Salama Na DULLA Ep 39 | GO HARD OR GO HOME... Part 1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip #0762797291
You Can support US through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Abdallah Khamis Ambua ndo jina halisi toka kwa wazazi wake ambao hawana asili ya kisiwani wala kuwahi kuishi huko kwa muda mrefu ambako pengine ndo kukamuwezesha kupata hiyo lafdhi. Kabla hatujafika kokote kwa kuskia kutoka kwangu, ningepeda ufahamu kwamba mimi si mmoja ya watu walotaka Dulla apewe kipindi cha Planet Bongo mwaka 2018 wakati naenda zangu Cardiff kushangaa kondoo, na moja ya sababu zangu kubwa ilikua yeye kutokua na lafdhi nzuri ya maneno kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Na hilo nililiweka wazi haswa. Lakini pia nilikubaliana na matokeo baada ya viongozi kuamua kumpitisha yeye, na kwa heshima zote leo napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya, kwa kuona kijana ambaye alikua na utayari kwa kujifunza, wa kujua kwamba alikua hajakamilika na mlango ukawa wazi kwake kutaka kujifunza na kuwa bora.
Tupeleke miaka mbele mpaka 2020, ingawa hapo nyuma tushakutana mara kadhaa na nikamuambia jinsi ambavyo ananifurahisha kwa kukuwa kwake na kwamba mimi ni mmoja wa watu wanao jivunia yeye. Na hata wakati tunafanya maongezi yetu haya, nilimfahamisha pia. Mwanzo wakati naanza kuandika nilianza kwa kukuambia kuhusu asili yake, sababu ilikua ni juu ya lafdhi yake ya kimwambao ilonyooka haswa. Mimi wakati nakutana na Dulla kwa mara ya kwanza kwenye usaili hakua na hiyo accent, alikua na matatizo ya R na L na pia hakua ‘original’, alikua ana tangaza na kuongea kama B Dozen, ambaye tayari alikua amesha ji establish vizuri tu na anga yote alikua anaunguruma yeye mara ifikapo saa nane kamili ya mchana. So kama mtangazaji mpya anayechipukia, Dulla hakua na nafasi ya kuweza kutamba mbele ya Dozen, na wala hakua na uwezo wa hata robo yake. Kwa yeye kutoboa na kuweka alama yake ilikua inambidi awe YEYE na aje na ladha YAKE.
Leo hii, mimi na enjoy haswa ninapomsikiliza Mjukuu wa Ambua radioni, sauti tamu, matamshi yamenyooka, ladha ya maneno inatulia maskioni, hapayukwi kwenye kipaza sauti na pia kubwa kuliko yote ana akili, akili ya kusema na kuuliza maswali muafaka na muda muafaka. Na kwa hilo namheshimu.
Basi nikataka kujua vile alijiskia alipong’amua kama mimi sikua shabiki yake hata kidogo? Na Kama ilimtoa katika ‘mchezo?’. Wakati mshindi wa mtangazaji mpya wa Planet Bongo anatangazwa tayari Mimi nilikua nishafika zangu Cardiff kwahiyo sikuwahi kuongea nae tena kuhusu uchaguzi wake na wala maendeleo yake kwahiyo hii imekua mara ya kwanza tuna discuss. Pia nilitaka kujua kuhusu mke wake, watoto, Kaka yake ambaye naye ndo alimfanya kwa kiasi kikubwa achague kazi hii anayofanya sasa. Pia kuhusu mahusiano yake na Diamond Platnumz na Ali Kiba, muziki wa Bongo Flava kwa ujumla. Kazi, mapenzi, ujana, dini na yeye kama binadamu. Haya yalikua maongezi flani ya kikubwa ambayo nimefurahi tuliyafanya mimi na mdogo wangu huyu.
Kama kawaida, yangu matumaini hii pia itakufunza jambo, itakutaka uwe bora na kutokubali kushidwa hata kama ulokua unapenda sana akupe sapoti akawa haamini juu ya uwezo wako, hiyo ndo iwe chachu ya wewe kutaka kufanya vyema zaidi.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 145

