Part 4: "Nisingekaza SENSEMA ingeuoteza Wimbo wangu/DIAMOND Alishauri hivi
Ойын-сауық
Mwanamuziki Lavalava amesema kuwa kama asingeachia wimbo mzuri basi angekutana na upepo wa Sensema ya Ravanny na Harmonize ambayo ingeweza kufunika wimbo wake mpya "MAJI"
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Lavalava #rayvanny
Пікірлер: 28
Mimi wa mwisho naombeni mkopo
@Mjomba_Side
19 күн бұрын
Kuna bonge moja la mkopo hapa kwetu jalalani njoo uchukue
BtGang🔥🙌
Rick, nimependa jinsi mlivyoweka hii intavyu kwenye vipande vipande. Kwa mtindo huu mtu anaangalia bila kuboweka. Hongereni sana
@auntiemylee3157
16 күн бұрын
Inafaa ivi🎉🎉🎉🎉
Mm hua nakubali kazi za lava lava anajua sana ila nyota t
Lava boy unajua sanaa janja
Wakwanza naombeni like zangu 🎉
@IsayaTarakwa
19 күн бұрын
Wakwanza nini toa koment wakwanza upewe wewe ndio unazungumza
@HunchoQuavo-di4os
19 күн бұрын
@@IsayaTarakwa Ila Wew nisha kuelew bangi iz
@mohdmassoud3052
19 күн бұрын
Toka hapa ww paka omba pesa like zikusaidie nini
Acha uongo dogo huna kolabo ya nje
WCB nisawa na jela tulia hapo chini king azidi kua king
@FatumaShabani-mp9vt
16 күн бұрын
😂😂😂 pole king mwisho kwa mama watoto Kenya ndyo King uyo ata Rwanda asikiki toba kweri king tunae 😅😅😅
@auntiemylee3157
16 күн бұрын
Anasubiri mkataba uishe afanye mambo yake...hana hela za kulipia kuuvunja
Lava lava ashakufa kimuziki
@bizoboy1168
20 күн бұрын
nenda ukam fufue bs
@user-hd7vt8fk5t
19 күн бұрын
Embu tuambie lavalava Amekufilia wapi
@IrfanIdriss
19 күн бұрын
kundu lako j
@khalfannyanje8970
19 күн бұрын
Mfufue yesu😂😂😂
@babuwasa6122
18 күн бұрын
Na mimi ndio nilie mtoa roho😂😂😂
Lava lava bora yangu mimi najua kuimba 😂
Alafu oyo mdada mbona abadilishi hyo blauzi 😢😢
@IrfanIdriss
19 күн бұрын
mamako j
@khalfannyanje8970
19 күн бұрын
😂😂😂Mnunulie
@timothykaiza327
16 күн бұрын
Sare ya ofisi,
Nobody listens to you mate 😅
Mi mwenyewe nilienda kuiskiza kwasababu aliichalenge na sensema ila bado kabisaaa, hajafanya kitu, that song is a traaash 🗑