Salama Na DULLA Ep 39 | GO HARD OR GO HOME... Part 1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip #0762797291
You Can support US through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Abdallah Khamis Ambua ndo jina halisi toka kwa wazazi wake ambao hawana asili ya kisiwani wala kuwahi kuishi huko kwa muda mrefu ambako pengine ndo kukamuwezesha kupata hiyo lafdhi. Kabla hatujafika kokote kwa kuskia kutoka kwangu, ningepeda ufahamu kwamba mimi si mmoja ya watu walotaka Dulla apewe kipindi cha Planet Bongo mwaka 2018 wakati naenda zangu Cardiff kushangaa kondoo, na moja ya sababu zangu kubwa ilikua yeye kutokua na lafdhi nzuri ya maneno kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Na hilo nililiweka wazi haswa. Lakini pia nilikubaliana na matokeo baada ya viongozi kuamua kumpitisha yeye, na kwa heshima zote leo napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya, kwa kuona kijana ambaye alikua na utayari kwa kujifunza, wa kujua kwamba alikua hajakamilika na mlango ukawa wazi kwake kutaka kujifunza na kuwa bora.
Tupeleke miaka mbele mpaka 2020, ingawa hapo nyuma tushakutana mara kadhaa na nikamuambia jinsi ambavyo ananifurahisha kwa kukuwa kwake na kwamba mimi ni mmoja wa watu wanao jivunia yeye. Na hata wakati tunafanya maongezi yetu haya, nilimfahamisha pia. Mwanzo wakati naanza kuandika nilianza kwa kukuambia kuhusu asili yake, sababu ilikua ni juu ya lafdhi yake ya kimwambao ilonyooka haswa. Mimi wakati nakutana na Dulla kwa mara ya kwanza kwenye usaili hakua na hiyo accent, alikua na matatizo ya R na L na pia hakua ‘original’, alikua ana tangaza na kuongea kama B Dozen, ambaye tayari alikua amesha ji establish vizuri tu na anga yote alikua anaunguruma yeye mara ifikapo saa nane kamili ya mchana. So kama mtangazaji mpya anayechipukia, Dulla hakua na nafasi ya kuweza kutamba mbele ya Dozen, na wala hakua na uwezo wa hata robo yake. Kwa yeye kutoboa na kuweka alama yake ilikua inambidi awe YEYE na aje na ladha YAKE.
Leo hii, mimi na enjoy haswa ninapomsikiliza Mjukuu wa Ambua radioni, sauti tamu, matamshi yamenyooka, ladha ya maneno inatulia maskioni, hapayukwi kwenye kipaza sauti na pia kubwa kuliko yote ana akili, akili ya kusema na kuuliza maswali muafaka na muda muafaka. Na kwa hilo namheshimu.
Basi nikataka kujua vile alijiskia alipong’amua kama mimi sikua shabiki yake hata kidogo? Na Kama ilimtoa katika ‘mchezo?’. Wakati mshindi wa mtangazaji mpya wa Planet Bongo anatangazwa tayari Mimi nilikua nishafika zangu Cardiff kwahiyo sikuwahi kuongea nae tena kuhusu uchaguzi wake na wala maendeleo yake kwahiyo hii imekua mara ya kwanza tuna discuss. Pia nilitaka kujua kuhusu mke wake, watoto, Kaka yake ambaye naye ndo alimfanya kwa kiasi kikubwa achague kazi hii anayofanya sasa. Pia kuhusu mahusiano yake na Diamond Platnumz na Ali Kiba, muziki wa Bongo Flava kwa ujumla. Kazi, mapenzi, ujana, dini na yeye kama binadamu. Haya yalikua maongezi flani ya kikubwa ambayo nimefurahi tuliyafanya mimi na mdogo wangu huyu.