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38693 жыл бұрын

    Mashaallah Dullah unaongea kiswahili kizuri sana, Sauti yako inakuja km Charles Hilary

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi6563 жыл бұрын

    dulla, mtangazaji wangu no moko wapili ni MILLARD Ayo

  • @islandgirl4578
    @islandgirl45783 жыл бұрын

    Nampenda Sana dulla nakumbuka Nilikua 4m4 natoroka vipind vya jion niwah kutizama kwanjika mkwanja ya EATV2016

  • @aishahussein3879
    @aishahussein38793 жыл бұрын

    Kweliiiii, nimepata experience kubwa sana kupitia ww na nyota njema huonekana asubuhi coz tangu tupo p/r ulikua unahii kitu Dee wote tuliosoma wote shule ya msingi kipindi kile tunalijua hili, big up sana Allah azidi kukufungulia zaid na zaidi my classmate 💝

  • @samoocoolingsystem93

    @samoocoolingsystem93

    3 жыл бұрын

    Tafadhali tembelea chaneli yangu

  • @fatmasalim8122
    @fatmasalim81223 жыл бұрын

    I wish siku atokee mtu akuhoji wewe salama ili tujue story yako na wewe, ili tupate kukujua zaidi.....big up, huge fan of your work 😊

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @goodluckjulius3258

    @goodluckjulius3258

    3 жыл бұрын

    Role model wangu

  • @allyarmanou3549

    @allyarmanou3549

    3 жыл бұрын

    Iko interview alifanyiwa na Lil ommy akiwa times fm, go check it out

  • @ms_caramel2688
    @ms_caramel26883 жыл бұрын

    Nmependa hyoo kaka anavoongea jmn mashaAllah anaonekana mstaarabu sana

  • @deusntobi1450
    @deusntobi14503 жыл бұрын

    Nafatiliaga lakini huwa sicoment ila leo nimefrahia sana. Ninyi watu mnakunywa nn muagize nami nitawalipia

  • @edwinmbugua7738
    @edwinmbugua77383 жыл бұрын

    Kipindi hicho Dulla kwenye Planet Bongo ndani ya eatv.. young d kapiga promo moja kali ya hiyo show

  • @saudatkiuta5060
    @saudatkiuta50603 жыл бұрын

    Watangazaj watatu ambao nawakubal pamoja na mjukuu dula na zamarad na salama

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga83183 жыл бұрын

    Salama I love your honesty on point,mimi nilikuwa mmoja kati ya watu ambao hawakutaka wewe upate ile kazi""nice one""

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @tumatijr_9142
    @tumatijr_91423 жыл бұрын

    Acha nishare hili Hadith inasema huolewa mwanamke kwa Mambo manne 1: dini yake 2: nasaba yake(ukoo au familia) 3: uzuri wake 4: mali yake Ndo hivyo hapo ndugu zangu

  • @ginnimoreno6239

    @ginnimoreno6239

    3 жыл бұрын

    Huolewa (normally) mwanamke kwa mali yake nasabu yake na uzuri wake.. basi tafuta mwenye dini itatulizana mikono yako

  • @nasraiddy9678

    @nasraiddy9678

    3 жыл бұрын

    Na Mtume akatusisitizia uoeni wenye dini mtapata utulivu ndani ya majumba yenu

  • @rashidyjuma2195

    @rashidyjuma2195

    3 жыл бұрын

    @@nasraiddy9678 hakika

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga83183 жыл бұрын

    I love and enjoy seeing dula grow cause I was a fan since planet bongo star search.nakumbuka cku ya kutangazwa mshindi alivaa sendo zake flani simpoooo.

