Salama Na DOGO JANJA Ep 34 | YENTE Part 2

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Nakumbuka mara ya kwanza kukutana na Dongo Janja enzi hizo akiwa mtoto kabisa na hata kwenye viduara vyetu alikua anakaa mbali maana havikua vinamhusu. Kukua kwake kwenye macho yetu wakati mwengine inatufanya tuwe tunadhani kama tunamfahamu sana au tuna haki sana ya kujua kila kitu kwenye maisha yake na kumhukumu kwa maamuzi mengine ambayo sisi kama sisi hatujayapenda, tunasahau kama hayo ni maisha yake na ana haki ya kujifunza kwa kukosea na kukaa sawa kama ambavyo yuko sasa.
Jina la serikali ni Abdulaziz Abubakar Chende aka JANJARO, sio DOGO JANJA tena, sasa ana miaka 25. Unakumbuka mara ya kwanza kumuona au kusikia kuhusu yeye? Basi toka siku hiyo mambo yamebadilika sana sana. Ya ki maendeleo na ya ki binafsi kama binadamu. Kwasababu mimi ni Dada yake ilibidi turudi nyuma kidogo maana sijamuona siku nyingi so nilitaka ku catch up wazungu wanasema. Kwanza nimeona kwa ukaribu kama hana tena ile sura ya ki toto na confidence yako ni ya mtu aliyepitia kadhaa na akajifunza juu yake.
Khadithi kuhusu siku ya kwanza alipofika hapa jijini Dar es Salaam, alifikaje? Alikuja kufanya nini? Je yeye kujulikana akiwa na umri mdogo anadhani kumemtegenezea maisha yake au kumemzigua? Mahusiano yake na Rais wa Manzese, TIp Top Connection na pia kuhusu elimu ambayo kwa kipaji chake ni kama alikua akiipata kwa bei nafuu tu. Ilikuaje mpaka akashindwa kabisa kumaliza? Miaka si mingi pia alimpoteza Baba yake mzazi ambaye kwa mujibu wa Abdul walikua ni watu wa karibu sana na kifo chake kilimgusa ki vyengine sana.
Kuna suala la ndoa ambayo wengi wetu tulidhani ilikua kama geresha ivi au Kiki kama wasemavyo watoto wa mjini. Kumbe ilikua na ukweli kabisa na wawili hao walikua wameshibana mpaka wakaona waoane tu. So nini kilitokea hapo mpaka sasa hawako pamoja? Kwanini anadhani ilikua habari kubwa ambayo ilikua Ina nenda rudi nyingi? Je ana majuto yoyote kuhusu suala hili kwa ujumla yeye kama yeye? Na vipi kuhusu maisha yake ya sasa? Ana furaha? Aliye naye anadhani ndo wa kweli kwake? Pia kuna suala la muziki na umaarufu na suala la Mama yake na mahusiano yao kama Mama na mtoto wake.
Janjaro kakua na nimeliona hilo kwa jinsi tu anavyojibeba na anavyojielewa, hana papara katika kujibu maswali na kutafakari vitu, na kwa asilimia 100 naamini limetokana na kukaa na Madee karibu kwasababu nimeambiwa katika watu wenye busara na maamuzi ya kuto kukurupuka kwenye vitu basi Rais wa Manzese naye yumo. Napenda kumpogeza kwa kukuza na kuendelea kumsuka kijana awe kati ya binadamu bora. Nakutakia utazamaji mwema kwenye kipindi hiki na yangu matumaini utajifunza jambo na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 125

  • @felixmboya6098
    @felixmboya60983 жыл бұрын

    Huyu kijana yuko vizuri sana, anajua kujieleza na kujibu sawasawa, hana papara kama baadhi ya vinana wengine. Anafaa kushiriki vikao vya watu wazima kuzungumzia mambo mazito

  • @masalugusessa3702
    @masalugusessa37023 жыл бұрын

    Nimependa dada salama haujamuita abdul dogo janja 😍😍😍😍😍😍 Now I have millions of respect kwa janjaro...... amekuwa so matured na Mungu ambariki katika kazi za mikono yake

  • @onenonetv5469
    @onenonetv54693 жыл бұрын

    YES,he is now grown up..he speaks as a real matured,congrats Janja

  • @benadyjoseph4922

    @benadyjoseph4922

    3 жыл бұрын

    Saf janja

  • @fatumamohamed7410
    @fatumamohamed74103 жыл бұрын

    Show kubwa nnayoipenda YAHSTONe🙌 Janja kaongea.kwa hekima sana kweli amekuwa congrat

  • @subirajuma2339
    @subirajuma2339 Жыл бұрын

    From kenya i salute to you Salama on how you interview dogo na vile amejieleza kijasiri.

