Salama Na DOGO JANJA Ep 34 | YENTE Part 2
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Nakumbuka mara ya kwanza kukutana na Dongo Janja enzi hizo akiwa mtoto kabisa na hata kwenye viduara vyetu alikua anakaa mbali maana havikua vinamhusu. Kukua kwake kwenye macho yetu wakati mwengine inatufanya tuwe tunadhani kama tunamfahamu sana au tuna haki sana ya kujua kila kitu kwenye maisha yake na kumhukumu kwa maamuzi mengine ambayo sisi kama sisi hatujayapenda, tunasahau kama hayo ni maisha yake na ana haki ya kujifunza kwa kukosea na kukaa sawa kama ambavyo yuko sasa.
Jina la serikali ni Abdulaziz Abubakar Chende aka JANJARO, sio DOGO JANJA tena, sasa ana miaka 25. Unakumbuka mara ya kwanza kumuona au kusikia kuhusu yeye? Basi toka siku hiyo mambo yamebadilika sana sana. Ya ki maendeleo na ya ki binafsi kama binadamu. Kwasababu mimi ni Dada yake ilibidi turudi nyuma kidogo maana sijamuona siku nyingi so nilitaka ku catch up wazungu wanasema. Kwanza nimeona kwa ukaribu kama hana tena ile sura ya ki toto na confidence yako ni ya mtu aliyepitia kadhaa na akajifunza juu yake.
Khadithi kuhusu siku ya kwanza alipofika hapa jijini Dar es Salaam, alifikaje? Alikuja kufanya nini? Je yeye kujulikana akiwa na umri mdogo anadhani kumemtegenezea maisha yake au kumemzigua? Mahusiano yake na Rais wa Manzese, TIp Top Connection na pia kuhusu elimu ambayo kwa kipaji chake ni kama alikua akiipata kwa bei nafuu tu. Ilikuaje mpaka akashindwa kabisa kumaliza? Miaka si mingi pia alimpoteza Baba yake mzazi ambaye kwa mujibu wa Abdul walikua ni watu wa karibu sana na kifo chake kilimgusa ki vyengine sana.
Kuna suala la ndoa ambayo wengi wetu tulidhani ilikua kama geresha ivi au Kiki kama wasemavyo watoto wa mjini. Kumbe ilikua na ukweli kabisa na wawili hao walikua wameshibana mpaka wakaona waoane tu. So nini kilitokea hapo mpaka sasa hawako pamoja? Kwanini anadhani ilikua habari kubwa ambayo ilikua Ina nenda rudi nyingi? Je ana majuto yoyote kuhusu suala hili kwa ujumla yeye kama yeye? Na vipi kuhusu maisha yake ya sasa? Ana furaha? Aliye naye anadhani ndo wa kweli kwake? Pia kuna suala la muziki na umaarufu na suala la Mama yake na mahusiano yao kama Mama na mtoto wake.
Janjaro kakua na nimeliona hilo kwa jinsi tu anavyojibeba na anavyojielewa, hana papara katika kujibu maswali na kutafakari vitu, na kwa asilimia 100 naamini limetokana na kukaa na Madee karibu kwasababu nimeambiwa katika watu wenye busara na maamuzi ya kuto kukurupuka kwenye vitu basi Rais wa Manzese naye yumo. Napenda kumpogeza kwa kukuza na kuendelea kumsuka kijana awe kati ya binadamu bora. Nakutakia utazamaji mwema kwenye kipindi hiki na yangu matumaini utajifunza jambo na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 125
Huyu kijana yuko vizuri sana, anajua kujieleza na kujibu sawasawa, hana papara kama baadhi ya vinana wengine. Anafaa kushiriki vikao vya watu wazima kuzungumzia mambo mazito
Nimependa dada salama haujamuita abdul dogo janja 😍😍😍😍😍😍 Now I have millions of respect kwa janjaro...... amekuwa so matured na Mungu ambariki katika kazi za mikono yake
YES,he is now grown up..he speaks as a real matured,congrats Janja
@benadyjoseph4922
3 жыл бұрын
Saf janja
Show kubwa nnayoipenda YAHSTONe🙌 Janja kaongea.kwa hekima sana kweli amekuwa congrat
From kenya i salute to you Salama on how you interview dogo na vile amejieleza kijasiri.
Yeah sure semaa when t comes to interview Salama ur one of the best presenter and the right job wish upatee tv station this shows ziende live...
Hongera Dogo janja umekuwa na una hekima pia Mungu akucmamie kwenye kazi zako
Dah yupo vzur mnooooo!!! Kwa hii interview anajtambuaa mnooo!!
salama n crush wang aiseeeee. mungu akupe maisha marefu just niwe nakuona tu
Aisee Chali ya RChuga uko makini 👏🏿
Dogo janja ni msanii ambae yupo na attitude ya tofauti sana tofauti na wasanii wengine ambao nimewahi pata kuwasikiliza kama akina lunya,msodoki au harmonize..Dogo janja is more than artist nikimaanisha Ana upeo mkubwa sana.