Kama kawaida, yangu matumaini hii pia itakufunza jambo, itakutaka uwe bora na kutokubali kushidwa hata kama ulokua unapenda sana akupe sapoti akawa haamini juu ya uwezo wako, hiyo ndo iwe chachu ya wewe kutaka kufanya vyema zaidi.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 145
Mashaallah Dullah unaongea kiswahili kizuri sana, Sauti yako inakuja km Charles Hilary
dulla, mtangazaji wangu no moko wapili ni MILLARD Ayo
Nampenda Sana dulla nakumbuka Nilikua 4m4 natoroka vipind vya jion niwah kutizama kwanjika mkwanja ya EATV2016
Kweliiiii, nimepata experience kubwa sana kupitia ww na nyota njema huonekana asubuhi coz tangu tupo p/r ulikua unahii kitu Dee wote tuliosoma wote shule ya msingi kipindi kile tunalijua hili, big up sana Allah azidi kukufungulia zaid na zaidi my classmate 💝
@samoocoolingsystem93
3 жыл бұрын
Tafadhali tembelea chaneli yangu
I wish siku atokee mtu akuhoji wewe salama ili tujue story yako na wewe, ili tupate kukujua zaidi.....big up, huge fan of your work 😊
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
@goodluckjulius3258
3 жыл бұрын
Role model wangu
@allyarmanou3549
3 жыл бұрын
Iko interview alifanyiwa na Lil ommy akiwa times fm, go check it out
Nmependa hyoo kaka anavoongea jmn mashaAllah anaonekana mstaarabu sana
Nafatiliaga lakini huwa sicoment ila leo nimefrahia sana. Ninyi watu mnakunywa nn muagize nami nitawalipia
Kipindi hicho Dulla kwenye Planet Bongo ndani ya eatv.. young d kapiga promo moja kali ya hiyo show
Watangazaj watatu ambao nawakubal pamoja na mjukuu dula na zamarad na salama
Salama I love your honesty on point,mimi nilikuwa mmoja kati ya watu ambao hawakutaka wewe upate ile kazi""nice one""
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
Acha nishare hili Hadith inasema huolewa mwanamke kwa Mambo manne 1: dini yake 2: nasaba yake(ukoo au familia) 3: uzuri wake 4: mali yake Ndo hivyo hapo ndugu zangu
@ginnimoreno6239
3 жыл бұрын
Huolewa (normally) mwanamke kwa mali yake nasabu yake na uzuri wake.. basi tafuta mwenye dini itatulizana mikono yako
@nasraiddy9678
3 жыл бұрын
Na Mtume akatusisitizia uoeni wenye dini mtapata utulivu ndani ya majumba yenu
@rashidyjuma2195
3 жыл бұрын
@@nasraiddy9678 hakika
I love and enjoy seeing dula grow cause I was a fan since planet bongo star search.nakumbuka cku ya kutangazwa mshindi alivaa sendo zake flani simpoooo.
@lulumoses2130
3 жыл бұрын
Na ndo siku ya kwanza ulichezwa sana wimbo wa ngweir nipeni dili na ukavuma kupitia hii siku
@blandinamnyinga8318
3 жыл бұрын
@@lulumoses2130 yaa!!👌
Nampenda dullah, nimefurahi kumuona sauti yake mimi hoi,hana skendo thanks Salama ❤
@evemangare1732
3 жыл бұрын
Walahi ana sauti nzurii
@shanishosho911
3 жыл бұрын
Sana kabisa
Two talents facing each other... So much to learn...
@emariusrush3285
3 жыл бұрын
Salama is talented,the isn't!!!.
Wa kwanza Leo kwenye kipindi chetu cha stone town please like hata kumi tu🤛🤙
@magangakayola4175
3 жыл бұрын
Kwa hiyo kama wa kwanza tukufanyaje ssa?
@ujudiabdull9442
3 жыл бұрын
@@magangakayola4175 hahaaa nimecheka kifala ..
