ALIKIBA: SINA RAFIKI MSANII, MARIOO, MUZIKI WA AMAPIANO HAUNA UJUMBE, GABO ANA KIPAJI KIKUBWA

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 137

  • @stellanchagwa5297
    @stellanchagwa529711 ай бұрын

    Alikiba ni mmoja tu ❤❤❤❤

  • @officialInchakali
    @officialInchakali11 ай бұрын

    Nakubali msosi huo 🔥💯💪 Alikiba Marioo Big up sana 👊👊

  • @arleneilunga9202
    @arleneilunga920211 ай бұрын

    King kuja Kenya nikuone na Mimi nime toka Congo 🇨🇩 kwa sasa Niko Kenya kuja my king 🔥🔥🔥

  • @fefebitv

    @fefebitv

    11 ай бұрын

    Mambooooo

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana773511 ай бұрын

    Unatisha KingKiba 🙌🙌🙌🎩🎩

  • @frankrwegoshora4705
    @frankrwegoshora470511 ай бұрын

    Yaan wiki ilopita yote nilikuwa Nairobi, Muziki wa Watanzania ni mwingi kweli kweli. Nyimbo za Alikiba na wasanii kadhaa zinapigwa kila kona. Congrats ndg kwa kuwa mabalozi wazuri. Kwenye play list ya Qatar Airways Alikiba na Lady JDee mmo ndg zangu. Nilifurahi saana kukuta majina haya maana ile ni 5 star flight company isee

  • @AlexCc-bk8lw
    @AlexCc-bk8lw11 ай бұрын

    Alikiba💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚👍👍💚

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus706811 ай бұрын

    King kiba🇹🇿✅❤️❤️❤️❤️❤️💐

  • @user-fg7fb7sb3y
    @user-fg7fb7sb3y11 ай бұрын

    Uyu brother anae mhoji Alikiba Yupo Bomba na kz yake makini Sana na maswali yake

  • @oyay2821

    @oyay2821

    11 ай бұрын

    Presenter ametulia katika kazi yake

  • @rajabdibwa6415

    @rajabdibwa6415

    11 ай бұрын

    wala hafkirii nyama😂

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale45511 ай бұрын

    King kama king..

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana65011 ай бұрын

    Nakuelewa sana alikiba ❤❤❤ endelea kaz nzuli

  • @EmJesho
    @EmJesho10 ай бұрын

    King kiba hongera kwa kazi nzuri nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mis2ra766
    @mis2ra76611 ай бұрын

    Big up King's

  • @rambostalon2888
    @rambostalon288811 ай бұрын

    Nacho kupendea kiba huna mashauzi big up bloo

  • @user-nq8cj7pq9y
    @user-nq8cj7pq9y10 ай бұрын

    King on top

  • @AliMbuna
    @AliMbuna2 ай бұрын

    King kiba safi sana 👑

  • @user-fr6su7kb1v
    @user-fr6su7kb1v9 ай бұрын

    Nakubaliana na king amapiano ni mzk rahis mfano mzur chino anatembea na beat hamna anachoimba

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg439011 ай бұрын

    I love Alikiba ❤❤❤

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja372711 ай бұрын

    King Ally Salehe Kiba🔥🔥🔥💓💓💓💓💓💓💓30.07.2023

  • @deeonetheginger7011
    @deeonetheginger701111 ай бұрын

    King himself

  • @givenmazengo7738
    @givenmazengo773811 ай бұрын

    Hizo nyama daaaaah

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd11 ай бұрын

    Daa huyo mdada anaongea vizurii sana. Sauti yake nzuri

  • @mkarimuofficial9192

    @mkarimuofficial9192

    11 ай бұрын

    Abdhalla salamu kwanza ndio ule bana

  • @user-oq1fc7th9n
    @user-oq1fc7th9n11 ай бұрын

    Ally unatisha sana🎉🎉😢😮😅😊

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj11 ай бұрын

    Maji muhimu😀😀

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga243411 ай бұрын

    Mariooo kamaliza nyama ndio akaondoka😀😃😃😃 Totobady

  • @mokojumbe4545

    @mokojumbe4545

    11 ай бұрын

    Mjinga Kabisa Omar 🤣🤣

  • @missindependent1893

    @missindependent1893

    11 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😊😊😊😊

  • @renatusmkome2754
    @renatusmkome275411 ай бұрын

    king tuna kuitaji kwetuu kigoma tume kumiss mnoo king♥️♥️♥️

  • @user-xg2wb9ye2g

    @user-xg2wb9ye2g

    11 ай бұрын

    Hana hela maskini 2 aibu maskini hanajipya hanarafiki Msanii anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi

  • @fefebitv

    @fefebitv

    11 ай бұрын

    Mmmmh

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    11 ай бұрын

    ​@@user-xg2wb9ye2gmana wamlisha ww na kumvisha ww kila cku paka mweusi

  • @kibslincoln
    @kibslincoln11 ай бұрын

    👑❤

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel957611 ай бұрын

    Show love for collegue as long as God blessed you that's is law of nature

  • @shreemwanakombo6794
    @shreemwanakombo679411 ай бұрын

    Mwamba💪💪💪

  • @MukandilwaProspere-th2xu
    @MukandilwaProspere-th2xu4 ай бұрын

    Kig kiba mukuli kweli😊

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala454011 ай бұрын

    kumbe waandishii wakilishwa wanahoji vzur

  • @salimsoyo8118

    @salimsoyo8118

    11 ай бұрын

    Chezea buree hahaha

  • @keydeemasinga6986

    @keydeemasinga6986

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @ugotanzania2722

    @ugotanzania2722

    11 ай бұрын

    😂😂

  • @eddymudindi9166

    @eddymudindi9166

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa?

  • @Babesfamily17

    @Babesfamily17

    10 ай бұрын

    Yani😂😂

  • @user-eh4jh5hr8x
    @user-eh4jh5hr8x11 ай бұрын

    Huyo dada analiya mkono wa kushoto

  • @user-uq5ll1mu4v
    @user-uq5ll1mu4v11 ай бұрын

    😂❤❤❤❤❤❤

  • @Lea-iz8fd
    @Lea-iz8fd11 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @AllyMahuja-gk5qi
    @AllyMahuja-gk5qi6 ай бұрын

    Tunda man

  • @UwamuregeyeSamuel-rq7jz
    @UwamuregeyeSamuel-rq7jz9 ай бұрын

    Mlukali 👑 kiba

  • @FatakiFabien-co2qs
    @FatakiFabien-co2qs11 ай бұрын

    Nimewa yinipeni liké yangu

  • @criminalminds7723

    @criminalminds7723

    11 ай бұрын

    Tukikupa likes na ww utatupa jicho?😋😋

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e11 ай бұрын

    King kiba

  • @dennisnjiro7922
    @dennisnjiro792210 ай бұрын

    Ali i realy apreciate what u did ila pia majibu unayo brother unaheshima ya kujibu

  • @DatuBakary-in3ut
    @DatuBakary-in3ut11 ай бұрын

    K2ga mbona haonekani mwambie aache roombaya

  • @swaifsouq
    @swaifsouq11 ай бұрын

    Mr blue na aby skils kwenye maria

  • @rachelaisha5084
    @rachelaisha508411 ай бұрын

    Mfalm king

  • @festoasanga5572
    @festoasanga557211 ай бұрын

    Mmmmm abdu kiba mrafi anachukua tidogo tudogo ila yupo fasta

  • @silvergold5855
    @silvergold585511 ай бұрын

    Marioo aongei 😂

  • @yustinrockboy4091
    @yustinrockboy409111 ай бұрын

    Oya izo nyama niaje

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala454011 ай бұрын

    Ki Spana hatà hakipig story😅

  • @aminaheri2590
    @aminaheri259011 ай бұрын

    Huyo Dada kwann anakula jaman na kushoto , naomba mkatazeni

  • @cittaboy

    @cittaboy

    11 ай бұрын

    Vnye amekaa usimulaumu

  • @muhammadjamady-zx1jy
    @muhammadjamady-zx1jy11 ай бұрын

    Uyooo alieva nguo nyeusi mwanamke anakul shoto tu

  • @cosmasally883
    @cosmasally88310 ай бұрын

    marioo kama max kwenye mapande

  • @waziriadam1022
    @waziriadam102211 ай бұрын

    Uyo demu wa wapi anakula na nkono wa kushoto kudadadeki

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm11 ай бұрын

    Kiba nimemuelewa kweli point yake rafiki niyule kwenye shida na raha mnakua pamoja ila rafiki wa kwenye kazi ndo Hao rafiki wa juju ila rafiki wa kweli ndo Hao kwenye shida na raha

  • @kilungahamis1270

    @kilungahamis1270

    11 ай бұрын

    Kwani msanii hawezi kuwa rafiki wa shida na raha?

