RECAP: DIAMOND awafunika BURNA BOY, WIZKID kimataifa, POGBA ampongeza, ATIKISA UFARANSA
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 220
Mimi Naungana na wewe kaka comment ça va ni Kali sana hata hapa Canada niliuomba kwenye ukumbi fulani ilikuwa ni balaa❤❤❤❤🎉🎉 kwa Diamond Platnumz❤❤❤
@user-um8xn4ge4i
Ай бұрын
Ukumbi gani huo hapa canada mm nipo Toronto hamna kitu. Zaidi ya wakenya na waganda tu
Sio Wanigeria tu hadi uchawi wa Harmonize umeshindwa kwa Diamond Platnumz Simba la Masimba...Tz 4life🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@achawanunetv1167
2 ай бұрын
Acha ujinga
@mashramadhani1989
2 ай бұрын
SWADAKTA
@gb-one6435
2 ай бұрын
😂
@benjagaspar5304
2 ай бұрын
Chukua maua yako🎉🎉
@katambomangale2185
Ай бұрын
Nani kakwambia konde no mchawi?kitakupata kitu
Bongo 5 Thank you so much.DIAMOND PLATNUMZ IS OUR PRIDE.THE BIG 4 1.DIAMOND PLATNUMZ 2.BURNA BOY 3.WIZKID 4.DAVIDO. NICE ONE.
Dah! Kwakweli jamaa ni bonge la presenter, endeleya kuupigania muziki wa bongo. Wacha watukane big, El mando ni mmoja tuu. Keep it up👑✔🙏🏿
Kaka asante sema sema ongera kwako big up diamond❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Mohaa4309
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Daaah hongera sana dogo Almando nakukubali from German big up keep it up we are all behind you jamba waking hawtikilewa
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
huu jamaaa ni next level bro nivenye wa tz mnamdharau coz niwenu but mngejuwa inchi zingine venye wanamkubali san huu jamaa mngepea ti thamani yake coz anastahili🔥🔥🔥
Unaongea point brother , fire 🔥🔥🔥
@FrobyRobin
2 ай бұрын
Live kaka
Uyu diamond ni King 👑 African nzima hamna ku bisha hiyo wimbo ya komasava imeenda mbali sana ime tamba hata huko kwetu Congo tusha isikiliza sana komasava ya diamond Isha chezwa sana tena huko Congo
Wew kutoka Leo tuna kuita mzee wa facts 😊😊
Pokea maua yako Mzee wa fact💐💐💐
BONGO5 SIKUHIZI NAKUELEWA SANAAAAAAAAAAAAA❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 DIAMOND KWAKWELI NIMFANO WAKUIGWAAAAA❤❤❤🎉🎉
Kiikweli Afrique akuna kama damond ❤❤❤🎉🎉🎉 tuacheni wivu naroho mubaya
Broo unaongea fact mawaz saw na yanguu❤🎉🎉🎉
Point kaka ,nimekuelewa kabisa ❤❤❤ Simba
Very true💯tuambizeni ukweli alafu tumsukume zaidi afanye makubwa zaidi
Ukweli baba
Unaongeya point nzuri kabisa bro el mando mwenye ata kugusa nita kula naye saani moja
Kweli kaka from 254
@kristofuraha3369
2 ай бұрын
❤❤❤🔥🔥🔥🔥💪👊👑
Komaaav International song
Mm ni mkenya I lv u bro unasema ukweli kabisa.