  • @lulumoses2130

    @lulumoses2130

    3 жыл бұрын

    Na ndo siku ya kwanza ulichezwa sana wimbo wa ngweir nipeni dili na ukavuma kupitia hii siku

  • @blandinamnyinga8318

    @blandinamnyinga8318

    3 жыл бұрын

    @@lulumoses2130 yaa!!👌

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Nampenda dullah, nimefurahi kumuona sauti yake mimi hoi,hana skendo thanks Salama ❤

  • @evemangare1732

    @evemangare1732

    3 жыл бұрын

    Walahi ana sauti nzurii

  • @shanishosho911

    @shanishosho911

    3 жыл бұрын

    Sana kabisa

  • @fra_nyuki
    @fra_nyuki3 жыл бұрын

    Two talents facing each other... So much to learn...

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    3 жыл бұрын

    Salama is talented,the isn't!!!.

  • @michaellagwen8198
    @michaellagwen81983 жыл бұрын

    Wa kwanza Leo kwenye kipindi chetu cha stone town please like hata kumi tu🤛🤙

  • @magangakayola4175

    @magangakayola4175

    3 жыл бұрын

    Kwa hiyo kama wa kwanza tukufanyaje ssa?

  • @ujudiabdull9442

    @ujudiabdull9442

    3 жыл бұрын

    @@magangakayola4175 hahaaa nimecheka kifala ..

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥

  • @samoocoolingsystem93

    @samoocoolingsystem93

    3 жыл бұрын

    Tafadhali tembelea chaneli yangu

  • @ashasiaga3197
    @ashasiaga31973 жыл бұрын

    Nimependa sana salama hongera sana dulla yupo vizur kajielezea vya kutosha

  • @wanzakleruu8648
    @wanzakleruu86483 жыл бұрын

    Ombi langu kwenu Salama na team yako. Mimi km shabiki no1 wa hii show yetu hii pedwa. Tuleteeni Mussa Hussein na Sky wa sns🙏🙏🙏

  • @innocentmushi1550

    @innocentmushi1550

    3 жыл бұрын

    👊

  • @salometz9572
    @salometz95723 жыл бұрын

    I love him the way he is kuanzia utangazaji wake kipindi chake and everything😘

  • @barakabahati4315
    @barakabahati43153 жыл бұрын

    Salama na jembe ni jembe was agreat interview naicheki kila siku

  • @damasshija6190
    @damasshija61903 жыл бұрын

    Salama na B Dozen ije plz

  • @hamambuka5616
    @hamambuka56163 жыл бұрын

    Kazi nzuri Salama na Dullah.Love from 254

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull94423 жыл бұрын

    Salama yani leo apo mlivoua gemu mpk mnakera...misichoki kukupenda Salama hata watu wote wakuchukie hahaaa

  • @queenseptember4640
    @queenseptember46403 жыл бұрын

    Salama na Millard Ayo, hiyo siku nitawanunulia Kvant wote humu ndani, 😄😄

  • @bskpstationery5388

    @bskpstationery5388

    3 жыл бұрын

    Ambao hattmii KV utatununulia kinywaj kipi

  • @rubbie_all_natural

    @rubbie_all_natural

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @queenseptember4640

    @queenseptember4640

    3 жыл бұрын

    @@bskpstationery5388 konyagi, Kama hutumii na hiyo itabidi unywe maji ya bombani

  • @queenseptember4640

    @queenseptember4640

    3 жыл бұрын

    @@rubbie_all_natural 😂😂

  • @bskpstationery5388

    @bskpstationery5388

    3 жыл бұрын

    Hahaa aya bwana umetisha

  • @georgeludakulo6848
    @georgeludakulo68483 жыл бұрын

    Salama Jabir tuletee @jonijoo itakuwa pow xn

  • @nasraiddy9678
    @nasraiddy96783 жыл бұрын

    Dullah mashallah unarafudhi nzuri yaan kama nasikiliza BBC swahili Wale watangazaji wake