  • @Souza_G_94
    @Souza_G_943 жыл бұрын

    Yeah sure semaa when t comes to interview Salama ur one of the best presenter and the right job wish upatee tv station this shows ziende live...

  • @paskaziamathias2117
    @paskaziamathias21173 жыл бұрын

    Hongera Dogo janja umekuwa na una hekima pia Mungu akucmamie kwenye kazi zako

  • @gracenestergabriel3472
    @gracenestergabriel34723 жыл бұрын

    Dah yupo vzur mnooooo!!! Kwa hii interview anajtambuaa mnooo!!

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd40953 жыл бұрын

    salama n crush wang aiseeeee. mungu akupe maisha marefu just niwe nakuona tu

  • @hurumampesha5005
    @hurumampesha50053 жыл бұрын

    Aisee Chali ya RChuga uko makini 👏🏿

  • @nelsonlyakurwa6422
    @nelsonlyakurwa64222 жыл бұрын

    Dogo janja ni msanii ambae yupo na attitude ya tofauti sana tofauti na wasanii wengine ambao nimewahi pata kuwasikiliza kama akina lunya,msodoki au harmonize..Dogo janja is more than artist nikimaanisha Ana upeo mkubwa sana.

  • @zakariamdeta6968
    @zakariamdeta69683 жыл бұрын

    Chemchem ni bora kuliko mafuriko Ni sawa na moja mara mia kuliko mia mara moja

  • @zaituniibrahim2436
    @zaituniibrahim24363 жыл бұрын

    Interview nzuri sana hii dogo janja kakua kiakili anajibu vzr maswali sana kwa busura.

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24233 жыл бұрын

    Nice one Abdul amekomaa akili mpka life vile inampeleka anaikubali, shutout to samaki samaki na salama👍

  • @mourinemsafirijoram5478
    @mourinemsafirijoram54783 жыл бұрын

    Chalii ya chuga gonga like kama umetokea chuga A town

  • @winnieurio5358
    @winnieurio53583 жыл бұрын

    Nice interview.. dogo amekuwa sana 👌🏼

  • @amaniyasini6690
    @amaniyasini66903 жыл бұрын

    Uyu Jamaa n mchuga aseee, very real. Tunajivunia Masta ✊🏾

  • @willmofimboyamusa9049
    @willmofimboyamusa90493 жыл бұрын

    Ni Willy from Burundi msani wakizazi amabe nakubali sana tanzania ni uyo dogo namkubali sana ni Dogo ambae anajielewa sana nampenda sana

  • @harshmychannel9107
    @harshmychannel91073 жыл бұрын

    @SalamaDegenereus since Golden age you are so great in this field 🔥🔥🔥amazing Talented ⭐️ Janjaro sio dogo tena 😍 Broh aisee kila kauli ulizo sema zimepita chuo ✅✅ ulimi wako umeunganika na ubongo (akili) so wonderful ✨ Salama we LOVE YOU 😘

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita3 жыл бұрын

    Nina selfie na dogo janja from KIA. Nilifurahi siku nilivyomuona airport nyuma yangu nikamuomba tuselfike! I'm glad to see him on the show! Love his songs haswa na Jide!

  • @abdulkhamis6683
    @abdulkhamis66833 жыл бұрын

    bonge la shoo .. sio mtu anaulizwa be anajibu .. te janjaa smart sana ongera bro tunafatilia shoo ugaiibunn yann hadii unafurahii

  • @bellarmeeuma1653
    @bellarmeeuma16533 жыл бұрын

    Salama for me, u are a legend, you inspire me since long time,proud of u sister.(Love from a burundian to France)

  • @rahmaakida1909
    @rahmaakida19093 жыл бұрын

    Great interview...Ila the fact kuwa lzm mwanamke avumilie kila balaa ndo awe defined kuwa mwanamke bora still leaves me speechless😩

  • @redemptafesto8415

    @redemptafesto8415

    3 жыл бұрын

    Also me for real

  • @ceomaddymonroe3468

    @ceomaddymonroe3468

    3 жыл бұрын

    Agreed this baffles me a lot 😪😭

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino673 жыл бұрын

    Dogo ana hekima mno🙌🏽 BORA CHEMCHEM KULIKO MAFURIKO✊🏽 tuletee Ali kamwe salama mzee wa mambo 10

