Part 4: "Nisingekaza SENSEMA ingeuoteza Wimbo wangu/DIAMOND Alishauri hivi

Ойын-сауық

Mwanamuziki Lavalava amesema kuwa kama asingeachia wimbo mzuri basi angekutana na upepo wa Sensema ya Ravanny na Harmonize ambayo ingeweza kufunika wimbo wake mpya "MAJI"
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Lavalava #rayvanny

Пікірлер: 28

  • @mohamediahmedi3361
    @mohamediahmedi336120 күн бұрын

    Mimi wa mwisho naombeni mkopo

  • @Mjomba_Side

    @Mjomba_Side

    19 күн бұрын

    Kuna bonge moja la mkopo hapa kwetu jalalani njoo uchukue

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla20 күн бұрын

    BtGang🔥🙌

  • @strong8534
    @strong853417 күн бұрын

    Rick, nimependa jinsi mlivyoweka hii intavyu kwenye vipande vipande. Kwa mtindo huu mtu anaangalia bila kuboweka. Hongereni sana

  • @auntiemylee3157

    @auntiemylee3157

    16 күн бұрын

    Inafaa ivi🎉🎉🎉🎉

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah584116 күн бұрын

    Mm hua nakubali kazi za lava lava anajua sana ila nyota t

  • @richkaja3317
    @richkaja331718 күн бұрын

    Lava boy unajua sanaa janja

  • @HunchoQuavo-di4os
    @HunchoQuavo-di4os20 күн бұрын

    Wakwanza naombeni like zangu 🎉

  • @IsayaTarakwa

    @IsayaTarakwa

    19 күн бұрын

    Wakwanza nini toa koment wakwanza upewe wewe ndio unazungumza

  • @HunchoQuavo-di4os

    @HunchoQuavo-di4os

    19 күн бұрын

    @@IsayaTarakwa Ila Wew nisha kuelew bangi iz

  • @mohdmassoud3052

    @mohdmassoud3052

    19 күн бұрын

    Toka hapa ww paka omba pesa like zikusaidie nini

  • @Mizahh-ll5lu
    @Mizahh-ll5lu17 күн бұрын

    Acha uongo dogo huna kolabo ya nje

  • @Robinson24560
    @Robinson2456018 күн бұрын

    WCB nisawa na jela tulia hapo chini king azidi kua king

  • @FatumaShabani-mp9vt

    @FatumaShabani-mp9vt

    16 күн бұрын

    😂😂😂 pole king mwisho kwa mama watoto Kenya ndyo King uyo ata Rwanda asikiki toba kweri king tunae 😅😅😅

  • @auntiemylee3157

    @auntiemylee3157

    16 күн бұрын

    Anasubiri mkataba uishe afanye mambo yake...hana hela za kulipia kuuvunja

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri20 күн бұрын

    Lava lava ashakufa kimuziki

  • @bizoboy1168

    @bizoboy1168

    20 күн бұрын

    nenda ukam fufue bs

  • @user-hd7vt8fk5t

    @user-hd7vt8fk5t

    19 күн бұрын

    Embu tuambie lavalava Amekufilia wapi

  • @IrfanIdriss

    @IrfanIdriss

    19 күн бұрын

    kundu lako j

  • @khalfannyanje8970

    @khalfannyanje8970

    19 күн бұрын

    Mfufue yesu😂😂😂

  • @babuwasa6122

    @babuwasa6122

    18 күн бұрын

    Na mimi ndio nilie mtoa roho😂😂😂

  • @DavidHokororo
    @DavidHokororo19 күн бұрын

    Lava lava bora yangu mimi najua kuimba 😂

  • @DavidHokororo
    @DavidHokororo19 күн бұрын

    Alafu oyo mdada mbona abadilishi hyo blauzi 😢😢

  • @IrfanIdriss

    @IrfanIdriss

    19 күн бұрын

    mamako j

  • @khalfannyanje8970

    @khalfannyanje8970

    19 күн бұрын

    😂😂😂Mnunulie

  • @timothykaiza327

    @timothykaiza327

    16 күн бұрын

    Sare ya ofisi,

  • @badmanno.1650
    @badmanno.165015 күн бұрын

    Nobody listens to you mate 😅

  • @mrsavage7603
    @mrsavage760319 күн бұрын

    Mi mwenyewe nilienda kuiskiza kwasababu aliichalenge na sensema ila bado kabisaaa, hajafanya kitu, that song is a traaash 🗑

Келесі