  • @annaonesmo1934
    @annaonesmo19343 жыл бұрын

    Uko vizuri sana Dada angu mm nishabiki yako no. Moja

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim503 жыл бұрын

    Watu wa pwani tuna kiswahili kitamuuuuuuuuuuu 🤩🤩

  • @gtunewaves2867
    @gtunewaves28672 жыл бұрын

    shida sio elimu shida mtu sahihi mwenye talent hii ishu ya utangazaji ukiondoa elimu kipaji ndo husimama zaidi sababu msikilizaji anavutiwa na uzungumzaji wa mtangazaji the way anaongea style yake elimu ni kwa ajili ya muongozo so huwezi mtoa millard ayo au dullah ambua arudi shule sababu hana diploma asee redio zitapoteza audience wengi sana na kiukweli wengi sana wenye elimu huwa hawana kitu yan talent

  • @didahbebe3866
    @didahbebe3866 Жыл бұрын

    Kwakweli salama unatulisha madini mazuri love you so much darling

  • @khaulatmohammed3765
    @khaulatmohammed37653 жыл бұрын

    Dula mwenye udula wake💓💓

  • @telengoboy
    @telengoboy3 жыл бұрын

    Sio PRANET bongo, ni PLANET bongo.. 😂😂😂, dah mwana alikuvumilia Salama

  • @nadrasalim
    @nadrasalim3 жыл бұрын

    Huyu kaka napenda sauti yake

  • @attemptenacity8735
    @attemptenacity87353 жыл бұрын

    Mawazo Ya bure: I think it is very possible for the government to allow the current presenters and journalists to take a night time course or rather a journalism exam that makes it eligible for all of the 'non' qualified to be legit. It is very doable!

  • @ephrahimkamenge321
    @ephrahimkamenge3213 жыл бұрын

    ila jesca wa samaki samaki mmmh....aya bana salama....chakula chao kizuri

  • @nalipodaud4493
    @nalipodaud44933 жыл бұрын

    Fireeee

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki56993 жыл бұрын

    Salama izo skafu ukimaliza kutumia unatupa? Mbona kila siku mnaweka zingine na mamrudii Tufanye biashara tuuze

  • @shanishosho911
    @shanishosho9113 жыл бұрын

    Dullah kama dullah😍💕

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr97073 жыл бұрын

    Hajaelewa swali...

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab80073 жыл бұрын

    Tunajifunza mengi kwenye intav zenu

  • @mwajabumasawanga4662
    @mwajabumasawanga46623 жыл бұрын

    Such a good voice

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno62393 жыл бұрын

    Bwana Abdullah

  • @lareineminah1353
    @lareineminah13533 жыл бұрын

    Iyo sheria inge chukuwa watu wenye wata ajiriwa baada ya sheria kuwekwa Sio walio ajiriwa kabla ya sheria husika

  • @rahmajuma7410
    @rahmajuma74103 жыл бұрын

    Dullah fanya mpango na ww umuhoji salama hapo hapo kwenye kiti chake

  • @samoocoolingsystem93

    @samoocoolingsystem93

    3 жыл бұрын

    Tafadhali tembelea chaneli yangu

  • @brokenigga2842
    @brokenigga28423 жыл бұрын

    Jamaa lina voko ya maana

  • @najma3268
    @najma32683 жыл бұрын

    Dullah nimekupenda bure, matamshi,hekma, busara mashaallah

  • @samoocoolingsystem93

    @samoocoolingsystem93

    3 жыл бұрын

    Tafadhali tembelea akaunti yangu

  • @abelyalexkagori9799
    @abelyalexkagori97993 жыл бұрын

    Da sharapp MANGWAIR mnyamwezi san nkbl

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem933 жыл бұрын

    Achia like kama umeona picha ya Baraka Mpenja kwenye ukuta like haiuzwi ni bure tu basi achia hiyo

  • @alieththomas8505
    @alieththomas85053 жыл бұрын

    Nice interview

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @mbwanadavid4371
    @mbwanadavid43713 жыл бұрын

    Namtaka Ally Choki mzee wa farasi

  • @sleyyummalick9459
    @sleyyummalick9459 Жыл бұрын

    Pande znz upo sawa kaka

  • @vicentflavour9992
    @vicentflavour99923 жыл бұрын

    Oooyeeah

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @asyamasoud2438
    @asyamasoud24383 жыл бұрын

    Nampenda sn huyu dulla

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63653 жыл бұрын

    Mashallah, Interview ya kizazi sana, good job salama, nime enjoy sana 😘👍

  • @makulerobert2916
    @makulerobert29163 жыл бұрын

    sauti ya charles hilali kabisaaaa!