  • @allymatilda7519
    @allymatilda75193 жыл бұрын

    Napendaga interview za janjaro 🖤

  • @baiduhawa565
    @baiduhawa5653 жыл бұрын

    Napenda kiswahili Nimechukua neno "kufungana mota" Jah bless Janjaro uendelee kutuwakilisha akina mboyole

  • @allantmusic5988
    @allantmusic59883 жыл бұрын

    Nakukubali sana dogo janja

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa43673 жыл бұрын

    Hongera kwa kipindi auntie salama Tunaomba tuletee -Mpoki -Zamaradi

  • @mohamedkhamis5443
    @mohamedkhamis54433 жыл бұрын

    @salamana....we really appreciate and enjoy your show. Thanks and keep up

  • @siwemasaid2619
    @siwemasaid26193 жыл бұрын

    Kipindi kizur sn hongeraaa salamaaa 💯💯💯💯

  • @namsintimbwa3040
    @namsintimbwa30403 жыл бұрын

    Salamaaaa we nomar

  • @deshmwavala8901
    @deshmwavala89013 жыл бұрын

    One of the best YahStone Town Interview... 👌👌 Perfect

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa84833 жыл бұрын

    The interviewer,so graceful.And a good listener too

  • @walburgammassy2050
    @walburgammassy20503 жыл бұрын

    Nimeipenda hii interview aisee shemeji yangu nakukubali sana mungu akusimamie kwa kweli

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd40953 жыл бұрын

    DAH dogo janja nakukubali sana, upo sawa sana

  • @dastanfuraha214
    @dastanfuraha2143 жыл бұрын

    Big up #Dogojanja nimependa sana hii interview kwani tunajifunza sisi vijana na bila kusahau #Salama be blessed.......🙏

  • @melecklaizer8958
    @melecklaizer89583 жыл бұрын

    Afadhali ya chemchem sio mafuriko ,i like it

  • @Shirlmay
    @Shirlmay3 жыл бұрын

    Dogo anabusara Sana 🤗😍,anaongea point nakubali sana

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao3 жыл бұрын

    Janjaroo well Answered Questions damn boy you Smart Man. With the best Interview presenter Aunty Cheupe I love this show🇹🇿❤️💜🇰🇪💓🇹🇿👐

  • @hollanddutch-day
    @hollanddutch-day3 жыл бұрын

    I like this young star is humble

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh2 жыл бұрын

    Hii interview ilkuwa nikii underrate mpka nimetenga mda kuitazama...big up janjaroo...Sense nyingi🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾💯💯💯💯💯💯💯

  • @bernardkikosa8630
    @bernardkikosa86303 жыл бұрын

    Wise sana Dogo janja 🙌🏽

  • @tulinagwembangula8976
    @tulinagwembangula89763 жыл бұрын

    Hongera sana salama, Hongera sana janjaro

  • @jkOmar2024
    @jkOmar20243 жыл бұрын

    Nakukubali hongera sana dogo janja

  • @jerrykileo9667
    @jerrykileo96673 жыл бұрын

    Nimependa ulivomuhamisha swali kuhusu baba yake 🙌

  • @mohammedbakari3519
    @mohammedbakari35193 жыл бұрын

    Nikipindi changu pendwa. Ww je?🔥🔥🔥najivunia salama na

  • @thisiszai2045
    @thisiszai20453 жыл бұрын

    Nice interview

  • @amissahassan495
    @amissahassan4953 жыл бұрын

    Mamy salama napendaga unavyo ongea dear mom💕😘

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim503 жыл бұрын

    Da Salama Naomba tuletee bushoke na Kassim Mganga

  • @ephataalphayo629
    @ephataalphayo6293 жыл бұрын

    Dogo hongera, good talk!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Abdul una maneno ya hekima sana salute kwako brother 😘

  • @nainimuller1410
    @nainimuller14103 жыл бұрын

    Always nakukubali sana salama💕💕

  • @emmystivin3774
    @emmystivin37743 жыл бұрын

    Janjaro ana hekima sana 😍

  • @prettymaria9876
    @prettymaria98763 жыл бұрын

    Dada Salama ...FarajaNyalandu & Nancysumari natamani kuwaona/kuwasikia.

