ALIKIBA: Siko tayari kufanya Tamasha lao / Haiwezi kutokea /Nitafanya la kwangu, Fanya kimpango wako
Ойын-сауық
Alikiba ameongelea swala la yeye kutoweza kuperform Wasafi Festival 'Haiwezi Kutokea' na Post yake aliyomwambia DIAMOND 'UNIKOME' #Alikiba #LilOmmy #ThePlaylist
Pata tickets za Ndege za Bei Chee kupitia www.aviasales.co.tz / Pakua App ufanye Booking fasta.
/ lilommy
/ lilommy
Пікірлер: 795
Interview ya watu wakubwa, hadi natamani iwe interview ya one hour.cant get tired of listening to these brothers🙌🏾👌🏾
Sijutii kuwa Team kiba Unajibu maswali kama ulijua atauliza hivyo kweli we king kiba Kama unamkubal gonga like
My king kiba yoooh nimekuelewa vizur sana😍😍😍
@saidhamad5294
4 жыл бұрын
Ndio maana anaitwa King 🤴
😂😂😂😂😂ali bana,,,tuwe wasafiiiii🤣🤣🤣leo umenikosha kib wangu 😍😍😍😍👌👌👌👌unforgettable tour 😍😍😍😍😍😍
kuna sababu nyingi za kumshabikia king🙌
@nurdinimndeme2912
4 жыл бұрын
hana lolote wivu tu umemtawala na akili mbaya .
@mwanakhatibu3722
4 жыл бұрын
Kweli kabisa king kiba Allah akufanyie weps inshaallah
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
Hakika
@modenhosouza5925
4 жыл бұрын
Nurdini Mndeme kwan ww una nini? Kuach kufany mamb yako kuconsider mamb ya ali achen majung
Ilove this man daa yuko real yaani hafichi chochote! Big up king kiba!
Real heshima ndo maisha nakupenda king God bless more and more
Ommy ebu muulze kiba hivi aliumbwa kwa udongo gan..?mbona km anaakili nyingi mpk anajibu kabla hujamalza kumuulza swali💪that kings in king👊
@thomasmagoti1525
4 жыл бұрын
Ni udongo wa kawaida kama ulotumika kwako.....
@simpleboy1141
4 жыл бұрын
ajaumbwa alizaliwa
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba Bonyeza hapa kisha SUBSCRIBE 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html
@zainabubakari3630
4 жыл бұрын
Thomas Magoti daaah kk umemjibu vizuri sana
@zainabubakari3630
4 жыл бұрын
ernest nchumuye anajielewa ndio maana anajibu kabla ya muuliza swali hajamaliza
If you know you know Muzeh Allah bless what you do.👑🇹🇿🇷🇼
Nakukubali Sana king kiba huko vzr kaka🙏🏻🙏🏻👑👑
Alikiba anajuwa ku jibu ma swali sana kiwustarabu king Kiba👑👑👑👑💪💪💪💪😘😘😘From 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Anajua ila zamani watu walikuwa wanamtukana sana ila kwa hap nimesoma coments zote wote wanamsifia kwa majibu hongera kwake king kwa majibu mazuri😘
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba Bonyeza hapa kisha SUBSCRIBE 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html
Nimependa alikiba alivyo naushilikiano na kwa mdogo wake big up brother
@safiripos1867
4 жыл бұрын
Mnyanyaga sound
Alikiba na kupenda san na famille yako maisha yenu ya enhwima san salut san
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba Bonyeza hapa kisha SUBSCRIBE 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html
@fatmakiruwasha2378
4 жыл бұрын
Mm na juwa Unaniambi zamabasi kumbe zandenge
Wadau ,tambweeee interview killer. Wadau naombeni like nami nijikute nafurahi.