  • @mwahijalukali2387
    @mwahijalukali23873 жыл бұрын

    Ambua kama ambua yaan nawapenda wewe na mkeo hatari chimiyna ni mzuriii jmn

  • @hubertanthony7846
    @hubertanthony78463 жыл бұрын

    Natamani sana nielewe mnachoongea ila tatizo mimi sielewi Kiswahili kabisa

  • @blandinamnyinga8318

    @blandinamnyinga8318

    3 жыл бұрын

    and yet you wrote this comment by yourself????

  • @nuruhmnyota2482

    @nuruhmnyota2482

    3 жыл бұрын

    Nani kakuandikia hicho kiswahili usichosikia

  • @bellabakera

    @bellabakera

    3 жыл бұрын

    Tumekuchoka Hubert..

  • @miraclesmercyandgrace

    @miraclesmercyandgrace

    3 жыл бұрын

    Wana wamekupamba live hubert

  • @makulerobert2916
    @makulerobert29163 жыл бұрын

    jamaa namkubali mnooo aseee

  • @jacksonsawan9606
    @jacksonsawan96063 жыл бұрын

    east Africa wanajua ejamaee wambua nakubali unachokifany

  • @samoocoolingsystem93

    @samoocoolingsystem93

    3 жыл бұрын

    Tafadhali tembelea chaneli yngu

  • @gildadeane1960
    @gildadeane19603 жыл бұрын

    Salama naomba utuletee Ben Paul please

  • @facebmzeewakimba1546
    @facebmzeewakimba15463 жыл бұрын

    Mlete NASH MC NEXT TIME

  • @ibrahimkanuto3514

    @ibrahimkanuto3514

    3 жыл бұрын

    Nash nilimpgia kasema hakanyagi media yoyote nw

  • @facebmzeewakimba1546

    @facebmzeewakimba1546

    3 жыл бұрын

    @@ibrahimkanuto3514 duuuh.basi poa pamoja mkush👊👊

  • @facebmzeewakimba1546

    @facebmzeewakimba1546

    3 жыл бұрын

    @@ibrahimkanuto3514 duuuh.basi poa pamoja mkush👊👊

  • @augustinojonas2643
    @augustinojonas26433 жыл бұрын

    Nikimuona Dulla Planet nahizi tupo kwenye dakika 10 za maangamizi

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Interview imetulia hatariiii, nime Enjoy

  • @erickendrick3330
    @erickendrick33303 жыл бұрын

    Kwann malume

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd91463 жыл бұрын

    Mtu mwéńýë Bongo planet yake

  • @asiajuma8330
    @asiajuma83303 жыл бұрын

    Salama uko vizuri ila punguza kingereza ongea kiswahili mwanzo mwisho usichanganye kiswanglish

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton82683 жыл бұрын

    Kwan utaratibu wa kurasimisha ujuzi huku haufiki?

