RECAP: WIZKID, BURNA BOY walivyotikisa PARIS, DIAMOND, RAYVANNY wanatuwakilisha hawakuwepo KWANINI??

Ойын-сауық

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 47

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509Ай бұрын

    Sija ona mtu Tanzania ao media inayo Talia Tanzania mema always like this @Bongo5 na @simulizi ya sky 🙌🏾💯

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARDАй бұрын

    Awo jamaaa ni wengi kama mchwa Wana connection kubwaa sanaaaa na upendo

  • @dollabrucy
    @dollabrucyАй бұрын

    East African tumekimbia tukachoka mapema pia shida ipo kwenye kutishiana ma gari nama nyumba sio tena kutishiana kujaza Concert zakimataifa yani msahau tena msani mkubwa kuomba Collabo msani watanzania haiwezekani tena

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-lukeАй бұрын

    🎉🎉

  • @kilimanjarostarlounge
    @kilimanjarostarloungeАй бұрын

    tatizo la bongo hatujaweka msimamo kwamba ikija swala la kimataifa twende kama taifa sio kwenye mpira tuu tuache utimu kwenye swala la kimataifa hatutofika mbali tukiwa bado tunaleta utimu kwenye kimataifa siunanona hao jamaa wanavyobebana kwa umoja team hain a unafki tunaiga mengi kwao tuige na hilo sasa tusiishie kuiga beat zao na tu

  • @kalistuschaula
    @kalistuschaulaАй бұрын

    tuendelee kupambana tu

  • @user-zq5ld5px6u
    @user-zq5ld5px6uАй бұрын

    Broo umeongea point kubwa mno, nadhani ssi watanzania umetufungua kiakilii. Bg up broo. Mungu akutanguliee

  • @KarisBaya
    @KarisBayaАй бұрын

    Tunaiga mwiondoko ya miziki yao,hivi bongo ni amapiano,na hio flavour ya Sauzi sio ya bongo

  • @chishugiblog
    @chishugiblogАй бұрын

    Sioni kama Tanzania iko sehemu mbaya kimziki, yote ni safari. Diamond wakati ana anza amepeleka Tz music mbali sana akaleta Harmonize, Rayvanny, Mbosso, Zuchu, Lavalava,.. imagine kama hawa wote walikua sehemu moja leo. Kama African music kwasasa iko mkononi ya Tanzania. Tangiya Harmonize atoke WCB lini amefanya collabo kubwa, Rayvanny je? Yengine serekali nayo inasaidiya hawa wasanii kuwekeza pesa ndani yao, pesa imemfanya Davido kufika hapo. Imagine kama serekali inalipa Chris Brown afanye collabo na Diamond, sanaa inahitaji mkono wa serekali

  • @ayoubluizpizzaro8735

    @ayoubluizpizzaro8735

    Ай бұрын

    Uko na high thinking capacity bro😢

  • @kelvanny_tz

    @kelvanny_tz

    29 күн бұрын

    Umepatia vyote lakini...rayvanny kafanya kolabo nyingi zw njee ...pelepele na Juan,alo alo na noizy,shakeshake dream doll nyingi sana naisi yy ndo kafanya nyingi kuliko yeyoye🎉 I appreciate chui a lot

  • @FrediAkko
    @FrediAkkoАй бұрын

    inawezekana hata exposure enyewe maana yake hujui

  • @ramayonline2281

    @ramayonline2281

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @allenonesmomwebembezi6248
    @allenonesmomwebembezi6248Ай бұрын

    Nyie mlidai ooh Comasava imeenda ooh sijui nini😂 Asa mbona Domo hatujamuona huko?

  • @agogomgagagigigogo

    @agogomgagagigigogo

    Ай бұрын

    Mambo hayaendi hivyo ww boya,comasava ya juzi tu mara hii iwe imemfanya aalikwe humo au akajigharamie kuwepo huko,hiyo fashion show inahitaji pesa bana,sasa comasava bado haijaingiza unaileta hapa kama sababu we vip

  • @FrediAkko
    @FrediAkkoАй бұрын

    kina Casper unaweza kumshindanisha na diamond we vp! Usirudie kumshindanisha platnumz na vtu vya kijinga

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342Ай бұрын

    SEMA NAWAANDISHI WALIKUA WENGI WA NIGERIA HAKUNA MTANZANIA HATA MMOJA JITASMINI NAWEW BRO

  • @allenonesmomwebembezi6248

    @allenonesmomwebembezi6248

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @makopamalove8973
    @makopamalove8973Ай бұрын

    Nice

  • @RobertNjoroge-vx1lv
    @RobertNjoroge-vx1lvАй бұрын

    Juzi ulidai mumewazidi after komasava ...Otile aliwashow😂😂😂

  • @Elwise_modest
    @Elwise_modestАй бұрын

    Brother usisaulike kwamba @diamond platnumz amesha wai gombaniya tuzo uko Nigeria na aka zi win 😊 brother

  • @allenonesmomwebembezi6248

    @allenonesmomwebembezi6248

    Ай бұрын

    Ilikua kipindi kile not now bro

  • @Elwise_modest

    @Elwise_modest

    Ай бұрын

    @@allenonesmomwebembezi6248 ata kwa sasa atashukuwa kubwa ku zidi ile Man

  • @thebullfathermusic
    @thebullfathermusicАй бұрын

    Inaitwa : louis vuitton = Luwii Vwiiton

  • @allenonesmomwebembezi6248

    @allenonesmomwebembezi6248

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @FaustineGilishone
    @FaustineGilishoneАй бұрын