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba Bonyeza hapa kisha SUBSCRIBE 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html
Love this guy saaana
Napenda wanavyo pendana mtu nandugu yake...love u kings
King ni bichwa aise kwanza unahekima hongera mama king kwa uzazi wako wenye khekima
@mgeniomar2877
4 жыл бұрын
big up bro love u from 245🇰🇪
King tanzanien kibaaaaaaaaa one famille royale
@juxyahay7067
4 жыл бұрын
Anaongea pumba
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba Bonyeza hapa kisha SUBSCRIBE 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html
Dicpline is every thing Kwenye success 💥💥
Kiba uko juu tunataka urudi Uganda for a concert
@kagoggoalfred2730
4 жыл бұрын
prince ahmerito Uganda flopp concert hawezi rudi Hata kea pesa hahahhahaha spark TV imetuua sana wabongo.
@muhammadawadh2931
4 жыл бұрын
prince ahmerito acharohombaya simba baba laooooo
@ahmedhassannoor9645
4 жыл бұрын
@@muhammadawadh2931 ahh wapi kiba yuko juu
Baki Ivyo mzee! Unajielewa! Nakupendey icho tu!
Utu uzima dawa and that's king kiba,haileti maana kupretend that's it 💪💪💪
good boy my broo 2nakuunga mkono kwa unayo yafanya c a2xhi ndni na watt wadgo walio aanza mziki janaaaaa wakakuuumiza kichwa broooo
Alikiba Wallah upo tofauti kabisa na watu wanavyo kuzungumzia .love u king MashaAllah unapendana sana na nduguzo
Vibe btn the two brothers is just lit 🔥 king kiba Abdu kiba
Ommy keep it up you doing great job👍 .
King of interviews akiwa na king of bongo flavour bila kumsahau ommy girl mwenye akili za kutosha waooooo##
@salminissa2782
4 жыл бұрын
Who gave him a crown 😀😀 King of what then
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba Bonyeza hapa kisha SUBSCRIBE 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html
@biza60
4 жыл бұрын
Sio ommy girl anaitwa Amy gal
@nelsonnmwaipaja6980
4 жыл бұрын
@@biza60 caw kaka
@honeyjerrylugose3312
4 жыл бұрын
@@salminissa2782 kwani waungua king Kuwait king
Huwa napenda sana jinsi unavyofungua kipindi maneno mengiiiiiii,kujipround ,zaid na beat linavyokucndikiza
Salute kaka👑👑🙏🏻🙏🏻
alicho omba n support yako kiba, yale maneno yameonesha kwamba kuna ka kinyongo flan unako..... @acha ushamba ,support wenzako, wenzako waku support
@tinawanandi2446
3 жыл бұрын
Acha naww ushamba
Big up Sana 👑 king
Salute sana king,,,@@
Naona maKINGS mmekutana🔥🔥🔥🔥
Mashaallah mungu akuongoze Ally kiba napend kilakitu unacho fany nakuombea dua mungu akuongoze zaidi na zaidi amiin
Kiba sisi tuko nyuma yako usijali maneno ya watu,Miti yenye matunda ndiyo urushwa mawe,Brother usikate tamaa,Chapa kazi kiwewe tuko nyuma yako,,,,(#kingkiba# wakali wao#mbegu wao)
@zainabubakari3630
4 жыл бұрын
African Lastborn safi sn
Dada uko vema n vijiswali vyako honger kwa interview zenu
👑 kiba na 👑 Lilommy Home sweet home Tabora
King kiba keep it up my g
All the best bro it's longtime you have been in music industry it's long
@nkurunzizajeanne234
4 жыл бұрын
Nakubari 👍👍👍👍
huyu jama ni mfalme kweli....anaongea kiswahili lakini bado lazima upasue kichwa ndiyo uelewe maanake. ila Ommy ndiyo kiboko yake😆😆😆😃😃
@jumjumanderson9715
4 жыл бұрын
Be keen and u will realize what's between Ali Kiba and Diamond is just the jealous of success. In as much as Ali K is successful, he yet realize that Diamond is mountain he can't climb to the pick and he there4 will never want to take any risk and be competing to him
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
What do you mean, please?
