Ukimtoa tambwe, half man, half amazing, real ommy, presenter wa the switch, hawa mapresenter wengine kaz ipo akija msanii mkubwa kutoka marekani kufanya nae interview, interview zinamaswali ya kijinga mengi ndio maana wasanii wa bongo wanakuwaga waongo waongo, kwa sababu wanajuwaga aina ya maswali ya hawa presenter, utaulizwa mahusiano, utaulizwa kuhusu diamond utaulizwa kuhusu bifu ujinga2
@michaeljoachim8517
8 ай бұрын
Kabisa bro ukimtoa lil ommy wengine bado sana
@footballtzee7 ай бұрын
Janja inabidi wasanii wengine wajufunze kwako umejua kua interview inaweza kualibu status na inaweza kukuonyesha we ni msanii wa hainaganii..🙏🙏
Пікірлер: 5
Ukimtoa tambwe, half man, half amazing, real ommy, presenter wa the switch, hawa mapresenter wengine kaz ipo akija msanii mkubwa kutoka marekani kufanya nae interview, interview zinamaswali ya kijinga mengi ndio maana wasanii wa bongo wanakuwaga waongo waongo, kwa sababu wanajuwaga aina ya maswali ya hawa presenter, utaulizwa mahusiano, utaulizwa kuhusu diamond utaulizwa kuhusu bifu ujinga2
@michaeljoachim8517
8 ай бұрын
Kabisa bro ukimtoa lil ommy wengine bado sana
Janja inabidi wasanii wengine wajufunze kwako umejua kua interview inaweza kualibu status na inaweza kukuonyesha we ni msanii wa hainaganii..🙏🙏
Abari bila mond uwezi fatilia
CHALI KITAMBO XANA BLOOO👊👊👊