ALIKIBA: SINA RAFIKI MSANII, MARIOO, MUZIKI WA AMAPIANO HAUNA UJUMBE, GABO ANA KIPAJI KIKUBWA
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 137
Alikiba ni mmoja tu ❤❤❤❤
Nakubali msosi huo 🔥💯💪 Alikiba Marioo Big up sana 👊👊
King kuja Kenya nikuone na Mimi nime toka Congo 🇨🇩 kwa sasa Niko Kenya kuja my king 🔥🔥🔥
@fefebitv
11 ай бұрын
Mambooooo
Unatisha KingKiba 🙌🙌🙌🎩🎩
Yaan wiki ilopita yote nilikuwa Nairobi, Muziki wa Watanzania ni mwingi kweli kweli. Nyimbo za Alikiba na wasanii kadhaa zinapigwa kila kona. Congrats ndg kwa kuwa mabalozi wazuri. Kwenye play list ya Qatar Airways Alikiba na Lady JDee mmo ndg zangu. Nilifurahi saana kukuta majina haya maana ile ni 5 star flight company isee
Alikiba💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚👍👍💚
King kiba🇹🇿✅❤️❤️❤️❤️❤️💐
Uyu brother anae mhoji Alikiba Yupo Bomba na kz yake makini Sana na maswali yake
@oyay2821
11 ай бұрын
Presenter ametulia katika kazi yake
@rajabdibwa6415
11 ай бұрын
wala hafkirii nyama😂
King kama king..
Nakuelewa sana alikiba ❤❤❤ endelea kaz nzuli
King kiba hongera kwa kazi nzuri nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Big up King's
Nacho kupendea kiba huna mashauzi big up bloo
King on top
King kiba safi sana 👑
Nakubaliana na king amapiano ni mzk rahis mfano mzur chino anatembea na beat hamna anachoimba
I love Alikiba ❤❤❤
King Ally Salehe Kiba🔥🔥🔥💓💓💓💓💓💓💓30.07.2023
King himself
Hizo nyama daaaaah
Daa huyo mdada anaongea vizurii sana. Sauti yake nzuri
@mkarimuofficial9192
11 ай бұрын
Abdhalla salamu kwanza ndio ule bana
Ally unatisha sana🎉🎉😢😮😅😊
Maji muhimu😀😀
Mariooo kamaliza nyama ndio akaondoka😀😃😃😃 Totobady
@mokojumbe4545
11 ай бұрын
Mjinga Kabisa Omar 🤣🤣
@missindependent1893
11 ай бұрын
😅😅😅😅😅😊😊😊😊
king tuna kuitaji kwetuu kigoma tume kumiss mnoo king♥️♥️♥️
@user-xg2wb9ye2g
11 ай бұрын
Hana hela maskini 2 aibu maskini hanajipya hanarafiki Msanii anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi
@fefebitv
11 ай бұрын
Mmmmh
@chunaabdullah1333
11 ай бұрын
@@user-xg2wb9ye2gmana wamlisha ww na kumvisha ww kila cku paka mweusi
👑❤
Show love for collegue as long as God blessed you that's is law of nature
Mwamba💪💪💪
Kig kiba mukuli kweli😊
kumbe waandishii wakilishwa wanahoji vzur
@salimsoyo8118
11 ай бұрын
Chezea buree hahaha
@keydeemasinga6986
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ugotanzania2722
11 ай бұрын
😂😂
@eddymudindi9166
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa?
@Babesfamily17
10 ай бұрын
Yani😂😂
Huyo dada analiya mkono wa kushoto
😂❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Tunda man
Mlukali 👑 kiba
Nimewa yinipeni liké yangu
@criminalminds7723
11 ай бұрын
Tukikupa likes na ww utatupa jicho?😋😋
King kiba
Ali i realy apreciate what u did ila pia majibu unayo brother unaheshima ya kujibu
K2ga mbona haonekani mwambie aache roombaya
Mr blue na aby skils kwenye maria
Mfalm king
Mmmmm abdu kiba mrafi anachukua tidogo tudogo ila yupo fasta
Marioo aongei 😂
Oya izo nyama niaje
Ki Spana hatà hakipig story😅
Huyo Dada kwann anakula jaman na kushoto , naomba mkatazeni
@cittaboy
11 ай бұрын
Vnye amekaa usimulaumu
Uyooo alieva nguo nyeusi mwanamke anakul shoto tu
marioo kama max kwenye mapande
Uyo demu wa wapi anakula na nkono wa kushoto kudadadeki
Kiba nimemuelewa kweli point yake rafiki niyule kwenye shida na raha mnakua pamoja ila rafiki wa kwenye kazi ndo Hao rafiki wa juju ila rafiki wa kweli ndo Hao kwenye shida na raha
@kilungahamis1270
11 ай бұрын
Kwani msanii hawezi kuwa rafiki wa shida na raha?
@kaseja
11 ай бұрын
Meaning hata wasanii wake sio marafiki zake ?? That's why hawapei promotion and the investment they need the guys to grow??? So why have a Lebo and yet U don't want to be frndz with Ur own artist?? What about mwana FA na yeye sio rafiki yake coz he is a musician... Huyu Jamaa aangalie kauli bana
@laj1699
11 ай бұрын
@@kasejaKing Kiba kanukuu 'Rafiki ni yule anayekuwepo wakati unamhitaji.' Marafiki wengi wa King wamekuwa wanafiki kwake akiwemo Dimpoz, Mwana FA, Barnaba na wengine wote walioenda kwake kujirebrand nakutoroka badae.