  • @edinakihongosi9793
    @edinakihongosi97933 жыл бұрын

    Nakupenda da salma,, hongera kwa kazi yako...

  • @samwelymwakatobe1473
    @samwelymwakatobe14733 жыл бұрын

    Nice

  • @shabanmagambo4876
    @shabanmagambo48763 жыл бұрын

    Nimeipenda sana

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman4564 Жыл бұрын

    Interview kalii sana

  • @pugarajab1067
    @pugarajab10673 жыл бұрын

    Huku ndo kukua kwa akili Kweli dogo janja wew ni mwanaume coz hakuna swali ulilokosa jibu na katika yote uliyojibu umetumia hekima na busara. Kweli umekuwa na unajitambua👊 ("Kuwa maarufu haimanishi kuwa unaweza kujibu kila swali tena unachojisikia unatakiwa utambue mazingira na msingi wa swali kabla ya kujibu kile unachouulizwa na nini kitatokea baada ya wew kujibu hilo swali") Asante Salama interview nzuri

  • @najmasoudnaj8211
    @najmasoudnaj82113 жыл бұрын

    Nice 🔥🔥🔥

  • @cuteme9292
    @cuteme92923 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda41703 жыл бұрын

    Salama elewa mdomo unaweza kufanya kazi moja tu na sio kuongea,kunywa na kula. Nadhani mwisho kabisa wa interview ndio una introduce chakula na juices. .ila maji inabidi yawepo ili kulainisha sauti ya mahojiani. Nimafuatilia interview zako nyingi naona interviewers wako wengi wanashindwa kula na chakula kupoa kwa kuwa wanaelewa akiwa na chakula mdomoni atashindwa kuongea vyema. Hata mtume wetu Muhammad alituagiza kuwa tuwe kimya katika kula kwa kuwa kula ni ibada. Dada Salamma huo Ni mtazamo wangu huo ili kuboresha interviews zako.

  • @christobellndovie7060

    @christobellndovie7060

    Жыл бұрын

    point

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu3 жыл бұрын

    hasant san Mungu akupe afya njema na umri mrefu nizidi kujifunza

  • @titusmodest3071
    @titusmodest30713 жыл бұрын

    Nice interview lakn sauti ipo chini sanaa.

  • @nulumeshack8321

    @nulumeshack8321

    2 жыл бұрын

    Ndo

  • @nulumeshack8321

    @nulumeshack8321

    2 жыл бұрын

    Eee

  • @mahmoudykilimo4407
    @mahmoudykilimo44073 жыл бұрын

    🔥💯✔

  • @alexmasawe9674
    @alexmasawe96743 жыл бұрын

    Dingii yang mimi😀😀😀

  • @princesbimkhamis6446
    @princesbimkhamis64463 жыл бұрын

    Nakupenda da salama tuletee na hamisa basi mpendwa wetu

  • @beatricetenywa4367

    @beatricetenywa4367

    3 жыл бұрын

    👊

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74433 жыл бұрын

    Nimeboreka sana

  • @user-uk8ot2lx5v
    @user-uk8ot2lx5v3 жыл бұрын

    naomba utuletee hamisa mobeto

  • @kwekavicter7402
    @kwekavicter74023 жыл бұрын

    Mbona hamli

  • @sassboy9360
    @sassboy93603 жыл бұрын

    Salama upo vzuri hadi rahaa yaani ila usisahau vijana wa kwenu wanahitaji kuinuliwa pia

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi10833 жыл бұрын

    Hii soundtrack huku mwishoni ni 🔥

  • @richarduhuru6564
    @richarduhuru65643 жыл бұрын

    Next msodoki

  • @shamsally6277
    @shamsally62773 жыл бұрын

    Eti sipapendagi dar😁😁😁

  • @hanifaally4694
    @hanifaally46943 жыл бұрын

    👌

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika44933 жыл бұрын

    Kweli dogo umekua jmn

  • @amissahassan495
    @amissahassan4953 жыл бұрын

    Jamani huyo msosi Tayari umepowa aise🙆🙆🙆 mbona hamli

  • @aloycesimon2028

    @aloycesimon2028

    3 жыл бұрын

    Ww umeona msos ty??😂😂😂😂😂

  • @amissahassan495

    @amissahassan495

    3 жыл бұрын

    @@aloycesimon2028 Kabisa😂😂😂

  • @aloycesimon2028

    @aloycesimon2028

    3 жыл бұрын

    Ckuwez😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @rajabulupindu3509
    @rajabulupindu35093 жыл бұрын

    Up xaw janja

  • @wellbrand3415
    @wellbrand34153 жыл бұрын

    Vizuri sana Janjaro, busara zako Mungu akuongezee... Ahsanteee Salama, hivi vipindi vyatufundisha mengi sana.. Stay blessed, kipindi kiendelee mbele.