    Tatizo wasanii wetu wanawivu wao kwa wao wanamuwonea wivu diamondi lakini wajuwe diamond nimtu mkubwa sana afrika na duni

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570Ай бұрын

    Kama Alikiba anapewa level sawa Diamond,Basata wanamsifia mmakonde na wanamsaport kuliko Diamond unategemea tunafikaje huko. Sisi tu kama taifa tupo wapi kimaendeleo. Serikali yenyewe imejaa roho mbaya wanajitazama wao tu. Mpira wenyewe saivi Mo amepush Simba imeenda ila angalia figisu anazofanyiwa na Mawaziri. Mimi nadhani tubadilishe utawala wa nchi usiwe wa hawachumia tumbo zao huenda Taifa likapenya na wasanii watafika. Hapa bongo highlite artist ni mmoja katuzidi watanzania wote kwenye kila angle na asilimia kubwa ya wenyeuwezo wa kumsindikiza aende mbali wanamkunjia. Yeye hana hiana maskini ya mungu anawasaidia wote hana hata ubaya na mtu. Taifa kwanza ndipo tukuze vipaji vifike kule mnakotaka na maendeleo yanaanzia kwako wewe unayependa makubwa

  • @mrsavage7603
    @mrsavage7603Ай бұрын

    There's no fashion in tz, hamuezi kwenda hapo coz hamna fashion creativity! Kila mwonekano diamond anaiga wa 9ja, Rayvanny yeye amebakiliya tuu drip za kale 😂😂😂

  • @BabeRymz
    @BabeRymzАй бұрын

    Bro kweli

  • @mabrukawadh2532
    @mabrukawadh2532Ай бұрын

    Na leo basi uongelee chrisbrown kacheza pia koma sava 😅😅😅😅😅

  • @vanjay8685
    @vanjay8685Ай бұрын

    Tanzania inahitaji maombi ili wasanii wenu wafike huko unakosema...ukiangalia mitandao kila siku mnawatusi na kuwapakazia vitu vya ujinga kila siku kina mwijaku na babalevo mnafikiri huko nje hawaoni upuuzi wenu? Wanaona na wanaona IQ zenu ziko chini ndomana hakuna mto anawachukulia serious

  • @user-om5go9nj6n
    @user-om5go9nj6nАй бұрын

    Chakufanya supportini Simba, ndio anajuwa uchugu wakuweka pesa jili mziki wenu ifike mbali Harmo Raynny awajakuwa wakubwa kwa akili utoto ni mwingi

  • @ShadreckDreck
    @ShadreckDreckАй бұрын

    Wasani wa Bongo wamuhige Diamond hili wasonge mbele

  • @witnaofficial
    @witnaofficialАй бұрын

    Mimi nipo Congo, .nakuambia biashara ya mziki tz ipo juu kuliko Congo, niambie wasanii wa 5ambao wanafanya vizuri Afrika wa Congo.hakuna kaka.labda wazee tu Koffi, fally tuu heeee

  • @fulness_jazz5844
    @fulness_jazz5844Ай бұрын

    Tatizo wasani wenu wanashobo nyingi sana mfano uyo diamond shobo nyingiiii😂

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_Ай бұрын

    I am really surprised at you! May I ask, why don't we see the entire entertainment industry of Bongo internationally? Starting with the media, why don't we see Bongo media content on international platforms? Why don't we see our presenters at major events like those?

  • @shahamzanda5857
    @shahamzanda5857Ай бұрын

    sasa nchi ina mtu anaitwa Mwijaku ha haa haaaaa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473Ай бұрын

    Mbona diamond alialikwa siku ya kwanza alikuwa sa kuona watoto fanyeni reearch

  • @witnaofficial
    @witnaofficialАй бұрын

    Wekeza pia kwa wasanii siupo

  • @jumaorido2532
    @jumaorido2532Ай бұрын

    Ndio otile alisema ivo mkachkulia noma ,

  • @businessaccount1904
    @businessaccount1904Ай бұрын

    apao uwa namkumbuka Vanessa mdee

  • @businessaccount1904
    @businessaccount1904Ай бұрын

    Kaka ata mm uwa naumia sana wasanii wa tanzania wame mwachia diamond 💎 mzingo mkubwa sana ata alikiba amesha choka kabisa mario ndiyo usiseme ajitumi sasa ivi mrio niwakuwa ana kolabo na wasanii wa nigeri ila aoni uko so sad 😞 kwakeli

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415Ай бұрын

    Sasa fashion show ni deal kweli?😂

  • @m___ck799
    @m___ck799Ай бұрын

    Wasanii wetu wanauwezo wakuvaa hizo nguo? Hawawezi kukualika kama uvai hizo nguo!

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764Ай бұрын

    Hizi recaps kweli wasanii wanazisikia kweli????!!!!!😢

  • @LucienMulirimbuto-eo7nb
    @LucienMulirimbuto-eo7nbАй бұрын

    Wewe unazani utaenda uko kwegne show wakati ahuvahi bitu byathamani

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930Ай бұрын

    Imba wewe basi utuletee Grammy

Келесі