yan leo bong 5 mmesababisha ni nimeshere link kwa watu 50 uko verry verry crare brow big up diamond
Dah leo nimekukubali broo
Facts 🌠
unyama kaka
Haujui Simba la Masimba Dangote
Fact man broh your the best
Asante broo ,fact ❤❤❤❤❤❤❤
Bro umeongeya fact sana🇨🇩🇨🇩
Mwamba leo umeongea asiekuelewa ana roho ya kukunja nimeamua kukupa maua yako 🎉🎉🎉🎉🥀🥀🥀🥀🥀🌼🥀💐🌸💮🌺🥀🌹🏵️🌷🌼🌺🥀🏵️🌼
Nakubali mtangazaji umeongea point kabisa diamond platnumz simba wa africa
Hahahahahaha waache walked baba ila kwenye ukweli sema mwanangu
Una hoja ya msingi sana, ila unafika mbali sana 😂 Kwamba tupo level moja na "Burna" daah
Yani kiukweli mond na vanny wanatuheshimisha ivi viroboto vingine mavi tu kingine eti kinaleta albam ya siasa za ccm
@cbegram6161
Ай бұрын
😂😂😂
Sahihi kabisa ukweri ❤❤
Well said 👌🏾👌🏾👌🏾👌🏾👏🏽
Fact Kaka Almando salut broo
Kwelly brooo
On my side Diamond is the first artist in the world, hata yule arbino wa marekani eti ni brown kwangu hafai alipo Diamond
Kaka nimekwelewa broo
I agreeeeeeee❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wewe uliwahi kuenda acha huko marekani ukashuhudia acha uwongo 😮😮😮
Amapiano ni mziki mzuri kuliko bongo frava za sasa
@Sean1877
Ай бұрын
Tunapiga Bongopiano 🇹🇿🇹🇿
Huyo ni mwalimu bro, uhakik
Sema brw leo umeongeya from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿💫
Fact broo big up simba
+243 Simba ndo Simba kbsaaaa
Nice
sure bro❤❤
Nkweli bro,comassava🎉🎉🎉🎉❤❤
Uko sahihi mjomba una explain correct kabisa
Diamond noma jini ilo
Kweliii🎉🎉
Tuko pamoja brother waambiye ukweli !!!
Nikweli kaka
Nakubal br
Boss anakuja sasaivi amefika ✈️🇲🇿
Diamond king of Afrique
Mzee wa fact
Huyu mwamba anajua strategy ya muziki
Safi sana kaka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Lazim tupende vya kwetu
Diamond hoiyeeee
Kaka unapigia mbuzi gita hawaelewi
🔥🔥🔥
Umetisha kaka
Point ✌️
We mwenyewe ni bonge la presenter , wasanii wakuangalie kwa jicho la pili
Bongopiano 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 to da world 🌍🌎🌏
Unajua kuchambua mziki bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
You spoken well
❤❤❤❤❤❤Fact bro 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
❤❤❤❤❤❤ nakubali Sana kaka ❤❤
Nakukubali Sana bro afu wangelikuwa ata wawili apo Tanzania ata Nigeria isingelifikia ila wa Nigeria wanamushinda kwasababu wapo wengi ila kusema kweli chibu simutu wakuchezeA💪💪🙏🙏🙏🦁🦁🦁
Constructive comments from Bongo 5, take 🖐️ bro
Kweli kabisa
You know how to express yourself bro
KING DIAMOND 🏆🏆🔥🔥
simba 🔥🔥
Ukweli mtupuuuu
O2 ARENA TARGET
É verdade irmao tá certo ❤❤❤
Wakupe waua yako unajua nini unafanya much respect
bro upo makin
Unyama kaka
Nakukubali mdogo wangu ume ongea ukweli kabisa🏆👑👑
Hatimaye UMEWEZA KUITEKA DUNIA NZIMA❤
Na mondi anawapiga chenga kwenye kucheza yaani hapotu wapambane sanakiukweli Mungu alimjalia Simba tamba tupo nyuma Yako kaka 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 utawaka sanatu
Brow!! Upo sahihi kbsaa ...... Tuache uhamonaizi wa chitohori
Simba wamasimba dangote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Diamond platnumz noma sasa 🇲🇿🇹🇿🇲🇿🇹🇿
🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
diamond big Africa 🌍
Sana kaka WAMBIE
We zombie the king 🔥🔥🔥🔥🔥
imagine 🎉🎉🎉komasava , awamueshimu diamond tz
Asante sana mchambuzi wa mziki
Hapo umeongea point kabisa