MPAKA OFISI ZA KINGS MUSIC / VANILLAH AFICHUA KUHUSU KAZI NA MBOSSO , LAVALAVA AU ZUCHU .

Спорт

Leo Jumatano tarehe 16 Augost 2023 Mpenja tv tumefika ofisi za Kings Music Mikocheni tumepiga story na Vanillah kuhusu muziki pamoja na mipango yake kwenda kimataifa
Vanillah amefunguka kuwa yupo na uhuru wa kufanya kazi na msanii yeyote wa WCB aidha amesema kuwa wimbo ndio utachagua msanii gani wa kufanya nae kazi kama ni Mbosso, Lavalava au Zuchu .

Пікірлер: 10

  • @Youngpozze380
    @Youngpozze3807 ай бұрын

    Nakubali

  • @brunotarimo4787
    @brunotarimo478711 ай бұрын

    Nikiwa gikombaa Nairobi . Nakukubali vanilla

  • @stevenckanumba7
    @stevenckanumba711 ай бұрын

    Wandishiwa habari kwanini mukiwa nawasani wa king's music huwananawauliza sana mashwali mingi ya Wcb ila wasani wa Wcb hamuwaulizi mashwali ya kings music Hau munalipwa ndomana

  • @ElenaJackison

    @ElenaJackison

    11 ай бұрын

    Nikweli

  • @erickmillanei4346

    @erickmillanei4346

    11 ай бұрын

    Nikweli kabsa

  • @endruchumbula5943
    @endruchumbula594311 ай бұрын

    waohhhh🎉

  • @tarkisalim3948
    @tarkisalim394811 ай бұрын

  • @minahadam2323
    @minahadam232311 ай бұрын

    Unyama ni mwingi

  • @user-qz6nq2bb8w
    @user-qz6nq2bb8w8 ай бұрын

    😂

  • @khadija5761
    @khadija576111 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

Келесі