@betrue33
4 жыл бұрын
@@jumjumanderson9715 ..Sorry but rich people dose not bother to compete with any one..... I can give you an example ..# uhuru kinyatta The Moi family... Dr. Makufuru etc... ...that's why Ali amekubali kusema yeye ana kidogo na wao wananyingi. if you know you know.!!..its only clever 1 can understand the theory....Ile nyumba Ali amenunua Kenya ni Barra ila hawezi sema....most of you still think AMINA wameachana but chini ya carpet they are still together...I like his style because I am also like him simple but sure......
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@betrue33 Nakupenda buree 😘😘
@betrue33
4 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 Asante mdogo wangu
nice King nakuelewa sana.
Yeebaba mfalume king kiba ally salehe kiba 🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️
@eliasikaratayebaba1845
4 жыл бұрын
Ee fanya yako kk cz upande wapil anaimba vijembe yoooop yebabaaa
@hidayaking3383
4 жыл бұрын
@@eliasikaratayebaba1845 kapuyanga nini oyo lishonga limeimba nini
King kibaaaa 👑👑
King kibaaa🔥🔥🔥
King's 4ever❤
King respect sana.
Nimeielewa sana hii interview
Ndo Mana wote tunao mshabikia kiba ni watu wazima na hata kwenye kiojiwa anajibu vzr Sana cc co wa nyegezi
Aaah me ukinchinja mkono damu yang king 👑 Kiba much love broo✌
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
Kama mm
Love you 👑
Kun wat wanachuki looooh na nyie mashabiki ndo munakuwa na vihere here kwly hem achen wat na maisha yao munatoa mapovu munatoa mapov pengn jitu halina ata shiling mia ya chai acheni ujinga kutukan wat km mtu humkubali si upite tu na njia yk unatoa matus nn ss yaaaan wat wengn cjui wameumbwa na udog gan loooh km mabilisi ilimradi itokeze jpo kidole loooh king kiba long life babaaaaaa mungu akutangulie kwa kil kit achanan nao wenyew vihere her wasikutoe vijasho hao njaaa tupu
@nurdinimndeme2912
4 жыл бұрын
siku zote unapokua na chuki - mafanikio kwako ni hadithi ' hichi ndicho kinachoonekana kwa Kiba .
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
Tell them wamuache king kiba
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
@@nurdinimndeme2912 alokwambia kiba hajafanikiwa ni nani? sasa kama hana mafanikio mbona wanamlinganisha na huyo unae amini kafanikiwa?
King nakukubali xanaaa kizazi
Nakumbuka interview ya professor jay hapa juzi kasema iyi bifu la kiba na mond nikubwa sana tofauti nagisi watu wanalichukulia,wote wanavitu amvavyo wanajijua wenyewe na wala awalitaki kuliongelea
kiba for life
Nakupenda bule Aly kiba wangu ❤hupo sahii kabisa.....👌
Nakukubali kinoma king mfalme Kiba by Sele Mzungu
I wish I can know the big beef in between Ali Kiba and diamond.... But Ali explains himself as a matured man kudos
@abduljrmange6706
4 жыл бұрын
King kiba big up xan nbro
nimependa sana jinsi ulivyo ongea ukweli yani auna kinyongo ila kila mtu afanye biashara yake
@dansonpeter6785
4 жыл бұрын
Umeona?