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥
@samoocoolingsystem93
3 жыл бұрын
Tafadhali tembelea chaneli yangu
Nimependa sana salama hongera sana dulla yupo vizur kajielezea vya kutosha
Ombi langu kwenu Salama na team yako. Mimi km shabiki no1 wa hii show yetu hii pedwa. Tuleteeni Mussa Hussein na Sky wa sns🙏🙏🙏
@innocentmushi1550
3 жыл бұрын
👊
I love him the way he is kuanzia utangazaji wake kipindi chake and everything😘
Salama na jembe ni jembe was agreat interview naicheki kila siku
Salama na B Dozen ije plz
Kazi nzuri Salama na Dullah.Love from 254
Salama yani leo apo mlivoua gemu mpk mnakera...misichoki kukupenda Salama hata watu wote wakuchukie hahaaa
Salama na Millard Ayo, hiyo siku nitawanunulia Kvant wote humu ndani, 😄😄
@bskpstationery5388
3 жыл бұрын
Ambao hattmii KV utatununulia kinywaj kipi
@rubbie_all_natural
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@queenseptember4640
3 жыл бұрын
@@bskpstationery5388 konyagi, Kama hutumii na hiyo itabidi unywe maji ya bombani
@queenseptember4640
3 жыл бұрын
@@rubbie_all_natural 😂😂
@bskpstationery5388
3 жыл бұрын
Hahaa aya bwana umetisha
Salama Jabir tuletee @jonijoo itakuwa pow xn
Dullah mashallah unarafudhi nzuri yaan kama nasikiliza BBC swahili Wale watangazaji wake
Uko vizuri sana Dada angu mm nishabiki yako no. Moja
Watu wa pwani tuna kiswahili kitamuuuuuuuuuuu 🤩🤩
shida sio elimu shida mtu sahihi mwenye talent hii ishu ya utangazaji ukiondoa elimu kipaji ndo husimama zaidi sababu msikilizaji anavutiwa na uzungumzaji wa mtangazaji the way anaongea style yake elimu ni kwa ajili ya muongozo so huwezi mtoa millard ayo au dullah ambua arudi shule sababu hana diploma asee redio zitapoteza audience wengi sana na kiukweli wengi sana wenye elimu huwa hawana kitu yan talent
Kwakweli salama unatulisha madini mazuri love you so much darling
Dula mwenye udula wake💓💓
Sio PRANET bongo, ni PLANET bongo.. 😂😂😂, dah mwana alikuvumilia Salama
Huyu kaka napenda sauti yake
Mawazo Ya bure: I think it is very possible for the government to allow the current presenters and journalists to take a night time course or rather a journalism exam that makes it eligible for all of the 'non' qualified to be legit. It is very doable!
ila jesca wa samaki samaki mmmh....aya bana salama....chakula chao kizuri
Fireeee
Salama izo skafu ukimaliza kutumia unatupa? Mbona kila siku mnaweka zingine na mamrudii Tufanye biashara tuuze
Dullah kama dullah😍💕
Hajaelewa swali...
Tunajifunza mengi kwenye intav zenu
Such a good voice
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
Bwana Abdullah
Iyo sheria inge chukuwa watu wenye wata ajiriwa baada ya sheria kuwekwa Sio walio ajiriwa kabla ya sheria husika
Dullah fanya mpango na ww umuhoji salama hapo hapo kwenye kiti chake
@samoocoolingsystem93
3 жыл бұрын
Tafadhali tembelea chaneli yangu
Jamaa lina voko ya maana
Dullah nimekupenda bure, matamshi,hekma, busara mashaallah
@samoocoolingsystem93
3 жыл бұрын
Tafadhali tembelea akaunti yangu
Da sharapp MANGWAIR mnyamwezi san nkbl
Achia like kama umeona picha ya Baraka Mpenja kwenye ukuta like haiuzwi ni bure tu basi achia hiyo
Nice interview
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
Namtaka Ally Choki mzee wa farasi
Pande znz upo sawa kaka
Oooyeeah
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
Nampenda sn huyu dulla
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
Mashallah, Interview ya kizazi sana, good job salama, nime enjoy sana 😘👍
sauti ya charles hilali kabisaaaa!
Ambua kama ambua yaan nawapenda wewe na mkeo hatari chimiyna ni mzuriii jmn
Natamani sana nielewe mnachoongea ila tatizo mimi sielewi Kiswahili kabisa
@blandinamnyinga8318
3 жыл бұрын
and yet you wrote this comment by yourself????
