HARMONIZE: BADEST 47, NI MDOGO SANA, KUIBIWA SENSEMA, NILIMSIKIA S2KIZZY, RAYVANNY, TUKURUPUKE

Спорт

HARMONIZE: BADEST 47, NI MDOGO SANA, KUIBIWA SENSEMA, NILIMSIKIA S2KIZZY, RAYVANNY, TUKURUPUKE

Пікірлер: 63

  • @AlinaniSiame-yq1nk
    @AlinaniSiame-yq1nk8 күн бұрын

    keep up work best music congratulations harmonize 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🇿🇲💤

  • @AM4CLASSIC

    @AM4CLASSIC

    7 күн бұрын

    oyi

  • @Vuma_live_tv
    @Vuma_live_tv8 күн бұрын

    Ah konde siyo wa kuhojiwa na waandishi wa youtube kudadeki jamaa ananyanyasa na kiingeleza chake huyuu😂😂😂

  • @bboyofficial6
    @bboyofficial68 күн бұрын

    Hawa waliiba hiyo Ngoma 😢😢😢

  • @pharleserasto3114
    @pharleserasto31148 күн бұрын

    Konde namkubal san yuko vzur ila kitu kmoja huwa anazingua ukimuhoji "interview"kwa kiswahili yeye anajibu kwa kinge utadhani ndo lugha yake na bado anaongea anachanganya broken humohumo. labda niseme hvi ethics au maadili ktk jamii mkihojiana unatakiw ujibu au kutoa hoja kulingana na swali lilivyoulizwa na lugha ilotumika na sio maongezi au lugha tofaut but jeshi nisimlaum san maan pia shule hana na hyo kinge kajifunza mtaan ingaw bdo na broken nying.

  • @emmanuelmulunda7

    @emmanuelmulunda7

    3 күн бұрын

    Ni international sahii,,marketing hii..reaching bigger masses..watu outside east Africa waelewe..Good English to him..listening from 254 🇰🇪

  • @RajabJuma-pe9ml
    @RajabJuma-pe9mlКүн бұрын

    Hahahaa mmakonde nimzungu full hahaaaa ngeli mingi

  • @ibrahimbaila7764
    @ibrahimbaila77649 күн бұрын

    Sasa kutoka hyo sim ndonn

  • @JacobFredy
    @JacobFredy8 күн бұрын

    Ila harmonaiz

  • @AdamsonSembo
    @AdamsonSembo4 күн бұрын

    Its worldwide interview not everyone understand swahili let him mix the language

  • @JumaHuseni-in8wv
    @JumaHuseni-in8wv8 күн бұрын

    Muandishi hakua confortable😅😅 kumuhoji kondee.

  • @chapombe_mlafi

    @chapombe_mlafi

    3 күн бұрын

    we uoni konde anaongeakingereza afu kachangamka apo ujue kashtua pombe afu mtubwa Gm ko mtangazaji akijilengesha ameisha

  • @jamesonjames4291
    @jamesonjames42915 күн бұрын

    Harmonize anaongea kimapozi yan😂😂

  • @RajabJuma-pe9ml
    @RajabJuma-pe9mlКүн бұрын

    Pesa jaman niatari mmakonde Mimi shabiki wako bn naona kingereza kingi kuliko kiswahil mh

  • @Mizahh-ll5lu
    @Mizahh-ll5lu8 күн бұрын

    Uongeaji wa konde mmegunduwa nn mmejifunza nn wenzangu ananata

  • @AlbanoHasani
    @AlbanoHasani7 күн бұрын

    Konde ni mkali anajua

  • @raphaelmwaura1648
    @raphaelmwaura16487 күн бұрын

    Lakini apa kwetu kenya sensema mimi sjawai iskia ila nyinyi kwenu tz mna ishifia saana

  • @geofreyj.1986

    @geofreyj.1986

    6 күн бұрын

    si nyie mpo bize kwa maandamano

  • @chrissmitindo5727
    @chrissmitindo57279 күн бұрын

    Mtangazaji anatetemeka Sana😅

  • @umojamedia4167

    @umojamedia4167

    9 күн бұрын

    Uyo ni mzoefu sema ongea yake ndoivoivo

  • @ChafuTatu-vs1jo
    @ChafuTatu-vs1jo9 күн бұрын

    Usiteteme

  • @Vuma_live_tv
    @Vuma_live_tv8 күн бұрын

    Kiingereza sasa 😂😂😂

  • @Kasika-hi6hf

    @Kasika-hi6hf

    8 күн бұрын

    Mpk naskia aibu 😅😅

  • @Nyasamedia
    @Nyasamedia7 күн бұрын

    Mwamba uyo

  • @KenifamilyTV
    @KenifamilyTV9 күн бұрын

    Nacho mkubari Harmonize sio muongeaji kabisa.