  • @firdausgreen1391
    @firdausgreen13913 жыл бұрын

    Inna lillah waina ilayh rajuun

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija66723 жыл бұрын

    Nasisitiza hichi kipindi kinamafunzo na heshima kwa kila anafuatilia kinajenga tabia za watu!!

  • @neemaanthony9479
    @neemaanthony94793 жыл бұрын

    Tuletee Dr kumbuka

  • @anetmush1449
    @anetmush14493 жыл бұрын

    Abduli kachaaa umekuwa dogo

  • @nelsonlyakurwa6422
    @nelsonlyakurwa64222 жыл бұрын

    We're all wise Before we speak...Dogo janja is Good..hii ni interview yake ya pili nasikiliza, akili yake ni kubwa!!

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy74253 жыл бұрын

    Salam mlet harmoniz

  • @omaryhabibu5276
    @omaryhabibu52763 жыл бұрын

    Hii shoo iko poa Sana nimeipenda

  • @tafawasaid4740
    @tafawasaid47403 жыл бұрын

    Jaaaaaanjarooooo

  • @lamarlamar5792
    @lamarlamar57923 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @mwanahella9650
    @mwanahella96503 жыл бұрын

    Umekua Abdul

  • @emmanuelherman6287
    @emmanuelherman62873 жыл бұрын

    Salama tuletee Chali ya R

  • @moniedwese5778
    @moniedwese57783 жыл бұрын

    Salama mlete hamisa mobetto

  • @elibarikrohane9746
    @elibarikrohane97463 жыл бұрын

    Dogo janja wewe wa kwetu tunakukubali sanaa

  • @zailulu7781
    @zailulu77813 жыл бұрын

    Salama tuletee na zuchu bas

  • @pachamondyismailthabit5175
    @pachamondyismailthabit51753 жыл бұрын

    Salama tunamtaka mkojani ,🙏🙏

  • @firdausgreen1391

    @firdausgreen1391

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha mkojani banah..hatareee

  • @mpulitv8011
    @mpulitv80113 жыл бұрын

    Dah mwanang we jamaa una akili sana duh nimekukubali

  • @cynthyazubery5986
    @cynthyazubery59863 жыл бұрын

    Salama mlete nuh mziwanda

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын

    Asante salama

  • @ashasiaga3197
    @ashasiaga31973 жыл бұрын

    Umri wako bado sana dogo nenda shule usije ukajuta kwa mara nyingine hakuna jipya kwako mungu akusimamie ila upo vizur sana

  • @firdausgreen1391

    @firdausgreen1391

    3 жыл бұрын

    Akienda skuli akafanye nini sasa????....wakati maisha anayawezea since akiwa kadogoo

  • @ashasiaga3197

    @ashasiaga3197

    3 жыл бұрын

    @@firdausgreen1391 Nina miaka 40 sasa nilisoma had form 4 nikafeli nikaolewa nikapata bahati nikarisit mtihan mwaka 2008 nikaacha sikufunya mtihan nilikapata ujauzito mtoto wangu wapili nikasema basi tena kusoma lkn elimu inanisuta sana najuta mno kwahivi sasa nipo nchi za watu naumia sana nabahatisha kuongea lkn ningekua na elimu yangu ningekuaje. Kwahiyo ata yy itajuta tuu kwakua ameshajutia kwasasa japokua pesa anayo anafanya atakacho ila elimu itakuja kumdai tuu umri bado 25year kwa mwanaume bado sana

  • @firdausgreen1391

    @firdausgreen1391

    3 жыл бұрын

    @@ashasiaga3197 subhaanallah pole sana all in all nilitaka kusikia utaongea nini kwa kuwa kwenye comment ya kwanza uliongea kiufupi...nilitaka kujua mawazo yako kiupana kidogo

  • @mussamlekwa6599
    @mussamlekwa65993 жыл бұрын

    You are so skilled on interview, appreciate you alot

  • @hamiduomari867
    @hamiduomari8673 жыл бұрын

    Tunamuomba zamaradii

Келесі