@nuruhmnyota2482
3 жыл бұрын
Nani kakuandikia hicho kiswahili usichosikia
@bellabakera
3 жыл бұрын
Tumekuchoka Hubert..
@miraclesmercyandgrace
3 жыл бұрын
Wana wamekupamba live hubert
jamaa namkubali mnooo aseee
east Africa wanajua ejamaee wambua nakubali unachokifany
@samoocoolingsystem93
3 жыл бұрын
Tafadhali tembelea chaneli yngu
Salama naomba utuletee Ben Paul please
Mlete NASH MC NEXT TIME
@ibrahimkanuto3514
3 жыл бұрын
Nash nilimpgia kasema hakanyagi media yoyote nw
@facebmzeewakimba1546
3 жыл бұрын
@@ibrahimkanuto3514 duuuh.basi poa pamoja mkush👊👊
@facebmzeewakimba1546
3 жыл бұрын
@@ibrahimkanuto3514 duuuh.basi poa pamoja mkush👊👊
Nikimuona Dulla Planet nahizi tupo kwenye dakika 10 za maangamizi
Interview imetulia hatariiii, nime Enjoy
Kwann malume
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
Mtu mwéńýë Bongo planet yake
Salama uko vizuri ila punguza kingereza ongea kiswahili mwanzo mwisho usichanganye kiswanglish
Kwan utaratibu wa kurasimisha ujuzi huku haufiki?
Had leo waarabu wana chaguliwa
Very nice I like your choice woooh
leo wa Kwanza like zenu hapa kwa salama kama unamkubali
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥
Salama kumpa taarifa mke mkubwa kubwa unataka kuowa siyo lazima kumuambia
@samoocoolingsystem93
3 жыл бұрын
Tafadhali tembelea chaneli yngu
Dah uchawi sielewi kiswahili tu
@mechadakishumba9599
3 жыл бұрын
Ana elimu gani? Ya utangazaji
me leo niko wa kwanza ku coment
@ghanimaali4507
3 жыл бұрын
salama ana akili lkni mwehuuu ila nampenda kwakua binaadamu mwezangu
@ujudiabdull9442
3 жыл бұрын
@@ghanimaali4507 wehu wake nini he!
@ghanimaali4507
3 жыл бұрын
@@ujudiabdull9442 jamani mawigi yke tu
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥
Kipindi kitraaamu hd raha
Dullah vry humble
@WASHATube
3 жыл бұрын
TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaa kanifanya Ni subscribe hii Chanel baada ya kuuuona upande wapili unamlea zaidi.
Fanya enterview na alikiba basi
Kwani si uende tu shule ukachukue hiyo diploma dula au
List ya watangazaji bora kwangu mimi ni Dullah planet Millardayo B dozen Jonijooo Sallam jabir Adam mchomvu Momy baby Kama na wewe una ikubali list hii tujuane
Dada salama Tutafutie Darasa tumuoji
@mohammedaliabdallah5508
3 жыл бұрын
Done last 1 month, cheki za nyuma
@mamaamourtamba7801
3 жыл бұрын
alishahojiwa
@mohammedaliabdallah5508
3 жыл бұрын
@@mamaamourtamba7801 ndio
Kabla sijaangalia hii leo jesika amebadirisha lile gauni lake la kitenge????
@blandinamnyinga8318
3 жыл бұрын
sare za samakisamaki usijali.
@aloycesimon2028
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Swal lang hlo la kila cku
@lukebazil5531
3 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣
@aloycesimon2028
3 жыл бұрын
@@lukebazil5531 Vp amebadilisha??
@ameknews2315
3 жыл бұрын
Ni sare za ofis
nyimbo ya daimond ineshindwa kwenda kisa mtaandao haupo kzread.info/dash/bejne/Z4CtvKl7k7qYhag.html
Ninaomba umletee na watangazaji wengine wengi kama Jonijoo na Millard Ayo tuendelee kupata madini zaidi au pia niendelee kupata madini zaidi kwani ninajifunza vitu vingi
Salama na jembe ni jembe was agreat interview naicheki kila siku
Ambua kama ambua yaan nawapenda wewe na mkeo hatari chimiyna ni mzuriii jmn