma xana
nimekupenda Sana. niwachache wanaotoa Siri za maisha yao
huyu dogo bangi anayokula inachanganwa na mbolea aisee...hahahaha he z funny
Dogo janja nmependa interview yako umejibu vizuri
msaanii no moja anae pendeza east Africa, ha! ha! ha! ha! ha!.....
janjalo we noma kwa maneno hatareee
😅😅😅
dg janja acha uongo sema tu ukweli kuwa umepata alama iyo shingoni kwajili yawanawake mm nakujuwa sana nimeshanga mpaka ilipitiya kuwa mwana mziki najapokuwa ulikuwa natabiya mbaya sana
Janja hii meno inakusumbua bado hahahahah #NomaSanaMchugganian
😂😂😂😂 jamn wewe
dogo mm nauliza ivi nasikiya unasema eti uko staar simbaya kwanini unachelewa kutowa mziki tunasubiri nyimbo mpya acha mawenge dogo janja
ahahaaa interview tamu hii
Hahahahahahaaa