Part 3: LAVALAVA Afichua "Nilitoa WANGA bila ruhusa ya WCB/DIAMOND kama
Ойын-сауық
Si unaikumbuka "WANGA" alioshirikishwa Lavalava na Meja Kunta?, sasa Lavalava anasema kuwa lebo yake haikumruhusu kuachia wimbo huo. Pia Lavalava anasema kuwa Diamond alitaka abadili muonekano wake ili kuachia kazi mpya
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Diamondplatnumz #Lavalava
Пікірлер: 20
Uyu jamaa sio muongeaji Nampenda sana life style
Lava nakukubali sanaaas broo
My Real Role model ❤️🙌
Nice one Mr love Bite.
Ninja🔥🔥🔥
Sauti azisikiki vizuri 😮
Kufa kama unavyo kufa lkn usije sema unatoa mwimbo 😂😂😂 is typing
Simba ☠️ 🇱🇷
Kufa kama unavyo kufa lkn usije sema unatoa mwimbo 😂😂😂
Bite
Good blés
Bite gang
Good blés 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪
Kwanini souti yinasikika malapili?
Hivi mnaijua dede
Lava
Lavaaaaaa❤
Kwenye kupiga kula ngoja kwanza
😂😂😂😂😂meja akaseme kwanini amekufa😂
@auntiemylee3157
23 күн бұрын
Nimecheka😂😂