JANJARO KAFUNGUKA KUMILIKI MJENGO MKALI, AWATAJA RECHO NA LINAH "MIMI NA MAMA YANGU HATULIPI KODI"

Пікірлер: 110

  • @yuzotv458
    @yuzotv4582 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😉😂😂Ebhana Janjaro umetisha sana,yaani umeongea kichuga kabisaaaaa man.

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg43902 жыл бұрын

    Janjaroo bana nampendaga, ananyooshaga maneno

  • @marymahiri1995
    @marymahiri19952 жыл бұрын

    Linah umeshakua mama sasa nini hicho unavaaa jaman dunia simama nishuke

  • @theresiacostantine132
    @theresiacostantine1322 жыл бұрын

    shetani ananguvu sana juu ya lina unawaaibisha sana wazazi wako umri umeenda hupendezi

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella9972 жыл бұрын

    Janjaro umekiwasha vile inatakiwa♥️💪💪

  • @sofiskifamily306
    @sofiskifamily3062 жыл бұрын

    Dogo janja salute 🔥🔥🔥 amezungumza so wisely.

  • @peaceofmind7036
    @peaceofmind70362 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kwako janjaro

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate14882 жыл бұрын

    Lina anatangaza umalaya #Tanzania kabisa wasanii Ni kioo Cha jamiii Ila uyo so kiooo watotozetu waige kupitia yeye anakosea kabisa ✋🙌

  • @lodrickmwambene133

    @lodrickmwambene133

    2 жыл бұрын

    Hapana ni kwamba alivyovaa ni Tanzania hawajazoea sio mila na desturi ila dunia inabadirika

  • @saumurashid5232
    @saumurashid52322 жыл бұрын

    Janjaro big up

  • @mkudembeteni7667
    @mkudembeteni76672 жыл бұрын

    Duuh!! kweli kuzaa siyo kupata!! Poleni wazazi wa Lina..

  • @judithcha-mushala8852

    @judithcha-mushala8852

    2 жыл бұрын

    Halafu ni mtu mzima

  • @oscarsteven2528

    @oscarsteven2528

    2 жыл бұрын

    @@judithcha-mushala8852 Ninavowaambia Baba yake lina ni mzeee wa kanisa

  • @judithcha-mushala8852

    @judithcha-mushala8852

    2 жыл бұрын

    @@oscarsteven2528 hatakuwa anaumia sana kwa hii Aibu, MUNGU amsaidie

  • @oscarsteven2528

    @oscarsteven2528

    2 жыл бұрын

    @@judithcha-mushala8852 Mimi na FAMILIA ya mzeee Sanga tupo jiran huku mpiji magoe. Lina aliwai kumnunulia Baba yake gar ila kutokana na tabia zake mzee akalikataa.

  • @judithcha-mushala8852

    @judithcha-mushala8852

    2 жыл бұрын

    @@oscarsteven2528 du! Mzee ana msimamo sana.

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu28872 жыл бұрын

    Arafu wandishi wa Habari mnamsifia kapendeza wkt yupo uchi.

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele90752 жыл бұрын

    Mtu yupo uchi unasema umependeza sana, amependeza kuwa uchi au!?

  • @happylynguya3464

    @happylynguya3464

    2 жыл бұрын

    Nilijua sijaona vizuri jamani daaah!

  • @yasiniselemani8672

    @yasiniselemani8672

    2 жыл бұрын

    daah huyu Dem boys xn

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga94892 жыл бұрын

    yaaani hii nyandu ya chuga ni 🔥🔥🔥

  • @husseinadolf9500
    @husseinadolf95002 жыл бұрын

    Chuga kama Chuga 💪💪💪💯💯💯

  • @frankfelix3876
    @frankfelix38762 жыл бұрын

    Dogo janja nakukubari sana chariiii anguuuu

  • @estershilla1221
    @estershilla12212 жыл бұрын

    Ni kweli dogo janja ananyumba kali na yuko poa san hana roho mbaya hata ukimkut popote ukimwita lazim akuitikie ,kipind kile anajenga nilikutn nae nikajua dogo hana roho mbaya

  • @kakaaignas3675

    @kakaaignas3675

    2 жыл бұрын

    Ajapanga

  • @nesto3587
    @nesto35872 жыл бұрын

    Mitungi sana dogo😂😂

  • @flova7022
    @flova70222 жыл бұрын

    Janjaroo ni janjaa Sana Huyu broo

  • @ramadhanmtoo245
    @ramadhanmtoo2452 жыл бұрын

    iv Lina kakutwa na nn jamani mbona zaman akua ivyo

  • @deskorydominick3218
    @deskorydominick32182 жыл бұрын

    Ni Mungu 🙏

  • @trendvibeke
    @trendvibeke2 жыл бұрын

    Iko love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @surusuru1994
    @surusuru19942 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @mghazamghaza3361
    @mghazamghaza33612 жыл бұрын

    Your voice still the same..ndogo njanja nakupenda sanaaa

  • @maryamtan682

    @maryamtan682

    2 жыл бұрын

    Mbona yuko uchi, hivi watu wa sheria wk wapi.

