Part 5: LAVALAVA Atoa ya MOYONI "MZUNGU wangu ALITOA MIMBA/Alitaka NIACHE Kazi zangu"
Ойын-сауық
Kutoka WCB Mwanamuziki Lavalava ameiambia Rick Media kuwa anahisi Mzungu wake alitoa ujauzito wake. Lakini Pia Lavalava anasema kuwa n i changamoto sana ku date na Wanzungu kutoka na namna ambayo wanataka kukuendesha kwenye mahusiano
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Lavalava
Пікірлер: 26
Lava lava unahongeya point kuhusu kutokubadilika kisa u star na kutokumuzoweya Boss
Wazungu wakiona huna muelekeo au huna vision kuzaa kwao mwiko
@lightnessmussa5934
18 күн бұрын
so wazungu tyu hata hiz kima nyeusi
Tukumbukwe nasi kama wasanii wadogo 🎉tutafutwe
Uyo Dada Namkubali saana Anajuwa kuhoji
Hii kubwa sana hii lkn msingeuliza isingesikika
Party 5 nimeondoka na short cheses😂😂😂
Ninja,🔥🔥🔥
🎉🎉❤ love from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿. Maji maji
@RickMediatanzania
Ай бұрын
One loveee
Umesom din na uko hapo et mke wangu duuh
Nice one Mr love bite.
Lava lava unafeliii sanaaaa
Fanya official sema umarioo rahaa sanaa
Simba ☠️ 🇱🇷
BIG SHOUT OUT BROTHER @lavalava
MBONA Njombe vijijini jamn Lavalava hahahhaha
Tatizo nyota kaka una nyota😂
Kwann njombe😂
Hyu dda namuelewaga mno, sema ndio kma hvyo
@RickMediatanzania
Ай бұрын
Ndio kama nini wacha tamaa😂😂😂😂😂. Ongea vizuri na watu jimbo lipo wazi hili
@salimjumaa8180
Ай бұрын
@@RickMediatanzania tamaa vp wkt moyo wngu ushampenda🤣
Rick media huyu mwanadada ndiyo shemeji!?
@RickMediatanzania
Ай бұрын
Amna bhna😂😂😂😂😂
mzungu hazai ovyo
Muongo wewe wazungu kibao wauni wanaishi nao kishahili swahili akafu freshi tu wewe ulikuwa mshamba wa madem wa kizungu jinga kabisa pambaaafu 😅😅😅