  • @kaseja

    @kaseja

    11 ай бұрын

    Meaning hata wasanii wake sio marafiki zake ?? That's why hawapei promotion and the investment they need the guys to grow??? So why have a Lebo and yet U don't want to be frndz with Ur own artist?? What about mwana FA na yeye sio rafiki yake coz he is a musician... Huyu Jamaa aangalie kauli bana

  • @laj1699

    @laj1699

    11 ай бұрын

    ​@@kasejaKing Kiba kanukuu 'Rafiki ni yule anayekuwepo wakati unamhitaji.' Marafiki wengi wa King wamekuwa wanafiki kwake akiwemo Dimpoz, Mwana FA, Barnaba na wengine wote walioenda kwake kujirebrand nakutoroka badae.

  • @user-xg2wb9ye2g

    @user-xg2wb9ye2g

    11 ай бұрын

    Ndio maana daimond amemuacha mbali Hana hela ni maskini anatia aibu maskini mshamba wa Cinderella

  • @user-xg2wb9ye2g

    @user-xg2wb9ye2g

    11 ай бұрын

    ​@@laj1699Mwana fa anajua ndio mtalaamu wa mashairi misamiati na misemo huyo maskini mwenye roho mbaya Hana hela anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi mshamba wa Cinderella

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga243411 ай бұрын

    Nilikua natazama sinia muda wote nashangaa haliishi au mmezisomea hizo nyama 😀😃😄😄 maana watu wanainama wakiinuka nyama 😀😃😃

  • @user-hd9om8cu4y

    @user-hd9om8cu4y

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @TangaMashewa-qe8kk

    @TangaMashewa-qe8kk

    11 ай бұрын

    Hahaha niilikua najua naangalia mwenyew

  • @davidcurtis175

    @davidcurtis175

    11 ай бұрын

    Hamna macho wala hamsikii mbona me nimeona sinia ya pili na wamesema kabisa round two na imetolewa imewekwa nyengine kumbeeee ndio maana wanafumzi wanafeliiiii, shule moja darasa moja walimu ni haohao ila wapo wanaotka na zero na wapo wanaotoka na 1😊

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h11 ай бұрын

    Kipenzi cha kila mtu hana ubaguzi sasa huyo utamfananisha na swala wa tandale kwa majizi huyo mtoto wa k/ koo bwana king kiba saruti sana ali

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev8 ай бұрын

    Huyu dada anakula balaa hatari sana

  • @halima2286
    @halima228611 ай бұрын

    Marioo anakula kwa Kasi ama anazani kitaishaa na huyo mwamba wa kofiaa ni nikuyasombaa sana

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga11 ай бұрын

    Enjoyini washikaji wangu jamani Mrarueni bata virivyo juu ya kagumzo Diamond platinumz huyo😅😅😅 Maisha mafupi haya na matamu😅😅😅

  • @immaculathaemmanuel8240
    @immaculathaemmanuel824011 ай бұрын

    Kuna mmoja hapo anakula faster faster hatari🤣

  • @user-de1cl2qe5s
    @user-de1cl2qe5s11 ай бұрын

    Tunatak kolab za kimataif xax hiv

  • @davidmuneza5158
    @davidmuneza515810 ай бұрын

    Ki kiba

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman175311 ай бұрын

    Huyo sister duu nyuma anapiga nyama sio mchezo

  • @swedish_james
    @swedish_james11 ай бұрын

    Nyama ilivyoisha kila mtu kashika zake

  • @josephatjordan2150

    @josephatjordan2150

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂wew unajua kusoma Ramani

  • @omarymbole9028
    @omarymbole902811 ай бұрын

    Dada Hilo Sinia unaona mapaja tuu duu wachee na wenzako

  • @mimasirdic8379

    @mimasirdic8379

    11 ай бұрын

    Mroho

  • @mimasirdic8379

    @mimasirdic8379

    11 ай бұрын

    Anashindwa kula vizurii na Ali kiba

  • @kiejustus97
    @kiejustus9710 ай бұрын

    Ni kuku ama ni nyama gani iii mlo

  • @muhammadjamady-zx1jy
    @muhammadjamady-zx1jy11 ай бұрын

    Kiba kaon watu wanazid akashika mkononi

  • @missindependent1893

    @missindependent1893

    11 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan21508 ай бұрын

    KWELI NYAMA ILIVYOISHA KILA MMOJA KASHIKA ZAKE😂😂😂

  • @masizitony9800
    @masizitony980011 ай бұрын

    🦣🦣🦣🦣🙏🙏

  • @user-ok8gw4yp5o
    @user-ok8gw4yp5o11 ай бұрын

    Chakula kweli kitamu

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga11 ай бұрын

    Njooni kenya nyinyi wote Kenya hakuna chochote kinachoendele Hela imelala huko Hakuna wakuokota Ni siri tu nawachunia Wakenya wanawapenda Na wanakiu Yakutumbuishwa Wenzenyu huko kenya ni udaku tu Hawana lolote