  • @edinachami4318
    @edinachami43182 жыл бұрын

    Lina kaamua kuvaa chakuogelea🤣🤣

  • @collo__5455
    @collo__54552 жыл бұрын

    Chali wa Ara umetisha sana

  • @superwhitetz3258
    @superwhitetz32582 жыл бұрын

    Good

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay59742 жыл бұрын

    Lol linah umevaa nini mpz maana sijaelewa au machoyangu mabovu jmn ndugu zangu mmeona kama Mimi au ?

  • @nkwimbakipili8044

    @nkwimbakipili8044

    2 жыл бұрын

    Iina yuko kabisa jaman! Kumbe wa iringa ndo maana kamaa

  • @nkwimbakipili8044

    @nkwimbakipili8044

    2 жыл бұрын

    Lina yuko uchi

  • @user-br3sc8bm4t

    @user-br3sc8bm4t

    2 жыл бұрын

    Badilika Lina ttzo nn Allah amekupendelea sura na umbo linaloonekana hata usipoliacha wazi unaonekana na kama ipo ipo tu ushakuwa mama vp mwanao akijaona umeziba papa na kiganja cha mkono ?tujipandishe basi kwa kujistiri mbona tunajisha mno?

  • @chotukikoko2222
    @chotukikoko22222 жыл бұрын

    Kwna janja n heroo

  • @ivonmalay6328
    @ivonmalay63282 жыл бұрын

    Kubali sana janjaro

  • @lucymtuka6393
    @lucymtuka63932 жыл бұрын

    Heh! 😭😭Jmn ama kweli kioo cha jamii Sasa angevua na iyo ya juu

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    2 жыл бұрын

    Yaaan dunia inatupeleka puta sana

  • @hagarbills4023
    @hagarbills40232 жыл бұрын

    salute godo janja

  • @stn4873
    @stn48732 жыл бұрын

    Janjaroooooooo

  • @amosmwanaume5923
    @amosmwanaume59232 жыл бұрын

    Daah dogo cha Arusha kishamkolea

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum23022 жыл бұрын

    Astaghfirullah huyu lina

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57722 жыл бұрын

    Malaya. Njaa kali hawa wanavaa kwa ajili ya kujiuza ili afaftwe na wanakuwa wananuka chini mana cha wote

  • @frankmushi8892
    @frankmushi88922 жыл бұрын

    Kweli

  • @agnesagnes1128
    @agnesagnes11282 жыл бұрын

    Mhhh uchi kbsaaa

  • @muslimtv694
    @muslimtv6942 жыл бұрын

    Kalewa tayari

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz9342 жыл бұрын

    janjaroooo

  • @flova7022
    @flova70222 жыл бұрын

    Ila nyi watu WA chuga dahhh

  • @letisiamakonda3873
    @letisiamakonda38732 жыл бұрын

    Duuh Linah👐

  • @reenytv297
    @reenytv2972 жыл бұрын

    Lin umevaa nn jomn daaah I R p Lina,😭😭😭

  • @nihadsalim337
    @nihadsalim3372 жыл бұрын

    😘😘😘😘😘😘

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29832 жыл бұрын

    Toba ya Maulana, wanawake tutafika mbinguni tumechoka sana. Linah upo uchi😳 Allahu Akbaru