Chemchem ni bora kuliko mafuriko Ni sawa na moja mara mia kuliko mia mara moja
Interview nzuri sana hii dogo janja kakua kiakili anajibu vzr maswali sana kwa busura.
Nice one Abdul amekomaa akili mpka life vile inampeleka anaikubali, shutout to samaki samaki na salama👍
Chalii ya chuga gonga like kama umetokea chuga A town
Nice interview.. dogo amekuwa sana 👌🏼
Uyu Jamaa n mchuga aseee, very real. Tunajivunia Masta ✊🏾
Ni Willy from Burundi msani wakizazi amabe nakubali sana tanzania ni uyo dogo namkubali sana ni Dogo ambae anajielewa sana nampenda sana
@SalamaDegenereus since Golden age you are so great in this field 🔥🔥🔥amazing Talented ⭐️ Janjaro sio dogo tena 😍 Broh aisee kila kauli ulizo sema zimepita chuo ✅✅ ulimi wako umeunganika na ubongo (akili) so wonderful ✨ Salama we LOVE YOU 😘
Nina selfie na dogo janja from KIA. Nilifurahi siku nilivyomuona airport nyuma yangu nikamuomba tuselfike! I'm glad to see him on the show! Love his songs haswa na Jide!
bonge la shoo .. sio mtu anaulizwa be anajibu .. te janjaa smart sana ongera bro tunafatilia shoo ugaiibunn yann hadii unafurahii
Salama for me, u are a legend, you inspire me since long time,proud of u sister.(Love from a burundian to France)
Great interview...Ila the fact kuwa lzm mwanamke avumilie kila balaa ndo awe defined kuwa mwanamke bora still leaves me speechless😩
@redemptafesto8415
3 жыл бұрын
Also me for real
@ceomaddymonroe3468
3 жыл бұрын
Agreed this baffles me a lot 😪😭
Dogo ana hekima mno🙌🏽 BORA CHEMCHEM KULIKO MAFURIKO✊🏽 tuletee Ali kamwe salama mzee wa mambo 10
Napendaga interview za janjaro 🖤
Napenda kiswahili Nimechukua neno "kufungana mota" Jah bless Janjaro uendelee kutuwakilisha akina mboyole
Nakukubali sana dogo janja
Hongera kwa kipindi auntie salama Tunaomba tuletee -Mpoki -Zamaradi
@salamana....we really appreciate and enjoy your show. Thanks and keep up
Kipindi kizur sn hongeraaa salamaaa 💯💯💯💯
Salamaaaa we nomar
One of the best YahStone Town Interview... 👌👌 Perfect
The interviewer,so graceful.And a good listener too
Nimeipenda hii interview aisee shemeji yangu nakukubali sana mungu akusimamie kwa kweli
DAH dogo janja nakukubali sana, upo sawa sana
Big up #Dogojanja nimependa sana hii interview kwani tunajifunza sisi vijana na bila kusahau #Salama be blessed.......🙏
Afadhali ya chemchem sio mafuriko ,i like it
Dogo anabusara Sana 🤗😍,anaongea point nakubali sana
Janjaroo well Answered Questions damn boy you Smart Man. With the best Interview presenter Aunty Cheupe I love this show🇹🇿❤️💜🇰🇪💓🇹🇿👐
I like this young star is humble
Hii interview ilkuwa nikii underrate mpka nimetenga mda kuitazama...big up janjaroo...Sense nyingi🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾💯💯💯💯💯💯💯
Wise sana Dogo janja 🙌🏽
Hongera sana salama, Hongera sana janjaro
Nakukubali hongera sana dogo janja
Nimependa ulivomuhamisha swali kuhusu baba yake 🙌
Nikipindi changu pendwa. Ww je?🔥🔥🔥najivunia salama na
Nice interview
Mamy salama napendaga unavyo ongea dear mom💕😘
Da Salama Naomba tuletee bushoke na Kassim Mganga
Dogo hongera, good talk!
Abdul una maneno ya hekima sana salute kwako brother 😘
Always nakukubali sana salama💕💕
Janjaro ana hekima sana 😍
Dada Salama ...FarajaNyalandu & Nancysumari natamani kuwaona/kuwasikia.
Nakupenda da salma,, hongera kwa kazi yako...