Ali kiba my role model,sijutii kuwa your number ☝️ fan
King love 100000000
Mm team mond ...lkn namkubal san aly ,ana hof y mungu,anajielewa,he is kind,brave ...#much lov from 254
natamani niwape wotee like ila siwezi ila naombeni mnipe kwa ajili ya KINGKIBA#
@ramadhanzmlay1331
4 жыл бұрын
Umeona eew🤣🤣🤣🤣
Kibaa mbn mtata sanaaa,ila mnataniana mpka raha mwendlee ivyo ivyo👏🙏
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Nakuomba Bonyeza hapa kisha SUBSCRIBE 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html
daaah kaka wajua kutangaza kinomaa mwanangu ww nakukubali sana lilomy
Hahahahhahaha yani Kiba bana Napenda Unavomtania mdogo wako muko familiar
Ali Kiba mshamba tu from Kenya
Team KIBA Like zenu
@mwanakombomuya5921
4 жыл бұрын
Piga kazi kiba. Busara ndio msingi muhimu.
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Yoyoyoyoh😀😀
@seifnazillytv3324
4 жыл бұрын
Bwege ww
King ni king atawasipokusapoti clouds sisi kutakusapot ata wakimtumia konde kukuangusha awawezi
Nimechelewa nimeelewa king kiba
siku zote kiba ni mtu ambae hakoseagi kabisa. ni kweli heshima ni kitu cha bure hakiuzwi dukani. uko sahihi sana kiba km umemuelewa kiba gonga like hp
Acha nimalize MB zangu kwa interview zako King kiba ........mm sioni ubaya wako kwangu ila chuki za watu wachache
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
Hakika
King kiba chiiiii
My name is Prince in South Africa Alikiba we love your music and it will keep supporting we know you for so many years now🎵
Kiba ako clear sana chibu amuache tu japo mandela alikaa miaka 27 jela na akaja wasamehe walomkosea ila kiba hataki suluhu..good 4 business
Happy birthday kiba
Big up bro king nimekuelewa angekuw domo kaya angesema anahera anapendwa 😀😀🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@sambayoo6441
4 жыл бұрын
Sasa hapo wanachofuraixhs ni nn
Brother kiba nakukubal sana sana pa1 sana king kiba
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Unatafuta kiki kupitia jina LA simba?
@emmanuelyjoseph8592
4 жыл бұрын
for life
Daaah! Gonga like kama umeelewa maongezi ya King👑
@mohamedsemboga7256
4 жыл бұрын
Nimewakubali jamaa
@paulebby1552
4 жыл бұрын
Jamaa hapendi unafiki
@kipungua3641
4 жыл бұрын
@@paulebby1552 kabisa bro
@kipungua3641
4 жыл бұрын
@@mohamedsemboga7256 pamoja
@faridahamedu5953
4 жыл бұрын
Safi
Umoja na undugu kama huu mwenyezi mungu auzidishe inshaAllah.
Daaah huyo dada yupo pw Sana anauliza maswali yenye akili
daah... king sikuiz unaongea vizuri alafu maneno ya busara hadi raha
Kings kiba
Kaka kiba nakupenda kaka yanguuu
Alikiba tunamtakia tamasha la kizazi Sana mzee baba
Nfalme wa waflme wa bongo flaver💪💪
Ali kiba bwana mm nakukibar Sana naunaongea vzr kwel ww ni kaka mkuu wengine wanaiga2
Real interview
Nimeipenda @Kingsmusicrecord
Kizazi Sana king kiba
God bless Kings music and I wish you long life.......... 🔥
Simba wa tandale ndo habari ya mjini.👹👹👹🔥🔥🔥🔥🐯
@kedwaboi8226
4 жыл бұрын
Mkatombwe na simba wenu ambae hana manyoya huyo
i like de way yu talkin king👑nice interview
Siku hizi Ali una pronounce kama mzungu😂 safi sana
Namkubali kiba kinoma 💕💕💕💕🔥🔥🔥🔥
KiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinG
King Kiba..... Yupo straight 👋👋
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Weeee
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
😍😍😍
Ata mie,nijekuja mwanza kusherekeya na yeye ila niko mamba Germain Francfort karibu san
#Kingkiba always on top hata wakuchukiee hawatakufkiaa kwa ufundi
Nilikwambia mimi nakupenda kimziki kimuonekano tangu sindelela yebabaa yoooo
King himself