@user-xg2wb9ye2g
11 ай бұрын
Ndio maana daimond amemuacha mbali Hana hela ni maskini anatia aibu maskini mshamba wa Cinderella
@user-xg2wb9ye2g
11 ай бұрын
@@laj1699Mwana fa anajua ndio mtalaamu wa mashairi misamiati na misemo huyo maskini mwenye roho mbaya Hana hela anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi mshamba wa Cinderella
Nilikua natazama sinia muda wote nashangaa haliishi au mmezisomea hizo nyama 😀😃😄😄 maana watu wanainama wakiinuka nyama 😀😃😃
@user-hd9om8cu4y
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@TangaMashewa-qe8kk
11 ай бұрын
Hahaha niilikua najua naangalia mwenyew
@davidcurtis175
11 ай бұрын
Hamna macho wala hamsikii mbona me nimeona sinia ya pili na wamesema kabisa round two na imetolewa imewekwa nyengine kumbeeee ndio maana wanafumzi wanafeliiiii, shule moja darasa moja walimu ni haohao ila wapo wanaotka na zero na wapo wanaotoka na 1😊
Kipenzi cha kila mtu hana ubaguzi sasa huyo utamfananisha na swala wa tandale kwa majizi huyo mtoto wa k/ koo bwana king kiba saruti sana ali
Huyu dada anakula balaa hatari sana
Marioo anakula kwa Kasi ama anazani kitaishaa na huyo mwamba wa kofiaa ni nikuyasombaa sana
Enjoyini washikaji wangu jamani Mrarueni bata virivyo juu ya kagumzo Diamond platinumz huyo😅😅😅 Maisha mafupi haya na matamu😅😅😅
Kuna mmoja hapo anakula faster faster hatari🤣
Tunatak kolab za kimataif xax hiv
Ki kiba
Huyo sister duu nyuma anapiga nyama sio mchezo
Nyama ilivyoisha kila mtu kashika zake
@josephatjordan2150
8 ай бұрын
😂😂😂😂wew unajua kusoma Ramani
Dada Hilo Sinia unaona mapaja tuu duu wachee na wenzako
@mimasirdic8379
11 ай бұрын
Mroho
@mimasirdic8379
11 ай бұрын
Anashindwa kula vizurii na Ali kiba
Ni kuku ama ni nyama gani iii mlo
Kiba kaon watu wanazid akashika mkononi
@missindependent1893
11 ай бұрын
😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊
KWELI NYAMA ILIVYOISHA KILA MMOJA KASHIKA ZAKE😂😂😂
🦣🦣🦣🦣🙏🙏
Chakula kweli kitamu
Njooni kenya nyinyi wote Kenya hakuna chochote kinachoendele Hela imelala huko Hakuna wakuokota Ni siri tu nawachunia Wakenya wanawapenda Na wanakiu Yakutumbuishwa Wenzenyu huko kenya ni udaku tu Hawana lolote
Nani ameona hio gari iligongwa ikanyoroshwa😂
Ali why more hunger, u eat more.😂😂
BatA jamaa wanakul
Huyo dada wa wigii haulizi vzurii anafukiaa tuu
@khadijahamina8457
11 ай бұрын
😂😂😂😂kazi nakulaa
@rajabdibwa6415
11 ай бұрын
amesahau kilichompeleka pale😂
@mimasirdic8379
11 ай бұрын
Anatetemekea chakula mnooo na anakauroho
Hajaelewa swali huyu ali nae
Hana rafiki huyo ni maskini anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi huyo mshamba wa Cinderella
Ety abdukiba amefika nini ahahah
Moco amekuja kucheki nyama amekosa😂😂😂
@kukuzambawazambanga
11 ай бұрын
Hiyo pia mimi nimeona😅😅😅😅😅😅😅
tazania hamuna tisho kwa nini munajipanguza na mikono jamani watafutiye tisho yakupanguziya mikono wanapa kula
Hao waroho wa nyama si wakalie jikoni huko wamuache king ahojiwe kwa amani
Hahahhah huyo jamaa fala kweli wenzie wanakula yeye anaongea ila pongezi Kwa huyo mdada kwa kula2
@rehemamajaliwa
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Binadamu kamili huwez kutokuwa na rafk bhana acha zako, sasa unajitenga mwenyew wakat hao ni wasanii wenzako inabd mubadilishan mawazo acha kujikuta
Huyu mujama Ali anajiona sana
K2GA nivipi mbona hatumuoni
Jamaa udende tuu unamtok
Mbona huyu kka hali mwala nnyi tu
@jacksonmathayo6510
11 ай бұрын
Amefunga😂
@salamasaidi6620
11 ай бұрын
@@jacksonmathayo6510 😆😆😆😆😆
Alikiba ni kijana wa region gani Tz? Anaongea kama mtu mwenye kiburi fulani
@saidjumasaid3924
10 ай бұрын
Yae jamaa ana kiburi yani ukimuona tuu
Mnakula kama majini ahibu Mungu wangu mnachekesha mnakosa hadi maji ya kunywa 😢😢😢
@ayubusalim4113
11 ай бұрын
😅😅😅, daah 😅🙌
@mariamnur1036
11 ай бұрын
Binadamu hamkosi lakusema ..ila sema wewe ndo jini
hakuna alikiba mwingne
Kakuku kamoja watu 100,uchawa mtupu
@khadijahamina8457
11 ай бұрын
kunamcango wako apo kwenye iyo kuku mbona kisirani
@rizikiabdalla2501
11 ай бұрын
Punguza chuki itakupelekeaaa uwe mchawi dogooo
@salmasalum7735
11 ай бұрын
😄
King kiba