Nice
Nimeipenda sana
Interview kalii sana
Huku ndo kukua kwa akili Kweli dogo janja wew ni mwanaume coz hakuna swali ulilokosa jibu na katika yote uliyojibu umetumia hekima na busara. Kweli umekuwa na unajitambua👊 ("Kuwa maarufu haimanishi kuwa unaweza kujibu kila swali tena unachojisikia unatakiwa utambue mazingira na msingi wa swali kabla ya kujibu kile unachouulizwa na nini kitatokea baada ya wew kujibu hilo swali") Asante Salama interview nzuri
Nice 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Salama elewa mdomo unaweza kufanya kazi moja tu na sio kuongea,kunywa na kula. Nadhani mwisho kabisa wa interview ndio una introduce chakula na juices. .ila maji inabidi yawepo ili kulainisha sauti ya mahojiani. Nimafuatilia interview zako nyingi naona interviewers wako wengi wanashindwa kula na chakula kupoa kwa kuwa wanaelewa akiwa na chakula mdomoni atashindwa kuongea vyema. Hata mtume wetu Muhammad alituagiza kuwa tuwe kimya katika kula kwa kuwa kula ni ibada. Dada Salamma huo Ni mtazamo wangu huo ili kuboresha interviews zako.
@christobellndovie7060
Жыл бұрын
point
hasant san Mungu akupe afya njema na umri mrefu nizidi kujifunza
Nice interview lakn sauti ipo chini sanaa.
@nulumeshack8321
2 жыл бұрын
Ndo
@nulumeshack8321
2 жыл бұрын
Eee
🔥💯✔
Dingii yang mimi😀😀😀
Nakupenda da salama tuletee na hamisa basi mpendwa wetu
@beatricetenywa4367
3 жыл бұрын
👊
Nimeboreka sana
naomba utuletee hamisa mobeto
Mbona hamli
Salama upo vzuri hadi rahaa yaani ila usisahau vijana wa kwenu wanahitaji kuinuliwa pia
Hii soundtrack huku mwishoni ni 🔥
Next msodoki
Eti sipapendagi dar😁😁😁
👌
Kweli dogo umekua jmn
Jamani huyo msosi Tayari umepowa aise🙆🙆🙆 mbona hamli
@aloycesimon2028
3 жыл бұрын
Ww umeona msos ty??😂😂😂😂😂
@amissahassan495
3 жыл бұрын
@@aloycesimon2028 Kabisa😂😂😂
@aloycesimon2028
3 жыл бұрын
Ckuwez😂😂😂😂🙌🙌🙌
Up xaw janja
Vizuri sana Janjaro, busara zako Mungu akuongezee... Ahsanteee Salama, hivi vipindi vyatufundisha mengi sana.. Stay blessed, kipindi kiendelee mbele.
Inna lillah waina ilayh rajuun
Nasisitiza hichi kipindi kinamafunzo na heshima kwa kila anafuatilia kinajenga tabia za watu!!
Tuletee Dr kumbuka
Abduli kachaaa umekuwa dogo
We're all wise Before we speak...Dogo janja is Good..hii ni interview yake ya pili nasikiliza, akili yake ni kubwa!!
Salam mlet harmoniz
Hii shoo iko poa Sana nimeipenda
Jaaaaaanjarooooo
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Umekua Abdul
Salama tuletee Chali ya R
Salama mlete hamisa mobetto
Dogo janja wewe wa kwetu tunakukubali sanaa
Salama tuletee na zuchu bas
Salama tunamtaka mkojani ,🙏🙏
@firdausgreen1391
3 жыл бұрын
Hahahahaha mkojani banah..hatareee
Dah mwanang we jamaa una akili sana duh nimekukubali
Salama mlete nuh mziwanda
Asante salama
Umri wako bado sana dogo nenda shule usije ukajuta kwa mara nyingine hakuna jipya kwako mungu akusimamie ila upo vizur sana
@firdausgreen1391
3 жыл бұрын
Akienda skuli akafanye nini sasa????....wakati maisha anayawezea since akiwa kadogoo
@ashasiaga3197
3 жыл бұрын
@@firdausgreen1391 Nina miaka 40 sasa nilisoma had form 4 nikafeli nikaolewa nikapata bahati nikarisit mtihan mwaka 2008 nikaacha sikufunya mtihan nilikapata ujauzito mtoto wangu wapili nikasema basi tena kusoma lkn elimu inanisuta sana najuta mno kwahivi sasa nipo nchi za watu naumia sana nabahatisha kuongea lkn ningekua na elimu yangu ningekuaje. Kwahiyo ata yy itajuta tuu kwakua ameshajutia kwasasa japokua pesa anayo anafanya atakacho ila elimu itakuja kumdai tuu umri bado 25year kwa mwanaume bado sana
@firdausgreen1391
3 жыл бұрын
@@ashasiaga3197 subhaanallah pole sana all in all nilitaka kusikia utaongea nini kwa kuwa kwenye comment ya kwanza uliongea kiufupi...nilitaka kujua mawazo yako kiupana kidogo
You are so skilled on interview, appreciate you alot
Tunamuomba zamaradii