  • @JeanLunda-nv5fd
    @JeanLunda-nv5fd8 күн бұрын

    Jeshi tembo Conde boy

  • @SalumHassan-ig7jv
    @SalumHassan-ig7jv7 күн бұрын

    Bonge la mwandishi huyu jamaa

  • @chui99
    @chui997 күн бұрын

    Ana kosa mmakonde

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas8 күн бұрын

    Wa36

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg8 күн бұрын

    Nyie midian mnazingua uyo alie ibiwa nyimbo ata ajulikani ata jina ana

  • @Godmaletz

    @Godmaletz

    8 күн бұрын

    Baddest47

  • @user-fn5cf1eo5u
    @user-fn5cf1eo5u9 күн бұрын

    ila harmonize

  • @rodriguekalubandika535
    @rodriguekalubandika5359 күн бұрын

    Wapili naomba like zenu

  • @ahmedmatic3152
    @ahmedmatic31523 күн бұрын

    Ila badilisha kinyozi man alokunyoa kakuchonga vby izo square

  • @kadalajr
    @kadalajr9 күн бұрын

    Poor interviewing

  • @user-rh7bw6tq1p
    @user-rh7bw6tq1p7 күн бұрын

    Kingereza kingi jama wewe je

  • @MudJumaa-jg2cu
    @MudJumaa-jg2cu4 күн бұрын

    Mbn yuk pic xsn harmonize

  • @kiatu
    @kiatu7 күн бұрын

    Hayo mambo mdogo sana umesema wewe, Labda kama alisema off cam 😂

  • @KasimuMushi
    @KasimuMushi9 күн бұрын

    Ongea kiswahili ww choko

  • @FranklinMartin-tp5ss

    @FranklinMartin-tp5ss

    9 күн бұрын

    shaili kama hujalielewa basi hujaandikiwa ww vunga choko ww

  • @KasimuMushi

    @KasimuMushi

    8 күн бұрын

    @@FranklinMartin-tp5ss ww choko na harmonize wako huyo

  • @KasimuMushi

    @KasimuMushi

    8 күн бұрын

    @@FranklinMartin-tp5ss mond ndo huyo yupo france na chris anacheza ngoma za simbaa

  • @FranklinMartin-tp5ss

    @FranklinMartin-tp5ss

    8 күн бұрын

    ndomaan mnaambiw wabongo mnapend kutrendsha vtu vya kijinga kwan yey altak ichezwe na wabong pekeake au yeye achezag nyimb za wat? achen mamb ya ktot halaf nend kaanglie sportfy huyo chris hat 10 bora hayupo na han hit yoyt miak 5 sasa

  • @FranklinMartin-tp5ss

    @FranklinMartin-tp5ss

    8 күн бұрын

    halaf kwan paris si kaend kwa nauli yake au kaitwa

  • @HumphreyNyiti
    @HumphreyNyiti8 күн бұрын

    Tatizo huwa apendezagi akiongea kingereza,ongea kiswahili bhana

  • @samirmswahili

    @samirmswahili

    8 күн бұрын

    Ukijifunza kitu pila sana pratica ili kukuza ulichojifunza

  • @damaserick
    @damaserick7 күн бұрын

    alie ibiwa nyimbo ni nani huyo mbn sija wahi kuisikia akiimba au ana tafuta kik

  • @Official_bizedd
    @Official_bizedd8 күн бұрын

    Mtu akijua kingeleza tu ndo bas atatutesaaa tusojua utazan lugha ya taifa Ukiulizwa kiingereza jibu kingereza na ukiulizwa kiswahili jibu kiswahili sa anatuchanganyia michembe na chips

  • @Kasika-hi6hf

    @Kasika-hi6hf

    8 күн бұрын

    Hakuna kiingereza hapo, ni aibu tupu

  • @Official_bizedd

    @Official_bizedd

    8 күн бұрын

    @@Kasika-hi6hf hahahaa mbona intreview za nje hawatuonesh mana ndo kwao kiingereza ilahapa kwetu bongo chap tu katia kimombo

  • @Kasika-hi6hf

    @Kasika-hi6hf

    7 күн бұрын

    @@Official_bizedd kaka hapo hakuna kimombo ni kubananga maneno ya kiingereza tuu, Yani ni Ile linalokujia unataja tuu, wee c unaona ata kiswahili anavokosea kutamka r na l?

  • @rajabuSaid-hj7fm
    @rajabuSaid-hj7fm2 күн бұрын

    Mwamba huyo

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og57199 күн бұрын

    Mmakonde anamwaga ngeli tu

  • @richkaja3317
    @richkaja33178 күн бұрын

    Dogo afanye mziki acha kingereza rudi usafini acha ushambaa Boy harmonize

  • @jojokimikya1447

    @jojokimikya1447

    8 күн бұрын

    Kwan ame fanya filamu ??? Then Kam hujuw kingereza wende ku learn instead of saying bullshit here

  • @FrankMmbaga-je2cl

    @FrankMmbaga-je2cl

    3 күн бұрын

    Wewe hutaki ongee kingereza acha wivuu wewe

  • @jmwa
    @jmwa9 күн бұрын

    Duh 😂😂😂😂

  • @hollymore4904
    @hollymore49048 күн бұрын

    Broken English 💔

  • @rickierunyota3613

    @rickierunyota3613

    8 күн бұрын

    Hata wazungu wanaongea kiswahili kibovu

  • @hollymore4904

    @hollymore4904

    8 күн бұрын

    @@rickierunyota3613 ndo kila mtu aongee lugha yake Kama ya mwenzio huiwez kiufasaha.. inaleta maana tofaut

  • @JosephAntonia-pw5bz
    @JosephAntonia-pw5bz4 күн бұрын

    Hamo ana jua kuimba ila tatzo lake anajiona xana et

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n9 күн бұрын

    Mwanaume unaombaje like😡

Келесі