  • @salimmwakaribu942
    @salimmwakaribu94211 ай бұрын

    Nani ameona hio gari iligongwa ikanyoroshwa😂

  • @nasibabdullah-
    @nasibabdullah-11 ай бұрын

    Ali why more hunger, u eat more.😂😂

  • @ivantompoo-uy3up
    @ivantompoo-uy3up11 ай бұрын

    BatA jamaa wanakul

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala454011 ай бұрын

    Huyo dada wa wigii haulizi vzurii anafukiaa tuu

  • @khadijahamina8457

    @khadijahamina8457

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂kazi nakulaa

  • @rajabdibwa6415

    @rajabdibwa6415

    11 ай бұрын

    amesahau kilichompeleka pale😂

  • @mimasirdic8379

    @mimasirdic8379

    11 ай бұрын

    Anatetemekea chakula mnooo na anakauroho

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani148611 ай бұрын

    Hajaelewa swali huyu ali nae

  • @user-xg2wb9ye2g
    @user-xg2wb9ye2g11 ай бұрын

    Hana rafiki huyo ni maskini anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi huyo mshamba wa Cinderella

  • @DottoAbas-iu4xx
    @DottoAbas-iu4xx11 ай бұрын

    Ety abdukiba amefika nini ahahah

  • @khalidsoud235
    @khalidsoud23511 ай бұрын

    Moco amekuja kucheki nyama amekosa😂😂😂

  • @kukuzambawazambanga

    @kukuzambawazambanga

    11 ай бұрын

    Hiyo pia mimi nimeona😅😅😅😅😅😅😅

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes316111 ай бұрын

    tazania hamuna tisho kwa nini munajipanguza na mikono jamani watafutiye tisho yakupanguziya mikono wanapa kula

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman175311 ай бұрын

    Hao waroho wa nyama si wakalie jikoni huko wamuache king ahojiwe kwa amani

  • @idrisamangwala6470
    @idrisamangwala647011 ай бұрын

    Hahahhah huyo jamaa fala kweli wenzie wanakula yeye anaongea ila pongezi Kwa huyo mdada kwa kula2

  • @rehemamajaliwa

    @rehemamajaliwa

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @faidhacute
    @faidhacute10 ай бұрын

    Binadamu kamili huwez kutokuwa na rafk bhana acha zako, sasa unajitenga mwenyew wakat hao ni wasanii wenzako inabd mubadilishan mawazo acha kujikuta

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi125510 ай бұрын

    Huyu mujama Ali anajiona sana

  • @NyanjeMwalimu-qy5ug
    @NyanjeMwalimu-qy5ug11 ай бұрын

    K2GA nivipi mbona hatumuoni

  • @lenardleonardngimilanga3480
    @lenardleonardngimilanga348010 ай бұрын

    Jamaa udende tuu unamtok

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani148611 ай бұрын

    Mbona huyu kka hali mwala nnyi tu

  • @jacksonmathayo6510

    @jacksonmathayo6510

    11 ай бұрын

    Amefunga😂

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    11 ай бұрын

    @@jacksonmathayo6510 😆😆😆😆😆

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu11 ай бұрын

    Alikiba ni kijana wa region gani Tz? Anaongea kama mtu mwenye kiburi fulani

  • @saidjumasaid3924

    @saidjumasaid3924

    10 ай бұрын

    Yae jamaa ana kiburi yani ukimuona tuu

  • @kyungumedardmaurice8321
    @kyungumedardmaurice832111 ай бұрын

    Mnakula kama majini ahibu Mungu wangu mnachekesha mnakosa hadi maji ya kunywa 😢😢😢

  • @ayubusalim4113

    @ayubusalim4113

    11 ай бұрын

    😅😅😅, daah 😅🙌

  • @mariamnur1036

    @mariamnur1036

    11 ай бұрын

    Binadamu hamkosi lakusema ..ila sema wewe ndo jini

  • @dottombilinyi5979
    @dottombilinyi597910 ай бұрын

    hakuna alikiba mwingne

  • @athumanhusen6008
    @athumanhusen600811 ай бұрын

    Kakuku kamoja watu 100,uchawa mtupu

  • @khadijahamina8457

    @khadijahamina8457

    11 ай бұрын

    kunamcango wako apo kwenye iyo kuku mbona kisirani

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    11 ай бұрын

    Punguza chuki itakupelekeaaa uwe mchawi dogooo

  • @salmasalum7735

    @salmasalum7735

    11 ай бұрын

    😄

  • @DenisMahomba
    @DenisMahomba11 ай бұрын

    King kiba

Келесі