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd91463 жыл бұрын

    Had leo waarabu wana chaguliwa

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha37403 жыл бұрын

    Very nice I like your choice woooh

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything78483 жыл бұрын

    leo wa Kwanza like zenu hapa kwa salama kama unamkubali

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salama2625
    @salama26253 жыл бұрын

    Salama kumpa taarifa mke mkubwa kubwa unataka kuowa siyo lazima kumuambia

  • @samoocoolingsystem93

    @samoocoolingsystem93

    3 жыл бұрын

    Tafadhali tembelea chaneli yngu

  • @franknganga5358
    @franknganga53583 жыл бұрын

    Dah uchawi sielewi kiswahili tu

  • @mechadakishumba9599

    @mechadakishumba9599

    3 жыл бұрын

    Ana elimu gani? Ya utangazaji

  • @stanleynorbert493
    @stanleynorbert4933 жыл бұрын

    me leo niko wa kwanza ku coment

  • @ghanimaali4507

    @ghanimaali4507

    3 жыл бұрын

    salama ana akili lkni mwehuuu ila nampenda kwakua binaadamu mwezangu

  • @ujudiabdull9442

    @ujudiabdull9442

    3 жыл бұрын

    @@ghanimaali4507 wehu wake nini he!

  • @ghanimaali4507

    @ghanimaali4507

    3 жыл бұрын

    @@ujudiabdull9442 jamani mawigi yke tu

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Kipindi kitraaamu hd raha

  • @mr.performance2533
    @mr.performance25333 жыл бұрын

    Dullah vry humble

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n35pwalpkqmTpdo.html NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥

  • @BMT2023
    @BMT20233 жыл бұрын

    Huyu jamaa kanifanya Ni subscribe hii Chanel baada ya kuuuona upande wapili unamlea zaidi.

  • @fahadalismaily9370
    @fahadalismaily93703 жыл бұрын

    Fanya enterview na alikiba basi

  • @evelynmon6491
    @evelynmon64913 жыл бұрын

    Kwani si uende tu shule ukachukue hiyo diploma dula au

  • @abdulfirst_pilot6479
    @abdulfirst_pilot64793 жыл бұрын

    List ya watangazaji bora kwangu mimi ni Dullah planet Millardayo B dozen Jonijooo Sallam jabir Adam mchomvu Momy baby Kama na wewe una ikubali list hii tujuane

  • @bm4tv602
    @bm4tv6023 жыл бұрын

    Dada salama Tutafutie Darasa tumuoji

  • @mohammedaliabdallah5508

    @mohammedaliabdallah5508

    3 жыл бұрын

    Done last 1 month, cheki za nyuma

  • @mamaamourtamba7801

    @mamaamourtamba7801

    3 жыл бұрын

    alishahojiwa

  • @mohammedaliabdallah5508

    @mohammedaliabdallah5508

    3 жыл бұрын

    @@mamaamourtamba7801 ndio

  • @lulumoses2130
    @lulumoses21303 жыл бұрын

    Kabla sijaangalia hii leo jesika amebadirisha lile gauni lake la kitenge????

  • @blandinamnyinga8318

    @blandinamnyinga8318

    3 жыл бұрын

    sare za samakisamaki usijali.

  • @aloycesimon2028

    @aloycesimon2028

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 Swal lang hlo la kila cku

  • @lukebazil5531

    @lukebazil5531

    3 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣

  • @aloycesimon2028

    @aloycesimon2028

    3 жыл бұрын

    @@lukebazil5531 Vp amebadilisha??

  • @ameknews2315

    @ameknews2315

    3 жыл бұрын

    Ni sare za ofis

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko3 жыл бұрын

    nyimbo ya daimond ineshindwa kwenda kisa mtaandao haupo kzread.info/dash/bejne/Z4CtvKl7k7qYhag.html

  • @ajaxjunior4151
    @ajaxjunior41513 жыл бұрын

    Ninaomba umletee na watangazaji wengine wengi kama Jonijoo na Millard Ayo tuendelee kupata madini zaidi au pia niendelee kupata madini zaidi kwani ninajifunza vitu vingi

  • @barakabahati4315
    @barakabahati43153 жыл бұрын

    Salama na jembe ni jembe was agreat interview naicheki kila siku

  • @mwahijalukali2387
    @mwahijalukali23873 жыл бұрын

    Ambua kama ambua yaan nawapenda wewe na mkeo hatari chimiyna ni mzuriii jmn

Келесі