  • @Kijosh854
    @Kijosh8542 жыл бұрын

    Nikawaida usifie sana😅😅weraa ngare naro

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha67552 жыл бұрын

    , _، lina upo uchiiiiiiiiii

  • @JumaaNdululu
    @JumaaNdululu2 жыл бұрын

    Mambo yanakua mtswano🤣

  • @stevefuraha7550
    @stevefuraha75502 жыл бұрын

    Janjarooo

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg43902 жыл бұрын

    Linah loooh 🤧🤧

  • @mwalimualiaminialiamini8623
    @mwalimualiaminialiamini86232 жыл бұрын

    Sa linah kavaa nn😂😂😂

  • @SandraAFmgaya
    @SandraAFmgaya2 жыл бұрын

    Kwani lna kavaa nn jaman waungwana,au m ndo sielew chenyewe amevaa

  • @dottombwilo4317
    @dottombwilo43172 жыл бұрын

    Upo. Uchi

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc89412 жыл бұрын

    Hakir sana dogo

  • @Qqambaa
    @Qqambaa2 жыл бұрын

    Kama kawaida ukinisifia utachoka

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel14022 жыл бұрын

    Mmm! Lina mbona uchi jamani mtoto wa mchungaji

  • @ameirdarueshi2593

    @ameirdarueshi2593

    2 жыл бұрын

    Muche achunge sasa

  • @womanofsteel1402

    @womanofsteel1402

    2 жыл бұрын

    @@ameirdarueshi2593 Ongea kiswahili ueleweke

  • @kellymwegelingoha.3306
    @kellymwegelingoha.33062 жыл бұрын

    Hawa wote ni wasifu ngono na pombe tu

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi25762 жыл бұрын

    Mtihani mwanamke wa kiafrika inabidi mjitambuwe

  • @jasminishafii5478
    @jasminishafii54782 жыл бұрын

    mwanzoulikuwa unajiheshimu sasaiv umliunasonga ngoziinachaka ndounajiwekauchi wakatimwanzo ulivyokuwa binti ulikuwaunajistili mbonaumechelewa au unapiga kitucha arusha mana majaninayohayanaga kazimbovu kichwani yn upouchi alafuunajiona umevaa😂😂

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93132 жыл бұрын

    Mtangazaji achana kuuliza maswali nyumba, ni ushamba

  • @agnestemu8382
    @agnestemu83822 жыл бұрын

    Linah

  • @jointjoint4507
    @jointjoint45072 жыл бұрын

    Huyu lina kavaa nini mh

  • @idinado4524
    @idinado45242 жыл бұрын

    Kawaida ya Lina kuvaa ovyoo

  • @jay-nyeye1900
    @jay-nyeye19002 жыл бұрын

    Saf Janja

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamriАй бұрын

    Linah unaambiwa ni chupi mkononi

  • @naomybenedict1787
    @naomybenedict17872 жыл бұрын

    Kwan kukaa uchi ndo uzuri au nn

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Lina iyo nguo😂😂😂mtu unazeeeka unakaa uchi

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo46082 жыл бұрын

    Lina kavaa au hajavaa??!!!

  • @sashahauke2032
    @sashahauke20322 жыл бұрын

    Huyu lina kavaa nini jamani ujapendeza hataaaaaaaa

  • @kaisamjunior3692
    @kaisamjunior36922 жыл бұрын

    BARBERIAN PARK GO KART @ DAR ES SALAAM TZ

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema23022 жыл бұрын

    Sasa kam Gigi alifungiwa kwa nn uyo mshezi lina asifungiwe?

  • @hsamdiyay4724
    @hsamdiyay47242 жыл бұрын

    Amelewa pombe

  • @maryamsaid3297
    @maryamsaid32972 жыл бұрын

    Huyu lina mzimakweli

  • @elishaelisha6755

    @elishaelisha6755

    2 жыл бұрын

    Mkinga boyaaaaaa

  • @rehemavickie6521
    @rehemavickie65212 жыл бұрын

    Lina hajavaa!?

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd89412 жыл бұрын

    batta boy

  • @abdulywakitaa4448
    @abdulywakitaa4448 Жыл бұрын

    AKON

  • @abdulywakitaa4448
    @abdulywakitaa4448 Жыл бұрын

    AKON BOY

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Afungwe huyu lina 👂😏😏😏

  • @mikeotada1690
    @mikeotada16902 жыл бұрын

    Uko ki chugga zaidi

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo28672 жыл бұрын

    Poda zisinge kuwepo wadada wangekimbia

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa8472 жыл бұрын

    Huyo Mdada alipe cement mifupa30 siyo mavazi hayo

  • @alreadyblessed3474

    @alreadyblessed3474

    2 жыл бұрын

    Tena wanakotoza hiyo mifuko ya cement ndio kwao asilia

  • @theblessedone7526
    @theblessedone75262 жыл бұрын

    Sasa Lina kavaa nini jamani? Avue nguo zote atembee Lipapa nje Malaya huyu. Yani hajiheshimu kabisa na umri wake ulivoenda

  • @daudichoma2814
    @daudichoma28142 жыл бұрын

    KAMA UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona kama hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu. Sasa kama unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0KAMA UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona kama hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu. Sasa kama unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe. Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0786853348 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote. nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.

  • @DM_15
    @DM_152 жыл бұрын

    Naona lina anatamani atembee uchi kabisa

Келесі